Hii ni Range Rover Sports HSE! Unaipata kwa TZS Milioni 45 tu! Creez Favors anaikagua ndani ilivyo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Hii ni Range Rover Sports HSE. Imetua kutoka UK ikiwa upgraded. Bei? 45m unaichukua. @Creez_Favors amepita @v_completemotors kuikagua ndinga hii. Hebu muazime macho yako akuoneshe ukali wa hii Range!
Range yeyote ya chini ya mwaka 2015 ni shida tu, utakuwa unashinda kwa fundi kila siku
Asanteni sana kwa kutupa taarfa sns tuepukane na wahuni mjini hapa
Mbona video fupi hujaongelea hayo mengine?Thank you for information great work,more knowledge please.Waiting for long video part2
Creez_Favors wewe ni salesman mzuri sana wa magari unafanya nini kwenye tasnia ya habari? fanya mpango uchanganye habari na uuzaji wa magari, utatoboa fasta
Kaz unaiweza ya promo mzeee🙌
Hiyo range ya bei rahisi hivo Ila kuihudumia sasa
Hi vipi kuhusu apa marekani njooni uku USA tunaangaika
Iyo pesa full na kodi tayari
Garı ya 2005 milioni 45 aaaaa hamna hiyo bei kubwa sana na garı yenyewe nzee
Mi bora nnunue gari sio niagize
VIP 39 wanachucua
Magar yamechoka cc tunaojuwa magar hkuna gr hpo
Yan nmekuangalia video yote utazan utazani naela ya gari😂😂😂😂
Onyesha engn t gar tair n nn bro😅
Talifa za Ronaldo ajaona mnakwama
Kumiliki sio shida inanyonya acha masiala
Tutafute tu hela aise
UK ni left hand drive au ???
Right hand steering
😂😂😂kuna bajaji zipo kama hii Range
@@philemonmagesa5548😂😂😂niliona ila mchina
😂😂😂
✌️👍👊。