KITOWEO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
  • Jamani hii kukamata riziki kuna wakati tuangalie vya kukamata..
    Kuna wakati Mungu hutoa majibu hapo hapo ili tumjue yeye nani!

ความคิดเห็น • 523

  • @katore1982
    @katore1982 9 หลายเดือนก่อน +37

    Assalamualaikum warahmtullah wabaraqthu nimejifunza Kwa hii clip kwamba ,anaekudhulumu haki yako basi mshtakie Kwa Mungu!

  • @salimakida95
    @salimakida95 9 หลายเดือนก่อน +50

    Joti tuko pamoja na wewe,mungu akupe umri mrefu

  • @indiemakershub
    @indiemakershub 9 หลายเดือนก่อน +38

    Hola vipi majamaas, live from Uganda 🇺🇬 hapa. Wapi likes za Uganda 🇺🇬

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 9 หลายเดือนก่อน +1

      likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
      peleka ushamba huko 😏
      content aweke Joti like upewe wewe kama sio ushamba ni nini ?

    • @indiemakershub
      @indiemakershub 9 หลายเดือนก่อน

      @@officialkamdudu we kenge niniii. Tombwa msenge 😂😂😁

  • @OurCryptoWorldwide5
    @OurCryptoWorldwide5 9 หลายเดือนก่อน +13

    Nimefurahi kumuona Nanga kwenye hii timu aise. Big up Joti, weka like za kutosha hapa kama unamkubali Nanga

  • @peniel0762
    @peniel0762 9 หลายเดือนก่อน +11

    Woooow!!!! Hii ni mzuri sana ! Haina haja kuumiza mtu bure

  • @ReiphanLusungu
    @ReiphanLusungu 9 หลายเดือนก่อน +9

    Kwamara ya kwanza kumuona huyu askari aliigiza vinzuri sana👏👏👏👏👏

  • @MartooNdale5480
    @MartooNdale5480 9 หลายเดือนก่อน +16

    Serikali haina dini😂 Joti na team yko nyinyi mko juu Atari. From 🇰🇪❤❤

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 9 หลายเดือนก่อน +1

    Joti shikamoo kakangu. Hawajambo wajomba zangu na sehemeji, wasalimie sana. Uwe na siku njema best comedian ever. Mdogo wako Kimara born 1934 hadi leo mimi bado kijana.

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 9 หลายเดือนก่อน +12

    From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa😊

  • @eddieblaq5650
    @eddieblaq5650 9 หลายเดือนก่อน +4

    dah leo had nanga 😂😂😂 kweli hubagui blessed sana

  • @Trillionairekid89
    @Trillionairekid89 9 หลายเดือนก่อน +152

    Leo mimi wa kwanza nipeni hata likes 20. U😢😢.

  • @AfyaMohammed-o9w
    @AfyaMohammed-o9w 9 หลายเดือนก่อน +19

    The best part is that my two favourite youtubers are working together. Good job Joti and Nanga❤

  • @PatrickKamgisha
    @PatrickKamgisha 9 หลายเดือนก่อน +19

    Mtoto wa mama kizimkazi NISHAIIIIII😂😂😂😂

  • @emmanueljohn7952
    @emmanueljohn7952 9 หลายเดือนก่อน +15

    Hapo joti umepiga penyew kumleta nanga kwenye crew yko 😂nangaaaaa afande kuchi...mulaaaa

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 9 หลายเดือนก่อน +3

    Big up joti huyo jamaa afande namkubali san

  • @johnsura79
    @johnsura79 9 หลายเดือนก่อน +17

    nachokubali Joti tv hua wanaachia mapema kazi zao💥

  • @zephaniamwangu9857
    @zephaniamwangu9857 9 หลายเดือนก่อน +3

    Daaah Nanga hujawahi kufeli dadeki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @barakamwango
    @barakamwango 6 หลายเดือนก่อน

    Katika video zote hii ulifanya sawa zaid Mashallah Allahamdhulillah rabil_alamin Kilaktu tumshtakie Allah Kareem yeye ndo malik_lmulku hakeem_lhakimeen ❤❤❤❤Mashallah

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic 9 หลายเดือนก่อน +25

    Dah Nanga mmoja ni sawa na wachekeshaji wanne kwenye hii team😂😂😂

    • @faidhacute
      @faidhacute 9 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @carlosleonard6050
      @carlosleonard6050 9 หลายเดือนก่อน

      Nanga noma

    • @OurCryptoWorldwide5
      @OurCryptoWorldwide5 9 หลายเดือนก่อน +1

      Nanga kama Nanga safi sana nimefurahi kumuona huku

  • @HilarinaNgatimwa
    @HilarinaNgatimwa 9 หลายเดือนก่อน +3

    Duuuh Kaka umetisha Sana Ndamba's oooyeeeeee

  • @subu04
    @subu04 9 หลายเดือนก่อน +24

    Love from Dodoma, wa Dodoma tujuane hapa

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 Nakubali joti never disamppoint 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @abdillahmohd3748
    @abdillahmohd3748 9 หลายเดือนก่อน +8

    Ina maana wapemba wanaamin kwenye Allah ❤

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbeeeeeee hawa maafande ndo sawa yaoi ntawakomeshaaaaaaa joti na team yako mmeuaa

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 9 หลายเดือนก่อน +7

    Afande nanga apo umeupiga hata boda wamwmbia nenda hulipi😂😂😂😂

  • @bantuboy-ne3mj
    @bantuboy-ne3mj 9 หลายเดือนก่อน +8

    Kumbee leo ijumaa ...😂😂..like zanguu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 หลายเดือนก่อน +1

    Joti wala sina mbavu kwa kucheka,eti dereva,kitoweo wote polisi 😂😂😂❤❤👍🙏👍👍jot polisi huyu aendelee kwa kweli.

  • @صالحالفرحان-ت9ن
    @صالحالفرحان-ت9ن 2 หลายเดือนก่อน

    joti kabula unja zeaka naoba ni fanye na wewe video momja nakupenda bure from Saudia Arabia🥰🥰❤️❤️😁🙏pin🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hahhhh dahhhh Nanga ad nmemsahau na Hilo gwanda asee jamaa anajuaa😂

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 9 หลายเดือนก่อน +7

    Sema huyu jamaa askari ni pro actor😹😹😹😹

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 9 หลายเดือนก่อน

      Yaaasni ni balaaa la moto

  • @wilsonsilva3718
    @wilsonsilva3718 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nishai wewe ni diamond platnumz mwengine,Sasa muko wa Wili uku Tanzânia

  • @hamzayusuph6052
    @hamzayusuph6052 9 หลายเดือนก่อน +11

    Ubunifu mzuri huyu jamaa polisi aendelee

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli anaweza Sana mm namuona mara ya pili sasa

  • @bonfilskashaba7381
    @bonfilskashaba7381 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kitoweo joti toa pesa kkkk😮😮😅😅😅

  • @luciamsani
    @luciamsani 9 หลายเดือนก่อน +2

    Aaaah broo umetisha big up👏👏👏

  • @nickvon7640
    @nickvon7640 9 หลายเดือนก่อน +65

    This actually based on a true story 😅

    • @diskjockey4410
      @diskjockey4410 9 หลายเดือนก่อน

      Daaah kumbe kumbukumbu iko kwa wengi big up broski😅✊

    • @victorvictor3064
      @victorvictor3064 9 หลายเดือนก่อน

      Ilitokea kwa afande kitambi hapa Kimara

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@victorvictor3064bd yupo au

    • @makondegalema1550
      @makondegalema1550 9 หลายเดือนก่อน

      Duh sikuwahi kuisikia ilikuwaje?

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 9 หลายเดือนก่อน

      Mi mwenyewe niliwahi sikia hii kutoka kimara au sio 😅.

  • @faidhacute
    @faidhacute 9 หลายเดือนก่อน +4

    Ww,gari kitoweo wote ndani

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi2036 9 หลายเดือนก่อน +3

    Leo me wa elfu 47 nipeni like na comment za kutosha😅😂😅😂😅😂😅

  • @emmanuelalphonce243
    @emmanuelalphonce243 9 หลายเดือนก่อน +3

    Joti unajua sana.. hii kweli ni ya mwaka mpya 2024

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hammy j 😂😂😂😂❤ enewei nishai mtomba ngwile kitwango mikazo miguno 😂😂😂

  • @o.ballek.e4265
    @o.ballek.e4265 9 หลายเดือนก่อน +7

    Joti hababaishi anachekesha tu😂❤

  • @briantafari9224
    @briantafari9224 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂kaaali hii😂😂 uje Kenya tufanyie Dua hizi nugu huku...🎉

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂askari wa afrika jamani😂😂😂changamoto
    Wakioza mmoja mmoja kama ivo akili itakaa sawa,

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 9 หลายเดือนก่อน +4

    Jot 😂😂😂😂😂😂nanga umemuacha wap

  • @sagevali
    @sagevali 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimechk😂 sana huk mwishon 😂😂😂😂

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 9 หลายเดือนก่อน +6

    Joti leo umekuwa mpole balaa sijakuzoea hivyo eti❤

  • @mustafamusty
    @mustafamusty 9 หลายเดือนก่อน +1

    HahahahahahahahahHH daaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂we joti basi daaaaaaa we noma kaka

  • @aliahmedsalim673
    @aliahmedsalim673 9 หลายเดือนก่อน +7

    KAMA VILE WASEMAVO KUWA SERIKALI HAINA DINI VILEVILE HAINA HAKI🤝🏽

    • @BMboss108
      @BMboss108 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli ..mwenye haki ni mwenye pesa..hao afande wafanana na waKenya 😂😂😂

  • @AbdulnasriHamisi
    @AbdulnasriHamisi 9 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu nanga usimuache😂😂😂

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 9 หลายเดือนก่อน +3

    Safi Sana Mr Nanga

  • @MsensiCharlesi
    @MsensiCharlesi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Noma sna

  • @richieildephonce5771
    @richieildephonce5771 9 หลายเดือนก่อน +3

    Aiseh umetisha sana

  • @FranceThomas-ug2ed
    @FranceThomas-ug2ed 9 หลายเดือนก่อน +7

    Mimi ndio kwaza nitulie ila joti ajawai nipa ❤ yani kanitupa tuu

  • @patrickmwanyumba1239weitww
    @patrickmwanyumba1239weitww 9 หลายเดือนก่อน +3

    Thanks.Hata Huku Kenya Askari njaa tupu.

  • @stevekasawala2315
    @stevekasawala2315 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ohoo nanga ameingilia hii shughuli kazi ipo😀

  • @ilmifarah3159
    @ilmifarah3159 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo kwa serikali haina dini 😁😁😁😁😅😅😅 #254

  • @Jaydannychawaboy1.
    @Jaydannychawaboy1. 9 หลายเดือนก่อน +1

    Daah afande nae ana maswali ya hovyo hovyo kweli😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢

  • @bashiruahmadi
    @bashiruahmadi 9 หลายเดือนก่อน +4

    nimecheka kwa sauti eti rizki inavozidi kuoza na ww unaoza😄😄

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 9 หลายเดือนก่อน +4

    Aisee joti amemuona Nanga.... Bonge la kipaji

  • @ibbu-tz
    @ibbu-tz 9 หลายเดือนก่อน +4

    Nanga yupo Joti TV saivi, safi sana Joti, noma sana yaan 😂😂

  • @faidhacute
    @faidhacute 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali sana nanga ❤❤ 😂😂

  • @salimaziz9858
    @salimaziz9858 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hii ni stor ya kweli kabisaaa

    • @EmilianaSevere
      @EmilianaSevere 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli???

    • @salimaziz9858
      @salimaziz9858 9 หลายเดือนก่อน

      @@EmilianaSevere ndio

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nanga anajua😂😂😂

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 9 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani ndoa mavi ya mbwa hayanuki mpaka uyasogelee😂😂😂😂

  • @safaritvhome5374
    @safaritvhome5374 9 หลายเดือนก่อน +4

    Nanga kama Nanga😂😂😂,Afande Nanga

  • @mrjeyjamal6288
    @mrjeyjamal6288 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nanga yuko vizuri san

  • @abelshinyanga2683
    @abelshinyanga2683 9 หลายเดือนก่อน +2

    Haya mm wa 77 nipeni like zangu

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 9 หลายเดือนก่อน

      likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
      peleka ushamba huko 😏
      content aweke Joti like upewe wewe kama sio ushamba ni nini ?

  • @fuminozanzibar.6402
    @fuminozanzibar.6402 9 หลายเดือนก่อน +3

    Zito unajua kabisa kipemba mm mpemba hivi umeishi Zanzibar mbona lafudh n yenyewe

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 9 หลายเดือนก่อน

      Kapatia Kipemba hasa

  • @IslemSalum
    @IslemSalum 9 หลายเดือนก่อน +18

    ila joti wapemba unatuonea sanaa 😅😅😅😅

  • @KaNjoroTV
    @KaNjoroTV 8 หลายเดือนก่อน

    Joti and Nanga pamoja wacha tu. Kutoka Kenya napenda. Nifikisheni mia tano woiyee😀

  • @SophiaUhuru
    @SophiaUhuru 7 วันที่ผ่านมา

    Serekali aina dini toa elfu arubain 😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu ndio yule police malengo ❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ARNOLDKASOMA
    @ARNOLDKASOMA 8 หลายเดือนก่อน

    Nanga Fireee ❤❤❤❤

  • @fahadahmed3851
    @fahadahmed3851 9 หลายเดือนก่อน +4

    🤣🤣🤣🤣 hii kali akaoze nao

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 9 หลายเดือนก่อน +3

    Joti jotii yn nmfulai kumuona nangaaa

  • @DimaillOfficial
    @DimaillOfficial 6 หลายเดือนก่อน

    Sema unaweza mlewa tukionana nakupa ya soda kaka!!

  • @ProsperAmad
    @ProsperAmad 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuli sana 🎉🎉

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 9 หลายเดือนก่อน +8

    Dereva Kitoweo Wote Central 😂😂😂

    • @chescomopao9164
      @chescomopao9164 9 หลายเดือนก่อน

      Gnitaumiza mtu 😂😂

  • @WitnesDosla
    @WitnesDosla 25 วันที่ผ่านมา

    Like you joti a good actor be blessed

  • @milimaproductions1565
    @milimaproductions1565 9 หลายเดือนก่อน +6

    Serekali aina dini😂

    • @harrymakongwa1147
      @harrymakongwa1147 9 หลายเดือนก่อน +1

      Jidanganye litakalo kukuta hata serikali haitajua 😅😅

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 9 หลายเดือนก่อน

      ​@harrymakongwa1147 😅😅

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc 9 หลายเดือนก่อน

    Hapo joti umetisha sichoki kuingalia

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jot unajua kinomaaa

  • @EDITAMadeko-vl1jp
    @EDITAMadeko-vl1jp 9 หลายเดือนก่อน

    Polise anaweza sanaaaaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 หลายเดือนก่อน

    Joti ongera sana tena,ndio hivyo hivyo❤❤❤👍👍🙏🙏

    • @rosedohho8971
      @rosedohho8971 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @muksinjuma4685
    @muksinjuma4685 8 หลายเดือนก่อน

    Wapemba jau aiseee😂😂😂😂😂

  • @EphraimMsomba
    @EphraimMsomba 9 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri joti..

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mlewa 🔥🔥🔥🔥

  • @yusufmohamed8428
    @yusufmohamed8428 9 หลายเดือนก่อน

    Nsmkubali huyu mwamba sana 😂❤

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii stori ni kweelii jaamaani😢 ilimuondoa afande mmoja Dodoma😢

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 8 หลายเดือนก่อน

    Nagwa katika ubora wake😊

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 9 หลายเดือนก่อน

    We mpemba weeeee ya Leo kali😅😅😅😅

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii kuna ilimtokea askari kilichotokea ni balaa ,hatuna nae tena 😅😅😅safi sana

  • @judithharisson4063
    @judithharisson4063 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂Wapemba❤❤

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 9 หลายเดือนก่อน +2

    hii team inatupa the best ever comedy...asa Nanga mwanzo ukujua kua una familia...
    nilijikuta huruma tu inanijia baada ya kuskia kua Nanga ataoza kama samaki..ckujua kua ni act tu😂😂😂

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 9 หลายเดือนก่อน

    Balaa zito hili mkubwa nanga ndani😆😆😆😆😆😆😆😆😆 kama police kweli vile na hiyo migwanda daah

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 9 หลายเดือนก่อน +1

    Team joto hongereni ila afisaa nanga pole yko maana dua ishasomwa na tushakuachia mungu thezea dua wee🙄😂😂🤣🤣🤣

  • @masudykikumbi7375
    @masudykikumbi7375 9 หลายเดือนก่อน

    Hii nimeipenda hizi saut za kipemba

  • @mynambwambo2072
    @mynambwambo2072 9 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅nimependa content

  • @victorkobobiojuwang5149
    @victorkobobiojuwang5149 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Askari wangu wa barabarani umetisha

  • @lianastephano3221
    @lianastephano3221 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe, gari kitoweo wote central 😅

  • @DanielSimon-s8c
    @DanielSimon-s8c 9 หลายเดือนก่อน

    jamaa anafaa sana nanga boy

  • @jacksonvalence7365
    @jacksonvalence7365 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mr nanga og upo juu😅