MASOUD MASOUD : NGURUMO HAKUWA VILE / WATANGAZAJI HAWASOMI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 156

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 3 หลายเดือนก่อน +1

    Manjuuuh,! Masoud masoud ❤❤❤ 👍👍👍🖐️ unanipa rahaa na kunikumbusha mbaliiiih, Aisee masoud umenifanya ni jue ile nyimbo maarufu dunia uliopigwa tena na tena katika kila bara na kila lugha ya MALAIKA , kumbe ya tanzania na mtunzi Adamu Salim; hakika nyimbo hii namba moja duniani: Ahsante sana.

  • @respjames590
    @respjames590 4 ปีที่แล้ว +17

    Watangazaji wengi siku hizi ni vilaza, hilo halina ubishi. General knowledge hawana, shukran sana Masoud Masoud.🤗

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 13 วันที่ผ่านมา

      Watangazaji wengi wa sasa hivi hâta Lugha ya Kiswahili Fasaha hawaijui.
      Kiwango cha elimu kimeshuka sana.

  • @rwekazamugasha6448
    @rwekazamugasha6448 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Masoud Masoud ni mjuzi wa muziki kiasi kama ni kuenzi elimu yake itafutwe ni jisi gani kuendelea kufanya kazi . Kipaji alichonacho mwenyezi mungu amenjalia.
    Anastahili kufundisha chuo kikuu cha dar es Salaam

  • @adelasauwa422
    @adelasauwa422 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mzee Masoud Masoud kwa kutuletea miziki ya zamani. Inaelimisha sana

  • @mauriceswaga9769
    @mauriceswaga9769 2 ปีที่แล้ว +5

    Masoud Masoud habahatishi ni mtangazaji nguli hasa muziki wa zamani anatoa elimu sahihi,hongera Masoud Masoud

  • @felixmganga2121
    @felixmganga2121 2 ปีที่แล้ว +2

    Masoud masoud na halid gangana nawaelewa Sanaa♥️♥️♥️

  • @amediuskipera4833
    @amediuskipera4833 4 ปีที่แล้ว +5

    Mzee anaujua muziki mpaka sio vizuri! Watangazaji wa vipindi vya burudani wangekuwa this deep, vipindi vingekuwa vitamu zaidi!

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 4 ปีที่แล้ว +17

    Mshauri mzee masudi anzishe vlog yake ya mziki wa zamani.Yuko vema Sana kwenye tasnia ya music

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyu MOSOUD MOSOUD ni very bright sana ni mjuzi sana isitoshe ana sauti nzuri sana.

    • @silvestermanase6101
      @silvestermanase6101 3 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo tunazeeka, tunakufa, watu wenye vipaji na sauti kali kama hii wanapotea, namkubari sana masoud masoud, namkumbuka pia mtangazaji marehemu julius nyaisanga, nae alikuwa na sauti nzuri sana

  • @abassking8296
    @abassking8296 4 ปีที่แล้ว +3

    Masoud masoud ni manju wa muzik hatari Sana huyu mzee anajua Hadi muzik wa country jazz salsa halafu Ana swag hasa ya utangazaji

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa hatari sana ....bravo

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 3 ปีที่แล้ว +2

    Masoud masoud uko vizuri mzee huwa nakusikiliza tu zilipendwa tbc taifa,nashukuru nimekuona live kwa gangana.

    • @shafiiismail2654
      @shafiiismail2654 3 ปีที่แล้ว

      kinakuaga lini icho kipindi na saa ngapi?

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 3 หลายเดือนก่อน +1

    Adamu Salim, amesitaili kupewa tunzo ya kimataifa atakama ameshakufa,,;. Ndio Masoud masoud mimi ni mtoto wa mke wa marehemu anae lalamika kwenye wimbo wa kosimasi chidumule 🎵🎶 unaosema- Unanionyesha Njia ya Kwetu 🎤🎸🎷🎺

  • @evelinesamwel8503
    @evelinesamwel8503 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana kaka masoud sijuhi kama kuna aina ya muziki usioujua huwa napenda sana unapochambua muziki wa maazi yote kuanzia reggae na kuendellea

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu ปีที่แล้ว

      Eveline unitafute please!!!

  • @hassanali4838
    @hassanali4838 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sana masoud masoud

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 ปีที่แล้ว +1

    Duuh.. nilikuwa namfikiria sana Masooouudd Masooouud.. ! Nimefurahi kumuona yuko TBC.. ! I will pay a visit.. I need to talk to Masoud! THE GREAT!

  • @JumaHassan-z6l
    @JumaHassan-z6l 18 วันที่ผ่านมา

    Juma lamata dsm. Hongela manjuu wa mziki

  • @KichanjaKashindye
    @KichanjaKashindye 10 หลายเดือนก่อน +2

    Anaujua mziki kwelikweli

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 ปีที่แล้ว +2

    Massood Massood Manju wa Muziki....Mwambaa anajua kwelikweli kuhusu muziki

  • @silasdominic5309
    @silasdominic5309 ปีที่แล้ว +1

    Salute sana kwako MasoudMasoud

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 4 หลายเดือนก่อน +1

    Masoud Masoud ni mtu na nusu, Mungu amjaaliye umri mrefu inshaAllah

  • @amadisandaku3131
    @amadisandaku3131 3 ปีที่แล้ว +1

    Good
    Masoud masoud
    Vijana chukueni madini
    Hayo ya Mzee wetu..

  • @LAMECKGWANCHELE
    @LAMECKGWANCHELE 10 วันที่ผ่านมา

    jaman masoud, napenda walau nikuone kwa macho!!!!

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 ปีที่แล้ว +1

    kama kuna mtu nampenda ktk kuuelezea muziki basi ni Manju Masoud Masoud, big sana manju.

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Mzee Masoud Masoud kwa kutupa madini.

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzeee leo ndyo nakuona sura yako ahsante ganganatv

  • @rogermgaya4119
    @rogermgaya4119 ปีที่แล้ว +1

    Masoud Masoud.......Manju.

  • @hammybrown6313
    @hammybrown6313 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana kaka masoud masoud....

  • @KIREDIOO
    @KIREDIOO 4 ปีที่แล้ว +3

    uyo mzee mkongwe sana na anajua aisee

  • @omarali797
    @omarali797 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana Hercule Poirot, belgian detective.
    Hii orodha ya vitabu ulivyo vitaja akina Agatha Christ nk ❤❤❤
    Usirudi kumuhoji kama hujasoma vitabu alivyo kutajia, utapotezea wakati wake

  • @bookerwashington2161
    @bookerwashington2161 2 ปีที่แล้ว +1

    Great ......our true roots

  • @ericknkonya5682
    @ericknkonya5682 ปีที่แล้ว +2

    mkuu i am fan wa hizi content za old school kama unaweza kumkaribisha tena kuchambua mawili matatu

  • @amanijuma5486
    @amanijuma5486 4 ปีที่แล้ว +6

    Tupe history yake, masud masud, tumjue zaidi

  • @allybamba3110
    @allybamba3110 3 ปีที่แล้ว +2

    Sawa nguli munguakupe maisha mareeefu

  • @richardlasway5852
    @richardlasway5852 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante mzee Masoud, Mungu akulinde

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 3 ปีที่แล้ว +8

    Gwiji Masoud!, tunaomba kipindi kirefu zaidi, tupate madini ya kutosha ya mzee wetu huyu

  • @Othumanbeyonlyonetz7320
    @Othumanbeyonlyonetz7320 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu wangu huyo masoud masoud alinifundisha soma la bendera na aina ya majina kila bendela ya nchi husika ina jina lake mfano ya hapa kwetu Tanzania inaitwa uhuru na umoja nitoe na mimi kafaida hako asante mwalim❤

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 9 หลายเดือนก่อน

      Hongera kwa kuvuna busara za mzee

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว +1

    Haridi Kuna kusubiri Jkt, Pamoja na JenJohn na Ana mwasoke,Vumilia Mwasha na Wenye viti wa Jambo Tanzania.Nawapenda sana👍👍❤❤

  • @classicliffestyletv6642
    @classicliffestyletv6642 3 ปีที่แล้ว +3

    Kipindi ni kizuri. Naomba vipindi vya manju wa muziki viwepo TH-cam. Nimeanza kumfuatilia tangu kifo cha maiko Jackson na kile kipindi Cha mama wasimlizi akiwa na edina rajbu. Naomba sana vipindi vya manju viwepo social network.

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Manjuuu

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 ปีที่แล้ว

    Naaaaaaaammmm Mzee Masoud

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli mzee Massoud

  • @christinasuguta3088
    @christinasuguta3088 3 ปีที่แล้ว

    Masoud ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @evaristmartin81
    @evaristmartin81 2 ปีที่แล้ว +1

    Voice of voice

  • @FredrickChristonsia
    @FredrickChristonsia 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kakaa,,Bingwaa

  • @batrumbeziks5946
    @batrumbeziks5946 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani hebu jifundisheni Kiswahili kabla hamjarukia mitandaoni. Wenye lugha wapo. Waulizeni.

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 3 ปีที่แล้ว +3

    Namkubali sana huyu mzee.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up Mzee Masoud Masoud

  • @NelsonMesha-wp9ks
    @NelsonMesha-wp9ks 8 หลายเดือนก่อน +2

    Masoud Masoud namkubali mpaka basii.

  • @deviddaniely3993
    @deviddaniely3993 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana

  • @BICCOPROTAS
    @BICCOPROTAS 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bicco PROTAS,ilula iringa Mzee masoud ikiwezekana fanyanao semina bongo freiva

  • @victormkello9575
    @victormkello9575 7 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 Watangazaji siku hizi tunatambulisha jina la wimbo, mwimbaji na Producer.
    Utasikia Ngoma imesukwa na S2kizzy, inaitwa Sensema, Rayvan akiwa na harmonize.
    😂😂 Hakuna cha kutaja mpuliza saxophone wala mpiga tumba.
    Na kuhusu ujumbe ndani ya wimbo, msikilizaji atajipambanulia mwenyewe 😂😂😂 kizazi chetu bwana!!! #Gangana

  • @husseinmhenga5497
    @husseinmhenga5497 4 ปีที่แล้ว +1

    Manjuu...

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu264 4 ปีที่แล้ว +4

    Maneno ya huyu kaka ni kweli zamani hata jirani analea mtt wa mwenzie

  • @georgemwasyeba1891
    @georgemwasyeba1891 2 ปีที่แล้ว +2

    Sababu Moja wapo ya Muziki kuwa na ujumbe mzuri ni kwamba Bend ilikua haitoi Muziki au wimbo bila kukaguliwa na Baraza la Muziki la Taifa

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 3 ปีที่แล้ว

    Mzee yupo sawa sana

  • @rumibarton2359
    @rumibarton2359 2 ปีที่แล้ว +1

    Masoud masoud manju wa muziki hatari sana mtu huyu

  • @humphreypeter4507
    @humphreypeter4507 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee ni kiboko anajua sio tu muziki wa Tanzania hata wa duniani huko

  • @januarykunani6428
    @januarykunani6428 2 ปีที่แล้ว +1

    Namuelewa sana huyu mzee

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sahizi hakuna watangazaji ila wapo ma Dj bwn

  • @Mkupe_TechSolutions
    @Mkupe_TechSolutions 8 หลายเดือนก่อน +1

    Music ni zamani na this dayz nao wanaimba kwa jinsi yao ila si taaaamu

  • @frankmaganga8930
    @frankmaganga8930 3 ปีที่แล้ว +3

    Mzee yupo Deep mpk baas

  • @john255media
    @john255media 4 ปีที่แล้ว +1

    Masoud Masoud🔥🔥🔥

  • @leonardkasambala5802
    @leonardkasambala5802 ปีที่แล้ว +1

    Hatari na nusu

  • @rajababdul7257
    @rajababdul7257 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo masoud ni kiboko

  • @reubensamwel4079
    @reubensamwel4079 3 ปีที่แล้ว +1

    Living legend

  • @ombenianton3611
    @ombenianton3611 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee unajua had basi yani

  • @sobbyesmail5278
    @sobbyesmail5278 10 หลายเดือนก่อน +1

    Majirani ilikuwa zaidi ya ndugu lkn sasa hivi wapiii dunia inaelekea mwisho

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajua sana

    • @aliyissa9857
      @aliyissa9857 8 หลายเดือนก่อน +1

      On the other side of the coi n mnamjua ? Chotara wa Kimanga huyu alumni bin maluuni

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 ปีที่แล้ว +2

    Acha kabisa' nguli huyu namkubali sana' huezi choka kumsikiliza

  • @abbasmungia6107
    @abbasmungia6107 3 ปีที่แล้ว

    Mzee yupo vema sana, huyu ni hazina sana asee

  • @hakimabdul7494
    @hakimabdul7494 3 ปีที่แล้ว

    Masoud 💯

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 2 ปีที่แล้ว +2

    zilikuwepo bendi za binafsi kama
    Dar jazz western jazz kilwa jazz Tabora safari trippers Afro 70 orchestra njirima orchestra kids

    • @husseinponda
      @husseinponda 2 ปีที่แล้ว

      Zilikuwepo na zingine kama vile moro jazz ,cuban marimba,kilosa jazz,tabora jazz

  • @JennyRingo
    @JennyRingo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu alitakiwa awe mkufunzi mkuu wa idara ya ethnomusicology UD au mkuu wa idara kubwa TBC. Lakini figisu za 1990s-2000s zilimtoa kwenye uzio. Hata hivyo bado ni Mzalendo hua namsikiliza alfajiri weekends TBC1

  • @hassanothman5390
    @hassanothman5390 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana acha wizi

  • @selemanisalimu8377
    @selemanisalimu8377 2 ปีที่แล้ว +1

    Madini hayooo

  • @ramsoadam2256
    @ramsoadam2256 3 ปีที่แล้ว +1

    Ktk watangazi ninao wakubali ni huyu jamaa masoud masoud huyu jamaa anujua muziki na anajua kutangaza sijaona mtangazaji anaeweza kumfikia

  • @maulidmwegio5704
    @maulidmwegio5704 ปีที่แล้ว +1

    Masuudi Masuudi, Je Sauti yake Na Utangazaji Wake Hautotokea TZ, Itunzwe Sauti Yake Kama Historia.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 10 หลายเดือนก่อน +1

    Gangana usiseme wasanii hao wa zamani ni wanamziki baba

  • @KhalfanKiko
    @KhalfanKiko 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan kwa saut yake nildhan mz masoud ni jitu bong kwel kwel kumbe mi wakawaida tu hongra mz masoud kwa kaz nzur

  • @graysonkasaizi8253
    @graysonkasaizi8253 4 ปีที่แล้ว +3

    Mzee nimepata kitu time signature hatari Sana sitachoka kukusikiliza jioni njema

  • @MusaMsangi-qr9iw
    @MusaMsangi-qr9iw 19 วันที่ผ่านมา

    Siku hizi ujumbe ni WA ngono tu hakuna hakuna jingine

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mzee Masoud ni hatari bonge la sauti dhahabu

  • @JacksonTarimo-v7q
    @JacksonTarimo-v7q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaj wangu Bora ni Kam huyu Mzee na Charles Hillary hawa watu wanajua mpk sio vzri

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee huwa namkubali sana.

  • @newhopeacademykahama1843
    @newhopeacademykahama1843 9 หลายเดือนก่อน

    Hii interview naiona mara kwa mara

  • @julianamuhangwa-fy6zd
    @julianamuhangwa-fy6zd 24 วันที่ผ่านมา

    Mzee masudi kwa SASA unawatoto wangapi

  • @Raisamohamed7770
    @Raisamohamed7770 2 ปีที่แล้ว +1

    Masouuud Masoud

  • @sobbyesmail5278
    @sobbyesmail5278 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli masoud sheitan ametawala dunia tumlaani sana

  • @johnmwalwembe3036
    @johnmwalwembe3036 ปีที่แล้ว +1

    Manju wa mziki vipindi vyako.tafadhari vi wepo TH-cam tunaomba

  • @isackiddy9670
    @isackiddy9670 3 ปีที่แล้ว +2

    Gaspar Kigala Wewe huna mfano wake

  • @innocentblandina1549
    @innocentblandina1549 4 ปีที่แล้ว +2

    Napenda ufanye interview juu ya mwanamuziki Mbaraka na Marijani
    Lakini pia atupe uchambuzi wa wawapiga rythm, solo na base gitaa

  • @abuusuleym7298
    @abuusuleym7298 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Jamaa namjua sana sio mtu wa kawaida akili yake ni kubwa sana hakuna kichwa cha kizazi cha sasa kinaweza kubeba akili hiyo na itachukua kama miaka 1000 hivi bongo uganda kenya kutokea mtu anajua muziki kama huyu jamaa

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 3 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali ananifanya niendelee kumsikilizaa sauti poa

  • @حمزهالرواحي-ظ7ش
    @حمزهالرواحي-ظ7ش 4 ปีที่แล้ว +1

    Said mabel au

  • @amanijuma5486
    @amanijuma5486 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka enzi zle akiwa na eddy rajab kwenye kipindi cha Country Music

  • @ramsoadam2256
    @ramsoadam2256 3 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa hata kazi ya MC anaiweza Sana

  • @ngosarytelacky7154
    @ngosarytelacky7154 4 ปีที่แล้ว +4

    Gangana mtafute huyo bwana tena. Dah yaani mi sichoki kumsikiliza masoud

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  4 ปีที่แล้ว +1

      Sawa kamandaa

    • @respjames590
      @respjames590 4 ปีที่แล้ว +1

      @@ganganainfochannel, mshauri Masoud Masoud aanzishe tu you tube channel yake. He's one of the best radio presenters I have ever heard. Incredibly knowledgeable.

    • @MichaelKamwela-bs6el
      @MichaelKamwela-bs6el ปีที่แล้ว

      Saws

  • @newhopeacademykahama1843
    @newhopeacademykahama1843 2 ปีที่แล้ว +1

    Fanya, umuitee tena, redioni ufanye nae kipindi tena, kama ulivyo ahidi mzee, unanikoseaa.

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  2 ปีที่แล้ว +2

      Huyu mzee ngumu kumpata huwezi amini, ila bado napambania kombe

    • @newhopeacademykahama1843
      @newhopeacademykahama1843 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ganganainfochannel Mzee, huyu ni hadhina kubwa kwa taifa, kiukweli namuelewaa sana, tangu kwenye vipindi vyake vya country music, wakina Kenny Roger's kwa kifupi mzee noma, pambania hilo, ufanye nae interview hata ya masaa kadha, mwingine ni mama Edna Rajabu wa hapo TBC nae alkuwaa kwenye kupindi cha County Music enzi hizo, wako wengine napendaa kujua wako wapi kwasasa wafanya kazi wa TBC ENZI HIZO MZEE. PLEASE BACK US THOSE DAYS

  • @amanijuma5486
    @amanijuma5486 4 ปีที่แล้ว +2

    Tupo history yake huyu nguli manju