Joti shikamoo kakangu. Hawajambo wajomba zangu na sehemeji, wasalimie sana. Uwe na siku njema best comedian ever. Mdogo wako Kimara born 1934 hadi leo mimi bado kijana.
Katika video zote hii ulifanya sawa zaid Mashallah Allahamdhulillah rabil_alamin Kilaktu tumshtakie Allah Kareem yeye ndo malik_lmulku hakeem_lhakimeen ❤❤❤❤Mashallah
hii team inatupa the best ever comedy...asa Nanga mwanzo ukujua kua una familia... nilijikuta huruma tu inanijia baada ya kuskia kua Nanga ataoza kama samaki..ckujua kua ni act tu😂😂😂
Assalamualaikum warahmtullah wabaraqthu nimejifunza Kwa hii clip kwamba ,anaekudhulumu haki yako basi mshtakie Kwa Mungu!
Joti tuko pamoja na wewe,mungu akupe umri mrefu
Hola vipi majamaas, live from Uganda 🇺🇬 hapa. Wapi likes za Uganda 🇺🇬
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
peleka ushamba huko 😏
content aweke Joti like upewe wewe kama sio ushamba ni nini ?
@@officialkamdudu we kenge niniii. Tombwa msenge 😂😂😁
Nimefurahi kumuona Nanga kwenye hii timu aise. Big up Joti, weka like za kutosha hapa kama unamkubali Nanga
Woooow!!!! Hii ni mzuri sana ! Haina haja kuumiza mtu bure
Kwamara ya kwanza kumuona huyu askari aliigiza vinzuri sana👏👏👏👏👏
KWELI ANAWEZA SANA
Serikali haina dini😂 Joti na team yko nyinyi mko juu Atari. From 🇰🇪❤❤
Joti shikamoo kakangu. Hawajambo wajomba zangu na sehemeji, wasalimie sana. Uwe na siku njema best comedian ever. Mdogo wako Kimara born 1934 hadi leo mimi bado kijana.
🤣🤣 Salamu zimefika
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa😊
Kuma moto😢
dah leo had nanga 😂😂😂 kweli hubagui blessed sana
Leo mimi wa kwanza nipeni hata likes 20. U😢😢.
Kwan hizo like za nn ww
Si nimewahi mimi au.😅😅.
za nn?
Kwa Mungu wa mwisho😢
Hua mnazi fanyia nn jaman tuambizane
The best part is that my two favourite youtubers are working together. Good job Joti and Nanga❤
Mtoto wa mama kizimkazi NISHAIIIIII😂😂😂😂
Hapo joti umepiga penyew kumleta nanga kwenye crew yko 😂nangaaaaa afande kuchi...mulaaaa
Big up joti huyo jamaa afande namkubali san
nachokubali Joti tv hua wanaachia mapema kazi zao💥
Daaah Nanga hujawahi kufeli dadeki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Katika video zote hii ulifanya sawa zaid Mashallah Allahamdhulillah rabil_alamin Kilaktu tumshtakie Allah Kareem yeye ndo malik_lmulku hakeem_lhakimeen ❤❤❤❤Mashallah
Dah Nanga mmoja ni sawa na wachekeshaji wanne kwenye hii team😂😂😂
😂😂😂😂
Nanga noma
Nanga kama Nanga safi sana nimefurahi kumuona huku
Duuuh Kaka umetisha Sana Ndamba's oooyeeeeee
Love from Dodoma, wa Dodoma tujuane hapa
Dodoma tupooo
Tupo
Tupo dam dar rod nzuguni
Kikuyu st .john
Mipango kwa wajanja
😂😂😂😂😂 Nakubali joti never disamppoint 🔥 🔥 🔥 🔥
Ina maana wapemba wanaamin kwenye Allah ❤
Kumbeeeeeee hawa maafande ndo sawa yaoi ntawakomeshaaaaaaa joti na team yako mmeuaa
Afande nanga apo umeupiga hata boda wamwmbia nenda hulipi😂😂😂😂
Kumbee leo ijumaa ...😂😂..like zanguu
Joti wala sina mbavu kwa kucheka,eti dereva,kitoweo wote polisi 😂😂😂❤❤👍🙏👍👍jot polisi huyu aendelee kwa kweli.
joti kabula unja zeaka naoba ni fanye na wewe video momja nakupenda bure from Saudia Arabia🥰🥰❤️❤️😁🙏pin🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hahhhh dahhhh Nanga ad nmemsahau na Hilo gwanda asee jamaa anajuaa😂
Sema huyu jamaa askari ni pro actor😹😹😹😹
Yaaasni ni balaaa la moto
Nishai wewe ni diamond platnumz mwengine,Sasa muko wa Wili uku Tanzânia
Ubunifu mzuri huyu jamaa polisi aendelee
Kweli anaweza Sana mm namuona mara ya pili sasa
Kitoweo joti toa pesa kkkk😮😮😅😅😅
Aaaah broo umetisha big up👏👏👏
This actually based on a true story 😅
Daaah kumbe kumbukumbu iko kwa wengi big up broski😅✊
Ilitokea kwa afande kitambi hapa Kimara
@@victorvictor3064bd yupo au
Duh sikuwahi kuisikia ilikuwaje?
Mi mwenyewe niliwahi sikia hii kutoka kimara au sio 😅.
Ww,gari kitoweo wote ndani
Leo me wa elfu 47 nipeni like na comment za kutosha😅😂😅😂😅😂😅
Joti unajua sana.. hii kweli ni ya mwaka mpya 2024
Hammy j 😂😂😂😂❤ enewei nishai mtomba ngwile kitwango mikazo miguno 😂😂😂
Joti hababaishi anachekesha tu😂❤
😂😂kaaali hii😂😂 uje Kenya tufanyie Dua hizi nugu huku...🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂askari wa afrika jamani😂😂😂changamoto
Wakioza mmoja mmoja kama ivo akili itakaa sawa,
Jot 😂😂😂😂😂😂nanga umemuacha wap
Nimechk😂 sana huk mwishon 😂😂😂😂
Joti leo umekuwa mpole balaa sijakuzoea hivyo eti❤
HahahahahahahahahHH daaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂we joti basi daaaaaaa we noma kaka
KAMA VILE WASEMAVO KUWA SERIKALI HAINA DINI VILEVILE HAINA HAKI🤝🏽
Kweli ..mwenye haki ni mwenye pesa..hao afande wafanana na waKenya 😂😂😂
Huyu nanga usimuache😂😂😂
Safi Sana Mr Nanga
Noma sna
Aiseh umetisha sana
Mimi ndio kwaza nitulie ila joti ajawai nipa ❤ yani kanitupa tuu
Thanks.Hata Huku Kenya Askari njaa tupu.
Ohoo nanga ameingilia hii shughuli kazi ipo😀
Hapo kwa serikali haina dini 😁😁😁😁😅😅😅 #254
Daah afande nae ana maswali ya hovyo hovyo kweli😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢
nimecheka kwa sauti eti rizki inavozidi kuoza na ww unaoza😄😄
Aisee joti amemuona Nanga.... Bonge la kipaji
Nanga yupo Joti TV saivi, safi sana Joti, noma sana yaan 😂😂
Nakukubali sana nanga ❤❤ 😂😂
Hii ni stor ya kweli kabisaaa
Kweli???
@@EmilianaSevere ndio
Nanga anajua😂😂😂
Jamani ndoa mavi ya mbwa hayanuki mpaka uyasogelee😂😂😂😂
Nanga kama Nanga😂😂😂,Afande Nanga
Nanga yuko vizuri san
Haya mm wa 77 nipeni like zangu
likes unazipeleka wapi kenge wewe ?
peleka ushamba huko 😏
content aweke Joti like upewe wewe kama sio ushamba ni nini ?
Zito unajua kabisa kipemba mm mpemba hivi umeishi Zanzibar mbona lafudh n yenyewe
Kapatia Kipemba hasa
ila joti wapemba unatuonea sanaa 😅😅😅😅
😂😂😂
😅😅
😂😂😂😂😂
Joti and Nanga pamoja wacha tu. Kutoka Kenya napenda. Nifikisheni mia tano woiyee😀
Serekali aina dini toa elfu arubain 😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu ndio yule police malengo ❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nanga Fireee ❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣 hii kali akaoze nao
Joti jotii yn nmfulai kumuona nangaaa
Sema unaweza mlewa tukionana nakupa ya soda kaka!!
Kazi nzuli sana 🎉🎉
Dereva Kitoweo Wote Central 😂😂😂
Gnitaumiza mtu 😂😂
Like you joti a good actor be blessed
Serekali aina dini😂
Jidanganye litakalo kukuta hata serikali haitajua 😅😅
@harrymakongwa1147 😅😅
Hapo joti umetisha sichoki kuingalia
Jot unajua kinomaaa
Polise anaweza sanaaaaa
Joti ongera sana tena,ndio hivyo hivyo❤❤❤👍👍🙏🙏
😂😂😂😂😂
Wapemba jau aiseee😂😂😂😂😂
Kazi nzuri joti..
Mlewa 🔥🔥🔥🔥
Nsmkubali huyu mwamba sana 😂❤
Hii stori ni kweelii jaamaani😢 ilimuondoa afande mmoja Dodoma😢
He...akafa au ikaweje
Nagwa katika ubora wake😊
We mpemba weeeee ya Leo kali😅😅😅😅
Hii kuna ilimtokea askari kilichotokea ni balaa ,hatuna nae tena 😅😅😅safi sana
Nisimulie pliz
😂😂😂Wapemba❤❤
hii team inatupa the best ever comedy...asa Nanga mwanzo ukujua kua una familia...
nilijikuta huruma tu inanijia baada ya kuskia kua Nanga ataoza kama samaki..ckujua kua ni act tu😂😂😂
Balaa zito hili mkubwa nanga ndani😆😆😆😆😆😆😆😆😆 kama police kweli vile na hiyo migwanda daah
Team joto hongereni ila afisaa nanga pole yko maana dua ishasomwa na tushakuachia mungu thezea dua wee🙄😂😂🤣🤣🤣
Hii nimeipenda hizi saut za kipemba
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅nimependa content
😂😂😂 Askari wangu wa barabarani umetisha
Wewe, gari kitoweo wote central 😅
jamaa anafaa sana nanga boy
Mr nanga og upo juu😅