WAZAZI, KUPELEKA WATOTO PRIVATE SCHOOL NI ULIMBUKENI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 85

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 13 วันที่ผ่านมา +4

    Wachokonozi mkojuu kileleni ata uku kenya tunawapata vzuri sana

  • @EliasOrgWanda
    @EliasOrgWanda 13 วันที่ผ่านมา +3

    Nawafungua sana makufuli vichwani....nazidi kukuza famialia ya wachokonozi....apa MS

  • @NassibAthuman-v3c
    @NassibAthuman-v3c 8 วันที่ผ่านมา

    Nakubali sawa miamba ya africa mnatuludisha kwenye mstali

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 13 วันที่ผ่านมา +2

    Jana nimepita shule moja ipo karagwe, inaitwa Rwambaiz aiseee nilichokiona ni aibu tupu, maharage na ugari niliouona pale ni mbaya kuliko ule wa magereza, aiseee nimehuzunika sana…

  • @JustineMochama-cb5jl
    @JustineMochama-cb5jl 14 วันที่ผ่านมา +4

    Kutoka Nairobi, Niko Ndani Ni kuchokonoa maswala tata

  • @IsayaJoseph-v3s
    @IsayaJoseph-v3s 14 วันที่ผ่านมา +5

    Sikiliza na uelewe usisikieetu. Binafsi nawaelewa sana wachokonozi

  • @OscarMgulisi
    @OscarMgulisi 9 วันที่ผ่านมา

    Wataelewa tu.. tuko pamoja 👍👍

  • @DavistaOne
    @DavistaOne 14 วันที่ผ่านมา +15

    Ni wachokonozi pekee wanao nifanya nije TH-cam kupata madini kwa ajiri yangu na jamii yangu, shukran sana kwa kutupa uelewa

    • @SuzanSibale
      @SuzanSibale 13 วันที่ผ่านมา

      Hata mm

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 14 วันที่ผ่านมา +3

    MB haziendi bure aaiissee 💪

  • @paschalcharles3617
    @paschalcharles3617 14 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi huwa nashaangaa mtoto ana miaka mitatu eti ameshaanza shule ya awali prepo 1na 2 sijui na 3 mimi nilishasema hayo ni matumizi mabaya ya PESA mtoto wangu atasoma chekechea akiwa na miaka 6 mwaka wa 7 aende shule ya msingi

  • @HeliudKasonso
    @HeliudKasonso 14 วันที่ผ่านมา +2

    Oyaee oya oyaaae hii imekaa good Dah nimewaerewa kinyama

  • @kakuzekakuze7564
    @kakuzekakuze7564 13 วันที่ผ่านมา +1

    nmekuja nahuku😂😂😂😂

  • @rosehappy2395
    @rosehappy2395 4 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤Safi kabisa

  • @Mabokitz
    @Mabokitz 14 วันที่ผ่านมา +3

    LINUSI NDIO MCHOKONOZI 😂😂

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 14 วันที่ผ่านมา +4

    Wakwanza leooooo😂😂

    • @KennedyMwalyolo
      @KennedyMwalyolo 14 วันที่ผ่านมา +1

      Au cio

    • @IsakoKino
      @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา

      Mrindoko atakupa soda

  • @YamusahSudy
    @YamusahSudy 13 วันที่ผ่านมา +1

    wachokonooozi ninyi niwataalamu wamambo kweli

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 13 วันที่ผ่านมา +1

    🔥🔥👌

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 14 วันที่ผ่านมา +1

    Wasema kweli

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 14 วันที่ผ่านมา +2

    Umeliona hili eeee, Mimi NIMEONA kitambo, hamna Cha maana private zaidi ya LUGHA ya kiingereza ila content yote ni vile vile na serikali

  • @Manunhya
    @Manunhya 13 วันที่ผ่านมา +1

    LKn mlisema hmtak wafuas ila mm niko na ninyi

  • @ngayeempire7292
    @ngayeempire7292 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mitano tena wachokonozi

  • @ShamteMatola
    @ShamteMatola 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapata wazee

  • @titusjuma3852
    @titusjuma3852 14 วันที่ผ่านมา +1

    ati wakitoka huko waishi maisha private kitaa pia😂😂😂❤❤❤❤❤254

  • @Manunhya
    @Manunhya 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ila wazazi et shule flan ina faulisha chaajabu mtaara 1

  • @charlesmhindi2817
    @charlesmhindi2817 14 วันที่ผ่านมา +3

    Classmate wangu aliye kuwa mwalimu wa private school alinambia hichi kitu kwamba private school wanafunzi wanatengenezwa tu wala hakuna elimi

  • @kasimur9422
    @kasimur9422 14 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤ always

  • @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
    @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg 14 วันที่ผ่านมา +2

    Nipesa tu private na majengo nilishawaikufikiria hili kwann private azifunzi mpira, music,ufindi mbalimbali hakuna nafrai kujazia maarifa toka kwenu

  • @amielraphael2927
    @amielraphael2927 7 วันที่ผ่านมา

    😂😂 shopping Saikoloji,hii imefanana kidogo na mfano wa wana wali wapumbavu waliotoka kwenda kununua mafuta ya taa zao pindi Bwana harusi anaingia,Matokeo yake wakafungiwa nje.

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 14 วันที่ผ่านมา +1

    Asanteni kwakuendelea kutoa huo ukweli mchungu 😂

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wazungu hawataacha kutuburuza kwa maana wao wanatuuzia Lugha yao sisi wakija tunawashobokea tunawafundisha bure. Matokeo wanapewa kwenye bahasha wakafungulie nyumbani hapo kila mtoto hatavuka ktk nafasi ya 5. Jaribu siku uombe matokeo yanayoenda wizarani uone mwanao anavyoburuzwa na watoto wetu wanaosoma kidumu na mfagio

  • @DavistaOne
    @DavistaOne 14 วันที่ผ่านมา +2

    mdogo wangu analipiwa kwa mwaka m7.6 , ye Ameomba Ada ya mwaka mmoja aanze biashara wasimlipie miaka miwili hii ipo sawa?

  • @VenasKarol
    @VenasKarol 14 วันที่ผ่านมา +1

    👍👍👍👍

  • @jacksonwaitoro7920
    @jacksonwaitoro7920 14 วันที่ผ่านมา +1

    watatu leo

    • @IsakoKino
      @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา +1

      Utapewa bando na mrindoko

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 14 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂punguzeni sauti ndo tushawapeleka hatuna namna

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 14 วันที่ผ่านมา +1

      Unachofanya wewe ni matumizi mabaya ya PESA TU mtaala ni ule ule Bora ungempeleka sandekayumba tu😂

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@paschalcharles3617 nimekuwa kujua Hilo badae na shida nyingine kukosa mwenza aliye sahihi mmoja nimenyoa mwingine ngoja aendelee mwakani arudi kayumba, kabisa kumpeleka watoto private no ujinga

  • @EmmanuelNkya-w7u
    @EmmanuelNkya-w7u 14 วันที่ผ่านมา +1

    💪💪💪💪💯

  • @SimonShoo-m4b
    @SimonShoo-m4b 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli kila unachowekeza kinatakiwa kikuzalishie apa ndio narudi kwenye mawazo ya yule mzee kishimba anayotoaga bungeni asee mko sahihi

    • @IsakoKino
      @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา +2

      Sio Kila kitu una sapoti fikiri kwanza je kama mtoto ana umri mdogo utampa kaz gan

    • @SimonShoo-m4b
      @SimonShoo-m4b 14 วันที่ผ่านมา +2

      @IsakoKino mzee wewe undoka kwenye hio akili ya kimaskini ulionayo dunia iko mbali sana kiasi kwamba ww ni toleo la mwisho

  • @jamuuhaman-ed2ij
    @jamuuhaman-ed2ij 12 วันที่ผ่านมา

    duuh bila nyie tusingejuah dini na elimu vinatungiza kwenye mifimo ya watu

  • @diibabatz764
    @diibabatz764 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mtanifundisha utune mbwa nyie 😂😂

  • @crecknerz5661
    @crecknerz5661 14 วันที่ผ่านมา +1

    ✅✅✅✅✅

  • @MathaMsumi-l1b
    @MathaMsumi-l1b 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mm mwanangu ana miaka ni 4 chekechekea teyale hapend shule 😂😂

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 13 วันที่ผ่านมา

      Kbs yaan ila tunawafos tu

    • @SharyMary-s8t
      @SharyMary-s8t 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 hatar sana

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nikweli kuhusu mtawala waelim yenyemajukum wakuubadilisha ni wananchi sirikali haitokaiweze kwasababu sikaliyetu inawaenzi wakoloniwao

  • @IsakoKino
    @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา

    Leo sjawaelewa kwakwel

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli watoto hawapendi kwenda shule, hayo maamuzi tunaita " normative decision"

  • @bazzohtv9488
    @bazzohtv9488 14 วันที่ผ่านมา +7

    Privet school zinafundisha watoto ku kalili maneno ya kingereza na sio wasomi

  • @lambomayenga6151
    @lambomayenga6151 11 วันที่ผ่านมา

    Wachokonozi kwa hili mmechemka kwami elimu ya bure haina maana yoyote. Nay wa Mitego AMKENI

  • @giftmbowe4348
    @giftmbowe4348 14 วันที่ผ่านมา +1

    Dah leo nimechelewa dakika 10

    • @IsakoKino
      @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kesho uwahi mrindoko atakupa bando la wiki

    • @LoneWolf-ng8yg
      @LoneWolf-ng8yg 14 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 12 วันที่ผ่านมา

    haka ka jamaa kanako muhoji mchokonozi ni kanafiki sana we kuamakini kaangalie tu macho yake, kuna muda kanajifanya kama kanamuuliza swali ambalo lina pinga mawazo ya mchokonozi kumbe kapo pamojanae alafu kana itikia tu, eti mhhh mhhh mhhh.🤣🤣🤣

    • @nelsonmgaya1490
      @nelsonmgaya1490 11 วันที่ผ่านมา

      Kananogesha uchokonozi!

  • @BernadoMayala
    @BernadoMayala 14 วันที่ผ่านมา +1

    Joseph mrindoko natamani ugombee URAIS

    • @IsakoKino
      @IsakoKino 14 วันที่ผ่านมา

      Mpe urais

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 14 วันที่ผ่านมา

      Ameshakwambia hataki dini Sasa Kuna serikali bila dini

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 14 วันที่ผ่านมา

      Alafu awe.Rais wa familiayenu😂

    • @rosehappy2395
      @rosehappy2395 4 วันที่ผ่านมา

      We tutaishi kama mbuzi akae Tu hukohuko 😂😂 huyu mtata Sana

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi 14 วันที่ผ่านมา +1

    Gombea ulaisi ubadirishe mitazamo yawatu

  • @JamilaYusuph-l7b
    @JamilaYusuph-l7b 14 วันที่ผ่านมา +1

    Magufuli wetu

  • @TonyKambale-f6g
    @TonyKambale-f6g 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nikweli watoto hawapindi shule

  • @MuganwaPatrick-jy3fx
    @MuganwaPatrick-jy3fx 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi ninaendaga shule Kwa sababu ya demu Wangu na marafika zangu na kucheza mpira Ila siendagi shule Kwa sababu ya Kusoma naishi marekani

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 14 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa nini sasa

    • @MuganwaPatrick-jy3fx
      @MuganwaPatrick-jy3fx 14 วันที่ผ่านมา

      @Catherine-mh8sw kwa sababu ya my future wife 😂😂

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 14 วันที่ผ่านมา

      @MuganwaPatrick-jy3fx yani nimecheka mie. Kusoma hutaki unafata demu na mpira tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 14 วันที่ผ่านมา

      @@MuganwaPatrick-jy3fx Marekani sehemu gani unakaa

  • @jumatheo5937
    @jumatheo5937 14 วันที่ผ่านมา +1

    Tuliopeleka watoto tupo wengi,Hadi Baba zenu😂😂😂!!!

    • @WilliamKyando-u3z
      @WilliamKyando-u3z 14 วันที่ผ่านมา +1

      Sio kosa kupeleka ila isiwe kwa mkumbo ndio kinacho zungumzwa

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 14 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kweli wengine mikumbo

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 14 วันที่ผ่านมา +2

      Mm nimekataa wangu yupo serikali ila ukimleta wako wa private anagaragazwa mavumbini.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 14 วันที่ผ่านมา

      @@mwasoprince3459 kweli eee!

  • @Polycarpmathias-r2j
    @Polycarpmathias-r2j 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe mbona ulisomeshwa ikizu unamaanisha wazazi wako walikuwa wajinga kukusonesha huko ikizu?.

    • @noelgypsum
      @noelgypsum 13 วันที่ผ่านมา

      Kwani wazazi hawawez kuwa wajinga? Maana hata wewe ulivyo mjinga unaweza kuzaa kesho, unadhani ukizaa ujinga unaisha?

  • @lambomayenga6151
    @lambomayenga6151 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu awasamehe nyinyi. Hamjui mlitendalo. Kama NI kiingereza mbona hata Kiswahili shule binafsi za mfumo wa kiingereza huwa zinaongoza? Mlienda shule laki ni hamkusoma. Watoto wenu watawatumikia watoto wa hawa mnaowatukana. Sikilizeni wimbo wa Nay wa Mitego wa NITASEMA.

  • @AkaroNdungu
    @AkaroNdungu 13 วันที่ผ่านมา

    Naona wachokonozi wanaongea kuipamba serikali hamna cha maana walichoongea stupid shenzi kabisa😂😂

  • @AbuuKhamisi-k4d
    @AbuuKhamisi-k4d 14 วันที่ผ่านมา +2

    𝕍𝕚𝕫𝕦𝕣𝕚 𝕤𝕒𝕟𝕒 𝕜𝕒𝕜𝕒✅

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 13 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa jamaa ni wajinga

    • @YalucLileZairois1643
      @YalucLileZairois1643 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kama niwajinga wewe utakuwa nani? 😂😂