Madam Flora - Wakati Wake Official Video

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • Verse
    Wakati wa kucheka ni furaha unasahau kama kuna machozi,
    Wakati wa kulia ni huzuni unasahau kama kuna kucheka,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
    Ooh kila jambo,kila jambo
    Kila jambo na wakati wake,
    kila jambo,kila jambo
    Kila jambo na wakati wake
    Chorus..
    Eih kila jambo...
    Wakati wa kucheka na wakati wa kulia,
    Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo
    Kila jambo kila jambo
    Kila jambo na wakati wake
    ..
    Verse
    Ukiona mwenzako analia usifurahi maana atacheka tena,
    Ndugu yako akianguka usifurahi atainuka tena,
    Maana kuna wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu..
    Chorus..
    Ooh kila jambo, kila jambo kila jambo
    Wakati kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo..
    Kuna wakati wa vita na wakati wa amani, kila jambo..
    Kila jambo kila jambo
    Kila jambo na wakati wake...
    Verse..
    Rafiki usiogope, unayopitia utasimama tena,
    Neno la Mungu linasema, hata uanguke mara saba, utasimama tena,
    Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
    Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
    Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena,
    Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena....
    Chorus..
    Oooh kila jambo, kila jambo, kila jambo,
    Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, kila jambo,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena, kila jambo,
    Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
    Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake,
    Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake
    Kila jambo, kila jambo,
    Kila jambo na wakati wake

ความคิดเห็น • 138

  • @fredmarwa1727
    @fredmarwa1727 29 วันที่ผ่านมา

    Amina kubwa kabisa Asante Yesu

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 4 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen Amen Amen 🎉🎉

  • @MatesoHekima
    @MatesoHekima 2 วันที่ผ่านมา

    Madam frora

  • @felistermbushi8895
    @felistermbushi8895 ปีที่แล้ว

    Kila Jambo na wakati wake

  • @loiruckmollel9862
    @loiruckmollel9862 3 ปีที่แล้ว

    Ni kweli.

  • @f.j.e5282
    @f.j.e5282 3 ปีที่แล้ว

    Ameen...

  • @OfficialDianaMhagama
    @OfficialDianaMhagama 29 วันที่ผ่านมา

    M blessed

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeen

  • @yohanadaniel6959
    @yohanadaniel6959 3 ปีที่แล้ว

    Yohana daniel

  • @allysalum9318
    @allysalum9318 3 ปีที่แล้ว

    ✌🏾❤️

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @jumahusein6254
    @jumahusein6254 4 ปีที่แล้ว +4

    Hawa ndio waliokoka kavaa vzur nyimbo , imetulia Ina upako mpaka raha ya wokovu unasikia

  • @revombenmwakwenda6006
    @revombenmwakwenda6006 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana ndugu katika Kristo wimbo unaujumbe mzuuri sana huu hivi mtu akihitaji huduma anakupataje

  • @hitecstars.1
    @hitecstars.1 7 หลายเดือนก่อน

    hi, just found you too

  • @Naomiandrew938
    @Naomiandrew938 4 ปีที่แล้ว +4

    Ndoto kubwa haikosi Maneno Maneno ............ kusalitiwa

  • @neemasarwatt1030
    @neemasarwatt1030 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwimbo mzuri sana,hongera sana my dear

  • @alexiskageha263
    @alexiskageha263 4 ปีที่แล้ว +4

    I real like your songs.. You have a nice voice .. God bless you.

  • @anithayohana6063
    @anithayohana6063 2 ปีที่แล้ว

    🙌🙌😭😭 God....

  • @emmycharles8463
    @emmycharles8463 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuu nlikuwa naisubir hyo saut ya mwishon inanibariki xana madam

  • @magrethmwakyusa9641
    @magrethmwakyusa9641 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow Hongera my dada wimbo n baraka sana sana

  • @zabronadamsony870
    @zabronadamsony870 ปีที่แล้ว

    Amina dada mungu ndo Kila kitu katika maisha haya wimbo huu unagusaa 😥❤️🙏 2023

  • @pastorchico6388
    @pastorchico6388 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi njema BWANA akuinue

  • @georgesokozi6213
    @georgesokozi6213 4 ปีที่แล้ว +1

    nyimbo nzuri sn. mungu akubariki.umeitendea haki sana. niliona ukiimba siku ya harusi yako pale mwanza nikatamani sana uitoleee video yake mapema. ubarikiwe sana madam flora.

  • @Andy_tz
    @Andy_tz 4 ปีที่แล้ว +4

    wimbo mzuri madam... sauti imepoa hadi raha... Ubarikiwe sana nakupenda madam frolah😍

  • @eunicenziku2232
    @eunicenziku2232 4 ปีที่แล้ว +1

    waooh nilisubiri sana video hii.Mungu akuinue zaidi Flora

  • @shangweremiofficial4124
    @shangweremiofficial4124 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana kazi yako njema sister

  • @anithayohana6063
    @anithayohana6063 5 หลายเดือนก่อน

    Here I am again..after 4 years 😢

    • @anithayohana6063
      @anithayohana6063 5 หลายเดือนก่อน

      Lakini Neno la Mungu liko pale pale...utasimama Tena 😭

  • @queenmichael8707
    @queenmichael8707 4 ปีที่แล้ว

    Amina madam Flora ole wake anayekuhukumu ambaye hawezi hata kukuumbia sikio songa mbele hapo ulipo ndipo Mungu alitaka uwe hapo.

  • @elinamielibariki2134
    @elinamielibariki2134 4 ปีที่แล้ว +2

    Waooo kazi nzuri

  • @esthermarkmalekana1122
    @esthermarkmalekana1122 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen Hakika kila jambo na wakati wake Mungu akubariki Madam

  • @hellenndekeja4163
    @hellenndekeja4163 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa my dear kwa kaz nzur

  • @phinaringo7083
    @phinaringo7083 4 ปีที่แล้ว +1

    hongera dada kweli kila jambo na wakati wake

  • @evelynmasaka2894
    @evelynmasaka2894 4 ปีที่แล้ว +1

    mrs mpeta.... love u madam... kila jambo langu lililopangwa na mungu juuu yangu lina wakat wake.

  • @upendokomba913
    @upendokomba913 4 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda huyu mdada mbarikiww na huu wimbo

  • @Goldfilims
    @Goldfilims 2 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo unanifanya nikumbuke ahadi za Mungu maishani mwangu

  • @silassibuda9980
    @silassibuda9980 ปีที่แล้ว

    This song is so good likes please woow❤. GOD BLESS YOU

  • @esterjumahesterjumah2504
    @esterjumahesterjumah2504 4 ปีที่แล้ว +1

    Waooooow, hakika mungu ameweka kitu ndan yako, madam

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri sana barikiwa.

  • @agneslumanyika1026
    @agneslumanyika1026 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante Dada wimbo mzuriii

  • @josesamuelnduda2917
    @josesamuelnduda2917 3 ปีที่แล้ว

    Mi Naomba nyimbo za albamu ya Usilie tena. Naomba mama madam flora.

  • @allenmlelwa7950
    @allenmlelwa7950 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Dada wimbo mzuri sana...

  • @cpaminabuiferuz9298
    @cpaminabuiferuz9298 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Kila jambo na wakati wake.thanks for this

  • @emmanuelvitus5989
    @emmanuelvitus5989 2 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na huu wimbo mungu akuinue mtumishi

  • @shilolewilliam2374
    @shilolewilliam2374 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akuinue zaidi na zaidi.

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen amen👏🤝🌹

  • @uyanjongura3658
    @uyanjongura3658 4 ปีที่แล้ว +1

    Katika kuanguka kuna kusimama tena, kila jambo kwa wakati wake🙏

  • @juliasalim2626
    @juliasalim2626 3 ปีที่แล้ว

    From Kenya...Julia salim...I'm blessed may God bless you more florah

  • @marynasson4504
    @marynasson4504 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiii nyimbo huwa inaniiinua. Mung u akubarki Sana mmy

  • @hellenkisanga3974
    @hellenkisanga3974 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana wimbo umenibariki

  • @gospotv
    @gospotv 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri

  • @janethsaukiwa3966
    @janethsaukiwa3966 3 ปีที่แล้ว

    Hakika kila jambo na wakati wakeee🙌🙌

  • @sadothkyaruzi2077
    @sadothkyaruzi2077 4 ปีที่แล้ว +1

    Ujumbe makini na wa uponyaji

  • @aloysirene6041
    @aloysirene6041 4 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo unanibariki Sana ,pamoja na magumu ninayopitia Ila naamini no wakati tu kuna mahali naenda.

  • @rebecanassary7630
    @rebecanassary7630 4 ปีที่แล้ว

    Amen Kila jambo na wakat wake. Barikiwa mtumish

  • @magrethevarist4378
    @magrethevarist4378 2 ปีที่แล้ว

    Nice Song Mumy Mungu Akuinue Sana Nimebarikiwa

  • @salaphinasilvester9252
    @salaphinasilvester9252 4 ปีที่แล้ว

    Ujumbe mzuri unanifariji sana

  • @hamidaramadhan3195
    @hamidaramadhan3195 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice madam frola

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana dadangu Mungu yu mwema sana

  • @rosemlera
    @rosemlera ปีที่แล้ว

    Amina dada Kila Jambo na wakat wake

  • @naomiandrewandrew7685
    @naomiandrewandrew7685 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa Sana Kila Jambo na wakati wake

  • @graceneema3855
    @graceneema3855 4 ปีที่แล้ว +2

    Sauti mummy inanibariki...maneno ya wimbo mazuri Sana...barikiwa zaidi♥️

  • @carolhumphrey1907
    @carolhumphrey1907 4 ปีที่แล้ว +2

    This song came at the right time wooow much love dada

  • @salmamussa8988
    @salmamussa8988 4 ปีที่แล้ว

    hongera ,wimbo mzuri unanifariji

  • @ritalisu455
    @ritalisu455 4 ปีที่แล้ว

    Mungu nifufuke roho yangu ilie kufa

  • @derickrozy3213
    @derickrozy3213 4 ปีที่แล้ว +1

    Am so blessed with this Song. Barikiwa sana my sister.

  • @bosslady6215
    @bosslady6215 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuimba unaimba sana ...good job madam ♥️♥️

  • @deborandewingia6120
    @deborandewingia6120 4 ปีที่แล้ว

    Ammmennnn......wimbo umenibariki mno

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo unanibariki sana Madam Flora

  • @faithndalo3526
    @faithndalo3526 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana dada wimbo mnzuri umenigusa sana

  • @annaa.kijanjali7968
    @annaa.kijanjali7968 4 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana siku zote

  • @RodachildofChrist
    @RodachildofChrist 4 ปีที่แล้ว

    Asante Yesu. Ninamomba Mungu akubariki madam

  • @pulengpule2356
    @pulengpule2356 4 ปีที่แล้ว +1

    as i do not understand the language but the voice is unique and the song is a hit

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa 4 ปีที่แล้ว +1

    Good song stay blessed Dada flora

  • @gpsm2516
    @gpsm2516 4 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe madam wimbo mzuri beat limetulia mno

  • @victoriansabi237
    @victoriansabi237 4 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri balaaa Mungu akutunze

  • @augustermalima2662
    @augustermalima2662 4 ปีที่แล้ว +2

    Well done ma mdogo, encouraging song. KILA JAMBO NA WAKATI
    WAKE.

    • @thedylyimo1161
      @thedylyimo1161 4 ปีที่แล้ว

      Amina sana madamu wimbo mzuri unanitia moyo n nguvu

    • @alexiskageha263
      @alexiskageha263 4 ปีที่แล้ว

      Kilajambo na wakati wake... Nasubiri wakati wangu Amen

  • @laurentsamilah5001
    @laurentsamilah5001 4 ปีที่แล้ว

    nmepnd nyimbo nzuri

  • @hildamassanja8483
    @hildamassanja8483 3 ปีที่แล้ว

    Hakika kila jambo na wakati wake

  • @maryjon5286
    @maryjon5286 4 ปีที่แล้ว

    Amina Dada frorah mungu akubariki

  • @Elsie_mwanzia
    @Elsie_mwanzia 4 ปีที่แล้ว +1

    Am so encouraged. From 🇰🇪

  • @winniek.8855
    @winniek.8855 4 ปีที่แล้ว

    God i bless your name. Kazi nzuri sana Madam Flora

  • @patriciamija7738
    @patriciamija7738 4 ปีที่แล้ว

    Kweli kila Jambo na wakati wake.

  • @Queencecyvlogs
    @Queencecyvlogs 4 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri sana😍

  • @hopesheby7344
    @hopesheby7344 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Florah

  • @anethmkabahati7230
    @anethmkabahati7230 3 ปีที่แล้ว

    Kila jambo na wakati wake... am so blessed by this song.. 🙌🏾

  • @mckingmojojo363
    @mckingmojojo363 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakika kila jambo na wakati wake uzidi kubarikiwa Madam Flora kwa kazi njema kama hii

  • @maryanthonymgubari8784
    @maryanthonymgubari8784 4 ปีที่แล้ว

    hapo sawa F kwa utulivu huo Mungu akutangulie🎹🎸

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 ปีที่แล้ว

    Hongera madam,inuka tena kwa jina la Yesu

  • @euniceamon8155
    @euniceamon8155 4 ปีที่แล้ว +1

    Voice😍😘😘😘😘😘🙌

  • @Alfafurgence
    @Alfafurgence 4 ปีที่แล้ว +1

    Wowwwww wewe ni mama wa shoka

  • @georgekimasa7393
    @georgekimasa7393 4 ปีที่แล้ว

    Nimekukubari sana madam songa mbele

  • @joelmasebo5643
    @joelmasebo5643 4 ปีที่แล้ว

    Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke

  • @vicentezekiel374
    @vicentezekiel374 4 ปีที่แล้ว

    Imetulia nzuri sana

  • @queenmichael8707
    @queenmichael8707 4 ปีที่แล้ว

    Jamani nimeikiliza huu wimbo siku tano baada ya hapo kijana wetu wa kazi akafariki chumbani bila ya Sisi kujua siku ya pili kumfuata tayari ameanza kuharibika jamani huzuni ni nyingi sana alikuwa haumwi hata ukucha, duuu kila Jambo na wakati wake huzuni imetawala Mungu atusaidie

  • @ritalisu455
    @ritalisu455 4 ปีที่แล้ว

    Usisahau mwanito

  • @entujaelmsangi4328
    @entujaelmsangi4328 4 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen 🙌

  • @brigityluvandwa9054
    @brigityluvandwa9054 3 ปีที่แล้ว

    Am encouraged by this song...God bless you

  • @lightnessraymos8420
    @lightnessraymos8420 4 ปีที่แล้ว

    Madam congratulate this song is very power full be blessed

  • @barakamfugale1049
    @barakamfugale1049 4 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri
    Ila ulijishushia heshima
    Kwa yaleeeeeeeeeeeeeeeeeee

    • @marthamhede3961
      @marthamhede3961 4 ปีที่แล้ว

      Baraka wewe ni mungu kwamba unamfahamu MTU na matatizo anayopitia mkpa kuamua kufanya hivyo

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 4 ปีที่แล้ว

      Mmemkazania huyu dada,je mnamjua vizuri huyo alikuyekuwa anajiita Mume wake?na je unaelewa mume sahihi anakujaje?je umewahi kujua huyu dada aliolewa akiwa na umri gani na akili za aina gani?#noresearchnorighttospeak#

  • @erickmwangonda7814
    @erickmwangonda7814 4 ปีที่แล้ว +2

    Huduma nzuri dada ake mungu akubariki sana umenitia moyo sana,usifurai mwenzio akilia maana atacheka tena🎸🎸🎸🎸