ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
MAMA MZAZI WA MCH. DKT ELIONA KIMARO AKIELEZEA MAISHA YA MWANAE
ความคิดเห็น • 188
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO)Rev. Dr. Eliona Kimaro
มุมมอง 29K
MCHUNGAJI KIMARO ASAMEHEWA, ABUBUJIKWA MACHOZI KANISANI "UMESAMEHEWA ENDELEA KUTAFAKARI"Millard Ayo
มุมมอง 202K
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAMA MCH. KIMARO AKITOA USHUHUDA WA MTOTO HUYU!Rev. Dr. Eliona Kimaro
มุมมอง 59K
ช่วยผมหาแมว ใน มายคราฟ!MinerKunG
มุมมอง 137K
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣DADDYSON SHOW
มุมมอง 29M
World’s Largest Jello PoolMark Rober
มุมมอง 10M
#PART 1: MCHUNGAJI HANANJA - ''KUZAA SIO KIGEZO CHA NDOA, NILIOA NIKIWA NA MIAKA 40'' | HARD TALKGlobal TV Online
มุมมอง 108K
SURPRISE YA MCHUNGAJI KIMARO YAIBUA SHANGWE KANISANI ALIVYOINGIA KUFANYA IBADAMillard Ayo
มุมมอง 85K
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA JINSI MWANAMKE ALIVYOIBIWA MUMERev. Dr. Eliona Kimaro
มุมมอง 57K
FULL VIDEO: MCHUNGAJI KIMARO ALIVYOCHANGISHA MIL 425 KANISANI, “ILIKUSUDIWA MIL 400”Millard Ayo
มุมมอง 33K
Profesa Safari aelezea sababu ya kujitenga na siasa, asema "Siwezi kuwa chawa, najitoa kafala"Mwananchi Digital
มุมมอง 26K
Radkin Honzák: Děsí mě analfabetismus dnešní mládeže. Společnost nedrží pohromaděČeský rozhlas Radiožurnál
มุมมอง 511K
REV. DR. ELIONA KIMARO: HUWEZI KUFANIKIWA HADI UMINYWE KAMA MBEGU YA ALIZETIRev. Dr. Eliona Kimaro
มุมมอง 33K
The most disgusting thing in the world 🤢 #food #cooking #funny #relatable #comedy #humor #sketchLa La Laugh! Shorts
มุมมอง 2.7M
วิกฤตเงินลาวหายนะ เศรษฐกิจพังจากหนี้สิน! | Highlight | แฉ 23 ก.ค. 67 | GMM25GMM25Thailand
มุมมอง 752K
มวยมันส์วันศุกร์ 26/07/2024True4U
มุมมอง 65K
Liverpool 1-0 Real Betis | Pre-Season Friendly | Match HighlightsbeIN SPORTS Thailand
มุมมอง 124K
They're walking on air 🤯America's Got Talent
มุมมอง 6M
พี่ล้อเลียนฉี่แตก #hahaatv #ตลก #แม่สุน้องซูกัสHeHaa TV
มุมมอง 1.7M
Summer shower by Secret VlogSecret Vlog
มุมมอง 3.6M
Hakika Mungu anastahili kutukuzwa Kwa ajili ya Mchg. Eliona. Hakika Mama wewe ni Mzabibu Mwema. Umeongea vema na unajua kujieleza vizuri kama mwanao. Baada ya Dhiki faraja. Hakuna aliyemtegemea Mungu akaaibika. Tena Mungu huwainua wanyonge kutoka jaani na kuwaketisha na Wakuu. Hongera sana Mama. "KICHA ULETARAMO MAE"
Waooow mama ! Nani Kama mama jamani! So inspiring! Ama kwa Hakika ukimtumikia Mungu , Baba atakuheshimu
Hongera sana mama umenifanya nilie machozi .nimekumbuka soma la mchungaji from bitter to better. Ubarikiwe mama
Amen 🙏. Nimefarijika sana na maneno ya Mama wa Mchungaji. Mungu Azidi kukutunza Mama pamoja na Dr. Eliona. Kwa kweli Amekuwa baraka si kwako tuu bali hata na sisi wa madhehebu mengine. Barikiwa sana Mama
Jamani nimefurahi kumuona mzaa chema wetu ,mama Mungu azidi kukutunza uzidi kuona baraka za Mungu kwa mwanao wajukuu hata vitukuu !!
Rev. E. Kimaro alitengwa na MUNGU tangu tumboni mwa mamake, Kibali cha MUNGU kiko juu yake, Be Blessed Reverend
Mungu akutunze sana Mama. Mungu akumbuke sadaka zako akupe umri mkubwa.
Baraka zako ndizo zimemuweka alipo Leo!
Hili linatufundisha kuwakumbuka wazazi wetu ili tubarikiwe.
MUNGU akutunze sana mama!
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Bwana, kwa hayo uliyofanya kwa wazazi, hakika bado kuna mahali Mungu atakufikisha. Endelea kubarikiwa. Mungu pia ampe maisha marefu mama yetu, nawapenda.
Mama yangu, haki yako bado haijakamilika, Mungu akipenda mpaka uitimize haki yako☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Ameni hongera mama kwa marezi mazuri nafurahi uwepo wake na huduma yake
Waooooo, so inspiring, kweli MUNGU humtoa mtu chini na kumpandisha juu
Chamecha mae mama Shayo mwimbaji mzuri sana kwaya ya tumaini Kondeni Matala pongezi sana jirani yetu Mungu azidi kukutunza mama
Wow👏👏👏👏👏
Jamaani!!! Mama anaongea vizuriiii!!! Mungu akujalie mama uishi miaka mingi na uwe Na uzimaaa.
Yaani huyu mama anaongea kiswahili kilichonyooka ile mbaya.. yuko vizuri. Ni mwalimu au???
Ameeeeeen, Mama Kimaro uzidi kubarikiwa na familia yote.
Hapa ndo tunapoona ule msemo wa Mwakasege Christopher ..ukimtumikia Mungu huzeeki
Mungu ambariki Sana mama yetu shayo mungu akupe maisha marefu
Walioangalia hadi mwisho gonga like kwangu
❤ UBARIKIWE MAMA MZAZI WA MCHUNGAJI
🥲🥲mpk machozi yamenitoka kwa furaha ya mama anavyompa Baraka mchungaji wetu Eliona Kimaro, mama Mungu akutunze 🙏🙏
Asante Mama yetu Kwa baraka zako Wafilipi 1:6, Kumb.28:1-14 ziwe zake na Kumb. 28:15-68 ikawe ya maadui zake.❤ Amina.
Umefanana na mwanao. Hongera sana mama kwa uzao ulio barikiwa. Mungu azidi kukubariki mama yetu. Hata sisi waumini tunampenda sanaaa❤❤❤❤
Kweli wamefanana mnoo
NIMEFURAHI MNOOO kusikia ushuhuda wa Mama MZAZI wa Dr ELIONA KIMARO, mchj Kiongozi, kkkt KIJITONYAMA. MUNGU akupe MAISHA marefu Mama na UZAO wako wote. Umebarikiwa SANA kwa kweli.
Chamecha mae. Mungu azidi kukubariki mama. Hakika mama wa umri wako kufanya interview nzuri hivi ni neema iliyopitiliza. Nimejifunza mengi sana kuhusu baraka za wazazi.
Nimelia sana.
Kumbe ametoka mbali huyu mchungaji jamani!
Mungu azidi kumuinua kwa utukufu wa Mungu ❤
Mungu awatunze
Kweliiiii mmefanana sanaaaaa Mama na mtoto hata lafudhi yenu wachaga oG hongera sanaaaaa Mama kwa kumzaa
Eliona Kimaro mchungaji wa faida kwa watanzania mi niko dayosisi ya kasikazini magharibi DKMG ila namfatilia sanaaaaa mchungaji wetu kipenziii Eliona kwenye mitandao yetu 🙏🏼
Hakika Baraka za mama zina nguvu sana hapo ndipo nguvu za Eliona zilipojikita. Asante baba
Wow Hongera sana Balasi. Mungu akubariki sana sana. Mama she is proud of you. UMEBARIKIWA MCHUNGAJI.
Amina Mama Yetu Wa Nguvu Ubarikiwe SANA Mungu Asimame Nanyi Imekuwa Ni Nuru Katika Taifa letu la Tanzania na hata Nje Ya Tanzania Mungu Asimame Nanyi Anamuchango Mkubwa SANA
Bwana YESU na mimi nipe kibali mbele zako katika uzao wangu atokee mmja kuweza kukutumikia na mm niitwe mama wa Mtumish wa MUNGU in JESUS name.
Hyuy ni Yusufu wa hiyo familia Mungu amuinue zaidi na zaidi.
Mungu akazidi kubariki uzao wa tumbo lako mama angu pamoja familia nzima wa Rev. Eliona Kimaro. Mbarikiwe sana
Nimefurah Sana kumuona mama kimaro kimaro amefanyika Baraka kwa wengi mimi nikiwa sehemu Mungu awape umri mrefu
Na watoto wako wooooote na uzao wakoo wooooote uzidi kubarikiwa zaidi na zaidi sana kupitia jina la Mwenyezi Mungu
Mch eliona Mungu akubariki kumfurahisha mzazi na mzazi azidi kufurahi ndipo baraka zako zitaongezeka
Jmn kupata mzazi kama huyu nibaraka tosha😭😭😭😭 Machozi ya furaha sanaa, Baba Eliona Kimaro uinuliwe zaidi ❤❤
Mama mzaa chema Asante kwa ushuhuda huu..Mchungaji Kimaro amekula baraka sana kwa watu wengi. Mungu ampe maisha marefu.azidi kuinua huduma yake aliyomuitia.Ameeeen
Jaman mama Mungu amesikia maombi yako mama kwa Mch Kimaro amekuwa Baraka kwa watu wengi nw kwa mataifa yote
Mungu azidi kukufanya baraka Kwa wengi mchungaji kimaro tujifunze wazazi kuwaombea watoto baraka na kuona vipawa vyaa🙏🙏🙏
Mama hukumpa hela ila ulompa baraka kubwa sana mchngj na tunaiona,Mungu akutunze mama na Mchungaji pia
Uwiiii ndomn baba unasema tuanze kufanya kz nyumbani,bibi Asante kwa kutuzalia mchungaji mwema
Tulicho jufunza kwenye hii interview apatae baraka za mama basi amepata kibali cha mungu. Tuwatunze wazazi wetu baraka zao ni silaha kubwa sana katika harakati za kutafuta
Barikiwa sana Mama.
Mchungaji Kimaro amekuwa Baraka kwa wengi na naamini Baraka zimeanzia kwako Mama.
Tunamwombea sana Mchungaji wetu Dr. Kimaro.
Mama Ubarikiwe sana!!!
Wow ushuhuda wa nguvu mama mzaa chema Mungu akubariki.
Hongera sana mchungaji kimaro.
Mama umebarikiwa sana.Mungu apewe sifa
Great Testimony from Mame.yetu!! Ubarikiwe daima Mama!! Kama maandiko yana vyosema luka 11:27 Heri tumbo lilomzaa Mch. Eliona!! Maana mwanao anatubariki sana !
Hatasisi wa madhehebu mengine tunabarikiwa sana na mchungaji Eliona Kimaro.
Barikiwa sana mama kwa malezi yako.
Zaidisana ashukuriwe Mungu wetu wa mbinguni.
Anafanana na mama yake sana hadi jinsi anavyo ongea Mch Eliona ni kama mama yake
ni kweli alitufundisha sunday school Matala wakati huo tunasali kwenye madarasa ya shule ya msingi MAWENI , MAMA NAMI NAOMBA BARAKA ZA HAYO MAJANI YA KAHAWA😘😘😘
Bibi yangu kipenz Mungu Akulinde siku zote.
Amen Amen 🙏, mama asante kwa kumbariki Mchungaji, EEEH MUNGU Bariki Sala za mama Mchungaji na Mchungaji Eliona, pia sala zetu tunazomuombea Mchungaji na wachungaji wote ulimwenguni.
Kweli wazazi ni Mungu wa pili duniani, akikubariki unabarikiwa
Mwenyezi Mungu akujaliye umri mrefu Mama etu akuondoshee na baraa mbali mbali
Tunamuombea sana zaidi. Mungu aendelee kumuonekabia. Akapandisgwe juu zaidi kila iitwapo leo 🤲barikiwa sana mama na uzao wako 🙏
Ee Mungu mkumbuke Nathaniel wangu aje kuwa kama Eliona Kimaro akupende wewe kwa moyo wake wote na kukutumikia . Amen
Hongera sana mama kwa uzao uliobarikiwa,Mungu akutunze na amtunze mch Eliona kimaro
Wow..this is deep😢...Mungu aendelee kumbariki Mchungaji Eliona
Ameen Ameen mama, tunamuombea pia mchungaji Dr.Eliona Kimaro kwa makubwa anayo yafanya. Naomba hii clip imfikie yule mchungaji Hananja, shetani alitaka kumtumia kuaribu sifa ya mtu lakini kashindwa kwa jina la Yesu.
Mungu akutunze sana Mama Mtumishi I tap the grace 🙏 ❤
Hakika Mungu ni mkuu amuinuaye mnyonge kutoka mavumbini na kuketi na wakuu.Ubarikiwe tumbo lililozaa mbarikiwa.Kweli hatima ya mtu IPO mikononi mwa Mungu na yeye ndo aijuaye kesho ya mtu
Wonderful,Amen Mama mzaa Pastor
Siku zote Baraka huanzia kwa wazazi wako MUNGU Ni mwema Sana
Mungu aendelee kuifunika hii family kwa utukufu mwingi ili uwe ushuhuda kwa wengi.baraka za mungu hazina majuto
Mama mwenye hofu ya mungu mungu akubariki mama kwa kumwonyesha mtto wako njia ilio njema mungu kwanza nayote tutazidishiwa barikiwa bibi yetu
Amen mama Mungu atukumbushe kuwatunza wazazi Wetu. From bitter to better. Hakika Nitakwenda
Kwa kweli acheni Mungu aitwe Mungu, chotaramwo mae mtia moyo uzidishiwe miaka mingi mingi ubarikiwe sana sana
Mama nakupenda kweli ndio maana hata Mungu Baba aliweka kitu chema tumboni mwako hata unavyoongea nikweli kabisa sababu unaongea ukweli
Mungu akutunze mama, mbegu njema uliyoipanda imefanyika baraka kwa dunia nzima, Mungu akupe miaka mingi uzidi kuona matendo makuu ya baraka anayoyatenda mwanao kwa maaada wa Mungu anayemtumikia
Mama nimekupenda....
Amen mama nasi tunayashuhudia Mungu amtangulie azidi kuwa baraka kwetu ❤
Pole mama Mungu amekulipa haki yako.
Mama yetu kipenziii aliye tuzalia mchungaji wetu kipenziii mhe. Dkt Eliona Kimaro mchungaji wetu wa Kanisa la Kinjili la Kilutheri KKKT DMP Mwenyezi Mungu awalinde Mama na mwanae 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
😢😢
Amen, asante sana Mama
Mungu akubariki mama
Mungu ambariki mama na kila aliyefanyika daraja kuhakikisha Mchungaji Eliona yupo alipo leo
Neno la Mungu ni ndio na ni amina Zaburi ,112:1-3.
Yani jamani mama kanitoa machozi uzidi kubarikiwa sana Mchungaji
Huyu mchungaji atakuwa mkubwa zaidi ya hapa halipo kwanza anapendwa na Mungu pia na wanadamu, Mungu akutunze baba
Mama hongera sana kwa maombi mazuri ya mafundisho Mchungaji Kimaro ataendelea kuwa baraka.
Mungu amtunze kwa ajili ya dunia. Tunakupenda pia mama na mchg wetu
Hongera sana mama mdogo wangu Mungu aendelee kuwainua.
God's blessing makes rich and adds no sorrow
This is blessing ❤
kweli mungu abariki na kutanua huduma yake eliona amefanyika jeshi la fanilia na kunguru wakuleta mkate nyumbani
Amina mama Mungu azidi kuwatunza , umetoa ushuhuda mzuri sana .
Mama aliye ndani ya Yesu hata anapoongea unauona utukufu wa Mungu
Barikiwa mama kwa malezi bora umemlea na kumtunza vema kuhani wa Mungu
I am super moved. Yesi asante
Hongera mama umetuzaliya mtoto mzuri Wote tunamuombeya
Nimeshangaa bibi yangu katoka wapi huku hakika duniani wawiliwawili siyo kwa kufanana huku
Kwenye familia huwa anatokeaga mmoja wa tofauti.
Hakika imekua historia ya Baraka sana nimeskiliza nikilia tu,huyu Mungu anaeinua wanyonge toka mavumbini na kuwaketisha na wakuu aikumbuke na nyumba ya Baba yangu
Ameen Mungu
akutunzwe na akupe afya njema na akutunzwe mama
He kumbe na baba alikuwepo !
Pole mama una haki ya kuwa.mama.
Amen mama ubarikiwe kuzaa mtumishi
Nimeipenda sana hii video ushuhuda wa mama, lakini masikitiko yangu ni mtengeneza video hajatuonyesha nyumba na makazi ya huyo mama aliyojengewa na Mch. Dkt Eliona
Mungu tenda na kwangu
Hiki kipawa cha Eliona amekipata kwa mama yake ona anavyoa jua kuongea kuongea Mungu aendelee kumwinua
Asande mama mzaa chema Mungu akubaliki sana akupe miaka mingi yakuishi duniani
Kwa baraka hizi za mama shetani atapitia wapi?...
Mithali 23:25. Na wafurahi baba yako na mama yako na AFURAHI ALIYEKUZAA, sbb umefurahisha wazazi Mungu amekufurahisha mch eliona uzidi kubarikiwa na pia umebariki wengi hata ambao sio ndugu zako
Lyangoyo😊😊Mungu wa mbinguni aibariki siku aliyozaliwa ...