Bwana yesu yuko mbioni kuchukua kanisa hakika kile kilichonenwa kwenye biblia takatifu ni dhairi na ni hai. wale wasio itiii sauti ya mwnyezi mungu na shauri lake wataangamia, ewe mchungaji usietakaswa ila uliepotoka nawe mvua ya hukumu ya bwana yesu kristo na ikupate. na maneno haya bwana yesu yatie muhuri amen
Hivyo vitabu vyoooote ni starter tu... Engine nzima ni hii hapa. “Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. ” - Yohana 16:13 (Biblia Takatifu)
Vitabu vyooote mwishonwake inatakiwa uwe na UPENDO...vilikuja huku duniani kwa lengo moja Mwanadamu awe na UPENDO Tu... Mungu ni pendo. kweli ni neno la Pendo. “Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii. ” - Mathayo 22:40 (Biblia Takatifu) Viwepo vyote viwepo vichache Mwenye Upendo ana vitabu vyoooote..
“Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. ” - Yohana 16:13 (Biblia Takatifu) Hakusema itakapokuja biblia ya Ethiopia
@@EriyaRichard Henoko amenenwa kama nabii ktk biblia, na kutwaliwa na Mungu kwa sababu ya imani yake, hata Yuda mtume wa Yesu ameongea habari zake pia, na zinaaminiwa maana zinatoa ufafanuzi zaidi na kwa kina wa yaliyomo ktk biblia halisi, si kwamba hayamo kabisa, mfano habari za majitu, malaika walioasi, na wanefili hayo yote yapo kwny biblia halisi, ila Henoko ameeleza kwa upana zaidi. Hakuna kilichomo ktk kitabu cha Enoch ambacho hakipo kwny vitabu 66.
Baba baba naomba ujumbe wangu baba ukufikie mimi nimuumini wako nipo geita naomba baba nipate ata msaaba wakufika apo kanisan natamani namimi nishiliki ibada pamoja naww baba wewe ndie mungu kakutea kusema ukwer baba naomba baba
Bwana yesu Baba baba naomba ujumbe wangu baba ukufikie mimi nimuumini wako nipo geita naomba baba nipate ata msaaba wakufika apo kanisan natamani namimi nishiliki ibada pamoja naww baba wewe ndie mungu kakutea kusema ukwer baba naomba baba
Watumishi wengi hawasemi haya.asante sana GD hapo uko sawa ukweli upo na Mwenye nguvu za asili Yupo Muumba wa vyote vionekanavyo na visivyoonekana safi sana
@@maxmillanayo2979unajua kitabu Cha ufunuo wasinge weka wangeweka kitabu Cha Enoch maana kitabu Cha Enoch imejaa vitu vingi zaidi kuliko kitabu Cha ufunuo
@@danieljoram8533 neno la MUNGU ni amri KUU 2, ukizitendea uaminifu, huhitaji kuhangaika na habari nyingine, mfano! Habari ya daudi, kumpiga Goliath, na daudi kuowa wake 300, hizo habari hazina tija kwa nyakati hizi za YESU KRISTO, maana nyakati hizi sio za Israel taifa la MUNGU la kale,,na mataifa waabuduo sanamu na miungu wageni, kwa sasa kila, aliempokea KRISTO kwa kabila zote na mataifa yote atafanyika kua Israel.
Mungu ni Mungu muweza wa yote ,hivyo vitabu Mungu hakushindwa kuviweka wazi kwa uwezo wake ,kama maandiko yalifukuliwa hata ardhini na kwenye mapango lakini vikalindwa Hadi nyakati zilizoamriwa ndipo tukapata Biblia ilio njema na ufunuo imeonya kuongeaza lolote na kupunguza lolote na hiyo ndio muhuri ya Mungu .ila tuu Ethiopia sii mbinguni kwa hiyo hata wao sii zaidi ya mitume na manabii kwamba Kuna ukweli ,(hizi ni siku za mwisho walimu watakua wengi Sana na lengo kupotosha watu wasiingie mbinguni ) Mimi kwa ushauri wangu wanawake huko waache mapambo ya Yezebeli na wakae kama Mungu alivyowaumbwa bila hivyo hukumu ya Mungu itachukua nafasi yake 1petro 3:3-5 na Mwanzo 35:1-5
Kuna kitabu kimoja tu cha uzima. Yaani kujifunza tabia ya Uungu ili uishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu. Vinginevyo ni upagani na kukosa ufahamu wa Mungu.
Hivyo vitabu tunavifahamu vyuoni na pia tunajua ni vizuri lakini havina uhai kama vile 66 tulivyo navyo! Watakatifu wa kale kwa kuongozwa na Roho wa Mungu walitenga vile 66 kwa kuwa vinatimiza Makusudi ya Mungu kwa binadamu! Kwa hiyo mzee katika utafiti wako hakuna kipya ulichokileta!
Hicho kitabu chako og kipo Vatican😂😂😂 na mtume amesema yy si kiroja miongoni mwa mitume hajui atakacho fywa yy wala mtakachofanywa nyinyi mnaofuata 😂😂😂harafu yupo kaburi na yesu you juuu
@zeddybass6672 mhmm huo ujinga wako tu kuwepo kipo duniani kote ila ni kile kile hakina shaka ndani yake haijawahi kuongezwa hata nukta moja wala kupunguzwa
“Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa. ” - Yohana 21:25 (Biblia Takatifu)
Umeongea vzr lakini Kuna vitabu wame vitoa mm ninavyo huku Mbeya vili takiwa viwekwe kwenye Biblia ya kawaida tena vina vitu muhimu kuliko hata vitabu vilivyopo ndani ya Biblia ya kawaida
@@EriyaRichard Nini Sasa kiliko jipya kuliko Bibilia la kawaida? Lile la maana si nikujua Mungu, vile aliumba Dunia, vile alimtoa mwanawe Yesu,,vile tunafaa kumkubali Yesu kama mwokozi wa maisha yetu. Nini ingine cha maana Sasa?
@mutuasteve2179 Kuna vitu vingine vya kuitawala dunia kama mtoto wa MUNGU hapa duniani na ufanikiwe vime fichwa havipo mule ndiyo maana kanisani waumini wengi maisha magumu ukienda kwa waislam masheli makubwa yote Tanzania Wana miliki wao wakristo wao Wana miliki vibanda vya mama nitulie na wauza vipodozi biashara za kuingiza pesa nyingi wao hawafanyi manake Kuna material hawna watu Hawa kuhusu Mungu WAO ndiyo hapo Sasa ukija kwangu mm nili mwambiaga MUNGU mm nataka nifanikie hapa duniani na mbinguni niingie kwaiyo lazima nitafte maarifa kokote yaliko jifichi kuishi kwa imani2 peke yake hakutoshi.
@@mutuasteve2179 ni muhimu kuwa na maarifa zaidi ndiyo maana kwenye Biblia haioneshi Ili watu wawe na nguvu za kiroho za kupitia kawaida Wana bidi wafanyaje Biblia inasema watu wafunge na kuomba waombea Nini watu wawe watakatifu ndiyo wata kuwa na nguvu mbona Kuna watumishi wengi2 hawana nguvu kwaiyo ndugu yangu Biblia siyo mwisho wa maneno ya MUNGU ndiyo maana Kuna Roho Mtakatifu
Ayo makofi umempigia shangazi yako😊 mpigie yesu,,,na kelele za shangwe je😊,,,skizeni mm naskiliza maneno yake,napenda,,,we kama unafokas na pesa zake kapataje ilo ni tatizo lako binafsi ndomana mpaka leo uko apo unawaza uchawi usiouona,,,we kama humpend acha ata kuview bas,, video umu yutube ziko nyingi tafta ata muvi uliyoiona rudia,,,mnataka kusema huo umati uliojaa hapo hao ote mazuzu ao,,,kwani hawasikii yanayoendelea
Mimi napenda mahubiri yako. Ni mtu unayepembua sana mambo. Tofauti na wengine wanahubiri mapokeo tu. Mimi ni mwalimu wa sekondari hapa mbonea Dar es salaam. Naridhika sana na mafundisho yako. Ni nabii ambaye uko so deep kiroho. Una elimu ya kutosha sana ya mafundisho ya kiroho. Ubarikiwe sana sana sana. Wchungaji watakapokusikiliza watasema wewe siyo wa kiroho kwasababu wengi wanakariri vitu tu huku hawafanyi utafiti wowote kujua mambo. Naridhika sana na wewe nabii. Big up sana.
@@yohanaminga5638 kwani hii biblia aijitoshelezi??alafu unataja na jina kabisa kwa kujiami,hii biblia kila unalotaka lipo humu,hivyo vingine ni wapi iliandikwa vinapatika ethopia
Pole Sana mwalimu kabisa na elimu yako unadanganyika na wahuni wapigaji na wanao peleka watu kuzimu.Kama kweli umeokoka unajipoteza Kama hujaokoka no sawa tu endelea
Bibilia inasema katika kitabu cha ufunuo 22:18 namshuhudia Kila mtu ayasikiae maneno ya unabii wakitabu hiki mtu yoyote akiyaongeza mugu atamwogezea hayo mapigo yalio andikwa katika kitabu hiki namtu yoyote akiodoa lolote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki mugu atamwondolea sehemu yake katika ule muti wauzima nakatika nakatika Ule mji mtakatifu ) jamani muwe making na hizo bibilia mnazoletewa hatakuzimu wameleta hizo jamani muwe makin hizi ninyakati zahatari
💖🙌💖jezus help mij totaal bevrijding..ik hoor de heiligegeest niet...ik hoor al van december..dat ik apostel k⚘️thryn moet los laten....ik krijg zoooo fel pijn als ik buiten kom...help mij ik hoor bij jezus❤amen ❤
Nabii mkuu inapaswa ujue kwamba sisi hatusherekei siku lakin tuna sherekea kuzaliwa kwa kristo na katika Mwaka tumechagua tusherekea tarehe 25/12...Napia hakuna cku inayomilikiwa na miungu yoyote labda kwa mtu anae hiamini miungu hio sababu Mungu ndie aliziumba cku zote na aliona vema kuwepo kwa cku zote na ckuzote ni za bwana yan dunia na vyote vilivyomo ni mali yake
Sija wai kuja kusali hapo ngurumo L akini wewe ni wamuimu sana maana Kuna wachungaji wengine ni wabishi sana kuelewa wewe ni baba unae jua mambo kwa uwazi kuliko Hawa wengine hawaju ata Kenya awajafika ila ni wabishi sana
From Burundi. SASA TUNASOMA KITABO KILICOTIWA MUHURI , SIO BIBILIA TENA. KAMA JINA LA MUNGU LILIBADILIKA KWENYE AGANO LA KALE KUTOKA KWENYE JEHOVA, LIKAWA YESU, NA SASA PIA LIMEBADILIKA KUTOKA YESU KRISTO KWENDA MUNGU MWENYEZI KUPITIA KAZI MUPYA IKO INATENDEKA SASA NAE .
Rehema gani hapo mbona mm ninacho kitabu Cha Enoch na kitabu kingine lakini havikuwekwa vina vitu muhimu Sana kuliko vitabu vilivyo wekwa kwenye Biblia mfano Kuna kitabu Cha Enoch kina zidi ufunuo
Hawa watumishi wamejaa hapo kupokea udaku coz wamejaa marangi kwa midomo Yao na Mungu amekataa Mwanzo 35-3-4-5 Pete za masikio ni miungu soma kifungu hiki
Point of correction mfalme wa uingereza (King James) hakuandika Biblia aliwaambia wasaidizi wake waitafasiri Biblia iliyokuwa imeandika kiebrania iandikwe kiingereza, Biblia hiyo ilitafasiriwa ikakamilika mwaka 1611, kwa kuwa yeye ndiye aliyeagiza kazi hiyo Biblia hiyo ikaitwa King James Version.
GD 🤗the Great ,,amekubali kupigana na kanisa...😂😂😂hapa mafarisayoo watampiga vita ya htarii🤪ukion ty mty analeta kamdomo ujue 🤌🏽ndo farisayo mwenyeweee..,
Baba umeshapata mafanikio makubwa sanaaaa.nisamehe kama nitakuwa siko sawa,kama wapo wapotoshaji ulionao ushirika nao achana nao maana unachokiongea hapo ni neno la uzima mtupu Pepo utaiona kwa hakika
Jaman mnapata wapi ujasili wakumtukan mtumishi wa mungu kumbukeni kuwa mungu katuambia tusihukumu tusije nasi tukahukumiwa kwan hata unaona mtumishi anamakosa yupo aliyemuita samahan
Mtumishi wa Mungu yupi anafanya utafiti Hana hata roho mtakatifu waku mwongoza nilifikiri Mungu kamwambia kumbe utafit anapata wapi ujasiri waku jiita nabibi Yesu akasema haoniviongozi vipofu
Asante sn kwa Mafundisho na Ufumbuzi huu wa Ethiopian Bible 88. Mengi tume fichwa Baba. Natamani nisikilize Vitabu 22 kutoka kwko. Asnte Barikiwa sn.
Bwana yesu yuko mbioni kuchukua kanisa hakika kile kilichonenwa kwenye biblia takatifu ni dhairi na ni hai. wale wasio itiii sauti ya mwnyezi mungu na shauri lake wataangamia, ewe mchungaji usietakaswa ila uliepotoka nawe mvua ya hukumu ya bwana yesu kristo na ikupate. na maneno haya bwana yesu yatie muhuri amen
Yesu hakuja kuangamiza...Je wewe hayamawazo umeyatoa wapi?😊
@@juxtin6o soma ufunuo 6 na wewe .na ufunuo 8 yote,acha kupotoka
Mungu amekuanika wazi
Kuna mengi sana yamefichwa....
Tumekaririshwa kuwa waoga,ati itakuwa dhambi kuchimba kuhusu imani oooh tutamkosea Mungu si kweli...
@@RithaPhellan-qw3uh kwahy wewe unapingana na Biblia au unapingana na Neno la mungu kwamba linajitosheleza?
@@RithaPhellan-qw3uh tupe neno linalokuruhusu hivo,mawazo yako si ya kiMungu
Uyu anajuwa kuwa anawapotesha mwisho ametumia fumbo amini mungu vile unamuamini shika sana ulichonacho hakili kichwani hapo.
🎉hiiiiiii tatiso sasa mpinga kristo uyo Katia timu
Hivyo vitabu vyoooote ni starter tu... Engine nzima ni hii hapa.
“Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
”
- Yohana 16:13 (Biblia Takatifu)
Biblia hii tuliyo nayo Kuna maneno mengi hayapo mm ninacho kitabu Cha Enoch kina vitu vingi Sana na uhalisia wa Mungu kuliko ufunuo umezidiwa
@@EriyaRichardnisaidie nikipate kitabu cha enock nakitafuta
Vitabu vyooote mwishonwake inatakiwa uwe na UPENDO...vilikuja huku duniani kwa lengo moja Mwanadamu awe na UPENDO Tu... Mungu ni pendo. kweli ni neno la Pendo.
“Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.
”
- Mathayo 22:40 (Biblia Takatifu)
Viwepo vyote viwepo vichache
Mwenye Upendo ana vitabu vyoooote..
“Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
”
- Yohana 16:13 (Biblia Takatifu)
Hakusema itakapokuja biblia ya Ethiopia
@@EriyaRichard Henoko amenenwa kama nabii ktk biblia, na kutwaliwa na Mungu kwa sababu ya imani yake, hata Yuda mtume wa Yesu ameongea habari zake pia, na zinaaminiwa maana zinatoa ufafanuzi zaidi na kwa kina wa yaliyomo ktk biblia halisi, si kwamba hayamo kabisa, mfano habari za majitu, malaika walioasi, na wanefili hayo yote yapo kwny biblia halisi, ila Henoko ameeleza kwa upana zaidi. Hakuna kilichomo ktk kitabu cha Enoch ambacho hakipo kwny vitabu 66.
Baba baba naomba ujumbe wangu baba ukufikie mimi nimuumini wako nipo geita naomba baba nipate ata msaaba wakufika apo kanisan natamani namimi nishiliki ibada pamoja naww baba wewe ndie mungu kakutea kusema ukwer baba naomba baba
Bwana yesu Baba baba naomba ujumbe wangu baba ukufikie mimi nimuumini wako nipo geita naomba baba nipate ata msaaba wakufika apo kanisan natamani namimi nishiliki ibada pamoja naww baba wewe ndie mungu kakutea kusema ukwer baba naomba baba
Msikilize vizuri hayo anayo ongea sio Mungu kamwambia Bali kafanya utafiti kuchunguza vitabu Hana hata Roho mtakatifu waku mjulisha
Sawa nakubali by hivo havijavuviwa na roho mt.
Nani alisema havija vuviwa na roho mtakatifu?
Roho mtakatifu ni nani?
Watu awapendi ukweli 😅. He’s right
Watumishi wengi hawasemi haya.asante sana GD hapo uko sawa ukweli upo na Mwenye nguvu za asili Yupo Muumba wa vyote vionekanavyo na visivyoonekana safi sana
Kuna mtu mmoja anaitwa Gino Jennings ni mchungaji mtu mweusi wa marekani,anasema hakuna Jina la kitabu Cha mungu kiitwacho biblia ni holly scriptures.
Nimekwelewa mtumishi
“Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
”
- Yohana 16:12 (Biblia Takatifu)
Manake yapo kwenye kitabu cha ufunuo
@@maxmillanayo2979unajua kitabu Cha ufunuo wasinge weka wangeweka kitabu Cha Enoch maana kitabu Cha Enoch imejaa vitu vingi zaidi kuliko kitabu Cha ufunuo
Endelea mistari inayofuata basi mbona umeishia njiani
@@dennissiriwa2233
Kila neno kila sentensi inaujumbe wake.. hatusomi kama kitabu cha historia..
@@thomasmchau9862ndomana hata kanisan hamafundishwi bible literature ukijua Hilo utajua Ving
Major prophet....
Nimeipenda hiyo😊
Nampenda hivi baba,Asante Kwa maarifa.🎉🎉🎉❤❤🕊️🕊️🕊️🦅🦅🦅👌🏼
@@AnethMasaki-c5f Baba ni mmoja tu,naye ni mungu mathayo 23:9,jamani tokeni uko mlipo,kwahy mnapingana na YESU???
🎉. 🎉🎉❤❤saaafiii mkuu++@ MUNGU akupe MIAKA mingi kuishi duniani@
Allah Akbar. Ni kweli kabisa kwa mujibu wa injil hakuna sikukuu ya uzazi wa yesu tarehe 25/12
Nabii umeongea vitu vizito sana
Huyu mtumishi anajisikia sana. Sijawahi kuona unyenyekevu wa Kimungu ndani ya hotuba zake.
kabisa kabisa kabisa ni kweli kabisa.
Safi sana big up bro
Mimi Nina amini 100👍👌
Na bado, BIBILIA itapunguzwa sana vitabu vingi, maana kuna vitabu vingine havina tija kwa nyakati hizi, na zijazo, lakini haitufanyi tuache ukristo.
Kwa hiyo ile kauri kwamba neno na MUNGU halitakiwi kupunguzwa sio kweli eti.....
@@danieljoram8533 neno la MUNGU ni amri KUU 2, ukizitendea uaminifu, huhitaji kuhangaika na habari nyingine, mfano! Habari ya daudi, kumpiga Goliath, na daudi kuowa wake 300, hizo habari hazina tija kwa nyakati hizi za YESU KRISTO, maana nyakati hizi sio za Israel taifa la MUNGU la kale,,na mataifa waabuduo sanamu na miungu wageni, kwa sasa kila, aliempokea KRISTO kwa kabila zote na mataifa yote atafanyika kua Israel.
Mungu ni Mungu muweza wa yote ,hivyo vitabu Mungu hakushindwa kuviweka wazi kwa uwezo wake ,kama maandiko yalifukuliwa hata ardhini na kwenye mapango lakini vikalindwa Hadi nyakati zilizoamriwa ndipo tukapata Biblia ilio njema na ufunuo imeonya kuongeaza lolote na kupunguza lolote na hiyo ndio muhuri ya Mungu .ila tuu Ethiopia sii mbinguni kwa hiyo hata wao sii zaidi ya mitume na manabii kwamba Kuna ukweli ,(hizi ni siku za mwisho walimu watakua wengi Sana na lengo kupotosha watu wasiingie mbinguni ) Mimi kwa ushauri wangu wanawake huko waache mapambo ya Yezebeli na wakae kama Mungu alivyowaumbwa bila hivyo hukumu ya Mungu itachukua nafasi yake 1petro 3:3-5 na Mwanzo 35:1-5
Katumwa kuzimu huyo kashawashika washirika wake
Amina nabii mkuu na kukubali sana.
Leo nimekuelewa Nabii 👏
Hekima ya Mungu haitafutwi kwa elimu ya duniani bali kwa ufunuo ya Roho mtakatifu 📌📌📌👎👎👎👎👎
Duuuu mnatuletea vitabu vya kututoa kwenye mistari ya Mungu
Nimeenda Ethiopia Wana makanisa ya methodx church. Anayo ongea ni kweli tarehe zao na zetu ni tofauti. Pia, wao jumapili ni siku kama siku za kawaida
Kuna kitabu kimoja tu cha uzima.
Yaani kujifunza tabia ya Uungu ili uishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu.
Vinginevyo ni upagani na kukosa ufahamu wa Mungu.
Musenge shaitwani utakufa vibaya
Hivyo vitabu tunavifahamu vyuoni na pia tunajua ni vizuri lakini havina uhai kama vile 66 tulivyo navyo!
Watakatifu wa kale kwa kuongozwa na Roho wa Mungu walitenga vile 66 kwa kuwa vinatimiza Makusudi ya Mungu kwa binadamu!
Kwa hiyo mzee katika utafiti wako hakuna kipya ulichokileta!
Ameeni
Amen
Daaaah hee karibuni katika uislamu hauna shaka na kitabu chake hakijaingizwa hata nukta wazungu walijaribu wameshindwa
Sio wameshindwa hakuna nguvu ya Mungu kwanini wajisumbue nacho, mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Hicho kitabu chako og kipo Vatican😂😂😂 na mtume amesema yy si kiroja miongoni mwa mitume hajui atakacho fywa yy wala mtakachofanywa nyinyi mnaofuata 😂😂😂harafu yupo kaburi na yesu you juuu
@zeddybass6672 mhmm huo ujinga wako tu kuwepo kipo duniani kote ila ni kile kile hakina shaka ndani yake haijawahi kuongezwa hata nukta moja wala kupunguzwa
@@zeddybass6672wa2 wadin vichwan zero 😢😢😢😢
dada inabidi ujifikilie sana kwanini biblia inaandamwa sana kuliko vitabu vingine??
Kwani leo ndio mnajua.
“Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
”
- Yohana 21:25 (Biblia Takatifu)
Umeongea vzr lakini Kuna vitabu wame vitoa mm ninavyo huku Mbeya vili takiwa viwekwe kwenye Biblia ya kawaida tena vina vitu muhimu kuliko hata vitabu vilivyopo ndani ya Biblia ya kawaida
@@EriyaRichardnisaidie nivipate ulivitoa wap
@@EriyaRichard
Nini Sasa kiliko jipya kuliko Bibilia la kawaida? Lile la maana si nikujua Mungu, vile aliumba Dunia, vile alimtoa mwanawe Yesu,,vile tunafaa kumkubali Yesu kama mwokozi wa maisha yetu. Nini ingine cha maana Sasa?
@mutuasteve2179 Kuna vitu vingine vya kuitawala dunia kama mtoto wa MUNGU hapa duniani na ufanikiwe vime fichwa havipo mule ndiyo maana kanisani waumini wengi maisha magumu ukienda kwa waislam masheli makubwa yote Tanzania Wana miliki wao wakristo wao Wana miliki vibanda vya mama nitulie na wauza vipodozi biashara za kuingiza pesa nyingi wao hawafanyi manake Kuna material hawna watu Hawa kuhusu Mungu WAO ndiyo hapo Sasa ukija kwangu mm nili mwambiaga MUNGU mm nataka nifanikie hapa duniani na mbinguni niingie kwaiyo lazima nitafte maarifa kokote yaliko jifichi kuishi kwa imani2 peke yake hakutoshi.
@@mutuasteve2179 ni muhimu kuwa na maarifa zaidi ndiyo maana kwenye Biblia haioneshi Ili watu wawe na nguvu za kiroho za kupitia kawaida Wana bidi wafanyaje Biblia inasema watu wafunge na kuomba waombea Nini watu wawe watakatifu ndiyo wata kuwa na nguvu mbona Kuna watumishi wengi2 hawana nguvu kwaiyo ndugu yangu Biblia siyo mwisho wa maneno ya MUNGU ndiyo maana Kuna Roho Mtakatifu
Ayo makofi umempigia shangazi yako😊 mpigie yesu,,,na kelele za shangwe je😊,,,skizeni mm naskiliza maneno yake,napenda,,,we kama unafokas na pesa zake kapataje ilo ni tatizo lako binafsi ndomana mpaka leo uko apo unawaza uchawi usiouona,,,we kama humpend acha ata kuview bas,, video umu yutube ziko nyingi tafta ata muvi uliyoiona rudia,,,mnataka kusema huo umati uliojaa hapo hao ote mazuzu ao,,,kwani hawasikii yanayoendelea
Mimi napenda mahubiri yako. Ni mtu unayepembua sana mambo. Tofauti na wengine wanahubiri mapokeo tu. Mimi ni mwalimu wa sekondari hapa mbonea Dar es salaam. Naridhika sana na mafundisho yako. Ni nabii ambaye uko so deep kiroho. Una elimu ya kutosha sana ya mafundisho ya kiroho. Ubarikiwe sana sana sana. Wchungaji watakapokusikiliza watasema wewe siyo wa kiroho kwasababu wengi wanakariri vitu tu huku hawafanyi utafiti wowote kujua mambo. Naridhika sana na wewe nabii. Big up sana.
Jiulize hivi vitabu 66 wameelewa vyote?
Nabii mkuu n m1 tu.. Yesu Kristo mwana wa Mungu alie hai..
Wewe ulishafariki rohoni siku nyingi
@@yohanaminga5638 kwani hii biblia aijitoshelezi??alafu unataja na jina kabisa kwa kujiami,hii biblia kila unalotaka lipo humu,hivyo vingine ni wapi iliandikwa vinapatika ethopia
Pole Sana mwalimu kabisa na elimu yako unadanganyika na wahuni wapigaji na wanao peleka watu kuzimu.Kama kweli umeokoka unajipoteza Kama hujaokoka no sawa tu endelea
Bibilia inasema katika kitabu cha ufunuo 22:18 namshuhudia Kila mtu ayasikiae maneno ya unabii wakitabu hiki mtu yoyote akiyaongeza mugu atamwogezea hayo mapigo yalio andikwa katika kitabu hiki namtu yoyote akiodoa lolote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki mugu atamwondolea sehemu yake katika ule muti wauzima nakatika nakatika Ule mji mtakatifu ) jamani muwe making na hizo bibilia mnazoletewa hatakuzimu wameleta hizo jamani muwe makin hizi ninyakati zahatari
Dunia ina mambo kweli .. Yani Kuna mtu anadhani eti miaka itapungua kwa kubadili jina la mwaka
Mimi nakuamini Hadi nakuamini tena
🎉🎉🎉🎉
Wakristo tuwe macho tuamke hasa tuitwao walokole
Krismas ni sikukuu ya mungu jua sio kristo
Akwa teee iyaaa
💖🙌💖jezus help mij totaal bevrijding..ik hoor de heiligegeest niet...ik hoor al van december..dat ik apostel k⚘️thryn moet los laten....ik krijg zoooo fel pijn als ik buiten kom...help mij ik hoor bij jezus❤amen ❤
YESU anaweza kukusaidia
Mkuu nakuelewa Sana ila katika hili ingepaswa,ibakikuwa ufahamu Kwa watumishi tu
Kwasababu ya kulinda Imani ya wakristo na kanisa
Hakuna hilo utumishi ni lazima kusema ukweli
Kwa hiyo ukristo ni janjajanja
@@ShafyMtupil😂😂😂
😂😂😂😂😂@@ShafyMtupil
Kwahio unaogopa WATU kujuwa ukweli
🔝devi
Kajini haka kajamaaa
Nabii mkuu inapaswa ujue kwamba sisi hatusherekei siku lakin tuna sherekea kuzaliwa kwa kristo na katika Mwaka tumechagua tusherekea tarehe 25/12...Napia hakuna cku inayomilikiwa na miungu yoyote labda kwa mtu anae hiamini miungu hio sababu Mungu ndie aliziumba cku zote na aliona vema kuwepo kwa cku zote na ckuzote ni za bwana yan dunia na vyote vilivyomo ni mali yake
Asante Sana BABA kunifungua ufahamu nigejua wapi haya kama siyo wewe Asante Sana BABA
Nawaende kwa sheriya na kwa ushuhuda ili wampendeze MUNGU, na kama hawaendi sawasawa na neno la MUNGU birashaka hapana asubuhi.
Huyo alokaa hapo juu ndio mke wa bosi si ndio mana hachanganyiki na wengine anacheo na kiti cha kipekee kwa mungu
Sija wai kuja kusali hapo ngurumo L akini wewe ni wamuimu sana maana Kuna wachungaji wengine ni wabishi sana kuelewa wewe ni baba unae jua mambo kwa uwazi kuliko Hawa wengine hawaju ata Kenya awajafika ila ni wabishi sana
Umesema kweli kweli baadhi ya wakiristo wanaficha vitabu vingine vya bibilia
From Burundi. SASA TUNASOMA KITABO KILICOTIWA MUHURI , SIO BIBILIA TENA. KAMA JINA LA MUNGU LILIBADILIKA KWENYE AGANO LA KALE KUTOKA KWENYE JEHOVA, LIKAWA YESU, NA SASA PIA LIMEBADILIKA KUTOKA YESU KRISTO KWENDA MUNGU MWENYEZI KUPITIA KAZI MUPYA IKO INATENDEKA SASA NAE .
Kwakweli ww ni baba🎉
Ila ukristo jaman umechakachuliwa sana korani nimoja dunianipote
Acha uwongo wewe quran wanayotumia mashia na wasuni ni tofauti ya mashia kuna aya zimepungua . 😂😂😂wadanganye mazuzu
🔥🔥🥳🥳🥳🙋
Great job
Mtumishi tunapataje iyo biblia ya ethiopia
Mdo3:22 Kwa maana MUSA kweli alisema ya kwamba Bwana Mungu- - - -katika mambo yote atakayo nena nanyi'
Mathayo 24:11 _24
II petro 2:1-2
Nabii Mkuu ahsante sana kuna Mambo mengi kwenye bible yananichanganya saana mpaka Nafsi inanisuta ninapohubiri Injili
Karibu ujifunze pia na Quran
Iwekwe kiswahili maana tunatamani kujifunza ila nayo imekuwa tatizo sababu ya kiarabu, ndio maana hata waislamu wengi hawaielewi@@nassorkhamis6233
Nabii mkuu naomba vile naeza nikufikie nizahidie tu nikufikie
Kristo yesu ni mungu mwenyezi hawezi shindwa na jambo lakini hivyo vitab mm siamin nachoamin sana ni kuwa mtakatifu tuu bc
Mungu achilia rehema zako kwa huyu jamaa
Rehema gani hapo mbona mm ninacho kitabu Cha Enoch na kitabu kingine lakini havikuwekwa vina vitu muhimu Sana kuliko vitabu vilivyo wekwa kwenye Biblia mfano Kuna kitabu Cha Enoch kina zidi ufunuo
@@EriyaRichardsasa wewe kama unakitabu cha Enock tafsir ya unavitabu 67 lakin yeye amekuambia vipo 88 haya hivyo vingine vipo wapi?
Rehema gani unataka Acha ukweli usemwe
@@EriyaRichardKitabu cha Henoko hakiwezi kuzidi vitabu vya injili maana hapo ndipo kuna wokovu
@@warakawayohana2896Achani afanye kazi yake aliyotumwa kuzimu,lkn kanisa la kweli halitavurugwa,acheni majinga yazidi kusombwa kuelekea kuzimu
Hadii tuchanganyikiwee
Shalom kabisa huwo niukweli kunavitu walikuwa wanataka kutufica wazungu bwana apewe sofa najuwa baba atatufunulia hayo
@@CréneITERITEKA-j6o mathayo 23:9
Mwaka ni mmoja tu hakuna miaka yote hiyo. Mwaka mmoja halisi yaani majira moja Halisi
Wewe sio mfatiliaji. Unatakiwa kujua kuwa hata hii miaka 2025 imepangwa na wazungu
Gd
Umesema Biblia ya vitabu 66 Haina vitabu vingine yaani imepunguzwa kwa hiyo ulikua unafundisha mapungufu ?
Hawa watumishi wamejaa hapo kupokea udaku coz wamejaa marangi kwa midomo Yao na Mungu amekataa Mwanzo 35-3-4-5 Pete za masikio ni miungu soma kifungu hiki
Nakubali nikweli maana tulivisoma shuleni ila walimu waka rukiya iyo page
Waumini wanapaka bleach kanisani then unajiita baba😊
UKISIKIA KUZIMU HAPA NDO NAMBA MOJA
Ni Akili Yako haitak kukubaliana na Ukweli
@Mahene-w1l soma Biblia ndugu yangu acha kuabudu sanamu,hili neno linajitosheleza soma yohan 21:25 na ufunuo 22:19,wakati unakuja,hakika utalia machozi
@@maxmillanayo2979huo wakati ni lini?
@@Mahene-w1lUnapotea masikini😭😭
@blandinaJoseph-z1h Kuna Mambo Huwa anayahubir yapo sawa na mengine hayapo sawa so ni jukumu la Mtu Kuwa tayar kupokea changamoto Mpya
Mwaka ni mtazamo tu ambao umetengenezwa tu so Mtu pia Anaweza jitengenezea Mwaka wake akaishi kweny mtazamo huo
Allahu akibaru waislamu wamepiga kelele kuhusu krismasi sio siku alozaliwa yesu sasa leo munaelewa kwamba ni siku ya kuzaliwa mungu jua😂
Muumba hana dini ni kweli. Amosi 5:21-27
Ziko 2 Africa
Point of correction mfalme wa uingereza (King James) hakuandika Biblia aliwaambia wasaidizi wake waitafasiri Biblia iliyokuwa imeandika kiebrania iandikwe kiingereza, Biblia hiyo ilitafasiriwa ikakamilika mwaka 1611, kwa kuwa yeye ndiye aliyeagiza kazi hiyo Biblia hiyo ikaitwa King James Version.
Nyinyi laleni makanisani hamtaki kusoma bibilia na dhambi zenu kutajwa mtaungua
Mzee mbona hicho kitabu kipya kinakuaje na maandishi ya original?
GD 🤗the Great ,,amekubali kupigana na kanisa...😂😂😂hapa mafarisayoo watampiga vita ya htarii🤪ukion ty mty analeta kamdomo ujue 🤌🏽ndo farisayo mwenyeweee..,
Umeona kule gari yako inaungua mzee baba mbona husemi ki2
Baba umeshapata mafanikio makubwa sanaaaa.nisamehe kama nitakuwa siko sawa,kama wapo wapotoshaji ulionao ushirika nao achana nao maana unachokiongea hapo ni neno la uzima mtupu Pepo utaiona kwa hakika
@@NokaKuzen mathayo 23:9
Jaman mnapata wapi ujasili wakumtukan mtumishi wa mungu kumbukeni kuwa mungu katuambia tusihukumu tusije nasi tukahukumiwa kwan hata unaona mtumishi anamakosa yupo aliyemuita samahan
Huyu ni agent wa miungu ya ulimwengu huu wa giza
Mtumishi wa Mungu yupi anafanya utafiti Hana hata roho mtakatifu waku mwongoza nilifikiri Mungu kamwambia kumbe utafit anapata wapi ujasiri waku jiita nabibi Yesu akasema haoniviongozi vipofu
Njoo Kanisa Halisi ujifunze siyo lazima uende Ethiopia. Hapa hapa tz kuna ufahamu kuliko Ethiopia
Sawa Nabii wetu, ila naomba niulize swali kuhusu kalenda hiyo ya wa Ethiopia: "je, mwezi wa kalenda yao, unatimiza mzunguuko wa siku ngapi?"
Hata huyo Yesu ameundwa na hao waliobadili biblia, kwani Yesu hajawahi kuwepo balli Kristo alikuwa mtu mweusi.
Nabii Mkuu wa Mataifa ❤
Taifa lenu usituchanganye
Kwa Dunia tunayoishi mwalimu ni mmoja TU zouloular 100
How's he different from TB Joshua ?
Uishi nabii wa bwana nakufuata toka bukavu RDC asante kwa kitabu hiki ni joseph
Apart from 66 books of the Bible, we don't need other books because these 66 are totally enough!!!
Ukristosidini yakweri
Haya ndo mafundisho ya kuacha dhambiii😂
Ata tanzania kuna tunaoenda kinyume na Gregorian calendar. kisleu hadi Buli na hakuna mwezi wenye siku zaidi ya 28