#breakingnews

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamekusanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kujiandikisha, kisha wakaandamana kwenda ofisi za CCM kulalamika.
    Wafanyabiashara hao ni miongoni mwa waliohamishiwa kwenye masoko mbalimbali baada ya kuungua Soko la Kariakoo, kupisha ukarabati na ujenzi wa jingo jipya la ghorofa sita.
    Soko la Karialoo liliungua Julai 2021 na kuteketeza mali karibu zote za wafanyabiashara.
    Kutokana na hilo, Serikali ilitoa zaidi ya Sh28 bilioni kwa ajili ya kulikarabati na kujenga soko hilo dogo.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

ความคิดเห็น • 46

  • @salama1113
    @salama1113 23 วันที่ผ่านมา +6

    Make kwanza ncheke😂😂😂😂😂watu wanaanza kupambania haki zao sasa

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 23 วันที่ผ่านมา +6

    Ila mimi ni mjinga eti napendai kuona watu wamevurugwa hivi oyooooo

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 23 วันที่ผ่านมา +3

    Ssamia,pole sana,mwaka huu unayo kazi.Vijana mliowasomesha na kisha mkawanyima ajira,sasa wameamua kujiari kwa njia ya maandamano.Ondoa Chalamila awafuate wasanii wenzie akina wema na Steve huko Korea.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 24 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 23 วันที่ผ่านมา +3

    Mnaumiza watu na kodi kedekede,kumbe pesa yenyewe mnawapa akina makinda wanafanya siasa za kitoto,wanagwa pesa ovyo.Mkuu wa mkoa anasema kila arusi alipia Ukumbi.Jmn ,kweli huyo anajitmbua?Chalamila ndiyo kabisa !!Fukuzilia mbali wanatuletea umagufuli nani ana shida staili hiyo .Serikali inakumbatia vibaka, mara huyu anabaka,mara huyu analawiti.

    • @albertbunyinyiga7581
      @albertbunyinyiga7581 23 วันที่ผ่านมา

      Sasa hapo magufuli amefikaje jieshimu huyo mtu mwache apumzike

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 23 วันที่ผ่านมา +3

    Tuwe tunapeana taarifa kua siku flani tunakiamsha jamani... Sasa ninyi mnakiamsha pekeenu mbona mnakuwa wachoyo ivo jamani? Me nawatamani sana hawa viongozi yani nawatamani kama nyama yakuchoma.

    • @gazzomaster9462
      @gazzomaster9462 23 วันที่ผ่านมา

      Nakuaminia na ulivo mtata utawaonesha Kenya kua wao pale walikua wanacheza

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 23 วันที่ผ่านมา +1

    Vyombo husika wameshindwa kujua kiini cha migomo hii badala yake wanasingizia masuala ya ushawishi wa kisiasa. Watu wanachodai ni haki!

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 23 วันที่ผ่านมา

    Nafurahia sana hii Hali ili watu wawe na akili na ufahamu.
    Mkiambiwa ccm siyo hamuelewi

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 23 วันที่ผ่านมา +3

    Naamini WATANZANIA kuna siku moja tu wataja amka kama kenya, Na hiyo siku haipo mbali.😅😅😅😅😅😅

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu 23 วันที่ผ่านมา

      mkileta mambo ya kenya mtagongwa kwa mujbu wa shelia

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 23 วันที่ผ่านมา

      Hakuna mtu ataishi milele hapa duniani . Watauwa watagonga wangapi ?​@@YassinRajabu

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 23 วันที่ผ่านมา

      Wewe mshanba kweli mzee...

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 23 วันที่ผ่านมา

      Tena WACHAGA ndo watakua wakwanza kuwasha moto kwenye hii nchi maana wale walisha amkaga zaman sanaa kabla ya watanzania wengine. na nyie mnao jifanya serikali mtaonyeshwa kwamba nyie ni mavi kunuka tu.

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 23 วันที่ผ่านมา

    Ushauri.Yule DC wa Temeke mpe huu mmoa.Chalamila mpe mtaji akalime nyanya Iringa kwao.DC Magoti mpe mkoa Arusha.Makonda ukikosa pa kumpele mpeleke kizuizi panamfaa.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 23 วันที่ผ่านมา

      Shida sio viongozi, fursa iliyoko kariokkoo,haikidhi mahitaji ya raia. Ukumbuke kufunga na kufungua soko uwezekano wa kuondoana kutakotakana kunyanganyana fursa.

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 23 วันที่ผ่านมา

    Acheni ujinga Kama hawataki kufanya biashara na sisi tunayataka maeno hayo tufanye biashara

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph3815 24 วันที่ผ่านมา

    kazi ipoo

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu 23 วันที่ผ่านมา +1

    tunajua nyumayenu kunawana siasa lakini tambueni amani nibola kuliko soko ccm oyee oyeeeeee kidumu chamapinduzi kidumuuu

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 23 วันที่ผ่านมา +1

      Tunatambua nyuma yako Kuna wezi wa jasho la wananchi, tambua amani ya kuibiana ni ushenzi..! Haki yetu Oyeeeeee!

    • @mabondolawrence1812
      @mabondolawrence1812 23 วันที่ผ่านมา

      Kidimuuuuuuuuuuuuuuu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 23 วันที่ผ่านมา

    MagenZ wa Kariakoo sio

  • @majutoomari7445
    @majutoomari7445 23 วันที่ผ่านมา

    Duh huu mwaka ni shida,

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA 23 วันที่ผ่านมา

    Kulikoni tena akariakoo

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 23 วันที่ผ่านมา

    Unatishaje watu kariakoo.Unakalia uchawa.mwaka mtachmba wima.

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 23 วันที่ผ่านมา

    Hii lini mbona Leo nilikuwa hapa crdb vijana sijaona huu umati

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 23 วันที่ผ่านมา

    ngoja tafuneni chuma icho magufuli hayupo acha manyangau watukomeshe😊

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 23 วันที่ผ่านมา

    Sie tupo na furaha za kiiiiiiiii na chama

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 23 วันที่ผ่านมา

    Nani kama mama

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 23 วันที่ผ่านมา

    WATENDAJI OMBENI USHAURI,HILI SI JAMBO LA PHD.

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 23 วันที่ผ่านมา

    Mim kiushaur serekali wajarib kuwasikiz hawa watu nin wanatk ili kazi iendeleee hapa pana tatz kw hawa raiya sio wabaya bali kuna kitu serekal inahis Hakipo saw kw hawa watu ndio inahaki ya kubalidili kile kilichokuw hakipo saw lakini busara itumike zaidi kw mstakabali wa pande zote mbili

  • @HajiSimba-mq7tp
    @HajiSimba-mq7tp 23 วันที่ผ่านมา

    Je hawa wote ni wafanya biashara?au ndio sisi tuofuta msafara wa mamba

  • @IsraelMjita
    @IsraelMjita 23 วันที่ผ่านมา

    Something wrong

  • @NashoniKibuga
    @NashoniKibuga 23 วันที่ผ่านมา

    Waleta fujo

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu 23 วันที่ผ่านมา +1

    nyie Kenge mnavuluga Amani mnajifanya wakenya ee mta gongwa kwa mujbu wa Shelia

    • @YustaMfugale
      @YustaMfugale 23 วันที่ผ่านมา

      Sorry nadhan ni haki kuandamana kwa amani ,,,bila kuvuruga aman ya nchi ,,ila Kam ikitokea vurugu basi serikari inawajibu wa kuwajibika

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 23 วันที่ผ่านมา

      Hao si watoto si wajinga na si wahuni. Kuna jambo hapo

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 23 วันที่ผ่านมา

    Wanashinikizwa na wanasiasa,

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 23 วันที่ผ่านมา

      Hapana tumetoka sokoni kupisha ukarabati baada ya ajari ya moto sasa hivi hawataki kuturudisha wameuza vizimba kwa watu wao

  • @NashoniKibuga
    @NashoniKibuga 23 วันที่ผ่านมา

    Wapigwe hao

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 23 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi dalili hizi sio nzuri hata kidogo tuyamalize mapema haya.Challamila ana kosa gani kwa mnao mshambulia? Namuona kama kijana mmoja anayejitahidi kadri ya uwezo aliojaliwa na Mungu.

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 23 วันที่ผ่านมา

    mnataka haki gani nyie kenge

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 23 วันที่ผ่านมา +1

      Hawa ni Raia sio kenge, sehemu muhimu ya maisha imeguswa. Bila ya watu kula wakashiba ni wabaya kuliko kenge. Swali ukishiba jiulize jirani au ndugu yako kashiba ili nawe ushibe kwa amani yako