NEEMA CIZUNGU AFUNGUKA KUACHIKA NA MUME, KIFO CHA OSINACHI,MUZIKI WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • NEEMA CIZUNGU AFUNGUKA KUACHIKA NA MUME, KIFO CHA OSINACHI,MUZIKI WAKE #call255672555095

ความคิดเห็น • 129

  • @annajustin1945
    @annajustin1945 2 ปีที่แล้ว +6

    Hakika niseme tu nyimbo zako zilitufungua Sana tukiwa tumelazwa hospital ya Mountmeru Arusha niliziweka kwenye simu yangu..tukawa usiku kabla hatujalala tunasikiliza hakika tulipokea uponyaji.. barikiwa sana mpendwa

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว +2

      Amina,sifa kwa Mungu mkubwa

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 ปีที่แล้ว

      Napenda namna huyu dada ana network na Mungu anayemtumikia.she never bores no matter what she sings.

  • @joshombo3681
    @joshombo3681 28 วันที่ผ่านมา

    Dada Neema, Baba yangu ana Ku kubali sana tokea kalemie/DRC.
    Na mimi Nili barikiwa sana na nyimbo nasubiri toka kwako Bwana wangu!
    Mungu aku bariki sana ❤

  • @LadiaBushiri-ev2qg
    @LadiaBushiri-ev2qg ปีที่แล้ว +1

    Une grande femme au grand coeur

  • @patrickirenge-u2t
    @patrickirenge-u2t 8 หลายเดือนก่อน

    Umetu bariki sana kwa nyimbo nyumbani tunapo fata nyimbo zako, Mungu akutiye ngufu nakuku ongoza Pia, tunaku penda zaidi

  • @flozziewacharo314
    @flozziewacharo314 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo zako Huwa zanibariki sana,najua hunikumbuki lakini tulikuwa marafiki kitambo nilifanya kazi kwa kasanga twauza muziki wako,na ulikuwa unaishi tassia pale karibu na TelAviv.. Mungu azidi kukuinua dada yangu

  • @samuelkombo3559
    @samuelkombo3559 2 ปีที่แล้ว +1

    Nous voulons ta parole pour notre ituri et l'est du Congo tout entièr ,my star Nelly i love your songs

  • @MuganwaRitha
    @MuganwaRitha 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana dada 🙏🙏🙏❤️❤️❤️💪

  • @elizabethtabitha-us3qg
    @elizabethtabitha-us3qg ปีที่แล้ว

    I love this woman for free❤❤❤you are my mentor Neema

  • @benedictmushagalusa9452
    @benedictmushagalusa9452 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana sister neema. Natamani sana kuimba nawewe siku moja.

  • @chiefbenardos6459
    @chiefbenardos6459 2 ปีที่แล้ว +4

    Sema nami is my favorite song of all time. So deep and touching.

  • @germainebindu1097
    @germainebindu1097 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤❤Asante kwako mjakazi wa Mungu umetubariki sana

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Neema nabarikiwa sana na nyimbo zako

  • @TroupeLaPromesse
    @TroupeLaPromesse 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mwimbaji wa Mungu

  • @josuekalwani5725
    @josuekalwani5725 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana dada angu yaan nyimbo zako zinanipa faraja sana nikiwa Congo vile vile nikiwa Congo nazipenda sana Zina inspire sana zaidi tenda mema na uende proud of you sister

  • @arminatemba5364
    @arminatemba5364 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli I know you neema cizungu from 2009 ninakufuatilia sana ila wimbo wa tumrudie mungu namshukuru umefanya remix inanibariki sana.

  • @chandrackbirindwabonane2789
    @chandrackbirindwabonane2789 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana maman Neema cizungu kwaiyo kazi Mungu akutiye nguvu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇨🇩

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว

      amina, Asante

    • @alainngashi6619
      @alainngashi6619 2 ปีที่แล้ว

      Mama ubarikiwe sana na mimi piaya ni mwimbaji pamoja Na muke wangu ila nilipo sikiya usemi wako kwenye radio ume nijenga ubarikiwe

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 ปีที่แล้ว +1

    So sweet and nice melod and informative...Go high and higher...stay blessed.

  • @DinaRamadhani-qb3jw
    @DinaRamadhani-qb3jw 11 หลายเดือนก่อน

    Amin Amin Amin 🙏🙏🙏!!!.

  • @empresszainah74
    @empresszainah74 2 ปีที่แล้ว +1

    Sema nami bwana my all time worship song. God bless Cizungu

  • @shukurumwinami4958
    @shukurumwinami4958 ปีที่แล้ว

    neema. Umeongea fact ambayo kwako utaona kama ni kawaida, lakini umeokoa roho nyingi sana juu ya wanadamu juu ya NDOA. na ungekosea kujibu tu wako ambao wangesema mbona neema alisema na yeye hivi na ukajikuta wanaachanan na ndoa zao. lakini hili ni kweli hakuna ataye mwacha mume au mke mpaka kifo kiwatenganishe na ukivunja hapo ndipo tunasema kuwa unavijisababu vyako,. barikiwa sana msimamo i huu ALICHOKIUNGANISHA MUNGU MWANADAMU ASIKITENGANISHE. BARIKIWA

  • @estasilivesta6245
    @estasilivesta6245 2 ปีที่แล้ว

    Dad'a unaimba vizuli nabalikiwa sana na nyimbo zako

  • @salomeatieno2161
    @salomeatieno2161 6 หลายเดือนก่อน

    Kabisatuu Amen

  • @marilenebahombwa8639
    @marilenebahombwa8639 2 ปีที่แล้ว

    Woooh quelle sagesse ! Dada Neema ubarikiwa sana Pamoja na familia yako ! Mungu azidi kukupaka mafuta yake pamoja na mmeo 🙏🙏

  • @ArletteBavon-ot6hg
    @ArletteBavon-ot6hg 4 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana dada

  • @m.gloria40
    @m.gloria40 2 ปีที่แล้ว

    i really love that song ya sema nami it blesses me alot

  • @ElizabethNyamai-me2id
    @ElizabethNyamai-me2id 5 หลายเดือนก่อน

    Ameen barikiweni sana

  • @joycemanegabe9154
    @joycemanegabe9154 2 ปีที่แล้ว

    Bwana akubariki dada Neema kizungu endelea mbele sana maman ❤

  • @keathburhama
    @keathburhama 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mwanangu kwa hekima kubwa Mungu amekupa.

  • @bahatishomari290
    @bahatishomari290 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana dada Neema; umeelewa vizuri Neno la Mungu kuhusu ndoa. Hata wachungaji wanaowafungisha mara mbili wana ndoa kwa sababu hiyo hiyo ambayo Biblia imetaja kihususa yaani uzinzi;watawajibika! Mathayo 19:8,9;Waroma7:2,3; 1Wakorintho 7:39;mengineyo watu wanafanya mapendezi yao wenyewe na si kulingana na maandiko. Barikiwa mpendwa!

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว

      amina, ubarikiwe

    • @patrickmajaliwa3911
      @patrickmajaliwa3911 2 ปีที่แล้ว

      Mama wabariki moyo wangu sana nafatilia kazi zako kwa ukaribu na umakini nikiwa mombasa panic ya Kenya 🇰🇪.

    • @michelinenyota7097
      @michelinenyota7097 2 ปีที่แล้ว

      Amen . Mungu akuongoze kwa yote

    • @puritarimo6868
      @puritarimo6868 2 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe mama Neema cinzungu, Nakupenda saana na na penda Sana huhuduma yako

  • @bonanebagalwakabarati7651
    @bonanebagalwakabarati7651 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Dada Nelly Cizungu hii imenibariki sana inanifanya ata kuomba

  • @pascalwembasafari2254
    @pascalwembasafari2254 2 ปีที่แล้ว

    Asante Saana Maman Nyimbo zanobariki saana

  • @Jossywamatere2009
    @Jossywamatere2009 2 ปีที่แล้ว

    My gospel minister
    Luv from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 2 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda huyu dada jamani ni mpore mno

  • @rehemamkumbo2082
    @rehemamkumbo2082 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu good wrk.

  • @priscillandanu8938
    @priscillandanu8938 2 ปีที่แล้ว

    Wimbo huu ulitoa mahali kwa shimo la Giza last year,,nikapenda nikuongeleshe ila nambari nilipata ya kwako haikunisaidia,lakini liwalo nashukuru mungu wimbo huu ulihudumia sana,sema nami

  • @mosesabi2617
    @mosesabi2617 ปีที่แล้ว

    Bwana Mungu!
    "UTAUTUMIA WAPI UMILELE?"
    (MUNGU ANATAKA KULIJENGA KANISA LAKE NDANI YA MOYO WAKO KWA SABABU HAKAI KATIKA HEMA ZILIZOTENGENEZWA NA WANADAMU !!!)
    MUDA UNAKIMBIA HARAKA SANA!
    Ikiwa una umri wa miaka sitini, unaweza kuwa na miaka mingine kumi na mitano ya kuishi!
    Ikiwa una umri wa miaka hamsini, unaweza kuwa na miaka ishirini na mitano iliyobaki!
    Ikiwa una miaka arobaini, unaweza kuwa na miaka mingine thelathini na mitano!
    Ikiwa una miaka ishirini na tano, unaweza kuwa na miaka hamsini nyingine ya kwenda!
    Ikiwa una miaka kumi na tano, unaweza kuwa na miaka sitini zaidi!
    'Takwimu hizi zinadhania kwamba unaweza kuishi hadi umri wa miaka sabini na mitano. Hata hivyo, kuna mambo mawili kuhusu hili. Kwanza kabisa, hakuna uhakika kwamba utaishi muda mrefu hivyo. Unaweza kufa mapema zaidi ya hapo. Ikiwa umewahi kwenda makaburini, utakuwa umeona kwamba kuna makaburi ya watu wa umri tofauti: mwezi mmoja, mwaka mmoja, miaka mitano, miaka kumi na mitano, miaka ishirini, miaka thelathini, miaka hamsini, miaka sitini, na kadhalika. Ungechunguza kwa makini ungegundua kuwa kuna kaburi la mtu aliyekufa katika umri wako wa sasa. Wewe, kwa hivyo, sio mdogo sana kufa. Kifo kinaweza kuja ghafla. Hakuna haja ya kuwa na onyo zaidi. Umeonywa. Hata ikiwa una afya kamilifu, kuna sababu nyingi zinazoweza kukusababishia kifo cha ghafla: ajali ya ndege, ajali ya gari, sumu, kuanguka, na kadhalika. Haya yanaweza kupelekea katika maisha yako kwenyemwisho wa ghafla. Kwa hiyo haijalishi wewe ni mdogo kiasi gani au una afya kiasi gani. Kifo cha ghafla kinaweza kukujia hata kama una umri wa miaka kumi na tano tu.'

  • @souzannahchombeofficiel2809
    @souzannahchombeofficiel2809 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu maman Nelly

  • @ElizabethManyero
    @ElizabethManyero 8 หลายเดือนก่อน

    Mpe hi Papaa jozeee

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 2 ปีที่แล้ว

    Really penda sana nyimbo zako "from the bottom of my heart"

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว +1

      amen God bless,pls share link hii kwa watu 20 Ili ku support huduma yangu

    • @paulmadundo8084
      @paulmadundo8084 2 ปีที่แล้ว

      @@NeemaCizunguOfficial ameen!

  • @catejay9949
    @catejay9949 ปีที่แล้ว

    Msaada my favourite

  • @paulcosmas7941
    @paulcosmas7941 2 ปีที่แล้ว

    Barkkiwa sana Neema Nelly, napenda sana nyimbo zako

  • @catejay9949
    @catejay9949 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wimbo wako napenda sana unaitwa Nani kama wewe ee Mungu wa Israel siupati you tube

    • @sarahlupy7668
      @sarahlupy7668 2 หลายเดือนก่อน

      Download audio kwenye boomplay inapatikana mwenyewe nilihangaika sana

  • @anemonembongo
    @anemonembongo 2 ปีที่แล้ว

    Un beau couple et des vrais chantre de l’ eternel🧡🧡😭😭💕🔥🔥🙏🏾🙏🏾

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 2 ปีที่แล้ว

    Dadaangu nakuelewa vizuri sanaa tokea 2013 nakufutilia Sanaa

  • @agripinamheni5331
    @agripinamheni5331 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana dada we love youuu

  • @geofreyngerenge367
    @geofreyngerenge367 2 ปีที่แล้ว

    Amen dada Neema barikiwa sana

  • @byanjiraesther7222
    @byanjiraesther7222 2 ปีที่แล้ว

    Bonjour ma grande soeur, tu m'inscrire beaucoup avec tes belles chansons, vision yangu nikuimba nawewe Siku moja 🙏🙏

  • @stellanyota1955
    @stellanyota1955 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana maman Nelly

  • @ujusimkadama3660
    @ujusimkadama3660 2 ปีที่แล้ว

    God bless you sister

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว

      amen,pls share link hii kwa watu 20 Ili ku support huduma yangu

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 2 ปีที่แล้ว

    Asaante sana hakika tuongee lugha ya mbingu

  • @bahatikarume3203
    @bahatikarume3203 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mamy

  • @beatriceemali34
    @beatriceemali34 2 ปีที่แล้ว

    Neema Cizungu tunakumiss sana Nakuru na kapsabet

  • @psosarara
    @psosarara 2 ปีที่แล้ว

    Naomba u-upload wimbo wa sadaka za sifa.

  • @olivierleoint6576
    @olivierleoint6576 2 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe sana kabisa

  • @onetoanotherglory2024
    @onetoanotherglory2024 2 ปีที่แล้ว

    Congratulations sana

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 ปีที่แล้ว

    Nakupenda da neema

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 2 ปีที่แล้ว

    Neema hongera sana

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 2 ปีที่แล้ว +1

    Waandishi wa habari mnachafua watu kichwa cha habari kingine maongezi mengine

  • @elizabethbentil3100
    @elizabethbentil3100 2 ปีที่แล้ว

    AMINA AMINA AMINA .

  • @charityj.jalwinyi4438
    @charityj.jalwinyi4438 2 ปีที่แล้ว

    Sijui kama nita fanikiwa kuimba pamoja na wewe mama Neema

  • @nellywanga8283
    @nellywanga8283 2 ปีที่แล้ว +1

    C journaliste est vraiment problématique avec ses questions 🥰🥰, sinon j t'aime tellement ma sœur surtout ta chanson tumrudie mungu 🙌🤗🥰.🇨🇩🇨🇩🤩

  • @bahatizuberi9265
    @bahatizuberi9265 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji hutulii kwenye kiti

  • @mosesabi2617
    @mosesabi2617 ปีที่แล้ว

    "UTAUTUMIA WAPI UMILELE?"
    (MUNGU ANATAKA KULIJENGA KANISA LAKE NDANI YA MOYO WAKO KWA SABABU HAKAI KATIKA HEMA ZILIZOTENGENEZWA NA WANADAMU !!!)
    MUDA UNAKIMBIA HARAKA SANA!
    Ikiwa una umri wa miaka sitini, unaweza kuwa na miaka mingine kumi na mitano ya kuishi!
    Ikiwa una umri wa miaka hamsini, unaweza kuwa na miaka ishirini na mitano iliyobaki!
    Ikiwa una miaka arobaini, unaweza kuwa na miaka mingine thelathini na mitano!
    Ikiwa una miaka ishirini na tano, unaweza kuwa na miaka hamsini nyingine ya kwenda!
    Ikiwa una miaka kumi na tano, unaweza kuwa na miaka sitini zaidi!
    'Takwimu hizi zinadhania kwamba unaweza kuishi hadi umri wa miaka sabini na mitano. Hata hivyo, kuna mambo mawili kuhusu hili. Kwanza kabisa, hakuna uhakika kwamba utaishi muda mrefu hivyo. Unaweza kufa mapema zaidi ya hapo. Ikiwa umewahi kwenda makaburini, utakuwa umeona kwamba kuna makaburi ya watu wa umri tofauti: mwezi mmoja, mwaka mmoja, miaka mitano, miaka kumi na mitano, miaka ishirini, miaka thelathini, miaka hamsini, miaka sitini, na kadhalika. Ungechunguza kwa makini ungegundua kuwa kuna kaburi la mtu aliyekufa katika umri wako wa sasa. Wewe, kwa hivyo, sio mdogo sana kufa. Kifo kinaweza kuja ghafla. Hakuna haja ya kuwa na onyo zaidi. Umeonywa. Hata ikiwa una afya kamilifu, kuna sababu nyingi zinazoweza kukusababishia kifo cha ghafla: ajali ya ndege, ajali ya gari, sumu, kuanguka, na kadhalika. Haya yanaweza kupelekea katika maisha yako kwenyemwisho wa ghafla. Kwa hiyo haijalishi wewe ni mdogo kiasi gani au una afya kiasi gani. Kifo cha ghafla kinaweza kukujia hata kama una umri wa miaka kumi na tano tu.'

    Kuna kipengele kingine chake. Fikiria kwa muda. Je, kuna ugonjwa wowote katika mwili wako? Inaweza kuwa ugonjwa wa moyo, ini, mapafu au figo. Unaweza kuwa na saratani au ugonjwa mwingine wowote mbaya, lakini dalili bado hazijaonekana kwako. Ugonjwa wowote kati ya haya unaoweza kuwa na na unaojua au unao na usiojua unaweza kuharakisha ukuaji wake na kuchukua maisha yako katika masaa au sikuchache! Huenda hivi karibuni ukakutana na umilele. Inaweza kutokea mapema kuliko vile unavyofikiria.
    Pili, hata kama ulihakikishiwa maisha hadi ufikie sabini na tano bado una miaka mingapi ya kuishi? Muda unakwenda kwa kasi kubwa. Hata kama unafikiri kwamba bado una miaka hamsini ya kwenda, hiyo inaweza kutoweka hivi karibuni. Miaka iliyobaki kwako leo ni michache kuliko ilivyokuwa jana na kesho itakuwa michache bado. Kila dakika inayopita inakupeleka karibu na kifo. Wewe ni mtu unaekufa! Ulianza kufa kwenye siku yako ya kuzaliwa ya kwanza!

  • @joshuaalsel5828
    @joshuaalsel5828 2 ปีที่แล้ว +1

    Bahadhi ya waimbaji wanaimba nyimbo za injili, wanahubiria watu ila wanashindwa kujihubiri nakubadilika, ila hii interview ime ni prouve kuwa umeokoka pia nimeona hekima flani ndani ya commenti.

  • @furahamushabo9369
    @furahamushabo9369 2 ปีที่แล้ว

    Dada unakasauti kazuri kakuvutia wanje

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 2 ปีที่แล้ว

    Waandishi wa habari mnachafua watu kichwa cha habari kingine maongezi menngine

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 ปีที่แล้ว

    Inapendeza Sana ukimtumikia MUNGU Na ukiwa na ndoa .heshima inakuwa ×100, .Eti wengine wanaachana na waume zao alafu wanafungua makanisa!!! Wanatendwa kwa akili na shetani wanashindwa hata kutambua. Kuwa Mchungaji au Muhubiri lazima uachane na mume wako Tena wa Ndoa!????

  • @davidmudage8986
    @davidmudage8986 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kuwezeshwa hekima

  • @christinentinyari8882
    @christinentinyari8882 2 ปีที่แล้ว

    unapendwa sana na wakenya

  • @olivierleoint6576
    @olivierleoint6576 2 ปีที่แล้ว

    Baraka sur baraka

    • @NeemaCizunguOfficial
      @NeemaCizunguOfficial  2 ปีที่แล้ว

      amen amen

    • @veronicajoseph4069
      @veronicajoseph4069 2 ปีที่แล้ว

      Nakupenda sanaa, nakuangalia ww ata Dunia inikatae nitabakia na ww, ndiyo wimbo ninao upenda sanaaa