Shekhe mazinge Allah subhana huataallah akupe umri mrefu wenye baraka akujaalie afya njema uendelee kuitangaza dini ya khak Allah akufanyie wepesi vile unavyo pambania dini ya khak Allah akuepushe na watu wabaya wenye kutaka kukupa ugumu kwenye kuitangaza dini ya khak nakuombea kwa Allah akuingize peponi bila hesabu inshallah Amiiiiiin!...🙏
Shekh mazinge unafanya kazi kubwa sana Allah aibariki kaziyako akupe mwisho mwema ktk hio kaziyako na mungu akuridhie pale atakapo kuhitaji, na ukifufuliwa ,ulipwe pepo ya firdaus
Masinge huyo sio Mmasai huyo ni msomali anazaliwa engaruka ni jirani yangu ni muislam hajawahi kua mchungaji jina lake abd na mdogo wake anaitwa bashiri 🤣🤣🤣🤣🤣ati Mmasai
Si unaona jinsi mazinge alivyo muongo mwanzo amemuita mchungaji lakini yeye anasema Hana dini, lakini pia analazimisha kuwafuatilia lugha lakini bado inamshinda Kweli sehemu ya waongo wote kwenye lile ziwa liwakalo moto na kiberiti, hakuna mmasai anaongea ivi poleni sana na mazinge wenu
Halafu Leo anajitokeza MTU mwingine kuiponda kazi ya kinamazinge,piga kazi shekh wengine wamekalia kuponda madh habu ya wenzao tu badala ya kuingiza watu ktk uislamu.
Dini haitaki jazba kuna kabila lilisilim wakati wa mtume haliyakua wanavaa ngozi tena nusu uchi mtume hakuwakemea bali walitaftiwa mwalim jitahid muwe na semina za kulingania hekima ni kila kitu katika daa3wa
Kaibomoe Vatican.wamasai hawana historia katika Imani za dini.Kiyama atakaerudi ni Yesu. Mwili ni WA kidunia.ya Dunia Yana nguvu kuliko ya imani.imani ni kitu Cha kufikirika.acha watu wapende soka.
Masai umepelekwa katika dini ya mtu sio ya Mungu kumbe umekutana na mazinge kaliakoo huyo mazinge nimuongo anapindisha maandiko ya biblia tunamjua anawasilimisha kwauwongo watu wasio soma anawapeleka katika sinagogi la shetani ufunuo tazama nakupa hao wasinagogi lashetani kwahiyo ndugu yangu Masai ludi kanisani mwamini yesu ndie njia yakweri na uzima
Kuleni sadaka za watu lakini hamna lolote si mashehe si wachungaji ninyi mnaacha kukemea watu waache Zambi nyie mmengangania dini dini dini ya haki ni kutenda mema
Shekhe habibu mazinge hakika mm na kupeng kwa ajil ya mung na allh akupe maisha maref pamoja na ss ishaallh
Subuhanallah.!! Tumezaliwa ktk uisilamu lakini wengiwet hatujuichochote leo wagen kama hawa wanavyozungumza nyoyo zinashangaa
Mashallah sheikh Allah akupe yote yanayofaa
Mashaallah shekh wetu M/Mungu akupe nguvu uzid kusimamia kuitangazia dini ya haki na sio nyengne zaid uislam
Sheikh Masai uko vizuri Sana ubalkiwe
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu ustadh Mazinge
Aamin
Shekhe mazinge Allah subhana huataallah akupe umri mrefu wenye baraka akujaalie afya njema uendelee kuitangaza dini ya khak Allah akufanyie wepesi vile unavyo pambania dini ya khak Allah akuepushe na watu wabaya wenye kutaka kukupa ugumu kwenye kuitangaza dini ya khak nakuombea kwa Allah akuingize peponi bila hesabu inshallah Amiiiiiin!...🙏
MaShaAllah. Allah awahifadhi na awape mwisho mwema. Juhudi kubwa saana
Aamim
Masai pokea mauwa yako 🌹💐🌹💐🌹
subhanallah Allah akulinde sheikh wetu umefanya kazi mzuri,yaraabb msameh dhambi zake yeye na ahli zake🤲🤲🤲
Shekhe nimeslimu mwezi wapili nimeipenda hii dini hakika nidini ya ahlaa
Maashaallah karibu sana ila isome kwa undani dini zaidi hakika utafurahi zaidi
Allah akuhifadhi ndugu yetu
Katika watu ninaowapenda kuliko nafsi yangu ni watu waliosilimu
Sheikh mazinge jazaakallahu kheiran ayyadakallahu binasrihil Aziz
Taqibir ,Ma sha Allah wape Dawa mungu awabarik
Aamin
Mashaalah mungu atuongoze sote dunian tulio potea
Mashaallah shehk mungu akujalie maisha malef
❤ TAKBIIR ALLAH AKBAR!!!
Mashallah masai
Mashallah Tabarakallah
Allah Akbar
Shekhe mazinge Allah akujalie mwisho mwema walah unafanya kazi ya Allah kidhat nakupenda kwaajili ya Allah
Aamin
Subhanallah
Shekhe mazinge Alla akulipe kilalahjer naakufishe ndani yasijda kwauloyafanya nchini tanzania nanje
Aamin
Aaamiin
mashaallah...masai kamitoa machozi
Masha Allah, hapo ni kweli bila shaka dini ya haki ni uislamu...jazzakallahu kheir our brothers
Asant
Mashaallaah 😢😢
Asalamu alaykum warahamatullah wabarakatuh tunashukuru sana kwa mawaidha mazuri
MashaAllah
In Sha Allah
Shekh mazinge unafanya kazi kubwa sana Allah aibariki kaziyako akupe mwisho mwema ktk hio kaziyako na mungu akuridhie pale atakapo kuhitaji, na ukifufuliwa ,ulipwe pepo ya firdaus
Aamin
Nikweli kabisa
Amiiin yaraby
Mazinge kafanya kazi ngumu Sana,
Mashaallah
Naomba namb ya mazingei inshallah
No ya prof Mazinge 0788 747 427
MASHAALLAH
Mashallaah
MaaShaaAllah Allah awape nguvu ktk Uislam
Aamin
Naomba no ya Ustadh Mazinge
Nirakutumia inshallah
0788 747 427
Masha Allah!!
Allah akbar
wambie hao
Amen
Masha Allah
Subhanalla
mzinge asipoend pepon mm herizang namuomba mungu achukue yy?
Mashallah
Takbir
Maasai
Mazinge njoo katavi ,wilaya ya mpanda kata ya katumba
Subhanallah 😫😫😫😫😫😫😫
Amina
Wallah aibu kwa cc waislam
Amin
Mashaall
subhanallah
SubuhanAllah 😭😭😭😭
Masinge huyo sio Mmasai huyo ni msomali anazaliwa engaruka ni jirani yangu ni muislam hajawahi kua mchungaji jina lake abd na mdogo wake anaitwa bashiri 🤣🤣🤣🤣🤣ati Mmasai
Si unaona jinsi mazinge alivyo muongo mwanzo amemuita mchungaji lakini yeye anasema Hana dini, lakini pia analazimisha kuwafuatilia lugha lakini bado inamshinda
Kweli sehemu ya waongo wote kwenye lile ziwa liwakalo moto na kiberiti, hakuna mmasai anaongea ivi poleni sana na mazinge wenu
Takbiiirr
Allaahu akbar
Mimi isaya paskali lohay dini ya kislaam naielewa sana
Karibu kwenye dini iliyo na amani
Watu tunaitaji mafundi tumujuwe MUNGU dini bila upendo kz bule
Mtu yeyote akizaliwa uwa ni muislam
Mazinge muongo sana, kasema huyu ni mkriso, kumbe alikua hana dini, ila siku moja mazinge atakua mkristo kwa jina la Yesu namuombea uhai tu.
Mm nakuombea ww uwe muislam
Allah akujaalie uwe Muislam
Ukiingia kwenye uislam na ukausoma kutoka tabu sana maana ukweli utauona
Allah akuongoze Ameen
Hii ndo dawa walo ifanya MANABIII wA Allah
Koroan inathibitisha kua isa bin mariam atauhukumu ulimwengu afu unamkataa huyo unathan atahukumu vip ww kipofo unae ungoza vipofu muangalie ostaz amri alivyo badilishwa na yesu alikua zaid yako
Naomba namba ya shekh mazinge tafathar
0788 747 427
Mashekhe wafuge ndefu jamani
C farafhi mzee ni sunna kwahiyo kaa kwa kutulia Kwan yesu alioa mbona ninyi mwaoana tu ni mafunzo ya nani mwafuata
@@donedaddy4561 kuna khilafu shekh,wengine wanasema ni lazima kufuga ndevu na ukinyoa ni ktk madhambi makubwa.
Huyo siyo mmasai namfahamu ni msomali njaa kali hana lolote na mzinga wake.
Unazingua ww
Wewe ni muongo 100 miamoja eti rwanda kuna bibilia ya kihutu na ya kitusi
Acha ujinga wenu
Halafu Leo anajitokeza MTU mwingine kuiponda kazi ya kinamazinge,piga kazi shekh wengine wamekalia kuponda madh habu ya wenzao tu badala ya kuingiza watu ktk uislamu.
Wanaomponda ni wale wanafiki Tu na chuki binafsi!!
Masai unaongea makosa hakuna mtu alie zaliwa nje ya uislam ila uwa mwapotea kisha ndo mnarudi
Bado yupo darasani shekh,ndo maana ameslimu,ataelewa pole pole
Dini haitaki jazba kuna kabila lilisilim wakati wa mtume haliyakua wanavaa ngozi tena nusu uchi mtume hakuwakemea bali walitaftiwa mwalim jitahid muwe na semina za kulingania hekima ni kila kitu katika daa3wa
Kaibomoe Vatican.wamasai hawana historia katika Imani za dini.Kiyama atakaerudi ni Yesu.
Mwili ni WA kidunia.ya Dunia Yana nguvu kuliko ya imani.imani ni kitu Cha kufikirika.acha watu wapende soka.
Penda soka buanaa Ronaldo utamkuta peponi anakusubiria
Hujielewi
Masai umepelekwa katika dini ya mtu sio ya Mungu kumbe umekutana na mazinge kaliakoo huyo mazinge nimuongo anapindisha maandiko ya biblia tunamjua anawasilimisha kwauwongo watu wasio soma anawapeleka katika sinagogi la shetani ufunuo tazama nakupa hao wasinagogi lashetani kwahiyo ndugu yangu Masai ludi kanisani mwamini yesu ndie njia yakweri na uzima
Pole sana!! kabla haujatukana dini zingine kasome dini yko kwanza ukishaijua hlf utakua na heshima hautajisemea ovyo!!
@@fhyubhhh2881 umepagawa ndugu naukafiri ni some dini gani
Yesu wenu alitahiriwa Jmn sasa mungu ganii.
Kuleni sadaka za watu lakini hamna lolote si mashehe si wachungaji ninyi mnaacha kukemea watu waache Zambi nyie mmengangania dini dini dini ya haki ni kutenda mema
huelewi kitu wewe tulia..waongea pumba2
MashaAllah
Mashallah
Mashaallah
Mashallah
Mashaallah.
Mashaallah
Mashallah