ULEAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI KWA NJIA YA KISASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Uleaji Bora wa Vifaranga wa kienyeji
Wafugaji wa kuku wa kienyeji, wengi hulifanikisha zoezi la ukusanyaji wa vifaranga wengi wa kienyeji kwa njia rahisi.
Changamoto kubwa kwao ni uleaji wa bora wa vifaranga.
Kwenye video hii tutajifunza Uleaji wa vifaranga wa kienyeji kwa njia ya kisasa.
kwa sababu bila kuwa na elimu ya ufugaji wa kuku vifo vingi hutokea na Wafugaji hukata tamaa.
Ili Kujifunza zaidi tafadhali tazama video hii
• NJIA YA KUPATA KUKU WE...
Asante sana kwa video hii.
Kuku wangu wameumwa ugonjwa wa kuvimba macho na wanapoteza kabisa jicho sijawahi kuuona huu ugonjwa sijui ni kitugani.
Nimejifunza vingi Sana kwa hili, ama kweli huwez kufa masikini ukifuga kuku,.kikubwa ni malez na mazingira mazuri ya ufugaji"
Hongera Sana mwalimu tu pamoja
Asante kwa elimu nzuri imenisaidia sana nilikuwa nashindwa kabisa kulea vifaranga
Asante kwa kufatilia changamkia fursa. Utajifunza mengi, pia saidia kushea
Vizurisana nimojayamaendeleo kwasababu wengiwetu hatujui tunajifanyiatuu mishowasiku tunasema Mimi sinamkono wa ufugaji,so it's very important to know that . God bless you.
Hakika nimejifunza jambo NA kufurahia somo ni zuri sana. Ubarikiwe..
Tuko pamoja
I like it I love it
Asante Sana somo lako linaereweka maana tunafuga bira elimu mwisho wa siku kukuwakufa wengi sana
pongezi kwa kazi nzuri,mimi napenda sana ufugaji wa kuku,naendelea kupata mafunzo
Mm nmewaelewa sana asante
Asante kwa elimu nzuri
Asante kwa elimu nzuri
Asante kwa elimu nzuri mnoo
Mafunzo ni mazuri sana na yanaeleweka, tunashukuru sana
Thanks be blessed
Aksanti sana ndugu kwa hii video.
Mimi naitwa Tim kutoka Congo DR. Napenda nipate njia yakuwasiliana nawe zaidi juu nipate mafunzo kamili. Tutawalisiana namna gani ?
Ahsante sana napenda sana kaka Mungu akubariki sana
Ahsante kwa fundisho zuri
Vizuri sana
Daa asante kwa Elimu mimi napoteza sana Vifaranga Lakini sikati tamaaa Pia nimegundua Baadha ya mapungufu niliyonayo
Ahsante sana kwa Elimu nzuri.
Asante Kwa somo, naomba mfululizo wa chanjo
ahsante kwa somo zuri
mm nmeanza kufuga kuku aina ya kuchi ila jogoo wng ameanza kuonesha dalili ya miguu Kuuma naomba ushauri nfanyeje
SoMo zuri Sana kiongozi nahitaji kujifunza zaidi ya hapo
Kazi nzuri sana mungu awape nguvu
Wow! Vifaranga wanavutia sana...napenda sana kufuga kuku. Ahsante kwa kutupatia elimu ya uleaji bora wa vifaranga.
Asante kwa mrejesho
thank you so much
Asanteee sana kwa video kaka barikiwa
Nashukuru kwa mafunzo yako, yanatufaa sana
Asante na endelea kushea yawafae wengine
Safi sanaaaa
Kazi njema,naomba kuuliza Holi Banda liko juu kiasi Hani naona vifaranga wanazunguka vizuri,nielezeni
Hii ni nzuri sana
Asante kwa elimu
Asanti sana papa tunashukuru. Naitwa Biira zuhura kutoka uganda kampala jee naweza nikafanyisha maggots mubadili ya samaki
Nashukuru San kwa SoMo nina vifaranga vina wiki 2 baadh vinakunya damu naomba nielekezwe dawa
Good program and educative
Thanks
i guess Im kinda randomly asking but do anyone know a good website to stream newly released movies online?
Mko vzr sanaaa.
Nice work
Nimepend sana somolako japokua sjaanza kufuga ila napenda nifanye hyo kutokana na somo lako asant
Mko vzr sanaaa.
Nimejifunza mengi nashukuru
Thanks nimeipenda sana
Asante!!;
I like it. Nimesoma mengi
Tuko pamoja
Kazi njema
Very educative
Asante kwa mrejesho
Naomba uniunganishe katka group
Habari ndugu mimi naitwa wilckster nyaboke kutoka kisii count ningependa nipate mafunxo zaidi
mafunzo yako ni mazuri
❤
Nimeipenda
Asante vifaranga jana vifarsnga vilikuwa havina ngubu kwenye miguu alafu vinajitupatupa nini asnte
Safi sana
Good newsd
saf san mung akubark kak
asante bado nahanza
Nawafatilia mwanzo mwisho nawaeleza sana
Mko vizur sana, hata kama ni video ya muda mrefu kwangu.
But nina swali moja, umesema kuwa siku ya 6 na ya 13 tuwape vitamin pekeyake so swali langu ni kwamba tutawapa bila ya chakula?
Ukinyang'anya vifaranga, kuku aliyetotoa hasumbui?
Good
Shukran kwa somo,nina swali,v ipi nikiwapa dawa za kienyeji kama majan ya muembe,mpapai na alovera,nakuwa sijawakinga na magonjwa? au mpaka dawa za dukani?
Pia mtufunze na mtuonyeshe mabanda bora ya kuku Wa kienyeji kwasababu tumezoea kiwaachia
Mm napenda sana ufugaji wa kuku lakini sijapata mafunzo yoyote ile naomba msaada wenu
Sasa Mimi kuku wangu sikuwai kuwapa chanjo yoyote na wemefikisha miezi miwili wapo mia na hamsin vip naweza kuwapa chanjo
Asante kwamaelezo Ila ninaulizo kwamba kukuwaasili na pondeuse tunaweza kuwaweka pamoja?
Jamani asanteni sijaaza kufuga ila ninajiandaa kufuga nilikua sijui kama kuna mfululizo wa dawa
Asante kwa kufatilia vipindi vyetu
Nmependa
Nimependa sana hiyo, naomba nisaidie kwa vifaranga 300, inatkiwa banda lindaliwe la bei gan??
Naomba muomyeshe mfano wa kuku/kifaranga chenye ugonjwa husika tukionee
Asante kwa somo zuri na fusa
Pamoja
Asante kw kuteilimisha ndg, ,je hivyo vifaranga vya kuku hao wa kienyeji natakiwa kuwatoa nje wakiwa na miezi mingapi? Kw ufugaji wa (nusu ulia) kw kuwapa chakula, na kujitafutia chakula wenyew
Wiki 6 mpaka 8.
Shukrani kwa darasa mkuu,vifaranga vinatakiwa kula kwa masaa mangapi?
Somo zuri
Vuzuri snaa
Ukitandaza magazeti chini sianahifadhi kinyesi cha hao vifaranga ety?
Ma vipi katik chanjo ya ndui no option ya kuchoma kwenye mabawa yake?
Kipindi kizuri sana, nimejielimisha sana
Natambua juhudi zenu katika kutuelimisha kwa madarada mbalimbali juu ya ufugaji wa kuku mkwa njia zilizo bora asanteni.
asante, naomba orodha ya madaywa hayo kwa Kiengereza asante
Mafunzo Mazuri Sana Naendelea kuwafuatilia
Tuko pamoja
somo zuri sn
Samahani.. unaweza ukaziandiika hizo suggested antiobotics ??
Muna patikana wapi dar ?
Naweza kupataje vigaranga kwako
Nataka kuanza nataka kuona video Yako zingine
Mm naitaji kujengewa banda mko wapi
Habar nauhitaj wa vifaranga 100,wa kienyej bei gan
Hi🙏🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵🇳🇵
unaeza changanya changalawe na chakula ya kuku?
Mimi nimfugaji mdo sana ktk ufugaji natumia njia ya kutotoleshea vifaranga kuku hutaga na kutotoa lakini changaoto ninayoipata vifaranga vinapo fikisha mwezi huanza kushusha mabawa nakusinzia mwisho wake ni vifo je nifanyeje ili kutatua ugonjwa huu
Kama unafata utaratibu wa chanjo, yanabaki ni magonjwa ya bakteria ambayo chanzo kikubwa ni uchafu
@@changamkiafursa Asante kwani katika usafi najitahidi sana, na chanjo inahitaji kuwapa vifaranga vya umri wa mda gani kuanzia vilipo totolewa
nipo Zambia nataka kuanza kufuga kuku how can I start?
Asant
Mi nauliza kroiler wanauwezo wa kutotoa na je ni chakula gani naweza kuwapa vifaranga wangu baada ya miezi miwil
Mniunganishe kwenye group
Vzr mnoo
Nimevipenda Sana vifaa vya kulishia chakula vinapatikana wapi?.
Hawa kuku wakiwa wengi hivi unauza au?
Me ndo nataka kuanza kufuga kuku mnanisaidiaje??
Je joto halipotei huko chini ya nyavu?
Samahani naomba kujua, je utaratibu wa kuwalea vifaranga wa kienyeji naweza kuutumia kuwalea vifaranga wa kuku chotara?
Nazihitaji kuku unapatikana wapi
Nimechelewa cku mbili nawezaje kupata mafunzo jaman nisaidie
Karibu nafasi bado zipo
naitaji uniunge kwenye group
Dawa mnazo taja mngekua mnaonesha kimaandishi