Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county
Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.
Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana
Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa
Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭
Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati
Pastor George, Nabarikiwa na mafunfisho yako Sana, kupitia mafundisho yako Kuna mahali nimetoka Mungu akubariki Sana, np Arusha
😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏
Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba
Hallelujah God bless you pastor George
Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako
Bwana Yesu asifiwe pastor George Mukubwa, nabarikiwa sana na mafundisho yako. Nipo Dar es salaam. Nitafurahi siku moja nikikutana na wewe, you always speak about my life when you preach. Mungu akubariki sana
Huwa nabarikiwa nafunguriwa namuona MUNGU KUPITIA kipidi hiki siku nikikuona nitafurahi sana
Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏
Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana
Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.
SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta
Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Mafundisho ni mazuri sana Barikiwa
Ooooh thank you Jesus for this far
JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi
Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke
Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji
MUNGU akutunze kwa umri mrefu uendelee kua Baraka kwa wengi we love you so much
So blessed pastor George from saudarabia
Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.
Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.
Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏
Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️
Ameeen❤❤ thanks God for TH-cam watumishi kama hawa tungewapata wapi.
Amen Amen sina chakumrudisha Jehova
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Aminaa Mungu ninasema Asante Mungu mwaminifu maana nimeona mkono wako mkuu maana umenipe kibali tena mwezi moja pokea sifa na utukufu maana unasitaili Baba mtakatifu maana mim kwa akili yang nilipanga safari ukaniambia bado mda mwanangu Mungu Asante maana nakuona kila saa kwangu Mungu pia namwombea mfunike kwa Dam ya Yesu kiristo mtunze mlinde Mubarak san Amina 🙏🙏 🙏
Mungu Nina Ku rudishiya utukufu wako mwenyewe una stahili.
Mubariki paya mtumishi wako Pastor Gorge apekuwa baraka sana iwangu
Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii kichwa ni noma, syo rahis kuumuelewa utaona tu kama unasoma physics
Nabalikiwa sana na huduma zako
Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini
Pastor mungu akubariki 🙏 unanibariki na mafundisho yako ,,umenipa sababu ya kukuskiza Kila wakati nikiingia mtandaoni,,hakika umebadilisha mawazo yangu kwa mafunzo yako ,,ombi langu siku Moja nikutane na wewe
Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua
Thx,Pastor, ubarikiwe Santa.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu... Nashkuru Mungu umenitoa mahali.. Amen
Postor,umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu,Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana. Ni abarikiwe sana na mafundisho yako.. Na Kufatilia kila siku. Hakikat unazidi kuninenga kiroho
Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,
Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.
Nabarikiwa na
Mahubiri yako Mungu wangu Nipe macho ya rohoni na nisilale usingizi wa mauti Amen
Halleluya Halleluya Halleluya Halleluya Amen Amen Amen Ameen unanifungua akili yangu Mtumishi wa mungu barikiwa sana, mungu akulinde uzidi kufungua vizazi vilivo potea babayetu wakihoro 🙏 🙏 🙏
Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰
Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga
❤amen Mungu anisaidie nishinde roho ya uzito kwanzia leo nimesikia neno la Mungu kupitia mtumishi wake
Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.
Pastor you are a great blessing to me,I love your teaching..am from Nakuru county in Kenya
Am watching from Nairobi, nimebarikiwa zaidi na Mungu akuzidishie uhai ili uendelee kutuelimisha❤❤❤ mafundisho.
Amen! Amen! Amen May God bless you abundantly mtumishi wa Mungu
Pst nabarikiwa naujumbe unaotulisha nimefunguliwa maeneo mengi umekuwa mchungaji wangu kunipeleka ktk malisho mabichi ubarikiwe
BARIKIWA MTUMISHI KWA MAFUNDISHO..AMEN AMEN 🙏
Amen!!!!Mungu naomba unipe maarifa yakuingia nakutoka. Niwe kichwa naniwe mkuuuuu sanaaaaa
Oooh haleluya mungu ni mwema ❤❤❤❤❤ Kama si mungu nisingefika siku ya leo
ubarikwe pastor by sammy nakukumbuka sana🙏🏾🙏🏾
Kwa kweli masomo yako yananibariki sana. Nami leo nakemea roho ya using ili na uzito ndani yangu kwa jina la Yesu.
Asante sana mch nimebakiwa sana na mafundisho yako yamenigusa sana sana maana sikujijua kwamba kiroho changu kimevamiwa hivyo
Amina mtumishi hakika namshuru Mungu kwaajili yako, kunakitu nimepata kupitia mafundisho haya
Blessed from Kenya..azidishiwe hyo pastor
Mafundisho yako yamepigisha hatua kubwa maisha yangu Mungu akubariki . Nipo Mtwara.
Balikiwa sana postor mungu akuongezee hekima mingi saana Niko kenya
Ubarikiwe sana unakuza sana karama yangu mungu azid kukukuza kwa viwango vingine
Tangu nianze kuskiliza mafundisho yahuyu mchungaj nimebadilishwa
Ubarkiwe mtumish wa Mungu Kwa maarifa haya
Thanks pastor George
POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki mafundisho yako yanaleta uponyaji maana unahubiri injili iletayo wokovu. I need to conduct you man of God
Nashukuru. Muchunga mafundiso yako yamaombi kufunga mungu akufungulie
Malango ni martin mpeketoni lamu
Hakika kama si Bwana aliyekuwa upande wetu,ingekuwaje Leo.
Ameni nimebarikiwa sana na somo hili.ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Amina pastor .Mungu neema ya Mungu izidi kuwa nawe
Nabarikiwa sana🇰🇪🇰🇪
Mungu nikomboe mtumishi leo hayo yote umeongea yamenikumba miaka mingi Mungu nirehemu na uniponye kutoka KENYA
Namshukur Mungu kwa ajili yako Asante Sana nimekuelewa
Asante mtumishi na barikiwa sana nikisikiliza mahubili
Amen,umenibariki mtumishi wa Bwana,ni Rumari Letimba nikiwa Kenya samburu
GOD IS GREAT. Mafundisho ni nzuri zana
Mungu ni mwema sana.
Mtumishi mahibiri yako yanamwanga mkubwa sana. Hakika tunaangamia kwa kukosa maarifa. Nimejifinza mengi.
Nimesililiza nikiwa chato geita Tanzania.
Naona nimepona niliulizwa moyo kiasi sitamani huduma Asante
Asante pst Kwa mafundisho ya lord Jesus.
Amen amen sina cha kukurudishia wewe Jehova🙏🏻🙏🏻
Amen and Amen and Amen and thanks to Jesus
Amen and amen thank yesu
Mafunzo haya yameniinuya Kwa viwango vya juu,nimeshukuru mtumishi,mungu niondolee roho ya usingizi
Ukiandika mungu kwa herufi ndogo unamanisha miungu, jifunze kuanza na capital letter ( Mungu) unaweza fatilia kwenye biblia
Be blessed the servant of God!
man of God, You have been a great blessing to me 🙏, l was giving up but your word's always makes me feel better important,l wish one day l will visit your church in mwanza,am from Nairobi Kenya,let God be praised all the time.
The worship has made me cry.Av shared this to many.B blessed man of God
Ameen Asante Mungu nimebarikiwa
Ubariwe sana mtumishi kwa mafundisho yako
Roho wa Mungu nisaidie
I love the Sprit of prayer in you man of God
Duu, hawa ndiyo watu Mungu wetu anapendezwa nao na kutukuzwa kupitia utendaji wao Mungu akupe hatua Zaidi kwa utukufu wake.
Mungu akufanyie wepesi mtumishi wa Mungu
Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi