Diamond amuumbua Mange "sipo single, penzi halivunjiki kirahisi hivyo, bado nakula raha za kisiwani"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ม.ค. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Yaaaaani nilikua sina hali nikifikiria zuchu wangu ivi najiskia furaha asante sana shemeji Diamondi acha tukashehereye penzi limeendelea🎉
Yaani Dar niliumia sana kusikia hii couple imevunjika. Sasa nasema Alhamdulillahi Allah awatunze jamani nawapenda sana
1:09 ili waendelee kuzini eti Allah😂😂
Dunia ya leo hakuna aliyeifikia ndoa hajazini. Na wamezaliwa watoto wengi tu wa uzinifu . Kama.imepangwa waoane Inshaallah itafikia wakati wake
Umenifurahisha diamond❤ karibuni urojo😅 😅
Next time you have a fight, stay away from your phone. We love you both 💕
Wambea na wanafiki mutakoma roundi hii😂😂😂😂 tunakungoja abudhabi dai tiket tayari HABIBI COME TO ABUDHABI 😂😂😂😂
Only vee money had class katika artists in tanzania, she had no drama
That true but nowadays people love drama than music itself that why he gives them both--- that business
Tumepigwa na kitu kizito wambea 😂😂😂kama namuona mangi vilee akijifunika leso ya usoo😂😂😂
Tatizo yule anakulupuka sana 😅😅😅😅😅😅
mwambino iyo nikiki
Wachana no but matukia atapigwa
Nilijuwa tu
Mange umeumbuka nyooo unasema zuchu mchawi umemjuaje mnawanga wote muache mtoto funfdi fundi yuuu chiiiiii ovyoooo safi sana mondi umeyajua maadui wasiotaka hubba
🤣🤣🤣👍🏽 nimeceka mbaka
Ila kwnn munamchukia zuchu jamaniii 😢😢😢😢,
Asante Diamond 💎
Kila mchunga atakwenda ulizwa alichokichunga Bi Khadija kopa😭back my words
Ndiyo mondi mwanaume hapagiwe good mondi❤😂
Mind game
Mhh!,yetu macho!ila sometimes ni udhalilishaji !,mm mpaka nimsikie mama Dangote amepitisha ,maanake kila kitu ni yy mwenye maamuzi.Kuna cha kujifunza hapa.
Nani
I knew it from the beginning 😂😂😂😂
Mmmh huo mwandiko wa zuchu😂😂😂😂
Hahaha piga kelele kw diamond weweeeee😅😅😅😅😅😅😅
Haya mapenzi ya kinyonga haryana kweli.....kwa sababu yakipato
Mange ki mavi amka utaficha sura yako mbaya wapi, mwembamba kama kijiti, ibilisi
He was promoting dvoice moon party.. as he said I will always do😂
zuchu alikuwa amemunyima kitadani jamani😁😁😁mumuashe mond ale rahayake kisiwa chaka rafu.basiubani umepita apo na duwa
Mambo hayo😂😂
Fido Dido kaumbuka ile mbayaa😂😂😂😂 roho mbaya haijengii
Huo wimbo wake n J Melody lazima uwe mkali maana si kwa kiki hiyo
Sasa c anamdhalilisha mwanamke wake kwani anatudhalilisha cc
Apana uyo ali ona kama azungumziwi ndio mana akafanya ivo
mange yupo wapi jman!!??
Diamond na zuchu waliamua tu kuwajua wambea wenye chuki na wao ni nani na nani😂😂😂
C_kwamba wanamchukia wanamuonea wivu
Hata kama ni kiki asha mzalilisha zuchu 😂
Very true 😅
@@chainbre275 Yani hapa akuna mapenzi kabisaaaaaaa
Mpaka niliumwa
mi nilisema siwezi ingilia mapesiii
Mange uwiiiiii 😂😂😂😂😂 Nimecheka kifala 😂😂
Unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe 😂😂 kiki imebuma mapema
Alizani ita trendi lakin ameona watu tuko busy na mambo ya harmonize
Ww ulikuwa wapi hyo ni habar ya siku nzima 😂😂😂chekii
Uyo korosho ana jimya gani mbwa wew
@@MkaliZuberi-rt3gb asa wew uyo choko mwenzako na wew mke wa mbwa mna jipya gan
Umeona enhe,,niliwambia iyo ilikuwa changamsha genge tu,,na hawawez kuachana hao,,Sasa da mange sura yako utaiweka wap Leo,,Aya kakojoe da mange alafu njoo utuhubirie huku😂😂
Mange utafunga mdomo , Leo umeumbuka
Zuchu mond forever wambea umejua kupatikana 😂😂😂
Mimi nirijuwa tu km kajiandikia tu
Sasa wambea mumekula kitu kizito😂😂😂😂😂😂 wacha wasemeeeeeeee
Watanzani bado hamjamzoea kibu,tusubirie ngoma
Simba anajua kuwavuruga 😂😂😂
Kajuwa kutusuta simba leo maana katuacha hoi
Kwanza kua single yuko single. Kwakua kua single ni kwamba, hajaoa. Je, diamond ameoa ?
Nop
Lina vunjika sema unaogopa uki muacha atatoka kwenye lebo
Simu imepigwa kwamganga wake chap mambo yakatik maramoja
Tuliwawmbia wenyewe timu wcb wasafi tunaelewa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilijua ni kiki😂😂😂 na nilisema
Uyo anataka kuharibu party wa mzungu wenu tu😂😂😂😂😂
Alifanya vile ili Harmo na Marioo wasizungumziwe na Away bila shaka
Niliwashangaa sana SNS kudiscuss hiyo post , mbona ilikuwa easy tu kutumia kichwa kuelewa ilikuwa drama tu
Dada wataifa ajawahi kushindw ngoja amkee
Conde boy kawa vurunga kweli😊
Bora muachane tuu 😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂umekomesha wambea na visorokwinyoooo
HATA HAWAKUGBANA 😂😂😂😂😂watz inabidi muelewe libras tunapenda attention
Mange ameloa ameloa kanyeshewa na mvua
Lazima atakuja na sababu nyingine maana kashajenga roho ya chuki kwa Zuchu hawezi badilisha kama alivyoijenga kwa Zari
Maskini kwanini wana mchukia zuchu bila sababu kwani zuchu ana ubaya gani
Wivu tu
Mavi kimavi amka ujigaragaze
Iyo ni kiki ya kutoa nyimbokila alofurahiya kaumbuka 😂😂😂😂😂
Mziki ushamshinda kabakiza Kiki tuu 😂😂
habari za wasaniii sio za ukweli ko natoa ushauri msizifatilie ni upuuuuuuuuzi mtupu bora tusome bible
🤣🤣🤣🤣🤣 tutaficha sura zetu wapi au nisinge comments 😂😂😂😂 daaah
Hahaha et unamuamini diamond wakati muziki wake unaendeshwa kwa kilki? Huyo ni mtu kiki
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Diamond akiwa na mtu mnajiongeza wenyewe na wakiachana mnajiongeza wenyewe, hajawahi kutangaza kuwa na mtu wala kuachana nae toka awe maarufu, kwa hiyo ungekuwa ni utaratibu mpya, binafsi nilijua kabisa ilikuwa bullshit
😂😂😂😂😂😂😂
Diamond ni Mpumbavu, ndomaana wasanii sio watu wa kuaamini kabisa
Watu waache umbea, zuchu na mondi bumper to bumper
Niliwaambia aibu zenu oyoooooooooooooo umewakomesha urojo unakuhusu mpk waxikane
Nimesema je? ZUCHU haachikii
Mange kimange ni mpumbavu mimi mange ata nipewe wabure siwezi mchkua afazali nimuowe kichaha kuliko kumuowa mange katika wanawake wenye mahumbile mabaya mange ni mabaya kuliko
Ujinga mtupu. Apo anamchezea Zuchu na kumpotezea muda. Hatuombi mabaya kwake ila kuowa bado sana lambda mama yake awe hayupo nasi tena. Vinginevyo hakuna mwanamke atakae dumu nae na hakuna ndoa. Playboy huyo
Mziki ume mshinda na kiki zooote zime buma. Atupishe mxiuuuu
I will unsubscribe all Tanzanians online channels nyie ni waogo sana take three days before you publish stories online please
Zuchu amejibu, utacheka sana
th-cam.com/video/JC840H6TLj0/w-d-xo.htmlsi=oLaOivavNkxqCWhA
Yaaaaani nilikua sina hali nikifikiria zuchu wangu ivi najiskia furaha asante sana shemeji Diamondi acha tukashehereye penzi limeendelea🎉
Nilisema huyu ni zombie anawatekenya🤣🤣
Mange ameloa ameloa kanyeshewa na mvua
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa Tanzania kwa kiki😂😂😂😂😂😂 mpewe tuzo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mange ameloa ameloa kanyeshewa na mvua
Mange ameloa ameloa kanyeshewa na mvua