Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama
The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU KWAHIYI HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA
Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo
Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA
Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!
@@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana
Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo. Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.
Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔
@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.
@@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona
Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe
Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi
Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani
Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito
Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!@@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮
Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama
Faiza jitulize jitulize acha roho mbaya unaroho mbaya sn ww faiza ally ww kakuzidi kila kitu kwanza umekomaa ww faiza jitulize
Kiukweli zama huwa ni nyoka sema upole na face yke ndio inamficha
I stand with Faiza, she is real
Zamarandi ni yuda sana yani ni anakuua huku anacheka
🤣🤣🤣
💯 na ni kinyonga
Zama wanamuona mtu mwema sna ila ogopa mtu anae jionyesha mwema kwa watu ila ndan n nyoka sna😂
I think Faiza is telling the truth
Zamaridi Ni narcissist she knows how to pretend 😂
siyo narcisst,
A very Huge narcissist I've seen
@@eben_ezer8853PhD holder😂
The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU KWAHIYI HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA
Faiza huwa yuko real! Kusema kweli Zamaradi anaonekana ana roho ya korosho sana! Ingawa kanavyojiweka huwezi kukadhania
Achen ujinga uyo c kahachika kwasugu mdaaa
Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo
Faiza yuko real. Zama alitumiwa na Ruge kumuharibia Sugu.
Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi
Sababu wanamuonea wivu 🤪
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA
Mtu mwenye maendeleo lazima apigwe mawe
Wanawake acheni wivu
Mm kwa hili siamin kama zama alitaka kumuharibia sug uchaguz kwakwel bado sijaamin
Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!
Mbona na wewe unaonesha una chuki na faiza? Tuacheni u follower kwenye magomvi yasiyotuhusu. Wanajuana hao
Nakuelewa sana,nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia chagua Rafik mwenye hekima na jizuie kugombana nae,na mkikwaruzana usiongee lolote..kila utakachoongea kitaaminiwa..kifupi ogopa ugomvi na rafiki yako.
Huyu bibi faiza nae atulie alee wajukuu
Zama ni mbaya mnoooooooooo nyokaaaaa
Sikuzote ubaya haujifichi utafhihirika tuu...Sugu anabaki anashangaaa😂😂😂...nyie khaaaaah
Faiza needs a therapist,She must heal Abeeeeg😮
That therapist should start with Zama first then he or she can go help Faiza. Humjui Zama vizuri,
Zamarad hafai niliwah sema na nitaendelea kusema,,,usoni mtu lkn moyoni bundi😂😂
SISHANGAI WANYARWANDA NDIVYO WALIVYO.
Sasa Zama ni mnyarwanda au ndo gari imewaka 😢
@@spreadlove5300 hahah
😂😂😂faidha yuko km gigymoney au Rubí wakikasirika tuu siri zote nje
😂😂 kabisa
Hahaaa n huw za kwel
🤣🤣🤣
Zama ni nyoka tena nyoka mwenye sumu kali 😢😢😢😢
Mnafahamiana na zamaradi au faiza??
Wivu jamani dada yupo smart huyo lazima watu wamchukie, ana maendeleo yake wakati wengine bado na miaka 40 wanajitafuta
@@atutweve4160 wivu gani bwana weee kwann kila mtu amlalamikie yy ?!
@@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa
Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana
Faiza hasemagi uongo..
Hivi vibibi vinapenda kutrend
😂😂tena mpk kero
Wanaubibi gani!? 40’s ndio kwanza wameanza maisha!❤
Wana ubibi gani. Wasichana wabichi hawajachakaa kuliko walio 30.
😂😂😂😂
Acha zako wee unaenda juu au chini miaka 40 bibi
Faiza might be right kwa anavyo mpenda bby daddy sidhn ka anasema urongo😂😂hu ndonmutazamo wangu
Mnamuonea wivu zamaradi kisa anamaendeleo
😂😂😂😂😂pole sana zama maana huna bahati wanja mzima wamekuchoka eti😂😂😂😂😂
Huyu Zama aliwahi kugombana ht na Hamisa. Na akamtangaza vibaya mwenzake. Halafu anajidai kwa vile csemi nakaa kimya. Ukimta gani huo?
Sasa jamani kama Zamaradi amekomenti vile kwa Sugu kuna shida gani?? Sioni shida labda kulikuwa bifu nzito kati yawo
Alikuwa anaafta saabu si unajua hakubali kuwa aliachwa na sugu
Zamaradi hawezi kumkubali faiza kwakuwa analipiza kisasi kwa ruge
Alyesikia suge na rugu nani 😅😅😅
NAN KASKIA SUGE NA RUGU MWISHONI MWISHONI 😅😅
Siku zote walikuwa wapi zama songa mbele na yako watumie akili zao na wao zama zama
Ugomvi wa watu wazima wataumaliza wenyewe
Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo.
Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.
mh sugu ukute hta hajui haya yote
7:33 "Suge na Rugu" 😂😂😂
😂😂😂
Faiza anampenda saaaaaaaaaaanaaaaa sugu sasa quona hasimu waqe anashiriqiana na sugu anataqa quharibu 😂😂aisee faiza unataqiwa ququbali qwamba hutaqiwi
Faiza sijui yukoje
Wivu nenda uko anakuzidi maendeleo wivuuuuuuuu
They always say 'Still water runs deep!'
I stand with Faiza
Zamaradi mimi siku nyingi nnajua kwamba ana roho mbaya sana hiyo ina julikana
Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔
@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.
@@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona
SUGE NA RUGU......Chriss😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Ndomana kila siku Huwa nawaambia wanawake ni nyoka hatari sana hivyo umakini zaidi unahitajika kwenye baazi ya Siri zetu wanaume
😂 😂aya mtoto wa nyoka
Km wanawake ni nyoka. Bac ht mamaako ni nyoka?
Watu mwembamba uwa WAONGO WAONGO Sana ndo havinenepi kabisaaa
vinanepa huko Chini Tu
Kama waongo waongo mbona mnashinda gym na madayati kibao na nyie mnataka kuwa waongo!!?
@@fridageorge2809🤣🤣🤣 akikujibu nishtue
@@fridageorge2809😂😂😂😂
Kwaiyo ngapi uko kati ya faiza au zama
Mtangazaji umetisha SUGE na RUGU 7:30
😅😅😅😅😅suge na rugu
Faizaa😂😂😂😂hakopeshiii
Watuwace tuko busy na manara❤
Tafuten pesa banaaa
Safi zama ww ni mti wenye matunda🎉
Ashamuharibia na kumchafua sana Sugu, hana chochote cha kueleza they're all snitches...
Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe
Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi
@@johasaeed391kweli ❤
Ndioooooo
Ana GPA ya ngapi watu wqnquza unga mnawaita wana akili😊😊😊
Taabu ya Umaruifuuu hiii
ZAMA IS SMART AND BLESSED LAZIMA ACHUKIWE,,,, UZURI SIO MAISHA
Watu hugombana na kusameheana sioni shida ya Zama ya kale yamepita ila mwenye shida Ni Faizer mwenye sumu ya nyongo
Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani
Fact
Hongera uko sawa mumy❤
Dada kashindwa kumuv
Subirini midoli ya Kichina iingie wanaume wahamie huko ugomvi utaisha😊😅😊😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂
waendelee kutupa burudani
Wewe huna akili faiza
Zama this, Zama than, I like it.
Zama that not than🧐
@zimuzorchidera6077 typing error my friend
Ww faiza ww ni mtu mzima vingine uweunanyamaza,yann kutoana siri?
Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito
Awajapigana
Jamani mbona hivi 😢
Nyie ni wazazi acheni kina zuchu hizo drama
Thx bro👍🏽
naoba number ya faiza tafadhali
si uende kwenye bio ya insta
SI TUMIII VP UNAWEZA NI HELP@@JanetAhmad-v3h
Pole faiza binadamu marafiki wabaya mnooo
huyu Faiza daah 🤣
Hahahahaaaa mtangazaji kachapia majina ya Sugu na Ruge,eti Suge na Rugu😂😂😂
😂😂😂
Hahah😂
Safi sna
Majina yenyewe ni yakiajabu ndio mana.😂😂😂
Daima ukiwa mwema utachukiwa mnoooooooo
Vile umetaja Mangi nimekuja
Zamaradi ni muuaji wa chini
itakuwa zama anamatatizo
Yan ukisoma comment ndo unajua watu wana magonjwa ya wivu na akili pia yan mnavo muattak zama utafikir mna ujua ukwel wivu Uta wauwa mbwa nyie 😅😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅😅😅😅
Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
Zamaradi ni mshenzi sana 💯
Na wengi wanamsema
Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!@@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Watu wazima ovyooo.
I'm from Cuba and I don't understanding Swahili but hii imeenda 😂😂😂
😂😂😂
You don't understand Swahili but hii imeendaa umeielewa🤣🤣
😅😅😅zamaaaa maji
Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮
ana roho mbaya wasanii wengi huwa wanamlalamikia
@@jescanicodemus Mmmh madogo,, khaaa uzaniae sie Kwa kwel
@@PhyinaElias-mu4wf🤣🤣🤣waa wacha tushangae jamani