Neema Cizungu-Nashuka
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- neema cizungu -Nashuka
Shalom watu wa MUNGU nawatakia baraka tele mnapo sikiliza wimbo huu
msikose kuwasiliana nami# +255782078009#
huu ni wimbo wa maabudu ,na biblia inasema kuabudu kuna wapasa wanyofu wa moyo
Mungu awabariki na mwendelee kuabudu pamoja nasi
Nabarikiwa Sana na nyimbo zako dada, hakika una mafuta ya roho mtakatifu ndani yako, Mungu akulinde akutunze pamoja na mume wako na watoto wenu, nawapenda.. from tz
Mungu wetu ana stahili sifa na maabudu ya kutoka kwetu. Hâta Nami nashuka ubarikiwe dada
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nyimbo zako Zina nibariki sana Mungu azidi kukuinua Kwa utukufu wake.
Mungu wa aliye hai Mungu wa viumbe vyote tunashuka mbele zako jina lako lihimidiwe, Mungu wa maagano Mungu muweza yote tunashuka mbele zako jina lako lihimidiwe. Bado natakasika. Mungu akubariki
Utabaki kuwa Mungu katika ali yangu yote ya maisha ninayo pitia najua unatuwaziya yaliyo mema Mungu awalinde nakuwabriki
Hallelujah hallelujah we ni mungu wangi Yesu wa mililele
Upo zaid ya wote unanyimbo zuri zaid hzi nyimbo ulizo ziludia nazipenda toka miaka hyo asantr sana. Tumludie Mungu na karibu roho. Mungu awe nawe kila mda usije teleza wala kupatwa nabaya siku zote
Mummy you really don know how much your music bless my soul when l listen to them 🙏💖 l am blessed you are true worshipper of christ you are a blessing to the next generation 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤲🤲🤲
God bless you mum.your songs are very torching.haswaa nakwangalia wewe.
Uko rait mungu yesu yesu ndiye mungu
Ubalikiwe watumish
Hallelujah hallelujah hakika nimebarikiwa sana na huu wimbo nimeusikiliza Kwa makini kuna kitu nimejifunza asante MUNGU 🙏🙏
Mwaka huu baba nashuka mbele zako ili uniongoze 👏🏽👏🏽
Mungu wa mbinguni akubariki wewe na familia najua Matokeo ya kazi hii ni kwa sababu familia na jamaa zako wanajitoa kuhakikisha kazi ya Mungu inakuwa nzuri na ubora wa hali ya juu. God bless you... I appreciate you na huwa nabarikiwa sana na jumbe zipatikanazo kwenye nyimbo zako. Tunakuombea un yenyekevu na hekima juu ya Huduma yako. Nakupenda mjoli wa Mungu...... siku moja uwepo aridhi ya Tanzania utuhudumie tutafurahi sana
Pure worship
Wimbo mzuli sana barikiweni na Yesu.
Aabudiwe Mungu wetu. Mubarikiwe saana
Ubalikwe sana
Tunakuabudu n'a tutaendelea kukuabudu tuuu Mungu wetuuu🙏🙏🙏
Wow my favorite song God bless you my sister Nely. Mavumbini ndo palikuwa mahali pangu ni kila nala vumbi kulala kwenye mavumbi asante wewe ni Mungu wangu acha ni kuabudu
...kila siku nazidi kukufwatilia na kuzidi kubarikiwaa,
Dada Mungu akupe Njia Dhabiti
Courage
Nabarikiwa sana nikisikiliza nyimbo zako,, mungu akubariki
Amen ,Mungu akubaliki Mama ,pamoja na familia yako Baba awalinde Asante sana .
Dada yangu Mungu wa mbinguni akuinue zaidi umenibariki sana
Ubarikiwe sana da nene Mungu akuinue zaidi 🙌🙌🙌
Wimbo nzuri sana barikiwa
Wewe ni Mungu wangu acha nikwabudu hakuna usiloleza Jehovah, upendo wako ni wa ajabu, be blessed neema!
CYBER HUG from UGANDA
You are blessed, more grace and favour from God.
Amina dada Mungu aendelee kukuinua daima.
Nyimbo ya mungu kweli kweli.
Prospère énormément la Bethel de Dieu
oh Yesu acha nikuabudu wewe ni Mungu wangu. hakika sijajutia kukujua Yesu.barikiwa dada Neema unanibariki sana
Ameen
Hallelujah 😭😭😭😭😭huuu wimbo unanguvu Sanaa sichoki kuusikilza❤️❤️❤️ najivunia nyie wazazi wangu 🙌🙌🙌
Uko vzr
Hakika wewe ni Mungu wangu
Mungu ni Mungu tuu Asante yesu 🙏🙏
Amen ,god bless you my cc❤
Amen Amen!!!
Ubarikiwe na Bwana
Nlikuwa mavumbini 😭😭😭
Jesus answered, “I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.
Mungu huu kila kitu kwangu Mungu awabariki zaidi ya sana
Glory to God. More grace and favor mama.
Imeni towa machozi wakati nasikia ii nyimbo inani fariji
Nakupenda mungu azidi kukutumia
Amen mama
Amen God is good
Unanibariki sana kipenzi barikiwa pia
May Almighty God bless you abundantly my sister,your songs has been a blessing to my life....strong massage
I love this song be blessed sis Neema
wimbo nzuri sana, hongera
Martin mbele
Amen
Bonjour da Neema,nilikufata jana Ku Rtnc Bukavu nikapenda sana,ila tunakuchunga kwa hamu sana sana ukuye punir Rose mwando utapata batu kutambuka sana,ni Akili Augustin pa Bukavu
Barikiwa sana maman tu es une inspiration pour nous barikiwa
Amennnnnnnnnn
Amina
Ubarikiwe Sana mtu wa Mungu
Congratulations my daughter. Be blessed
Amen amen 🙏🙏🙏🙏vraiment ❤️❤️
Amen 💯💯🙏🙏🙏🙏
Wimbo huu umenifungulia mwaka vema
wow amazing
Peke yako Bwana wa kuabudiwa na kusujudiwa🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen, stay blessed y'all 🙏🏾
Kabisa wewe nimuguwagu ubarikiwe
mungu akubariki
Mubarikiwe !
Kwakweli dada nimebalikiwa sana
Wew n mungu wang.....
Hakika ww n mungu unayeweza, usiyeshindwa na kitu acha nikuabudu...
21 Dec 2020 tunapoelekea kumaliza mwaka nmebarikiwa na huu wimbo
Da NEEMA barikiwa sana 🙏🙏
Amen
Amen asanta mungu , Mungu akulinda
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen,ubarikiwe
Powerful
Amen 🙏
Barikiwa mama.
I just come across her songs oh Lord I feel inspired ..blessed sister
Amen
Amen