Bwana yesu naomba unikumbuke ukumbuke sadaka zangu ukaniokowe na wachawi wanaotesa maisha yangu Kwa magonjwa yakutengenezwa Anza na baba uniokoe asante mfalme
Amen amen,asante Bwana Yesu kwa ushuhuda mpya unanipatia,napokea uponyaji,napokeya mme sahihi kwamaisha yangu, napokeya kila jambo kutoka mbinguni in mighty name of Jesus Christ,amen.
Baba Mungu nakuomba Bwana uwatembelee watoto wangu wakati yenye wanajiandaa kwenye mtihani wako ooo yesu nawaweka mikononi mwako usiwaache Bwana wape afya wape kibali nawaombea kufaulu katika mitihani iliopo mbele Yao yesu ninakuamini na hujawai kuniaibisha nimekutumainia Bwana nitende Tena na Tena yesu wewe ni nuru yangu Asante bwana Amen
Asante bwana yesu kwanilinda nandani ya mwaka huu napokea ndoa takatifu ninafuta Kila walicho niandikia maadui zangu nisiorewe nitaoreo kwajina la yesu napokea neema
Namshukuru mungu kwa ibada hii ya kuvushwa kusiko kwakawaida hakika nmemuna mungu katika ibada hii maisha yangu yamevushwa namshukuru mungu sana ubarikiwe sana mtumishi wa mungu alie hai Amen
Napokea kurejeshewa kwa yote yale ambayo adui alikuwa amechukua kutoka katika familia yangu. That is,mapato,furaha ya ndoa,maisha marefu ,uzima nk katika jina la Yesu Kristo.
Amina MUNGU naona ukibadilisha historia ya kukataliwa kwetu na maden yote unaenda kujfungua milango ya kulipa yote naona adui zangu masikio yakiwawasha ❤❤❤🎉
Ndani yangu Mimi gladness mungu utende tendo juu ya afya yangu nipone mateso ya kuugua miaka mitatu bila kupona bali mateso yanaongezeka ukafute yote Kwa jina la yesu alie hai
Napokea uponyaji wangu wa kifua,tumbo na familia yangu kwa ujumla tunafunguliwa kwa jina la yesu ,yote yanawezekana kwake yeye aaminiye ,na mimi naamin imekuwa napokea napokea napokea 🙏🙏
Baba mungu naomba unisaidie maisha yanguu yawe katika njia yako bariki wadogo zangu wakafanikiwe kwa damu yako amen
Yesu gusa uchumi wangu gusa uzazi wangu na watoto wangu gusa biashara yangu
Eee Yesu komboa uzazi wa tumbo langu na urejeshe Kila nilichopoteza kwenye maisha yangu. Amen
Bwana yesu naomba uanze namimi bwana wangu akili yangu imefika mwisho nakuomba unikukumbuke bwana katika biashara yangu🙏🙏
Bwana yesu naomba unikumbuke ukumbuke sadaka zangu ukaniokowe na wachawi wanaotesa maisha yangu Kwa magonjwa yakutengenezwa Anza na baba uniokoe asante mfalme
Asante yesu kwa neno lako naonba milango yangu ya uchumi ifunguke kwajina la yesu naomba pia watoto wangu waache kukojoa kitandani
Hee Mungu wangu 🙏 naomba ukayatowe maish yangu ndani yakambi zamasiku nakuninyanganyiy waliyo beba maishni mwangu nakui bariki Pia safari yangu
Asante yesu kupitia neno uliloliachia kwa mtumishi wako linaenda kutimia kwenye Afya yang na uchumi wang
Amen amen najiunganisha katika Jina LA Yesu amen
Asante yesa asante yesu bwana kupitia neno lako naomba unijalie niweze kulipa maden yote naomba unijalie riziki niweze kuwalea watoto wangu
Bwana naomba unikumbuke katika biashara yangu ukaitakase kwadamu ya yesukiristo ikapate kibali machoni pawatu kwajina la yesu 🙏🙏
Asante yesu katka masaa haya katika jina la yesu
Amen amen,asante Bwana Yesu kwa ushuhuda mpya unanipatia,napokea uponyaji,napokeya mme sahihi kwamaisha yangu, napokeya kila jambo kutoka mbinguni in mighty name of Jesus Christ,amen.
Baba Mungu nakuomba Bwana uwatembelee watoto wangu wakati yenye wanajiandaa kwenye mtihani wako ooo yesu nawaweka mikononi mwako usiwaache Bwana wape afya wape kibali nawaombea kufaulu katika mitihani iliopo mbele Yao yesu ninakuamini na hujawai kuniaibisha nimekutumainia Bwana nitende Tena na Tena yesu wewe ni nuru yangu Asante bwana Amen
Amen
Asante MUNGU wangu naomba unirengeshee nyote yaliyoibiwana adui
Asante bwana yesu kwanilinda nandani ya mwaka huu napokea ndoa takatifu ninafuta Kila walicho niandikia maadui zangu nisiorewe nitaoreo kwajina la yesu napokea neema
Namshukuru mungu kwa ibada hii ya kuvushwa kusiko kwakawaida hakika nmemuna mungu katika ibada hii maisha yangu yamevushwa namshukuru mungu sana ubarikiwe sana mtumishi wa mungu alie hai Amen
Nimepokea kwa jina la Yesu kriso wa Nazareth Alie hai 👏 mungu akubaliki Sana mtumishi wa mungu 👏
Mungu na itaji mabadiliko kwenye viashara yangu nijaliye nyingine vile utakavyo wewe
Amen Amen Amen nahamini yesu hatatenda kwa Jina lake
Napokea kurejeshewa kwa yote yale ambayo adui alikuwa amechukua kutoka katika familia yangu. That is,mapato,furaha ya ndoa,maisha marefu ,uzima nk katika jina la Yesu Kristo.
Naomba Mungu anipe kibari Cha kwenye biashara.na nguvu ya maombi
Naomba mungu aniponye magonjwa yayonisumbua yote
Eee mungu wangu anza na mimi yesu masaa haya
Asante yesu kristo wanazareti uliye hai nakukabidhi kesi ambayo ni tarehe 30 ikaweze kuisha na nìkashinde kwa jina la yesu kristo wanazareti uliye hai
Asante Bwana Mungu ameniponya wanadamu walitaka wanimalize Bwana akaniponya
Ndoto mbaya zilizonisumbua baba,niokoe yesu
Asante mungu wangu kwa asubuhi ya Leo kupitia haya maombi nikapate kazi nikapate naomba kibali yesu Anza na Mimi ee bwanaaa Aminaaa
Yesu naomba heshima na hekima yaani ukaniheshimishe Lord 🙏 no matter Jana niliumizwa sana😢 lakini lipo tumaini kwa mti uliokauka ukachipuka tena😊🙏
Nazogea kwako mungu wangu uwe namimi tena usiku wa leo🤲🤲🇨🇩
Nimetuma pokeya maneno n'a wimbo wa shukrani kinywani muangu kwa Jina la Yesu kristo
Anaomba mungu wangu unipe kibali cha uzima nikuwe kiroho pia nipate mme sahii pia watoto wawe kichwa na si mukia
Asante mungu kwa maombi haya na mafundisho haya eshima yangu inarudi upya
Amen mtumishi wa Mungu Mungu atusaidie nakwangu waje waone watoto watakapo fanikiwa Mungu nisaidie
Eee Mungu naomba masikio ya wates yakapate kuwasha naomba Mungu ukasimamie uchumi Wang ninao uanza
Asante yesu nisaidie rudisha aman ya maisha
Asante Yesu kwa sababu kila kilichokuwa changu kilichochukuliwa kinarejeshwa kwa jina la Yesu Ameen
Nayapokea yote kwa jina la Yesu naomba nguvu ya kibali na mme wangu arudi nyumbani na madeni yote niweze kuyalipa pamoja na ada za watoto
Mungu usikie kuomba kwangu uimarishe uchumi umrekebishe mwanangu tabia imebadikia sana
Ahsante yesu heshima yangu umerudi🙏🙏🙏
Asante yesu nimekuona ktk maombi nisaidie
Amina MUNGU naona ukibadilisha historia ya kukataliwa kwetu na maden yote unaenda kujfungua milango ya kulipa yote naona adui zangu masikio yakiwawasha ❤❤❤🎉
Naitaji kupona pia watoto hawana maisha Mungu nisaidie watoto uwape mafanikio Mtumishi ubarikiwe sana naitaji maombi yako
Amen 🙏 nalipokea kwa jina la yesu 🙏🙌
Amina...napokea kwajina la mungu mabadiliko ya kiroho ndaniyangu..
Asante Yesu kwa uzima ulionipa.
Naomba mungu arudishe uchumi wafamilia yangu na anipe mume wa maisha yangu na nipate mfadhili wakumsomesha mwanangu
Asante yesu Kwa yote uyatendayo
Asante yesu kwa kunifikisha muda hu
Amina Amina kubwa naomba mungu watoto wagu wapate kazi nisaidie baba
Mueni William amen amen amen amen asande mungu
Neno la kwangu kwa jina la yesu 🙏🙌
Naamini haya, yale Mungu anaenda kutenda kwa mwanangu Evans masikio yao yatawasha
Napokea kufanikiwa ktk Jina la Yesu
Naomba Bwana unirudishie baraka zangu zilizo fungwa na shetani na unirudishie ndoa yangu Bwana
Amina napokea kwa jina la Yesu
Amen Amen Amen 🙏🏾 i receive it by faith in Jesus mighty name
Napokea in the mighty name of Jesus Christ 🙏
Ndani yangu Mimi gladness mungu utende tendo juu ya afya yangu nipone mateso ya kuugua miaka mitatu bila kupona bali mateso yanaongezeka ukafute yote Kwa jina la yesu alie hai
Baba skia kilio changu wewe ndiwe ujuaye Siri ya machozi yangu na maumivu ya moyo wangu baba tenda tu jambo maishani mwangu na kwa ndoa yangu 🙏🙏
Mungu naomb unip kibal cha uzim mim na mtoto wang usitupit unapowagusa wengin nasis tuguse yesu
Anza na Mimi bwana Yesu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 ahsante yesu njoo muone
Amen 🙏🙌🙌🙌 nikumbuke yesu
Nakushukuru Mungu kwa yote
Na pokea kwa jina la yesu
INaomba baraka zako Bwana
Amen Breakthrough in my Life economic business
Yesu badilisha historia ,nimechekwa sana sina Kimbilio isipokuwa wewe baba nilindie wanangu japo niko mbali nao hawana mtu wangu wakaribu😢
Naomba nikubalike kila eneo lamaishangu,nyota yangu ingare
Amen 🙏,anza nami Bwana yesu
Napokea yote Mungu uliyokusudia nipokee mimi na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo
Asante Yesu
Naliinua jina lako asubuhi ya Leo nikisema ni asante mungu wangu. Napokea yote uliyokusudia nipokee Mimi na familia yangu katika jina la Yesu
Maendele mazuri kwenye byashara byangu n'a kwenye ndoa yangu kwa jina la Yesu Kristo.
Amen amen God 🙏 🙌 👏 ❤
Jina la yesu nilenye nguvu kwetu
Napokea uponyaji wangu wa kifua,tumbo na familia yangu kwa ujumla tunafunguliwa kwa jina la yesu ,yote yanawezekana kwake yeye aaminiye ,na mimi naamin imekuwa napokea napokea napokea 🙏🙏
Mungu nisaidi usiniache beans
Ahsante yesu Kwa maombi haya,,heshima yangu iliyopotea inarudi Sasa,,🙏🙏🙏
Mungu anipe mtaji
Amen 🙏 be blessed more Man of God 🙏
Thanks JUSES CHRIST for this opportunity
YESU,nakuhitaji Kila saa unitetee na kunifanyia njia ya kutokea Mimi na familia yangu
Amen 🙏 mm ni mbarikiwa from know🙏🙌🙌
Mungu nikumbuke na mm maana nakuamini hakuna usilo liweza nahitaji tumbo langu la uzazi lililo fungwa lifunguliwe
Mungu yu pamoja kutimuliwa watumishi wakutosha Bwana walinde na Kuwabariki
Nyumba zangu na Magari yangu .Na pokea katika jina la Yesu Krsto
Amen amen,amen
Amen in Jesus name 🙏🙌
Ameeeen hallelujah 🙏🙏🙌
Napokea kazi na Mme wa maisha yangu
Amee 🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙏
Ninaimani usiku wa leo ni wangu kwa jina la yesu 🙏🙏🙏
Asante mungu
They will come and see in Jesus name 🙏🙌
Namuombea ladislaus afunguliwe
Anza na mm bwana 🙌🙌😥😥😥
Hallelujah 🙏🙌
I receive in Jesus name 🙏🙌