Creep wanakula hadi tunapowaachisha na mama kunyonya tuu. Weaner/Starter kuanzia siku 35 Grower kuanzia siku mwezi wa 3 akifikisha mpaka mwezi 5-6. Finisher 6-7 kwenda sokoni Samahani nilirekodi nikasahau kuweka sawa hiyo taarifa
@@mulapfarm9664 japo sijui kwanini nakubali tu ila sikubaliani yaani KOUDJUS mfano 20/15 ni ile ile zinatofautiana tu mchangano kwa kiasi ndio hapo pananishinda kujui hapa ni starter na hapa ni grower
Nice work 🎉
Wewe ni mentor Wang u.
Niulize ukichanganya pumba yamuchele napumba ya mihindi na bunga yangazi hauwezi pata chakula bora???nipeni jibu plz
Wapi jamani na wakuchinja unauza
Mnapatikana Wapi !,
Kibaha
@@mulapfarm9664 Vema mngetia Hata namba za simu au Hanuani kamili !
mm kaka unamix maelezo sana creep hawatumii kwa miezi 3
Creep wanakula hadi tunapowaachisha na mama kunyonya tuu.
Weaner/Starter kuanzia siku 35
Grower kuanzia siku mwezi wa 3 akifikisha mpaka mwezi 5-6.
Finisher 6-7 kwenda sokoni
Samahani nilirekodi nikasahau kuweka sawa hiyo taarifa
@@mulapfarm9664 japo sijui kwanini nakubali tu ila sikubaliani yaani KOUDJUS mfano 20/15 ni ile ile zinatofautiana tu mchangano kwa kiasi ndio hapo pananishinda kujui hapa ni starter na hapa ni grower
kwenye fomula ya Koudjus hakuna mchango wa soya
Hauweki soya kabisa
Soya ipo kwenye concentrate