SIRI NA NGUVU YA UTULIVU || PASTOR GEORGE MUKABWA || 01/02/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
- PASTOR GEORGE MUKABWA - SENIOR PASTOR - JESUS RESTORATION CENTER (JRC), MWANZA, TANZANIA.
Tuma maombi ya matarajio yako mwaka huu kupitia form yenye link hapa chini:
forms.gle/ufrQ...
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Amen Amen Glory Glory Glory Glory Glory ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤oye Great Man of the Lord God
❤❤❤❤Much Love of the Mightier Creator God To You From
Niederösterreich ❤❤❤❤❤❤
Amen napenda sana mafundisho yko pastor mungu akubriki sana akupe zaidi ili ulshe watu wako katika neno much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕🙏🙏🙌
Amen❤❤
Wooow kumbe from Kenya tuko wengi
Amen
Yes tuko wengi tunapenda mafundisho haya 🇰🇪
Kwakweli pastor nabalikiwa sana na mafundisho yako mungu azidi kukutumia vile apendavyo yeye
Ubarikiwe sana pastor umefanya nimekuwa karibu na Mungu na kuelewa neno❤❤❤🙏🙏
Namiss sana Kanisa Langu JRC, nawamiss sana watu wa JRC, Nawamiss sana Pastor na Mama Janet🙏🏽
Mungu akutie nguvu Pastor
Amen man of God,napenda sana mafundisho yako,umekuwa wabaraka sana
Ahsant sana Kwa Ujumbe huu umenisaidia Sana
Baba achsanti nime barikiwa kwa mafundosho Yako yote ambayo nimesikiya mungu akuzidishiye akuchunge baba
Kweli kukosa utulivu ni anguko lngu nmeamini mtumishi, ila kuanzia sasa naomb Mungu nisaidie nipate ulivu Ili nipate maswali ya majibu yangu, Amina
Amen.watching from Kenya .macho yangu yanafunguka Sana .ukenibariki Sana kwa haya mafundisho
Ameeeeeeeen ❤❤😊
Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ee Mungu Baba naomba utulivu katika familia yetu.
Ondosha kiburi kinachojitokeza miongoni mwa watoto wa ndugu yetu, ambao wanatukana matusi humu mitandaoni. Gusa akili zao ili wawe watu wa kutafakari zaidi kuliko jeuri wanayoionyesha mbele ya hadhara.
Pasta ubarikiwe saana maana hapa nimejifunza kitu
Nashukuru mungu sana Kwa uwezo aliyekupa ili utumike chombo Cha msaada! Najengwa kiroho na mafundisho yako,ubarikiwe sana!🙏
Thanks for ur teaching pastor....kwa hakula hua namiss mafundisho yako
Mungu naomba unipe kuskia kuelewa na kutendea neno kazi Mungu naomba unipe utulivu
Mtumishi😢😢😢😢yaani mimi jamani yaani hata sielewi mimi ila baba unanisaidia sana kupitia mafundisho yako ubarikiwe sana ngoja nijifunze kukaa kwenye utulivu Mungu atanisikiliza maana nipo katika hali ya sintofahamu mimi😢😢
eh Mungu nipe utulivu nipate majibu yangu
Hekima yake Mungu mkuu izidi sana ndani yako na ndani ya huduma Mungu amekupa mch. George Mukabwa
Very powerful teachings more grace unto you MOG 🙏
Nimejufunza mengi sana ya muhimu kutoka kwenye ujumbe huu. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Amina baba
Haya mafundisho ni mazuri mno ,Sina sadaka ya kukptia ila Mungu akukumbuke kwnye uflame wake
Amen
Mungu akubariki sanaaa mchungaji una nipandisha viwango
Pastor naelewa sana mafundisho yako, MUNGU akubariki sana 🎉
Mmebarikwa na bwana mungu aendelee kuwatumia, amen
🙏 🙏 unanharibu nguvu za adui kwa take Moja na kupotea miezi Sita,😂😂 Asante mchungaji🎉🎉🎉Mungu akuzidishie maarifa.
Hili jambo ni kubwa nabarikiwa sana na haya mafundisho ' ungekuja Congo tubarikiwe zaidi Mungu atupe kuelewa nakutulia na vita Ili tupate amani
Ubarikiwe
Amen Amen Amen ....Nakupenda saaana My Greatest Prophet of Mighty..... Blessings to you From Niederösterreich ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Unanibariki
Amen Amen
Hapo kwa dhamiri hatujasikia
We love you from 🇰🇪 you always bless us with the word of God
Amen Baba Ubarikiwe. Mungu azidi kukupa hekima na ufunuo uendelee kukifundisha kile Mungu alichokusudia ukiachilie kwa watoto wake.Mungu akutunze
❤niombee
Paster asant kwa mafundisho yako inanilea kiroho ninakusikilisa nikiwa kenya
Pasteur na shukuru Mungu sana kuni fikishia iyi ujumbe ya utulivu kuku pitia wewe ila naomba musahada ya maombi ili ni karibiche moyo wa utulivu ndani yangu naidi izae matuta ya utulivu
Somo zuri sana nimebarikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Yesu akutunze Namie ntakua na utulivu kama ulivonena 🙏
Nashukuru tangu nianze kufuata mafunzo ni week mbili, lakini nimetoka mbali, namuomba Mungu azidi kunifungua macho, barikiwa mtumishi
Yesu utukuzwe kwaajili ya mtumishi wako
Asante sana ujumbe ni wangu kabisa
Napenda sana mafundisho yako ilini badilisha Mahali singejua Mimi ninani mwenyezi Mungu aendele kukuficha Na damu YA means kodoo Wa yesu Christo barikiwa Sana🙏🙏🙏🙏💖💖💝💝💖💖🎊💝💝💝💯
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu toka Mozambique karibu sana utusaidi
Amina katika jina la YESU KRISTO AMEN
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kuna somo kubwa sana la kujifunza hapa....Mungu awajalie vyombo vyenu vikae sawa ili tusikie vema ktk masomo mengine
Pasta Mungu akubariki akuwongeze mafuta nafundishwa sana
Ubarikiwe sana baba unanibariki kabisa.
Mungu akubariki Sana mch barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Yaani Mungu akubariki mno ninabarikiwa mno na mafundisho yako
Hongera sana kwa maziwa mazuri yasiyoghoshiwa,Natamani kila mtu angesikia hii
Ahsante mutumishiwamungu mungu akubariki
Pastor umeniongelea mimi tu,naitwa sana na Mungu lakini simpi nafasi,
Mungu akubariki pasta kwa kunichenga eaidi
Pastor kwa halinilio nayo kwa sasa na neno hili mungu akubariki sana
Mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri.
Muchungaji Mungu akubariki sana tena saaana
Asante kwa mafundisho mazuri,je unapatika channel ipi aamina na barikiwa
Barikiwa na mafundisho haya sahihi
Mungu nisaidie nikuwe na utulivu.
Ooh Mungu wangu sauti imekata sehemu tamu sana
meditation heals jaman asante Mtumishi
Amen nimebarikiwa sana
Kwenye mtandao sauti inasumbua Baba Mungu asaidie vyombo vikae sawa
Mungu Akubariki sana
mungu naomba utulivu
Asante 🙏🙏 ubarikiwe. Amen 🙌
Very very powerful 🔥🔥🔥✍️✍️✍️ points taken
Amina. Ubarikiwe sana
Ubarikiwe Pastor
May God bless you i like your teachings so much
Powerful teachings more grace 🙏
Ameen🙏🙏🙏ameen
Nakuelewa sana mchungaji.
Nita mngoja Bwana
Asante baba
I like this
Amen amen 🙏
Napokea neema ya utulivu
Barikiwa
Ntamngoja Bwana apo kwenye Kofi na teke nimecheka mnooo 😂😂😂
Barikiwa sana
Asante nimejifunza mengi nakufunguliwa kupitia mafundisho yako ubarikiwe
Amen amen amen 🙌 mchungaji Mungu akuongez nguvu
Amen mungu akubariki unabariki moyo wangu
Kweli. Mengi yamepita, hatujayasikia.
Sauti imekata pazuri duu
Nitangoja bwana
🎉
Kuanzia Leo nimejifunza kutulia
Hii irudiwe jmn maana hapo kati umeme sjui umesumbua mitambo
Tulia semezana na Mungu atakubia yakupasayo. Sasa unaomba Rena uombewe. Hiyo ni dawa ulia uweponi semezana naye
SAUTI
Ame n
ASANTE
Hii kanisa iko wapi? Mafundisho mzuri kabisa ya kiroho
Watu wa Mwanza mnafaidi mafundisho ya Mchungaji huyu hakika analisha
Mtumishi umeongea ukweli kabisa jamani
Saut imepotea jmn