Mimi Dr.Prince Katega II nimetafiti na ninao uhakika kuwa, Yesu sio kiumbe na wala hakuwahi kuishi duniani katika mwili.Ni jina la kisa asili. Yesu ni jina la Kigiriki " IESUS CHRISTOS".Issa bin Mariam na Yesu ni vitu viwili tofauti.
Nitaomba juu yako na pia nitaomba tupate walimu wa dini wawe wengi na wawe kama wewe maana umenipa maneno nimepata ujasiri wakusema yesu ni mungu ana uungu ndani yake
Waislamu wanauliza km Yesu ni mungu mbona alipokufa alisema mungu wangu mbona uneniacha . Naomba ujeutufafanulie hio kitu ili uzidi kutujenga katika imani yetu ya kikikristo
yesu.....ni mja wa mungu au tafsir nyengine mtume wa mungu sawa mungu hana baba ana mama na wala ajafanana na k2 chochote......? He said: "I am indeed a servant of Allah: He hath given me revelation and made me a prophet;
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Hakika Mw.Mapima,Danniel,zebedayo,chaka,Kobelo,jasper nawengineo hii ndio timu tosha ya Yesu iwafundishe waislamu kua Yesu ni Mungu wakweli na ndivyo alivyo
Yohan 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20 17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Leonard Gewa: Quruan inamtaja Yesu ni neno litokalo kwa Mungu, Biblia ktk kitabu Cha mwanzo inasema, hapo kale alikuwako neno, naye neno alitoka kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu. Hiyo ni Biblia takatifu. Nadhani wameshapata jibu hao Waislam! kupitia Bible na Quruan!
@Abdulhalim Mohamed :Sibishanagi na wabishi tangu dunia ianze, nna mengi yakufanya, nilichoandika namaanisha mana nimesikiliza kwa utulivu na nimeelewa. Nyie mnafaa mkajifunze kukatana vichwa na kuuana kwa kupigwa na mawe ndo sheria zenu zilivyo! humu au haya ya Yesu muachieni Hamza Issah!
5:37 yohana Baba nae alienipeleka amenishudia,sautiyake haijawahi kusikika wakati wowote wala surayake hamjawahi kuiona !!? Kwa hy usidanganye watu kuwa yesu ni mung
Kwenye kuran katajwapia ni roo wamungu Sasa wakataa nn awo mashetan yawachanganya Kwanza awawezi kutafsir biblia wanna tafsir wanavyo weza Wai kunamajitu ayana imani wakristo wenzetu walivyo kuwa wajinga wanabadilishwa dini Kama njugu wakidanganywa kidogo2 nawasilamu waongo basi wabadilishwa din
Hapo ndo utaona maajabu et mtu amesoma anatetea et yesu Mungu lakini chaajabu yesu wanamsemea Ila yesu mwenye we Hamna maali katka bibilia anapojisemea mwenyewe kama yeye mungu
kuna mtu anaitwa Yussuf Wambugu nenda akusaidie maarifa,inakuwaje neno litangulie kabla ya mnenaji. kawaida ya Allah akileta kitabu natuma na nabii sasa biblia alipewa nabii gani?
Asante sana PR.Mapima kwa mafundisho mazuri.wakristo wamekuwa wakiyumbishwa na wapinga kristo
Mimi Dr.Prince Katega II nimetafiti na ninao uhakika kuwa, Yesu sio kiumbe na wala hakuwahi kuishi duniani katika mwili.Ni jina la kisa asili. Yesu ni jina la Kigiriki " IESUS CHRISTOS".Issa bin Mariam na Yesu ni vitu viwili tofauti.
Aliyeandika hayo maandiko yanayoitwa ya Yohana ni yuleyule Mrumi.Hakuna jina Yesu katika hiyo Johana.
Sisi sote na viumbe wote asili yetu ni ya ki'Mungu.Hata miti,wanyama,wadudu vilikuweko kabla ya Ibrahim.
Biblia ni maandishi ya.haohao waliolitunga jina Yesu
Hiyo yangu ukitak iite Kategaosis
Issa sio Yesu
Nimekuelewa kamanda.
Mtumishi wa Mungu uko vizuri ubarikiwe sana nawezaje kuputa cd au flash za haya masomo yako maana yamenibariki sana nami ni mwanafunzi theologian
Barikiwa mchungaji wangu umenibariki sana
Tumeenda sawa mtumishi ufafanuzi mzuri yesu aliwepo kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu
Vema saana pr. Mapima. Razima Kweli ifunuliwe kwa hari yoyote. Barkiwa sana mtu wa Baba.
Nitaomba juu yako na pia nitaomba tupate walimu wa dini wawe wengi na wawe kama wewe maana umenipa maneno nimepata ujasiri wakusema yesu ni mungu ana uungu ndani yake
Daaa tungepata walimu kama wewe wengi wengi ingekua vizuri kweli yani,
Ukitaka kujuwa kwa nn yesu kasema hivo anza juu ndo Utajuwa kwa nn kamanisha hivo
Mchungaji kweli neno laweza kumtangulia mnenaji
Waislamu wanauliza km Yesu ni mungu mbona alipokufa alisema mungu wangu mbona uneniacha . Naomba ujeutufafanulie hio kitu ili uzidi kutujenga katika imani yetu ya kikikristo
yesu.....ni mja wa mungu au tafsir nyengine mtume wa mungu sawa mungu hana baba ana mama na wala ajafanana na k2 chochote......?
He said: "I am indeed a servant of Allah: He hath given me revelation and made me a prophet;
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
ubarikiwe sana mwalimu
Waambie awo wamezidi kutuchafua kumchafua yesu2 waambie awo
ubarikiwe pastor Mapima
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Barikiwaaa
Maandiko yameandikwa na nani? Sisi wote tuko na asili ya ki' Mungu maana sote tumeumbwa na Mungu.I wish niipate contact ya huyu Mwalimu.
Kwa sababu Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja mwanadamu Kristo yesu.Timothy 2:5
Mungu ni roho c mwili elewa unacho fundishwa Yoh 1:14
Naomba ufafanuzi juu ya wale wanaosema Yesu hakufa
Quran yao ndio ina sema hakufa
Hakika Mw.Mapima,Danniel,zebedayo,chaka,Kobelo,jasper nawengineo hii ndio timu tosha ya Yesu iwafundishe waislamu kua Yesu ni Mungu wakweli na ndivyo alivyo
mungu gani anakufa? na mungu hana tabia ya kubadilika badilika soma bible vzr.......? mbna sehem nyengine asomi
Masikini upotevu hatari
Yohan 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20 :17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yohana 20 17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Mapima nakukubali aswa uyo anojiita mzinge kaziyake kuchafua ukristo2 mwambie mazinge nifala ajui biblia
Kwanza Hilo jina mazinge kikwetu matusi makubwa kwahyo happy alipo Hana jipya
hallelujah
Yesu alisali vp alipo kuwa hapa dunian? Maana kila dhehebu wana namna yao ya kusali. Maandiko yanasemaje? Tafadhar tusaidie
Ww tupe andiko moja tu pale yesu alipo sema mm ni Mungu wacha mazungumzo mingi mandiko ndo tunataka
mimi ni msifu wa yesu?
Utupe majibu
Leonard Gewa: Quruan inamtaja Yesu ni neno litokalo kwa Mungu, Biblia ktk kitabu Cha mwanzo inasema, hapo kale alikuwako neno, naye neno alitoka kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu. Hiyo ni Biblia takatifu. Nadhani wameshapata jibu hao Waislam! kupitia Bible na Quruan!
@Abdulhalim Mohamed:Kama mpaka hapo bado hujaelewa tu itakuwa una tatizo kubwa, na kama siyo pepo!
@Abdulhalim Mohamed :Sibishanagi na wabishi tangu dunia ianze, nna mengi yakufanya, nilichoandika namaanisha mana nimesikiliza kwa utulivu na nimeelewa. Nyie mnafaa mkajifunze kukatana vichwa na kuuana kwa kupigwa na mawe ndo sheria zenu zilivyo! humu au haya ya Yesu muachieni Hamza Issah!
Amina
mifano mizuri sana lakini at the wrong place
5:37 yohana Baba nae alienipeleka amenishudia,sautiyake haijawahi kusikika wakati wowote wala surayake hamjawahi kuiona !!? Kwa hy usidanganye watu kuwa yesu ni mung
@@rajabukassim9891 ukiamn amn uspoamn acha hatukupg kwa mawe usiogope njia yako uliyopo itakupga
QURAN yetu hatutaki ongeleeni UKAFIRI wenu2
Kwahyo we mungu hata tukuogope? na majin yenu kwenda huko
wewe punguani wa akili kilaza wa maisha
Watu wangu wamekuwa kama kondo walio pote na wachungaji wao wamewapoteza
Sorry hapo mwanzo na siyo kale!!!
Hauna maajabu😏😏😏 ndo yaleyale
Kwenye kuran katajwapia ni roo wamungu Sasa wakataa nn awo mashetan yawachanganya Kwanza awawezi kutafsir biblia wanna tafsir wanavyo weza Wai kunamajitu ayana imani wakristo wenzetu walivyo kuwa wajinga wanabadilishwa dini Kama njugu wakidanganywa kidogo2 nawasilamu waongo basi wabadilishwa din
Huna lolote ulilo nalo ispokuwa dalili za kipagani pagani tu bass
Utawaongopea wenye uelewa mdogo
Kwa hy yesu ndoalimuanzisha meanadam
Hapo ndo utaona maajabu et mtu amesoma anatetea et yesu Mungu lakini chaajabu yesu wanamsemea Ila yesu mwenye we Hamna maali katka bibilia anapojisemea mwenyewe kama yeye mungu
Ww usemiyako yashetan kulala misikitin nakusoma mashairi2 kwataarifa yako yesu kafanya miujiza 11 muamad kafanya mangap Zaid yauchaw2
kuna mtu anaitwa Yussuf Wambugu nenda akusaidie maarifa,inakuwaje neno litangulie kabla ya mnenaji.
kawaida ya Allah akileta kitabu natuma na nabii sasa biblia alipewa nabii gani?
Sasa yy mwenyewe neno alafu wataka kitabu? Hakka sio ww ila Ni hilo jini ulilonalo linalokupelekesha usiamn ili ukaokolewe