Madam Flora - Wakati Wake Official Video
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Verse
Wakati wa kucheka ni furaha unasahau kama kuna machozi,
Wakati wa kulia ni huzuni unasahau kama kuna kucheka,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
Ooh kila jambo,kila jambo
Kila jambo na wakati wake,
kila jambo,kila jambo
Kila jambo na wakati wake
Chorus..
Eih kila jambo...
Wakati wa kucheka na wakati wa kulia,
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo
Kila jambo kila jambo
Kila jambo na wakati wake
..
Verse
Ukiona mwenzako analia usifurahi maana atacheka tena,
Ndugu yako akianguka usifurahi atainuka tena,
Maana kuna wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu..
Chorus..
Ooh kila jambo, kila jambo kila jambo
Wakati kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo..
Kuna wakati wa vita na wakati wa amani, kila jambo..
Kila jambo kila jambo
Kila jambo na wakati wake...
Verse..
Rafiki usiogope, unayopitia utasimama tena,
Neno la Mungu linasema, hata uanguke mara saba, utasimama tena,
Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena,
Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena....
Chorus..
Oooh kila jambo, kila jambo, kila jambo,
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, kila jambo,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena, kila jambo,
Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake,
Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake
Kila jambo, kila jambo,
Kila jambo na wakati wake
Amina kubwa kabisa Asante Yesu
Amen Amen Amen Amen 🎉🎉
Madam frora
Kila Jambo na wakati wake
Ni kweli.
Ameen...
M blessed
Ameeeeen
Yohana daniel
✌🏾❤️
Amen
Hawa ndio waliokoka kavaa vzur nyimbo , imetulia Ina upako mpaka raha ya wokovu unasikia
Ubarikiwe sana ndugu katika Kristo wimbo unaujumbe mzuuri sana huu hivi mtu akihitaji huduma anakupataje
hi, just found you too
Ndoto kubwa haikosi Maneno Maneno ............ kusalitiwa
Mwimbo mzuri sana,hongera sana my dear
I real like your songs.. You have a nice voice .. God bless you.
🙌🙌😭😭 God....
Duuu nlikuwa naisubir hyo saut ya mwishon inanibariki xana madam
Wow Hongera my dada wimbo n baraka sana sana
Amina dada mungu ndo Kila kitu katika maisha haya wimbo huu unagusaa 😥❤️🙏 2023
Kazi njema BWANA akuinue
nyimbo nzuri sn. mungu akubariki.umeitendea haki sana. niliona ukiimba siku ya harusi yako pale mwanza nikatamani sana uitoleee video yake mapema. ubarikiwe sana madam flora.
wimbo mzuri madam... sauti imepoa hadi raha... Ubarikiwe sana nakupenda madam frolah😍
Real sauti Mungu amempa ya kiutumishi kbs
waooh nilisubiri sana video hii.Mungu akuinue zaidi Flora
Barikiwa sana kazi yako njema sister
Here I am again..after 4 years 😢
Lakini Neno la Mungu liko pale pale...utasimama Tena 😭
Amina madam Flora ole wake anayekuhukumu ambaye hawezi hata kukuumbia sikio songa mbele hapo ulipo ndipo Mungu alitaka uwe hapo.
Waooo kazi nzuri
Amen Hakika kila jambo na wakati wake Mungu akubariki Madam
Barikiwa my dear kwa kaz nzur
hongera dada kweli kila jambo na wakati wake
mrs mpeta.... love u madam... kila jambo langu lililopangwa na mungu juuu yangu lina wakat wake.
Nampenda huyu mdada mbarikiww na huu wimbo
Huu wimbo unanifanya nikumbuke ahadi za Mungu maishani mwangu
This song is so good likes please woow❤. GOD BLESS YOU
Waooooow, hakika mungu ameweka kitu ndan yako, madam
Kazi nzuri sana barikiwa.
Asante Dada wimbo mzuriii
Mi Naomba nyimbo za albamu ya Usilie tena. Naomba mama madam flora.
Hongera sana Dada wimbo mzuri sana...
Hakika Kila jambo na wakati wake.thanks for this
Nimebarikiwa na huu wimbo mungu akuinue mtumishi
Mungu akuinue zaidi na zaidi.
Amen amen👏🤝🌹
Katika kuanguka kuna kusimama tena, kila jambo kwa wakati wake🙏
From Kenya...Julia salim...I'm blessed may God bless you more florah
Hiii nyimbo huwa inaniiinua. Mung u akubarki Sana mmy
Hongera sana wimbo umenibariki
Kazi nzuri
Hakika kila jambo na wakati wakeee🙌🙌
Ujumbe makini na wa uponyaji
Huu wimbo unanibariki Sana ,pamoja na magumu ninayopitia Ila naamini no wakati tu kuna mahali naenda.
Amen Kila jambo na wakat wake. Barikiwa mtumish
Nice Song Mumy Mungu Akuinue Sana Nimebarikiwa
Ujumbe mzuri unanifariji sana
Nice madam frola
Ubarikiwe sana dadangu Mungu yu mwema sana
Amina dada Kila Jambo na wakat wake
Barikiwa Sana Kila Jambo na wakati wake
Sauti mummy inanibariki...maneno ya wimbo mazuri Sana...barikiwa zaidi♥️
This song came at the right time wooow much love dada
hongera ,wimbo mzuri unanifariji
Mungu nifufuke roho yangu ilie kufa
Am so blessed with this Song. Barikiwa sana my sister.
Kuimba unaimba sana ...good job madam ♥️♥️
Ammmennnn......wimbo umenibariki mno
Huu wimbo unanibariki sana Madam Flora
Barikiwa Sana dada wimbo mnzuri umenigusa sana
Nakupenda sana siku zote
Asante Yesu. Ninamomba Mungu akubariki madam
as i do not understand the language but the voice is unique and the song is a hit
Good song stay blessed Dada flora
ubarikiwe madam wimbo mzuri beat limetulia mno
Wimbo mzuri balaaa Mungu akutunze
Well done ma mdogo, encouraging song. KILA JAMBO NA WAKATI
WAKE.
Amina sana madamu wimbo mzuri unanitia moyo n nguvu
Kilajambo na wakati wake... Nasubiri wakati wangu Amen
nmepnd nyimbo nzuri
Hakika kila jambo na wakati wake
Amina Dada frorah mungu akubariki
Am so encouraged. From 🇰🇪
God i bless your name. Kazi nzuri sana Madam Flora
Kweli kila Jambo na wakati wake.
Wimbo mzuri sana😍
Nakupenda Florah
Kila jambo na wakati wake... am so blessed by this song.. 🙌🏾
Hakika kila jambo na wakati wake uzidi kubarikiwa Madam Flora kwa kazi njema kama hii
hapo sawa F kwa utulivu huo Mungu akutangulie🎹🎸
Hongera madam,inuka tena kwa jina la Yesu
Voice😍😘😘😘😘😘🙌
Wowwwww wewe ni mama wa shoka
Nimekukubari sana madam songa mbele
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke
Imetulia nzuri sana
Jamani nimeikiliza huu wimbo siku tano baada ya hapo kijana wetu wa kazi akafariki chumbani bila ya Sisi kujua siku ya pili kumfuata tayari ameanza kuharibika jamani huzuni ni nyingi sana alikuwa haumwi hata ukucha, duuu kila Jambo na wakati wake huzuni imetawala Mungu atusaidie
Poleee sana Mungu ndio muweza kwa majira yote
Kila jambo
Usisahau mwanito
Ameeen 🙌
Am encouraged by this song...God bless you
Madam congratulate this song is very power full be blessed
Wimbo mzuri
Ila ulijishushia heshima
Kwa yaleeeeeeeeeeeeeeeeeee
Baraka wewe ni mungu kwamba unamfahamu MTU na matatizo anayopitia mkpa kuamua kufanya hivyo
Mmemkazania huyu dada,je mnamjua vizuri huyo alikuyekuwa anajiita Mume wake?na je unaelewa mume sahihi anakujaje?je umewahi kujua huyu dada aliolewa akiwa na umri gani na akili za aina gani?#noresearchnorighttospeak#
Huduma nzuri dada ake mungu akubariki sana umenitia moyo sana,usifurai mwenzio akilia maana atacheka tena🎸🎸🎸🎸