Mazinge kiboko awaleta wamasai ambao hawana dini katika uislamu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2022
  • Mazinge ajivunia juu ya kuwasilimisha wamasai alipokwenda katika ziara zake ngorongoro

ความคิดเห็น • 116

  • @SharifomarSharif
    @SharifomarSharif ปีที่แล้ว +3

    Shekhe habibu mazinge hakika mm na kupeng kwa ajil ya mung na allh akupe maisha maref pamoja na ss ishaallh

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 ปีที่แล้ว +3

    Subuhanallah.!! Tumezaliwa ktk uisilamu lakini wengiwet hatujuichochote leo wagen kama hawa wanavyozungumza nyoyo zinashangaa

  • @nasibuukashaukasha8788
    @nasibuukashaukasha8788 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah sheikh Allah akupe yote yanayofaa

  • @abidalfadhil2093
    @abidalfadhil2093 2 ปีที่แล้ว +7

    Mashaallah shekh wetu M/Mungu akupe nguvu uzid kusimamia kuitangazia dini ya haki na sio nyengne zaid uislam

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh Masai uko vizuri Sana ubalkiwe

  • @rashidimswagilo8292
    @rashidimswagilo8292 2 ปีที่แล้ว +10

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu ustadh Mazinge

  • @saidymparee0135
    @saidymparee0135 ปีที่แล้ว +3

    Shekhe mazinge Allah subhana huataallah akupe umri mrefu wenye baraka akujaalie afya njema uendelee kuitangaza dini ya khak Allah akufanyie wepesi vile unavyo pambania dini ya khak Allah akuepushe na watu wabaya wenye kutaka kukupa ugumu kwenye kuitangaza dini ya khak nakuombea kwa Allah akuingize peponi bila hesabu inshallah Amiiiiiin!...🙏

  • @abdullahal-mahruqi9610
    @abdullahal-mahruqi9610 2 ปีที่แล้ว +5

    MaShaAllah. Allah awahifadhi na awape mwisho mwema. Juhudi kubwa saana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 4 หลายเดือนก่อน +1

    Masai pokea mauwa yako 🌹💐🌹💐🌹

  • @khadijaabud6428
    @khadijaabud6428 ปีที่แล้ว +3

    subhanallah Allah akulinde sheikh wetu umefanya kazi mzuri,yaraabb msameh dhambi zake yeye na ahli zake🤲🤲🤲

  • @jacobmasoko8491
    @jacobmasoko8491 ปีที่แล้ว +5

    Shekhe nimeslimu mwezi wapili nimeipenda hii dini hakika nidini ya ahlaa

    • @nyatya199
      @nyatya199 ปีที่แล้ว

      Maashaallah karibu sana ila isome kwa undani dini zaidi hakika utafurahi zaidi

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 ปีที่แล้ว

      Allah akuhifadhi ndugu yetu

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 ปีที่แล้ว +11

    Katika watu ninaowapenda kuliko nafsi yangu ni watu waliosilimu

  • @alisaid5583
    @alisaid5583 2 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh mazinge jazaakallahu kheiran ayyadakallahu binasrihil Aziz

  • @nourismail4114
    @nourismail4114 2 ปีที่แล้ว +3

    Taqibir ,Ma sha Allah wape Dawa mungu awabarik

  • @husseinmwedi7125
    @husseinmwedi7125 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shehk mungu akujalie maisha malef

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ TAKBIIR ALLAH AKBAR!!!

  • @ruu6592
    @ruu6592 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah masai

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar9852 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Tabarakallah

  • @user-pm6tb4yz9i
    @user-pm6tb4yz9i 6 หลายเดือนก่อน +1

    Allah Akbar

  • @aishaayoub305
    @aishaayoub305 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe mazinge Allah akujalie mwisho mwema walah unafanya kazi ya Allah kidhat nakupenda kwaajili ya Allah

  • @jumambweze2526
    @jumambweze2526 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt ปีที่แล้ว +2

    Shekhe mazinge Alla akulipe kilalahjer naakufishe ndani yasijda kwauloyafanya nchini tanzania nanje

  • @fatmasaleh2707
    @fatmasaleh2707 2 ปีที่แล้ว +4

    mashaallah...masai kamitoa machozi

  • @isack6099
    @isack6099 2 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah, hapo ni kweli bila shaka dini ya haki ni uislamu...jazzakallahu kheir our brothers

  • @irankundasaidi3929
    @irankundasaidi3929 ปีที่แล้ว +1

    Asalamu alaykum warahamatullah wabarakatuh tunashukuru sana kwa mawaidha mazuri

  • @mahmoudjuma3825
    @mahmoudjuma3825 2 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 ปีที่แล้ว +3

    In Sha Allah

  • @ufundinetwork8680
    @ufundinetwork8680 2 ปีที่แล้ว +9

    Shekh mazinge unafanya kazi kubwa sana Allah aibariki kaziyako akupe mwisho mwema ktk hio kaziyako na mungu akuridhie pale atakapo kuhitaji, na ukifufuliwa ,ulipwe pepo ya firdaus

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 2 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge kafanya kazi ngumu Sana,

  • @FatmaFatma-xt7ui
    @FatmaFatma-xt7ui ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @maulidihamisi7349
    @maulidihamisi7349 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba namb ya mazingei inshallah

    • @makironlinetv
      @makironlinetv  2 ปีที่แล้ว

      No ya prof Mazinge 0788 747 427

  • @kaiali2872
    @kaiali2872 ปีที่แล้ว +2

    MASHAALLAH

  • @amirymsabaha5452
    @amirymsabaha5452 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashallaah

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 2 ปีที่แล้ว +1

    MaaShaaAllah Allah awape nguvu ktk Uislam

  • @rashidimswagilo8292
    @rashidimswagilo8292 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba no ya Ustadh Mazinge

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah!!

  • @saidommy998
    @saidommy998 2 ปีที่แล้ว +2

    Allah akbar

  • @minkeymohaa6098
    @minkeymohaa6098 ปีที่แล้ว +1

    wambie hao

  • @andiqueantonio3377
    @andiqueantonio3377 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @mosiamri1274
    @mosiamri1274 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 ปีที่แล้ว +2

    Subhanalla

  • @iddy7599
    @iddy7599 ปีที่แล้ว +1

    mzinge asipoend pepon mm herizang namuomba mungu achukue yy?

  • @mariamsudi2209
    @mariamsudi2209 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @bonifacenyangori9770
    @bonifacenyangori9770 ปีที่แล้ว +1

    Takbir

  • @Laizer3
    @Laizer3 3 หลายเดือนก่อน

    Maasai

  • @jumasaid8721
    @jumasaid8721 2 ปีที่แล้ว +2

    Mazinge njoo katavi ,wilaya ya mpanda kata ya katumba

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah 😫😫😫😫😫😫😫

  • @rehemamgongwe300
    @rehemamgongwe300 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @harunashemsa1459
    @harunashemsa1459 2 ปีที่แล้ว +1

    Wallah aibu kwa cc waislam

  • @atwowa6380
    @atwowa6380 2 ปีที่แล้ว +1

    Amin

  • @osiagpro6402
    @osiagpro6402 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaall

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 2 ปีที่แล้ว +1

    subhanallah

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 ปีที่แล้ว +1

    SubuhanAllah 😭😭😭😭

  • @lazaromollel2913
    @lazaromollel2913 ปีที่แล้ว +1

    Masinge huyo sio Mmasai huyo ni msomali anazaliwa engaruka ni jirani yangu ni muislam hajawahi kua mchungaji jina lake abd na mdogo wake anaitwa bashiri 🤣🤣🤣🤣🤣ati Mmasai

  • @kitoiartworks3876
    @kitoiartworks3876 ปีที่แล้ว +1

    Si unaona jinsi mazinge alivyo muongo mwanzo amemuita mchungaji lakini yeye anasema Hana dini, lakini pia analazimisha kuwafuatilia lugha lakini bado inamshinda
    Kweli sehemu ya waongo wote kwenye lile ziwa liwakalo moto na kiberiti, hakuna mmasai anaongea ivi poleni sana na mazinge wenu

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 2 ปีที่แล้ว +1

    Takbiiirr

  • @isayapaskal6496
    @isayapaskal6496 ปีที่แล้ว +1

    Mimi isaya paskali lohay dini ya kislaam naielewa sana

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 2 ปีที่แล้ว +2

    Watu tunaitaji mafundi tumujuwe MUNGU dini bila upendo kz bule

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtu yeyote akizaliwa uwa ni muislam

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge muongo sana, kasema huyu ni mkriso, kumbe alikua hana dini, ila siku moja mazinge atakua mkristo kwa jina la Yesu namuombea uhai tu.

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii ndo dawa walo ifanya MANABIII wA Allah

  • @boscomaige4882
    @boscomaige4882 ปีที่แล้ว +1

    Koroan inathibitisha kua isa bin mariam atauhukumu ulimwengu afu unamkataa huyo unathan atahukumu vip ww kipofo unae ungoza vipofu muangalie ostaz amri alivyo badilishwa na yesu alikua zaid yako

  • @maulidihamisi7349
    @maulidihamisi7349 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba namba ya shekh mazinge tafathar

  • @emmanuelkipkemoi1985
    @emmanuelkipkemoi1985 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashekhe wafuge ndefu jamani

    • @donedaddy4561
      @donedaddy4561 2 ปีที่แล้ว

      C farafhi mzee ni sunna kwahiyo kaa kwa kutulia Kwan yesu alioa mbona ninyi mwaoana tu ni mafunzo ya nani mwafuata

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 2 ปีที่แล้ว

      @@donedaddy4561 kuna khilafu shekh,wengine wanasema ni lazima kufuga ndevu na ukinyoa ni ktk madhambi makubwa.

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 ปีที่แล้ว +1

    Huyo siyo mmasai namfahamu ni msomali njaa kali hana lolote na mzinga wake.

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni muongo 100 miamoja eti rwanda kuna bibilia ya kihutu na ya kitusi

  • @kalingasinjore6443
    @kalingasinjore6443 11 หลายเดือนก่อน +1

    Acha ujinga wenu

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 2 ปีที่แล้ว +2

    Halafu Leo anajitokeza MTU mwingine kuiponda kazi ya kinamazinge,piga kazi shekh wengine wamekalia kuponda madh habu ya wenzao tu badala ya kuingiza watu ktk uislamu.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว +1

      Wanaomponda ni wale wanafiki Tu na chuki binafsi!!

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 ปีที่แล้ว +2

    Masai unaongea makosa hakuna mtu alie zaliwa nje ya uislam ila uwa mwapotea kisha ndo mnarudi

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 2 ปีที่แล้ว

      Bado yupo darasani shekh,ndo maana ameslimu,ataelewa pole pole

    • @harunashemsa1459
      @harunashemsa1459 2 ปีที่แล้ว +1

      Dini haitaki jazba kuna kabila lilisilim wakati wa mtume haliyakua wanavaa ngozi tena nusu uchi mtume hakuwakemea bali walitaftiwa mwalim jitahid muwe na semina za kulingania hekima ni kila kitu katika daa3wa

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaibomoe Vatican.wamasai hawana historia katika Imani za dini.Kiyama atakaerudi ni Yesu.
    Mwili ni WA kidunia.ya Dunia Yana nguvu kuliko ya imani.imani ni kitu Cha kufikirika.acha watu wapende soka.

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว

      Penda soka buanaa Ronaldo utamkuta peponi anakusubiria

    • @dazzwazenji
      @dazzwazenji ปีที่แล้ว

      Hujielewi

  • @andreanicholaus1696
    @andreanicholaus1696 2 ปีที่แล้ว +1

    Masai umepelekwa katika dini ya mtu sio ya Mungu kumbe umekutana na mazinge kaliakoo huyo mazinge nimuongo anapindisha maandiko ya biblia tunamjua anawasilimisha kwauwongo watu wasio soma anawapeleka katika sinagogi la shetani ufunuo tazama nakupa hao wasinagogi lashetani kwahiyo ndugu yangu Masai ludi kanisani mwamini yesu ndie njia yakweri na uzima

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 ปีที่แล้ว

      Pole sana!! kabla haujatukana dini zingine kasome dini yko kwanza ukishaijua hlf utakua na heshima hautajisemea ovyo!!

    • @andreanicholaus1696
      @andreanicholaus1696 ปีที่แล้ว

      @@fhyubhhh2881 umepagawa ndugu naukafiri ni some dini gani

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว

      Yesu wenu alitahiriwa Jmn sasa mungu ganii.

  • @nathanichemelako7983
    @nathanichemelako7983 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuleni sadaka za watu lakini hamna lolote si mashehe si wachungaji ninyi mnaacha kukemea watu waache Zambi nyie mmengangania dini dini dini ya haki ni kutenda mema

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 ปีที่แล้ว

      huelewi kitu wewe tulia..waongea pumba2

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @adammanyendi7577
    @adammanyendi7577 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @amoury1481
    @amoury1481 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @mohamedabdallah9918
    @mohamedabdallah9918 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @mbarakaliyonjo6665
    @mbarakaliyonjo6665 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah