Mama Rose Muhando ebu iangalie kwanza Interview sio unasema kwamba utanishtaki sasa mtu ata akitoa maoni yake mazur bado unakataa? how inakuwaje hii kama kwenye io interview huyo mtu amekuzungumzia kwa mema kabisa ya kumpendeza Mungu na binti alivyotumia nyimbo zako kuziimbia Mashup bado unakasirika Dah inanishangaza hata hii
Hapa roze,unakulupuka nimetazama video yote ajakuzungumzia kwa mabaya usiwaonee vijana.wanazungumzwa wakina #diamond tena kwa ubaya usizeeke vibaya tena kemea pepo
Mama Rose Muhando ebu iangalie kwanza Interview sio unasema kwamba utanishtaki sasa mtu ata akitoa maoni yake mazur bado unakataa? how inakuwaje hii kama kwenye io interview huyo mtu amekuzungumzia kwa mema kabisa ya kumpendeza Mungu na binti alivyotumia nyimbo zako kuziimbia Mashup bado unakasirika Dah inanishangaza hata hii
Mamangu, malkia wetu wa injiri hajakuhusisha kwa ubaya nimesikiliza mpaka mwisho ameomba tu umsapoti kwa namna yoyote ile binti yako LIDYA hata kwa kumshika mkono wewe mwenyewe au kumpa connection na watu watakao mshika mkono mama etu watanzania tunakupenda❤❤❤❤❤
Acha kukurupuka Malkia sikiliza kilichozungumzwa, mnawaza kuongelewa vibaya muda wote mkisifiwa bado ni ubaya... hatuwezi kuacha kuongea ikiwa Bado tunaishi iwe mazuri tutasifia na mabaya tutakemea 🤔
@@Moviearenatzrose hajapotea wewe ndiyye huna muda wa kumsikiliza rose yupo sana lakin pia hiyu anayejibu sio account halali ya rose muhando please mpuuzieni huyu
Ngoja uone umezidi nimekaa kimya but umekazana kunitafuta Nimechoka
Mama Rose Muhando ebu iangalie kwanza Interview sio unasema kwamba utanishtaki sasa mtu ata akitoa maoni yake mazur bado unakataa? how inakuwaje hii kama kwenye io interview huyo mtu amekuzungumzia kwa mema kabisa ya kumpendeza Mungu na binti alivyotumia nyimbo zako kuziimbia Mashup bado unakasirika Dah inanishangaza hata hii
Sio rose muhando huyu anaejibu hapa @@zonemedia_tz
@@zonemedia_tzhii sio account ya Rose ni fake
Hapa roze,unakulupuka nimetazama video yote ajakuzungumzia kwa mabaya usiwaonee vijana.wanazungumzwa wakina #diamond tena kwa ubaya usizeeke vibaya tena kemea pepo
Weeeh kwa utaishi bila kuzeeka
Unajuwa nitakushitaki ,maana unanihusisha na vitu nisivyo ijuwa Endelea
Mama Rose Muhando ebu iangalie kwanza Interview sio unasema kwamba utanishtaki sasa mtu ata akitoa maoni yake mazur bado unakataa? how inakuwaje hii kama kwenye io interview huyo mtu amekuzungumzia kwa mema kabisa ya kumpendeza Mungu na binti alivyotumia nyimbo zako kuziimbia Mashup bado unakasirika Dah inanishangaza hata hii
Mamangu, malkia wetu wa injiri hajakuhusisha kwa ubaya nimesikiliza mpaka mwisho ameomba tu umsapoti kwa namna yoyote ile binti yako LIDYA hata kwa kumshika mkono wewe mwenyewe au kumpa connection na watu watakao mshika mkono mama etu watanzania tunakupenda❤❤❤❤❤
Anayejibu sio rose Muhando jaman, rose ana account moja Tu na sio hii inayotumika humu
don't u understand ?
@@BethuelofficialTz kweli bhana sio yeye
Cjaona shida kwenye ubunifu wa content dhidi yako,mfatilie mchambuzi utaelewa vizuri
Unajuwa nitakushitaki ,maana unanihusisha na vitu nisivyo ijuwa Endelea
Tena unatakiwa tushukulu hata hizi media zinazokuongelea maana ulisha potea
Kwenye hizi content za huyu LYIDIA sijaona kibaya kilichosemwa juu yako.ukiamua kwenda mahakamani nenda ila hii media Bado ipo safe
Acha kukurupuka Malkia sikiliza kilichozungumzwa, mnawaza kuongelewa vibaya muda wote mkisifiwa bado ni ubaya... hatuwezi kuacha kuongea ikiwa Bado tunaishi iwe mazuri tutasifia na mabaya tutakemea 🤔
Sio account ya rose hii @@mr.tongenyama
@@Moviearenatzrose hajapotea wewe ndiyye huna muda wa kumsikiliza rose yupo sana lakin pia hiyu anayejibu sio account halali ya rose muhando please mpuuzieni huyu