Israel ukiipiga Lebanon nitakupa zawadi. Haiwezi kutokea kamwe bali Israel ndio mwisho wake unakuja sasa itachomwa moto haijawahi kutokea toka dunia ianze . Sibishani na yeyote mwenye maono tofauti bali nakupa muda tu ushuhudie makubwa
Nakubaliana nawe, wale Hizbullah siyo hamas, wamejiandaa kwa muda mrefu na viwango bya juu sana labda Israel itumie bomu la nuclear ambapo ndiyo itakuwa mwisho wake pia maana haitavumiliwa kabisa hapo.
Sasa hizbullah hawana mabomu ya nyuklia hawana air system diffence ya kutungua makombora hawana makombora mazito kama ya ATCMS ya kutungua na kushamburia ambayo mabomu haya ndiyo ya marekani yamefumua crimea kwa mifumo ya system ya airststem ya urusi na kuna tofaut kubwa sana ya uwelewa nenda kaangalie rank ya majeshi bora duniani israel yupo kwenye saba bora ya dunia au sita hizbullah sijui hayupo hata kwenye 100 bora hayupo hao ni kama jeshi la afaganistani tu. maana wanaishi kwa nguvu za kigaidi hawajawai fanya maajabu yoyote. israel kapiga nchi 5 kwa wakati mmoja sembuse hicho kichaka cha hizbullah hakuna kitu msidanganyike nyie vita sikia tu wenzako kombora moja sawa la israel sawa na milion 400 long range sasa ndugu yangu hizbullah anatumia rocket ambazo hata tanzania tunazo nyingi na tulitumia hadi vita vya iddy amini tena sirahi hizo toka enzi za soviet mpaka leo
Tunaomba habari ya kuthibitisha taaarifa ya NASA kwenye ukweli kuhusu dunia. Maswali yanakua raised now days 1. Ni kweli dunia ni Duara au tulipumbazwa na taarifa za NASA? Kwa maana kwamba NASA walifoji? 2. Pia mtuchambulie ukweli kuhusu uwepo wa Firmanent ukingo wa dunia ambao hautuhusu mtu yeyote kwenda nje ya dunia. 3. Uongo kuhusu uwepo wa space na baadhi ya mambo ambayo wanadai kua wanasayansi wameyafanya kama kwenye kwenye space na kwenye mwezi pamoja na baadhi ya sayari
Sikuhizi mmekuwa wavivu sana kutupa habar za vita mpaka naanza kuwachukia.. Juzi bolvia kumetokea mapinduz nyiye hamjatuchambulia ilikuwaje.. Lebanon na israel hamtujuzi kunaendeleaje mnachelewa kutupa update ya vita ya urus na ukren .. Kazi yenu kutuwekea dimond wenzake sisi hatufatilii mambo ya dimond .. Fanyen kama mwanzo hakuna kupoa kweny vita
Nikisikia kuna jambo lavita limetokea huwa sina wasiwasi kwani naamin chanel hii itachambuwa lakni ukifunguwa hakuna jambo.. Kazi kurusha mambo yakiumbea sie wengine tumeioenda hii kwa mambo ya vita
Murusi kibokoooooo,,,awatwange tu Hao mashoga....naamin kuwa urus inauwezo wa kuiteketeza Ukraine kwa siku 3...anachokifanya ni kudhoofisha uwezo wa marekani na ubabe wake..ndo maana anawachapa taratiiiiiiibuuu..mungu msaidie putin...ikiwa wataweza kumuua dunia imekwishaaa
Israel ukiipiga Lebanon nitakupa zawadi. Haiwezi kutokea kamwe bali Israel ndio mwisho wake unakuja sasa itachomwa moto haijawahi kutokea toka dunia ianze . Sibishani na yeyote mwenye maono tofauti bali nakupa muda tu ushuhudie makubwa
Maisha yako yenyewe yaku mlilia samia iyo zawadi ya kumpa tajiri wapi rabda kuku wakienyeji yaani jogoo la Africa
Nakubaliana nawe, wale Hizbullah siyo hamas, wamejiandaa kwa muda mrefu na viwango bya juu sana labda Israel itumie bomu la nuclear ambapo ndiyo itakuwa mwisho wake pia maana haitavumiliwa kabisa hapo.
Sasa hizbullah hawana mabomu ya nyuklia hawana air system diffence ya kutungua makombora hawana makombora mazito kama ya ATCMS ya kutungua na kushamburia ambayo mabomu haya ndiyo ya marekani yamefumua crimea kwa mifumo ya system ya airststem ya urusi na kuna tofaut kubwa sana ya uwelewa nenda kaangalie rank ya majeshi bora duniani israel yupo kwenye saba bora ya dunia au sita hizbullah sijui hayupo hata kwenye 100 bora hayupo hao ni kama jeshi la afaganistani tu. maana wanaishi kwa nguvu za kigaidi hawajawai fanya maajabu yoyote. israel kapiga nchi 5 kwa wakati mmoja sembuse hicho kichaka cha hizbullah hakuna kitu msidanganyike nyie vita sikia tu wenzako kombora moja sawa la israel sawa na milion 400 long range sasa ndugu yangu hizbullah anatumia rocket ambazo hata tanzania tunazo nyingi na tulitumia hadi vita vya iddy amini tena sirahi hizo toka enzi za soviet mpaka leo
@@hamisisalum6116 wewe Israel ina uwezo uwezo mukubwa Sana kivita
Nenda shule ukasome ujifunze kuandika
Vitu kama hivyo vinafichwa kwa sababu ni aibu kwa taifa teule la mashoga duniani lazima waangalie namna ya kuchuja habari
Hiyo drone lran imewahi kuitwanga kiulaini sana
Wangeweza kutungua hata rais wao asinge kufa. unazani rais wao kapata ajari kwa taarifa yako watu wametungua ndege na wakaficha ushaidi.
@@hunstonjuliusmkonyionlinetv toa uwo ushahid choko ww acha mawazo ya kishoga
Tunaomba habari ya kuthibitisha taaarifa ya NASA kwenye ukweli kuhusu dunia.
Maswali yanakua raised now days
1. Ni kweli dunia ni Duara au tulipumbazwa na taarifa za NASA? Kwa maana kwamba NASA walifoji?
2. Pia mtuchambulie ukweli kuhusu uwepo wa Firmanent ukingo wa dunia ambao hautuhusu mtu yeyote kwenda nje ya dunia.
3. Uongo kuhusu uwepo wa space na baadhi ya mambo ambayo wanadai kua wanasayansi wameyafanya kama kwenye kwenye space na kwenye mwezi pamoja na baadhi ya sayari
umoja wa mashoga wamekutana na kidume
Tena vidume haswaaa
Sikuhizi mmekuwa wavivu sana kutupa habar za vita mpaka naanza kuwachukia.. Juzi bolvia kumetokea mapinduz nyiye hamjatuchambulia ilikuwaje.. Lebanon na israel hamtujuzi kunaendeleaje mnachelewa kutupa update ya vita ya urus na ukren .. Kazi yenu kutuwekea dimond wenzake sisi hatufatilii mambo ya dimond .. Fanyen kama mwanzo hakuna kupoa kweny vita
Usimlaumu wakati mwingine wanachoka wanahitaj kupumzika
Hii Kazi sio ndogo
Nikisikia kuna jambo lavita limetokea huwa sina wasiwasi kwani naamin chanel hii itachambuwa lakni ukifunguwa hakuna jambo.. Kazi kurusha mambo yakiumbea sie wengine tumeioenda hii kwa mambo ya vita
ALLY unawasifia sana wamarekani kwenye makala zako nyingi. Lakini jua ya kwamba, huu ndio mwisho wa MAREKANI ndugu.
Hapo unajidanganya
Hii ni riport .zinakuja.
Wewe Utawala wa marekani ni mungu ndiyo ata Kaye iangusha
Ikiwa houthi wanawexa, basi sina shaka na uwezo wa urusi
Hizo zinadunguliwa na kila nchi zenye mfumo wa radar
From dodoma ❤
Ebu mtupatie hint kuhusu Lebanon na Israel kunaendaje
Kweli pigo hawa jamaa wanapiga sehemu mhimu mikakati mikali
Kiama cha Marekani na mtoto wake Israel kimefika, Viva Putin, viva Russia.
Hio drone ni nzuri sanaa ila tu wamarekani wamefeli kuto kuipa uwezo wa kujilinda na makombora
Tangu zimitunguliwa mpaka leo hamna global hawk imirushwa tena 😂
We classmate mwanangu
wewe muongo roporopo nyingi maneno mengi siwenzio tunazama tunakugea afu unajikanyaga
Thx young bro
Unajuwa kuchambuwa sijui kama ni ufanisi was lugha ya kiswahili
Mrci beaucoup
Bienvenue mon petit.
Sinza madukani #ndovudentalclinic
Leo sihitaji likes
Urusi hii ni ya pili kutunguliwa na warusi
Murusi kibokoooooo,,,awatwange tu Hao mashoga....naamin kuwa urus inauwezo wa kuiteketeza Ukraine kwa siku 3...anachokifanya ni kudhoofisha uwezo wa marekani na ubabe wake..ndo maana anawachapa taratiiiiiiibuuu..mungu msaidie putin...ikiwa wataweza kumuua dunia imekwishaaa
Ally Masubi bhana, Eti wewe huogopi? 😂😂 Mrusi ndo kashaitungua bila kuogopa
Drone bora kwa matango sio kivita.
Hizo drone hamna kitu wahouthi wanazidungua zile nyingine ni mbwembwe tu
Hiyo ni ndoto. Mpaka leo Russia hawana uwezo wa kudeal na RQ-4
Iran walishaga itungua
Uyu jamaa anajuwa kuchambuwa vzr sn uyu inatakiwa asiishi apa Aishi marekani au uingereza namkubali sn
kudungua
Drone za marekan waga anazisifia sana lkn zinakuwa zinadunguliwa mpaka na makundi ya wapiganaji wayemen🇾🇪 mfano MQ-9 mbili zilisha pigwa chini
Zinasifiwa kwenye ukusanyaji data. Kwenye kuidungua ni kawaida maana hizo sio stealth aircrafts
Sio poa hio dron
Uongo
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️
Asante sana Ally
From Arusha ❤
Good urus
Hatari sana
Ww allly masoud we username yak ya ig mwanangu
Soon utaipata.
Chaghaboy
Et we uwogopi HApo 😅😅😅
Mjomba mbona unazunguka sana kueleza kitu kimoja!!
Uanze kutangaza
Anasubiri nini urusi
Sasa ndugu yang kumbe haijathibitishwa usingetuletea
Vyombo vikubwa vyote vimeripoti na ww unahaki ya kujua.habari hii haijaokotwa.au kutungwa.
@@thefactbook...1607 saw rafik yang ahsant kunifahamisha
Ulitaka nani ndio athibitishe?
@@rumdeesonsoa1811 ukijibu tizama kwanz jibu la mwisho lina mantiki gan au msimamo gan; ule ule au umebadilika then jibu sasa
good
Ikiwa wenyewe na vyombo vya dunia hawajatangaza sasa wewe umezipata wapi ?
Uwe unasikiliza vizuri kabla ya kuuliza taarifa zilipotolewa kaeleza rudia kusikiliza
Hao niwale majirani zenu wanaosumbuliwa na kiswähili kinawapa shida kuelewa 😂😂
Sikiliza upya
Kutungua ndio nini tena??
Shoot down!
@@SimuliziNaSauti 👍
Tungua -Tundika .
Mama katungua nguo juu ya msumari
Huelewi nini mtoto wa kishua 😂😂😂
Kiswahili kinakupiga cheng's nn? Mbona kaeleweka
Hahah😂😂