Mange Kimambi asherehekea penzi la Diamond na Zuchu kuachana, sasa itakuaje? Ni kweli au drama?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ม.ค. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Wa kwanza kulike gonga like twende pamoja kama unamkubali sky walker twende pamoja❤🎉🎉🎉🎉🎉
Iyo nikiki jaman Kwan hamjui ndugu yetu Simba??,,anatafuta attention,,kinakuja kitu hapo niamini Mimi..mnaokubaliana na Mimi?
Hii ya sasaivi ni kwaheri hakuna kiki
Hata iwe kiki mbona iwe kwa mpenzi wake
Kwa kweli unaweza shangaa mkawaona kwenye shughuli ya Manara wakiwa pamoja😂😂ila toka jana anajiongelesha instar story yetu macho
@@rosemahenge9071 umeona enhe??!!😂,,mim namjua Daimond
@@jamilaathumani5481 kashawajibu tayari Mange na kujimaliza kote 🤣🤣aibu yake
Jamaa ameanza maandalizi ya ngoma yake mpya,hizo ni kiki za zamani sana
Mimi WA pili much love from kenya ❤️❣️
The thing is, Diamond doesn’t love zuchu. He will keep sleeping with her but he has no plan to marry her. Which is unfair coz Zuchu should be getting into a serious relationship and building a family. Why waste someone’s time? Mayai yanakauka 😢
So true
Unfair how?has dai ever introduced any girl as his girlfriend after tanasha?
Mmmm daimond unajua kuwapa presha watu 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Ataivo wamedumu kweli maana akaagi. Miaka mingi na demu😢😢
😅KWNAI ANAKUAGA ANAKAANAO MIAKA MINGAPI? 😅
Mimi nampenda zuchu 🎉🎉
Zuchu mbona watu wanamshambulia 😢😢😢😢😢😢 kwani alijiumba? Mungu akamumba hivo.wacheni zuchu jamani😢😢😢😢😢😢
Mama dangote aliongea kama mwanawe hana mahusiano
@@Fatma-wi2combona hata Khadijah Kopa huwa anakataa kama Diamond ana date na mwanae😂😂
Aliekaa kimya ndio kaacha alieandika gazeti kaachwa
..... #NGOMA KALIIIIIII ...#NJIANI... ❤❤💯💯💯💯 ..SIMBA ♥ ZUCHUUUUUU...
Mange kaa jitasimini sana unamkosea Mungu Hadi unakufuru
Kwani M'ungu anawapenda wazinifu
Mimi nashangaa anavyomchamba Zuchu kumbe nyani haoni kundule lake😂😂Mange na Zuchu kwa kweli Zuchu mzuri❤
WANAPENDANA BLALAAAAA.... GET UP GUYZ...✌
lete ngoma baba mwaka mpya
Uyo Mange
Zuchu Ali mkoseya nini kikubwa hadi amuweye ivo...
Bin Adam bhana
Mapenzi ni vitu vingine ...
Courage Mi zuu
Zuchu mzuri ila sijawah penda haya mahusiano Mana diamond ni mtu wa kuchezea wanawake
Hope she gets out of this toxic family ,I love zuchuu❤
Kabisa kw kweli mahusiano yao mond ni mrukaji
@@doreenkemuma6303ilove her music but zuchu is selfish how can u be dating your boss?
Kama nikweli. Zuchu chamoto atakiona 😢
KUFUTA INA MAANA. MHUSIKA HABARI ANAYO😂😂😂
Atatutambulisha kwani hilo la zuchu alitambulishaa!!!
Kwani wamezaliwa tumbo moja mwache aendee babuee zuchu utapata mtu riziki mafungu saba ❤❤❤
Mangeeee pole penz la zuchu na diamond bora ukae nalo mbali haya sasa nenda instastory ukaone zuchu kaachwa kweli? Uso utaweka wapi hamna uchawi mtoto fundi umemjuaaje mchawi kama sio mchawi ushavuka nguo
Msihadaike Ramadhan is loaded , wanajiandaa na mwezi wa Ramadhan
mwezi ramadhani kwa domo weni
😢😢kiki hiyo
Ni kiki kuna jambo laja📌
Daimond anacheza na akili zetu,,Yani anatufanya sisi mashabiki zake jinsi anavyofanya..na mange pia anatetea ugali wake anajalibu kupita na upepo huo.ili aingize pesa kwenye app yake,,izo ni attention tu,,mim nipo apa .kaka sky utakuja kunikumbuka
Hakuna kitu hapo ni drama tu
Yupo serious
😂😂😂here you go 😂this guys never introduced zuchu in public as a girl friend like how he used to do with his exes ,i think he is just playing her.
Kweli kaka sky ulali
😅itakuw zuchu kataka kujiua akafuta au ni kiki kama kawa😅😅😅
Nahisi ile interview ya mama dangote ilileta shida 😊 may be
Labda😊
Kiki tu. TANASHA KARUDI
Mmm yetu macho
Mama dangote interview yakooo🙌🙌🙌🙌😂😂😂
Hawezi kua single diamond never
Aliona harmonize ana trend😂😂😂😂
mimi niko shabiki wa music wenu nyinyi na zuchu kwa mahusiano yenu mtajuana wenyewe
Bora zuchu aachane na Daimond mapema, maana mi simpendi Daimond na Manara ni wahuni tu. Hela zinawasumbua.
Woyooooooo mondiiiiii❤❤❤
Ufagio uliotumika kungoa'a wema ,hamisa , ndio inafagia uwanja. Shida si mama ndangote .Never fall into big man shoe's.Avoid Free offers always.
Jamani diamond na zuchu wana vuta bangi sita tudi teena kuwamini😮😮
Wimbo unakuja,,, Sio Mara yake ya kwanza
Wewe Mungu unamumbuwa mtt wa mwanamke mwenxio
Mmmmm jamani lakini c aliwaambia kuwa atatrend mpaka january mkatukana kua awezi mbona ss mnachanganyikiwa tunae😮
Kimambi❤
Shikamoo Harmonize Shikamoo Haji manara
😢😢
Ni kiki tu atuachee 😂 tumesha wazoea
ivikweli muliwaza Diamond akae kimya Mumakonde naule munzingowake amupite kiki haiwezekane.wako tena wako wivi unawasubuwa.
Binadamu wanaroho mbaya eti wanakuombea mabaya mmmh ngumu kumeza😢😢
kiki iyo wanaona aibu kuchezeana bora waongope wameachana
Tisa kumi,si vizuri kudate boss wako maana mkikosana utaelekea wpi,the enviroment will never be condusive,e bwana ee, bwana sky kimo story yke ipi?
Hapo inazimwa ngoma ya nandy
Saaaafiiiiiiiiii
Jamaa alimiss kuongelewa aka ona bora aje skandle kama harmonize na dj seven 😂😅😅
As I always do,kwahio ndugu yangu unajiproud kutambulisha mahawara wako kwa jamii kama kitu cha kawaida tu, oa bro.
Wanatuletea wimbo mpyaa@
🤣🤣🤣🤣🤣 isiwe tuu ukweli jamani maana safari hii atachoma nyumba huyu uwiiiii 🏃♀🏃♀🏃♀🏃♀🏃♀🏃♀
No maisha lazma yaendelee
Nimefurahi sanaa haloo mwake hana sifa hata moja ya kuwa na simba mwanamke hajui kuvaa hana tako hana sura hana rangi hana urefu hajui kutembea vizuri hana matiti yaan mwanamke kama mzimu wa kikoloni
Wewe uliyekuwa navyo umedate na nani bahati hunaa lione
😂😂😂😂😢😮😅😊😊😅😅😊😊😊😊
Yo Ni kazi inaiokuja, msichangae
Ndio maana kasema we zombie amepiga tena hapo anawaandaa tuu msherehekee baadae awacheke🤣🤣
Sasa diamond naona kaamua kuharibu shuhuli ya manara 😅😅😂😂
SNS Come on, hemu tumieni common sense, hakuna ukweli WOWOTE kwenye hili.
Diamond anataka aone adui hehenyiye❤😂
Zuchu haachiki ngooooo
Labda alilewaaaa😂😂😂😂
😂😂😂hata sijui nacheka nn nyie
konde anamtesa sana 🤣🤣🤣
Watu hawampendi zuchu kwa sababu sio hadhi yake halafu kabisa halafu anamajivuno sana kanamdomo
Kiki hiyo
Sijafurahi ila zouch hebu piga chini huyo mondi
Hii kiki bhna wanataka kutoa nyimbo hao😂😂😂😂😂
Bora waache kuzini, jambo zuri.
Polen sn muwe na akiba ya maneno aibu zenu
Kiki tu kuna ngoma inakuja
Apo inataka kutoka piano 2
Kiki hiyo jmn
Kuna nyimbo inakuja
Haijawahi tokea diamond kuacha mwanamke sasa this time nn kimemkera
Najua mahali Haji manara yuko kamaind na ni hii kiki😂
Hio Nikki ya goma yake mpya
JIBU LAKE KUTOKA KWA LA MASIMBA AMESHALISIKIA AU BADO??
mangi kimambi unamuhari gani nazuchu
Hata Mimi nimefurah ukiniuliza kwann sijui ila hawaendan bwana
kiki kabisa hii wanataka kuzima shughuli ya manara tuu hakuna lolote hapo
Mbona mdogo wangu mondi ananicosha kicwa jameni
Mmh mi sijawahi kuamini kua hao wawili walikua wapenzi zaidi ya kazi, because hawaendani kabisa.
Hata mimi
Kiki tu 😅😅 umalaya tu
But angesubir wiki ikayo aseme hivi yaan hapo jamaa anaua shoo nzia ya manara😂😂😂waga anakaa wiki nzima kuongelewa mond
Daimond asiruusu kwani ni mwanawe ampe akaunt zake wafanye kazi kila mmoja kivyake zuchu kashatoboa
Jiandaeni tu kuipokea nyimbo mpya ya diamond😂😂😂
Sio kiki
@@zerochanneltanzania3797 track hiyoooo
Wasituchoshe mxeeeeem 🤔
Mambo ya kawaida hayo, tumezoe kiki
Warudiani ili asiwe kwenue wakati mgumu
HAWAJAACHANA JAMANI 🤪🤪🤪
Ni kiki
Wapi alisema zuchu niwake
Kiki iyo
Kashozoea kuchezea wasichana uyo.
KILA SIKU WANASEMAGA HIVYO HIVYO WANAMUUWA HARMONIZE NA NYIMBO YAKE
bora umeamka ulilogwaa
Well he said his still going to Zanzibar his bipolar