Michanganyo ya chakula cha Nguruwe|Fomula zake..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Kutokana na maswali mengi kuhusiana na jinsi ya kuchanganya chakula cha nguruwe kupata faida

ความคิดเห็น • 25

  • @CreshaRevelian-wb6ky
    @CreshaRevelian-wb6ky 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe ni mentor Wang u.

  • @ElifadhiliPhissoo
    @ElifadhiliPhissoo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nice work 🎉

  • @hajikubeja477
    @hajikubeja477 12 วันที่ผ่านมา

    Naomba address ya hiyo kampuni ya vichanganyio vya chakula

  • @EvaristKatibula
    @EvaristKatibula 7 หลายเดือนก่อน +1

    Niulize ukichanganya pumba yamuchele napumba ya mihindi na bunga yangazi hauwezi pata chakula bora???nipeni jibu plz

  • @ibba8082
    @ibba8082 ปีที่แล้ว +2

    Mnapatikana Wapi !,

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  ปีที่แล้ว

      Kibaha

    • @ibba8082
      @ibba8082 ปีที่แล้ว +1

      @@mulapfarm9664 Vema mngetia Hata namba za simu au Hanuani kamili !

  • @charlesmonyo7735
    @charlesmonyo7735 5 หลายเดือนก่อน

    Mm aliyangu ningum ila.nafuga.kwa hali yangu na weza kuchanganya nini nanini nipate chakula.bora

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 ปีที่แล้ว +2

    mm kaka unamix maelezo sana creep hawatumii kwa miezi 3

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  ปีที่แล้ว

      Creep wanakula hadi tunapowaachisha na mama kunyonya tuu.
      Weaner/Starter kuanzia siku 35
      Grower kuanzia siku mwezi wa 3 akifikisha mpaka mwezi 5-6.
      Finisher 6-7 kwenda sokoni
      Samahani nilirekodi nikasahau kuweka sawa hiyo taarifa

    • @gonsalvamswaga6471
      @gonsalvamswaga6471 11 หลายเดือนก่อน

      @@mulapfarm9664 japo sijui kwanini nakubali tu ila sikubaliani yaani KOUDJUS mfano 20/15 ni ile ile zinatofautiana tu mchangano kwa kiasi ndio hapo pananishinda kujui hapa ni starter na hapa ni grower

  • @MartinLugwisha-qe7qs
    @MartinLugwisha-qe7qs หลายเดือนก่อน

    Jike wa kupandwa chotara bei gani

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  หลายเดือนก่อน

      @@MartinLugwisha-qe7qs tupigie kwa biashara

  • @franklinisaya4796
    @franklinisaya4796 หลายเดือนก่อน

    Je unaweza kulisha chakula cha dukani peke yake bila pumba na ukapata faida?

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  หลายเดือนก่อน

      @@franklinisaya4796 Piga mahesabu ya biashara nzima ndio utapata faida

    • @franklinisaya4796
      @franklinisaya4796 หลายเดือนก่อน

      @mulapfarm9664 na ndio ninachotaka kufanya asnt kwa ushauri

  • @GasperLema-e9h
    @GasperLema-e9h 22 วันที่ผ่านมา

    Mifuko mitatu ya kilo ngapi

  • @RichardSianga
    @RichardSianga 9 หลายเดือนก่อน

    Wapi jamani na wakuchinja unauza

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 ปีที่แล้ว +1

    kwenye fomula ya Koudjus hakuna mchango wa soya

  • @amanirighton8148
    @amanirighton8148 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba zenu, na jinsi ya kupata

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  5 หลายเดือนก่อน

      @@amanirighton8148 tucheki kwa manunuzi 0659770886

  • @IvanKamatete
    @IvanKamatete 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naitaji Namba yako please

    • @mulapfarm9664
      @mulapfarm9664  6 หลายเดือนก่อน

      @@IvanKamatete 0659770886