Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mnajuwa ccm Ina petrol stesheni karibu 20 na nyumba za kupagisha karibu 200 tanzani yote kabla ya magufuli kinana alikuwa msimamizi wa Mali za ccm pesa hazionekani magufuli Kuja malizote zikawa chini ya Chama kinana ndie alie azisha magurupu KWENYE ccm
Combrade Kinana ana yake kama ambavyo ndani ya ccm hawaendi pamoja wala tusimtafute ubaya kwasababu ingawa kila mara hutuletea chupa mpya,lakini ndani yake mvinyo ni uleule wa zamani usionoga tena!...
Mmmmmh Mmmmhh. Ee Mungu wewe muweza wa yote uonaye ndani ya mioyo yetu sote. Kwa huruma yako ee Baba yote yawe kwa kadiri ya mapenzi. Uturuhumie. Amina.
Mzee kinana nimtu mwema sana kwa viongozi niliopata kuwaona hapa nchini.Sijajua vitu vya ndani ya nafsi ya mtu.Lkn kidhahiri huyu mzee ni mnyenyekevu sana
Muwe mnaekeza vizuri sio juju inatakiwa serikali ziwekeze kila mkoa kulingana na mazao yanayo patikana kila mkoa na inawezekana bahati Tanzania kuna mazao yanapatikana mikoa tofauti na itakuwa kufanya biashara kwa vijana
Kuna wàtu wawili waliishi Mika kumi na saba mwanaume alioa mwanamke mwingine !! Walipokwenda mahakamani mwanamke hakupata kitu makama yilitaka aonyeshe cheti cha ndoa ambacho hakuwa nacho!!
Aliyekua mzuri ni Nyerere aliyeanzisha Tanu na baadae ccm1977,na katiba hii, aliwamudu watoto wake wa chama kila kona lakini baada yake hakuna ambaye aliondoka bila doa au madoadoa....kila aliyepokea kijiti alijikwaa kwa namna yake...wengine wametuachia vitabu ambavyo wala ccm haijishughulishi navyo popote.
Jamani muda wa kustaafu ukifika watumishi wanapaswa kupumzika..mbona ni kama hamna hoja..mmekaa wapoteza muda kujadili mada mfu..ndio shida ya makanjanja wa tasnia ya habari
Hivi huwa wanastaafu Mara ngapi? Huyu muhuni wa Polepole alistaafu kwa JPM , akarudi tena kwa Samia. Kurudi kwake ilikuwa kejeri kwa JPM. Leo tena sababu ni zile zile. Nyang'au la Tembo hafai hata kwa dawa.
Bila kufa kwa Majambzi watat yaani Kinana, kikwete na wengine nchi hii hatakuwa shwali. ujambazi wao unafikia mwisho. yanajiona bila majiitu haya hakuns nchi.
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mrudishe Dr Bashiru
Hongera mzee wetu Kinana ss tunapenda wanasiasa wazalendo
KINANA amechukizwa na kutenguliwa kwa vijana wake wawili wizarani yaani makamba na nape
Jamani tunaomba wasituulie makonda. Tumebakisha huyo. Tu
Wa kufanya nini
Labda kwako lkn sio kwa wazalendo wa taifa hili
Mjadala mzuri sana huu!
Makonda yuko wapi
Kiongozibalikuwa nyerere, magu, na makonda , ila wengine sijuagi kazi zao
Mpasuko rasmi CCM The real political battle begins now.Kazi iendelee
Mmmmmmm? Kwani makonda.yupp wapi
Kinana ni msaliti nimpigaji mkubwa kweye ccm sababu ya kujiuzuru Kwa ajili ya makamba na nape wote watatulia ni hatari wapigaji wakjbwa
Mnajuwa ccm Ina petrol stesheni karibu 20 na nyumba za kupagisha karibu 200 tanzani yote kabla ya magufuli kinana alikuwa msimamizi wa Mali za ccm pesa hazionekani magufuli Kuja malizote zikawa chini ya Chama kinana ndie alie azisha magurupu KWENYE ccm
Combrade Kinana ana yake kama ambavyo ndani ya ccm hawaendi pamoja wala tusimtafute ubaya kwasababu ingawa kila mara hutuletea chupa mpya,lakini ndani yake mvinyo ni uleule wa zamani usionoga tena!...
Kwani kweli makonda yuko wapi
Mmmmmh Mmmmhh. Ee Mungu wewe muweza wa yote uonaye ndani ya mioyo yetu sote. Kwa huruma yako ee Baba yote yawe kwa kadiri ya mapenzi. Uturuhumie. Amina.
Huyo mpuuzi sana
Amezeeka aondoke kabisa
Mzee kinana nimtu mwema sana kwa viongozi niliopata kuwaona hapa nchini.Sijajua vitu vya ndani ya nafsi ya mtu.Lkn kidhahiri huyu mzee ni mnyenyekevu sana
makamu watamuweka peter Msigwa
Baada ya ya Maakamba na Nape kupinduliwa ndio kaona Ajiuzuli
Mnataka kinana abaki mpaka lini,ni mtu mzima yule mwacheni akapumzike,mbona ccm inahazina kubwa ya watu,,
Ee Mungu lihurumie taifa letu. Wewe pekee hakuna mwingine.
Wamemkosa kama mh makonda na wapo wengi wanaowawekea sumu hasa wanywaji wapo hatalini
Magufuri alikuwa nabii wote aliowatosa wakaludishwa tena ndio haohao wasumbufu kwe😢🎉😮
Mjadala huu una mashiko, ni mzuri
Huyo mwandishi changamoto
Muwe mnaekeza vizuri sio juju inatakiwa serikali ziwekeze kila mkoa kulingana na mazao yanayo patikana kila mkoa na inawezekana bahati Tanzania kuna mazao yanapatikana mikoa tofauti na itakuwa kufanya biashara kwa vijana
Kuna wàtu wawili waliishi Mika kumi na saba mwanaume alioa mwanamke mwingine !! Walipokwenda mahakamani mwanamke hakupata kitu makama yilitaka aonyeshe cheti cha ndoa ambacho hakuwa nacho!!
Kwa Nini amejiulu badala ya kustaafu
Kuna msiabila yanatia aibu kuhari kina dada eti ni tamaduni wakati zimepitwa na wakati harafu utakuta Hadi viongozi wanashabikia
Aliyekua mzuri ni Nyerere aliyeanzisha Tanu na baadae ccm1977,na katiba hii, aliwamudu watoto wake wa chama kila kona lakini baada yake hakuna ambaye aliondoka bila doa au madoadoa....kila aliyepokea kijiti alijikwaa kwa namna yake...wengine wametuachia vitabu ambavyo wala ccm haijishughulishi navyo popote.
mbona mapema!!?? mafisi wakipanda midadi wanaanza kuviziana na kuparurana..!! Ivi ukishaachiwa kamba ndeeefu ukaaaale, uchu nao unakua mreeeefu, 'nukuu ya Mama Tibaijuka...ukitanuliwa zaidi tamaa inakuwa kubwa zaidi'
Tulisema Msigwa atakipasua CCM hii la kinana ni mwanzo
JPM anawatafuna one by one Bi Sasha nae lake laja
We acha Bwana kinana ataondoka na CCM itasimama wazazi wakifa familia inakufa? Acha mawazo mgando
Jamani muda wa kustaafu ukifika watumishi wanapaswa kupumzika..mbona ni kama hamna hoja..mmekaa wapoteza muda kujadili mada mfu..ndio shida ya makanjanja wa tasnia ya habari
Vizuri sana kinana kungatuka. Waswahili usema hakuna marefu yasiyo na ncha
Hivi huwa wanastaafu Mara ngapi?
Huyu muhuni wa Polepole alistaafu kwa JPM , akarudi tena kwa Samia. Kurudi kwake ilikuwa kejeri kwa JPM. Leo tena sababu ni zile zile. Nyang'au la Tembo hafai hata kwa dawa.
Kinana kilichomuondoa ni igizo jipya la Msigwa hakutaka huyo tapeli ajiunge CCM
Mtoeni huyo ana jipya yeye anaelewa makubaliano ya Toka kuteuliwa kwake katika nafasi hiyo baba levo watu kama hao anawaita wehu mtoeni hapo
Maamuz ya mtu kaamua mwenyeye swala ngoja ngoja ndoo yanaleta taharuki ya viongozwetu ,
Acheni umbea
MASAI HUELEWEKI
MICHANGO YAKO HAIJANYOOKA
Bila kufa kwa Majambzi watat yaani Kinana, kikwete na wengine nchi hii hatakuwa shwali. ujambazi wao unafikia mwisho. yanajiona bila majiitu haya hakuns nchi.
GLOBAL MSIZUNGUKE MBUYU, HUYO NI TEAM ,AKA,MBA NA NAPE, HAWEZI KUWA NA AMANI WAKATI VIJANA WAKE WAKO NJE YA CHUMBA
Aondoke huyo mshenzi