Ilikua cmjui wala cjawahi kumuona Ahmed kipozi MashaAllah like my father wallah Ahmed kipozi nimewakumbuka mabint zako triple radhina, radhia na radhima nimewamiss pia
Kweli kabisa. Mimi natoka kenya lakini nakuunga mkono moja kwa moja. Mimi nimekua na RTD na nimjifunza mengi tu kushinda KBC ya kwetu. RTD ilikuwa raha kusikiliza jamani.utangazaji usiokuwa na papara nyingi
Ilikua cmjui wala cjawahi kumuona Ahmed kipozi MashaAllah like my father wallah Ahmed kipozi nimewakumbuka mabint zako triple radhina, radhia na radhima nimewamiss pia
Ushauri mzuri sana👏👏 Safi sana SnS kwa kutuletea Mzee Kipozi. Kwny media ni one of the best to ever do it #LEGEND
Nimefrahi sana kumuona Ahmed kipozi miaka mingi sijamuona ahsante sana sms kwa kutuletea mtu mhimu sana
Ma Shaa Allah sauti yako haibadiliki
Mashallah wa zamani sana huyu baba Mungu azidi kumpa umri mrefu
MashaAllah jamani kipozi 😍
Ki ukweli si mjui huyu mzee ndio mara yangu ya kwanza kumuona mashaallah anasauti nzuri hadi raha kumsikiliza
Mzee baba anasauti nyororo mashallah
Leo nimewahiiiii wa 11 gonga like kunipongezaa 😀😀😀
Mashallah, hongera sana mzee, hata mimi nampenda Ephraim kibonde, hata bro sky anaweza kuchambua habar kama kibonde.
Uyu mzee kaongea point nzuri watnz pendeni lugha yenu
❤❤❤❤❤❤❤❤love sns nikweli usemayo baba
Mzee baba asante sana 😙😙😙
Ilikua naskia tuu kuna Ahmed kipozi ila leo nimemuona japo kwapicha hongera pia nimefurah kukuona ila ukweli umefanana sannaaaa na marehem baba angu
Sauti Nzur Sana
Kweli kabisa. Mimi natoka kenya lakini nakuunga mkono moja kwa moja. Mimi nimekua na RTD na nimjifunza mengi tu kushinda KBC ya kwetu. RTD ilikuwa raha kusikiliza jamani.utangazaji usiokuwa na papara nyingi
Mashallah, well good Baba
❤😘
safi mzee baba
👍👍
😍😍😍
Ama kweli panga la buchani linazeeka na makali yake
No.one
nice papaa
Daah uyo mzee ni mtangazaji nguli ,sijawahi kumuona nilikuwa namsikia tu, na wale mabinti zake sijui wako wapi?
Ahmed pls nitafte kwny no yng ya whtsp
Waambie gao ,maana hata wakifanyiwa interview wanataka kusema kingereza, halafu kingereza chenyewe broken english hadi aibu wallah
Haki nimeipeda sauti yake safi
Huyu mzee ni legend kwenye redio, ana sauti ya pekee sana
Sauti bado inavutia
maisha marefu baba
Alikua radio gani
Alikuwa Radio Tanzania ni mtangazaji mzuri sana katika Tanzania na anheshimu maadili yeti ,I know him very well
Weka like kama umeona simu ya ahmed kipozy ina ring (ina incoming call