THEMBA: MWAMBA ALIYEZAMIA na KUJIFICHA Kwenye MATAIRI ya NDEGE Kutoka AFRIKA KUSINI Mpaka UINGEREZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2021
- THEMBA: MWAMBA ALIYEZAMIA na KUJIFICHA Kwenye MATAIRI ya NDEGE Kutoka AFRIKA KUSINI Mpaka UINGEREZA
KIJANA Raia wa Afrika Kusini, Themba Kabeka, amewahi kuwa gumzo duniani baada ya kuzamia kwenye ndege iliyokuwa ikitoka Afrika Kusini kwenda Uingereza huku wakiwa wamejificha kwenye boksi la matairi ya ndege hiyo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Kuna movie inaitwa ADU dahh Kuna dogo na sister wake walizamia kwnye ndege Kama ivo Yann em fanya kuitafuta n same story ya uyo jamaa
Naitafuta.
Sanaa, yan umewaza km mimi inasktsha hio movie ya adu😭😭
Hyo movie tam balaaa
Mtihani sana
Yaani km Adu na sister yake, ilinisikitisha sana hii movie
Ukiwa ndani ya YESU, maisha yanakuwa marahisi sana!!! Karibuni kwa YESU, muweze kuenjoye maisha. Karibuni AMEN.
hakika mica mathew
Yea adu sad story
Exactly
Amina
Amin
Dah! Life in earth.. maybe kunamaisha mengine mazuri za idi ya haya hapa duniani
Kwa Yesu Kristo. Katika ulimwengu wa roho!
This man is loved by God so much
Aisee alafu kuna mtu anaweza sema nimepambana na maisha sanaa😇😇😇😇🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭
Hatari sana
Hatarii kwelikweli
Duh jamaa ninja aisee
Sauti yako inatuacha vinywa wazi unaeleza kwa utaratibu na umakinifu mzuri mno utokako rohoni mwako .baraka ziwe nawe wakati wote🙏🙏
Hamshindi ananias edgar
Anamuiga Ananias na hampatii
Chuki Ni mbaya na nisumu eti hampatii,aiseee ,husitake wote tufanane mtangazaji anaweza bwana take it or leave it,watu weusi tunashida kwakweli
Mtangazaji mashaallh uko vzr sana yaan unaeleza kwa utuo hongera
Huo ndio tutaita Ubaharia,,,big up Gee✌️✌️
Kabisaa
Huu sio ubaharia ni upairotia
Huo ndio u ruban
Huyo katika wahun wa kuzamia anaongoza dunian
Huyo jamaa hatari ana roho ngumu ka paka
Huyu jamaa msoma historia mashallah kajaaliwa sauti ya usomaji wa historia
Anaaitwa @amini.likonde
He's the man Kwenye kutafuta usiogope kufa Kwa sababu ni razima utakufa tuu
Sio hivo
Ipoje
Acha nife bongo tuu c kwa shida za uyu jamaa nampa big up
Jamaaa shujaaa sanaaa me sijaonaa kwa kwelii kama huyoo
Imenisikitisha😭😭😭 sana hii hadithi
Sana ndugu yangu.Safari ya masaa 10..Ukakae kwenye boksi nje ya ndege.Humo ndani tu kuna wengine maskio yanazibuka hadi akishuka ndo anakaa sawa.Walifanya hatari sana
Hivi temba huyo ndio yupi sio yule mtz
@@jenyyusuph4973 Hapana huyu ni wa Africa kusini
@@jenyyusuph4973 😅😅😅
Unayumba wewe ujue
...
I remember this !!! Very true story!!!! It made headlines kabisa
If you remember then you know better the one who falls down was from where
@@omarbosiomar8608 Lol...from unknown!!
Ilikuwa mwaka gani
@@geequeen1116 hii ni story ya kweli kabisa, kama sikosei ilikua 2014
@@konsolatatutu423 it happened in 2015,,try to read also on my London magazine
Shujaa Mkuuuu ni Yesu tu. Aliyekufa msalabani kwa ajili Yetu
Fuata dini pia tumia akili
Hawa ni ndege walitamani kupanda sio maisha walitaka kubadilisha pale uingereza wangetoka aje kwa airport pia chakula wangekula nini hapo upendo toka +254 🇰🇪
Kuna jamaa alizamia kwenye fuso, akaja dar lakini akaishia msamvu
😢😢😢😢
Kazi nzuri... basi muwe munatupa na majina kamili ili tukitaka kujua zaidi tuweze mgoogle
WAPENDWA YATUPASA KUOKOA NA KUMPA YESU MAISHA YETU . MAANA HATUJUI SIKU WALA SAAA YA SIKU ZETU ZA MWISHO WA KUISH HAPA DUNIANI. TUACHE DHAMBI TUOKOKE JAMAN.
Inn min poll
Ohio pi
God bless you 🙏
Amen
Amen ndugu yangu 🙏
Huyu ndo yule ole tembaa wa linah 🔥🔥🔥
joseph mahenge 🤣🤣🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 Mjinga sana
Kah jman
😭😭😭😭maskini stori imeniliza.....mungu azidi kumsimamia awe na maisha mazuri ya ndoto zake...
Dah aisee, Mungu atuepushe shida kweli zipo lakini mwisho wasiku inabidi tukubaliane na hali halisi maana wahenga wanasema mkataa pema pabaya panamuita
Safi sana kwenye maisha bira kujitoa muhanga uwezi kufanikiwa
Yeye ana kuja uku wakati sisi tuna pangiliya kurudi africa 😂😂😂 ulaya ni stress tu
Kweli
😂😂😂
Kvp man
Umeeonaee kila mmja ulaya ata sijui kuna nn kikubwa
@@sabrinasab2910 akuna Chahajabu maisha ni yale yale asiye tumika asile 😂😂
I'm stowaway ship from African and marekani nduguzagu wa Tanzania 🤯🇺🇸
😀😀😀watatuua ndugu yang siku hz unafungwa kwa pipa na kupewa mikate huo ndio msamaha wako kama haijatokea Yatch ya kukuokoa basi ndio umeisha😀
Kwa hiyo mwanangu unaishi marekani baada ya kuchukua papuli
@@rubengaally8476 😀
@@lirastanley390 nime chukua storwway Zanzibar to Kenya to.jibuti.to.usa.neworleans
@@rubengaally8476 never lose hope
Wale vijana Fode na Yaghuine walifia umoumo ndani ya landing Gear 1994.. Afrika haituvutii kabisa wenyeji. Life ngumu
Yenyewe ni ngumu na viongozi wenyewe kazi ni kuringia wanna hi na kujionesha vile wako na mali
Is so painful 😭😭😭😭 may God protect both of them
Ukiachana na themba,mtangazaji yupo hot hot big up
Themba kavunja Record haijawah tokea
Mromania alifanikiwa kufika London akiwa hai kwa njia hii
Wote wawili wamevunja recod asee
Huyo temba ni mwanaume
Huo si uwanaume. Ni ukumbavu wa Hali ya juu sana
Unajua jaman kunawatu wanamaisha magumu kuliko ww uliyeshika simu ya smart phone na kuangalia hii video, uyo jamaa kapitia magumu kuliko tunavyo simuliwa,
Daaah!maisha magumu ndio yanamfanya MTU kuamua mamuzi ya Hatari .avuke au aishe. Ni kijana shupavu.congatulations .waliamua mamuzi Hatari sana.
Wah! God Bless You Brother 🙏
Africa Jameni 🤔
Duuuuh hyo kweli hatariii.
Daaah nawaza hapa waliwezaje kupata hewa huko juu,maana ndege ikiwa juu hakuna hewa tena
waukweeli nikkon Sindomana walizimia
Kuna kijana kutoka Romania alifanikiwa kutoka Romania mpaka London kwa njia hii na ni pekee alofanikiwa kufika UK salama ila haikuwa masafa marefu
Me pia nataka nijaribu inshaallah😔life africa ni ngumu
Tena usijaribu hata kidogo utajuta kuzaliwa...maisha wanayo pitia ndugu zetu wa Africa we acha tu...mbona nyumbani pazuri jamani
Africa is right place for black people coz no segregation
Ndugu yangu maisha ya Africa nimatamu toa hiyo fikra nakwambia sabb najua tunavyopitia huku kwahawawatu weupe acha tu
Ww Hutaki Kama Kweli Usingesema🤣🤣🤣
@@alimwakasidi7680 ten pazuri kuliko uko sehem nyingine kwenu ni kwenu
HIVI KWANN TUSIWE MAJASIRI WA KUIHUBIRI INJILI , HATA TUKIPATA MISUKO SUKO. TUNAKUWA NA THAWABU MBINGUNI.
😂😂😂😂😂😂kweli kabisa
Njaa ikikubana unageuka muhinjili fake..
Umezungumza jambo kubwa sana lakini wachache watakuelewa,
Mathayo 9:37
[37]Ndipo alipowaambia wanafunzi wake, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache.
Mathayo 6:19-21
[19]Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;
[20]bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi;
[21]kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
@@timotheojumal894 Amini mungu nasio Maandishi.... Tufahamu kwamba kabla ya vitabu Mabibi na Mababu zetu walikuwa wakiabudu ...Hapa Kunakitu tumepoteza ..
@@jullipusoe7838 utamwaminije Mungu bila vitabu kuwepo?,isingekuwa vitabu ungejuaje kama kuna Mungu? Na ni kweli kuhusiana na Babu zetu kuabudu kwao kipindi hicho waliabudu hivyo pasipo kujua na wao kuwa yuko Mungu anaestahiri kuabudiwa kabla ya injili kuenea ulimwenguni kote ndio maana ukisoma,
Warumi 10:14-17
[14]Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?
[15]Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!
[16]Lakini si wote walioitii ile habari njema. Kwa maana Isaya asema, Bwana, ni nani aliyeziamini habari zetu?
[17]Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
lakini hata hivyo Mungu aliziita hizo siku kuwa ni za ujinga kwa sababu watu hawakuwa na ufahamu na kile wanachokiabudu na Mungu hakuwahesabia makosa kwao kwasababu injili ilikuwa bado kuwafikia, ukisoma,
Matendo ya Mitume 17:29-30
[29]Basi, kwa kuwa sisi tu wazao wa Mungu, haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe, vitu vilivyochongwa kwa ustadi na akili za wanadamu.
[30]Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.
Basi ni hivyo ndugu yangu kama hii neema leo Mungu ametuletea haijalishi kwa Mazingira yapi ilimradi tayar habari njema imeshahubiriwa na ni kweli basi tukubali kwa mioyo yetu na tutubu, maana hata siku ya mwisho haiwezi kuja ikiwa injili bado haijafika kwa watu wote ulimwenguni kama ilivyo hii leo lazima ihubiriwe ili watu wapate kujua Mungu wa kweli ni yupi,
Mathayo 24:14
[14]Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.
Hivyo tusije kuhukumiwa kwa ugumu wa mioyo yetu ikiwa tumehubiriwa na tukachunguza kuwa ni kweli basi tutubu pale tulipokosea,
Mungu atamsimamia
Yaani kukaa kwa kiti muda wa masaa 11 inachosha zaidi tena unapewa kula kunya unatizama tv chezea sim na vyenginevyo. Lakini huyu kiboko maana kapigea na joto la africa halfu la engine halafu baridi ya uk halafu fume za engine halafu usalama wame risk halafu mguu kavunja jela na kawa homeless yaani watu tuwe na fadhila kwa mungu
Mbona nmesikia walipoteza fahamu masaa kwa mda mrefu
@@solomonichisaye8767
Yap. Wamebahatika kuishi. Haina haja kurisk maisha kwa popote pale ulipo. Nuhimu rizika na ulichokua nacho
@@thelistener8357 kiukweli siungani nao mkono kwa aina ya usafiri na mbinu walioitumia kusafiri
Lakin nachoweza kusema walithubutu kufanya kitu kikubwa ambacho ndoto zao iliwatuma...
Technology na maisha kiujumla ya kipindi kile ilikua ni ndogo Sana akilini mwao wasijue Ni nini madhara yake, hakuna binadamu anayependa kufa Hata kidogo, hili lilikua Ni Kama fumbo kwao..naungana nao kwa uthubutu na jinsi walivyotamani kufikia ndoto zao, ilikua ni Kama ajali kwao katika safari yao ya mafanikio...imagine Kama wangebahatika kutoka salama ,then wakapambana wakawa Ni watu wenye mafanikio makubwa, sidhan Kama waafrika wangewachukulia Kama wazamiaji Bali wangewaona Kama vijana wapambanaji
Life it's all about decision, taking a risk ...walijua tu Hata Kama wangebaki wasingeishi milele, one day they will die even what!!!!!!
@@solomonichisaye8767
Sawa sawa
Umeonaeee
Dahaaa bonge la storry
Uko sawa kaka pongezi sana
Hawaii ndio ,legends
Duuuh hii noma kabsaa🙌🏻🙌🏻
Niatari kabisa 🇨🇩👁️🥺
Jamaaa ana roho ngumu kuliko paka
Pole sana ndugu kila la hery jijini uk
Subhana Allah
Umeyaeleza vizuri...heard about it wen it happened n saw it on news I thought it was just one man kumbe they were 2 men . Sm glad he survived but such risk for wat though. I live in uk n it's not better than Africa infact I am hopping to damp my citizenship n move to africa
Let's change citizenships
@@nasrykhamid4373 huh is that even possible
I had a year in New York. I understand You
Really?
Bwana wee Gabriel ubarikiwe
Daah! Mbona nihatari saana aisee.!
salute ma hommie
Huyu ndiyo jamaa aliye imbwa hadi kwenye wimbo wa Lucky Dube unaitwa Other side
We should thing twice before action.
Temba & his friend they risk they life for batter life but they dream turn to nightmare. Any way this id lesson for young youth not to stoleaway like that.
Thanks for the Gabriel his kindness.
AHSAN BI LUGHAT ARABIYA🤣🤣🤣🤣
@@salimsaid7200
تمام يا أخي سعيد👍
@@salimharrasy7047 👍👍👍
Boss tumia lugha unayomudu tafadhali 😀
@@likimaro6 Anaimudu Ndio Maana Kaitumia.
Duh hao kwer ndo ma fighter 🙌
Dah nomaa sanaa
Duhhh🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ukisikiliza ngoma ya Lucky Dube " THE OTHER SIDE" utasikia Dube akimsema huyu jamaa...
0l
Blessed
Pole sana kaka
asante sana ndg yangu,mungu akubariki
huo uanja wa ndege upoje jamani, sisi tunadandia gari wao wadandie ndege.
Hahaha
Michezo
Umeharibu story sanaaaa kwa sauti yako ya kulazimisha haupo free kabisa adi kerooo!!!!!!!
Hii sauti haivutiii...ingawa taarifa hii imavutia
wiv tu unawasubua
@@user-bf3hc6we7j wivu wa nn xx zaidi asome comments zoote apo chini akikuta zaidi ya tano tatizo ni moja basi ajirekebishe coz on line TV ni nyingi na mpo kwenye ushindani...ndio maana kizuri tesema that story ni nzuri vinginevyo tungeiponda pia iyo Stori xx Ila jamaa ndio awe yeye asiige mtu mwingine
@@user-bf3hc6we7jyaap wanawivu wakijinga
Hii ilishatokea kabla ya huyu jamaa pia ni mtanzania history yake ipo katika wimbo wa jhonny legend show me na video imefanyika zanzibar
Naikumbuka hii story
Sio mda mrefu tuliona kwenye news
Baada ya tukio hili
Duh
Mmh kumbe ni true story
Hatar sana
All in all nimevutiwa na utangazaji wako!
Ni msimulizi mzuri sana ,
Kabisaaa
Hellow+255778742459
Very touching
Hakuna kukata tamaa hp mm mwenyea nina ndoto za kwenda nchi za ulaya nitaenda kwa njia yyt ile ht ya kubembea kwenye matair nitabembea tu yn
Unatfa balaa??
Hata ucjaribu kabisaaa
@@tatuhongeranurushaus485 xx mm nitafanyaje jmn na ulaya natamni kufika
@@crazygaston8066 😂😂😂😂😂
Hahahah
Ata angekuja kwangu Europe akae bila shida yoyote,sote from Africa na lazima tusaidiane
Good boy Thema you is a soldier
😂😂 wew jamaa unajua kueleza hiv wew ndiyo yule uliyeleta the story book meli ya taitanic
Ni yeye 😃😃😃😃
Hapana
Amini likembe unatoa stor inapendeza mno Masha Allah
Sauti yako inapendeza sana kaka same ya mtiga abdalla utuletee story kama hizi
Dah 😢😢
What a life, man👌
Ukisikia mabaharia ndo hawa sas,sio kujiita baharia t wakati kuzamia kwenyew huwez hahahah.
Kweel kabisa hata kudandia daladala huwez wajiita baharia
Sometimes problems push us to half dead deals
Amen
Aah awa jamaa hatari awa ndo mabaharia sasa
sio mabaharia ni maAngania
Gabriel na ubarikiwe
Yarabiii
Daaaa hii to much kuna watu wana moyo jamn😀😀😀😂😂
Hii yote ni sababu ya maisha ndugu yang...
Kwanza makelele tu ya ndege majanga na mtu ndo uko ndani ya ndege je wao walokuwa nje.Wana roho za kikatili sana Kwa kweli hadi naogopa.
Duh..... Acha niangalie ulaya kwenye tv tu inatosha😂
@@sitiabubakar2892 hahahaaaa zamia boy🤣🤣
@@aboubakar4793 weee...am a lady 😭
Watu wanapitia maisha magumu sana nyie acheni nakumbuka mwaka 2017 nilienda South Africa watu naona wanaishi maisha ya atali sana mno wengine ndo ata passport awana tena wameshakaa miaka kibao kurudi Tz aiwezekani tena
Hizi ndio taarifa za maisha sio kiki za akina harmo na kajala
Wew naeee ,,,
🔥🔥🔥
Mungu ni mwema
Ulaya kuna shida sana afadhali ya Africa msijiongopee
Nakumbuka hawa jamaa walizamia Kenya airways siyo British airways..
Asee kuna watu wanajitoa
Sawa Lakini Haya Matokeo Yako Mengi.
Mi Hangaiko Ni Ki2 Kibaya Sana Umasikin Nd Unamfanya M2 Kumwachia Mwenyezi Mungu Maisha Yote
noma
Uyu ndo Lucky dube alimwiimba kwenye wimbo wa Grass is greener
Huhuhu nafia africa
😰😰
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Acheni kutafuta kiki kwa matukio ya watu na kupotosha jamii inayotafuta njia sahihi huyo yesu mnamtia doa sana hajui tu
Congratulations
mmmm aise
Dah maisha bwana tulio nje tuna tamani kuludi na walioko nyumbani wanatamani kuja 😢
im in macau china natamani kbs kurudi nyumbani ila nipo nashindwa
Uko nchi gani nami nije
Acha nam nitafute hivyo vitabo nizamie kweny ndege kila mtu na bahati yangu wenda nikafika zangu kama temba maisha ni magum Sana tz
😀😀😀
Maisha yanaweza kukufanya uchukue maamuzi magumi sana bila kujua😢
Duh kweli huyu ni mwamba
Hii nikutaka kufanikisha maisha kimkato😳😳😳😳
Daaah, uyu mwamba Ni balaa
Huyu sasa ndie baharia kamili😂🤔🤔🤔
@@albinemilly5382 Hapana Huyo Mwana Anga Kamili 🤣🤣🤣🤣