I KNOW BAKHRESA N HIS FAMILY ALL👌 BAKHRESA WAS A POOR MAN BEFORE HE HAD SHOES SMALL SHOP FOR REPEARS N MAKE IT! IN DAR AL SALAAM! BEFORE HE USE TO STAY IN A SMALL HOUSE SHARING WITH OTHER RENTER ONLY. SOO WHAT IF!? HE PUT CHEAP SUN GLASS!? HE DOESNT LIKE TO SHOW OFF! HE IS RICH! OK! LIKE YR WASANEE THOSE EACH ONE LIKE TO SHOW OFF THEY R RICH INSTEAD OF THE OTHERS! EVEN BY LIES N PRETANDING ONLY! WILL SHOW OFF! N IN SECRETS THEY R FULL OF DUYUN N NOTHING ELSE! HE WAS POOR FROM HIS EFFORTS N SWEATS GOD BLESS HIM! TO BECOME RICH👍 PROUD OF HIM! THE WAY HE IS👌"
Wabongo mmezidi umbea kwan ata angevaa mieani ya elfu ishirini inawahusu nini msipende kupangia watu vitu vya kuvaa yeye hajavaa kujikweza kavaa kwa raha zake bana mnaboa sanaa kwan akivaa kuna shida gani mnatia aibu waandishi wa abari toe taarifa za maaana sio kufatilia vitu vya watu
Yani mimi nina jambo la kuongea na wa TANZANIA yani sio kila tajir ana majisifu sana pia mtu tu wakawaida anawaza kula biriani ila tajir anawaza kula muhugo na ndizi na utumbo sawa yani ivo
Tafutaaisha Yako miwan ya bakhresaa inakuhusu nn tangaza habari na matukio acha kuchimbachimba maisha bnafsi ya mtu, iwe na hadhi isiwe nayo si yake alikuomba pesa ya kununuliiia
Nchi ya hovyo hii jmn yaan miwani imekuwa gumzo kuliko mtu mwenyewe shida yote hii inatokana na ukosefu wa ongezeko la ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa mwananchi mmoja mmoja hii shida kubwa sana kwenye taifa letu
Kwanza umeshajua uzito wa anaeongelewa hapo mwenye hiyo miwani?? Au unaongea tu😂😂 mwenzio anadili na majina makubwa ya kumpa faida na sifa sio lazima aongelee mafuriko
MAELEZO YAKO SIYO SAHIHI. HIYO NI MEWANI YA JUWA, AMBAYO UKIVAA HAIWEZI KUKUHSRIBU MACHO. KUNA MEAWANI NYINGI YA MACHO , LAKINI INAXUIA JUWA , NA HAPOHAPO INAWEZA IKAKUUMIZA MACHO. PIA TOFAUTI KUBWA NI LENSI NDO INAYOJALIWA SANA HAPO. LENS NDO KILA KITU.
I USED TO GO N VISITED DAR EL SALAAM N GO TO VISITE MY COUSIN MY UNCLE DAOUGHTER GOT MARRIED IN DAR AL SALAAM N THEY USED TO STAY IN THE RENTAL GROUND FLOOR HOUSE! SHARED WITH HIM! BAKHRESA! USING SAME ONE KITCHEN N SAME BATHROOM! SMALL HOUSE ONLY! BAKHRESA DOES A SHOES MAKER N REPEAR THEM N THE HUSBAND OF MY COUSIN HAD A SHOP OF WATCH REPEARS ALL WERE POOR PEOPLE! IN THAT TIME! MY COUSINE HUSBAND ALREADY DIED!😢! U FELLOWS STOP SHOWING OFF FOR WHAT U HAVE! ITS NOT GOOD! OK😢! WE DIE N WE LEAVE EVERYTHING HERE N WE GO WITH OUR AMAL ONLY OK!
Habari zimeishaaaa mmeacha kutipoti vitu vya msingi mnaripot upuuzi mtupu. Wakati kuna habari tukiwaita huwa mnakataa mnajifanyaga masuper star mnachagua habari. Sasa hiyo habari inasaidia niniii kwenye jamiiiiii???
watanzania bwana ndio maana maskin wengi kuliko matajiri maana baada ya kujadili maisha yao wanapoteza time ya kujadili maisha ya watu ndio iwe nn sasa si kila mtu anavaa anachotaka kwani utajiri ndio kuvaa prand hebu tubadilike mambo ya mashindano ya kuvaa na maisha watu wanaishi hawafanyi drama
UTANZANIA BWANAAA.😮 ETI MEWANI. WENZENU HUKO BUKINA FASO WANAONGELEA KUCHUKUWA NNCHI KUTOKA KWA WAZUNGU, WEWE UNAONGELEA MEWANI. ACHENI UTANZANIA HUO. NDO MAANA WANAUME WENGI WANAOLEWA KWA MAWAZO YA KIPUUZI KAMA HAYO.
Hayo ni mawani ya kawaida tu jamani tusipambe mtu sana mpk tukakufuru ! Huyu ni binadamu kama mimi na ww anakula chapati 2 kama mimi na ww sasa hata mawani pia mkayape hadhi?? Jamani tujiangalie na kutathmini tabia hizi
Gonga like kama umejua kua walikua wanatangaz bihashara ya miwan
Daa mungu wangu binaadam tunampekuwq mtu kiasi hicho subhana llah
Ndio maana hapendi mitandao😢 mme anza!
😂😂😂😂😂😂😂weanza
Haya ndo maisha binaadamu anatakiwa sio kujifagharisha kwa sababu ya pesa mungu ndo anapenda
I KNOW BAKHRESA N HIS FAMILY ALL👌 BAKHRESA WAS A POOR MAN BEFORE HE HAD SHOES SMALL SHOP FOR REPEARS N MAKE IT! IN DAR AL SALAAM! BEFORE HE USE TO STAY IN A SMALL HOUSE SHARING WITH OTHER RENTER ONLY. SOO WHAT IF!? HE PUT CHEAP SUN GLASS!? HE DOESNT LIKE TO SHOW OFF! HE IS RICH! OK! LIKE YR WASANEE THOSE EACH ONE LIKE TO SHOW OFF THEY R RICH INSTEAD OF THE OTHERS! EVEN BY LIES N PRETANDING ONLY! WILL SHOW OFF! N IN SECRETS THEY R FULL OF DUYUN N NOTHING ELSE! HE WAS POOR FROM HIS EFFORTS N SWEATS GOD BLESS HIM! TO BECOME RICH👍 PROUD OF HIM! THE WAY HE IS👌"
tumefikia hatua ya kujadili miwani so sad
Wabongo mmezidi umbea kwan ata angevaa mieani ya elfu ishirini inawahusu nini msipende kupangia watu vitu vya kuvaa yeye hajavaa kujikweza kavaa kwa raha zake bana mnaboa sanaa kwan akivaa kuna shida gani mnatia aibu waandishi wa abari toe taarifa za maaana sio kufatilia vitu vya watu
Alafu huyo pia kalelewa mazingira ya kislam hawezi kuwa na Riya kama kafiri anaamini dunia ni mapito tu
@@arafathswaleh Ni kweli kabisa ndio maan huyu mzee hapendi kujionesha anajua maisha ya media n unafiki mtupu
Sasa Kama yeye tajiri asivae au kutumia kitu Cha Bei rashidi kwasababu Ni tajiri tunakosea Sanaa huon Ni ulimbukeni wa fikra
Yani mimi nina jambo la kuongea na wa TANZANIA yani sio kila tajir ana majisifu sana pia mtu tu wakawaida anawaza kula biriani ila tajir anawaza kula muhugo na ndizi na utumbo sawa yani ivo
Washamba waTz. Na ulimbukeni mwingi 😂
Tafutaaisha Yako miwan ya bakhresaa inakuhusu nn tangaza habari na matukio acha kuchimbachimba maisha bnafsi ya mtu, iwe na hadhi isiwe nayo si yake alikuomba pesa ya kununuliiia
Safi dct expert
Mmezid umbea na nyinyi khaaa
Nchi ya hovyo hii jmn yaan miwani imekuwa gumzo kuliko mtu mwenyewe shida yote hii inatokana na ukosefu wa ongezeko la ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa mwananchi mmoja mmoja hii shida kubwa sana kwenye taifa letu
Alafu mutwambie miwaniya mama Samia sh ngapi
Kunajambo unatafuta
Yaani Millard unafeli wapi?yaani miwani nayo imekuwa habari?
Siompaka usikilize ukiona aikuusu unaachana nayo
Sio mbya Yuko ktk biashara
Umeshindwa kuelewa kuwa hilo ni kama tangazo
Kwanza umeshajua uzito wa anaeongelewa hapo mwenye hiyo miwani?? Au unaongea tu😂😂 mwenzio anadili na majina makubwa ya kumpa faida na sifa sio lazima aongelee mafuriko
Hii inatisha brother yaani siku hizi hamna taarifa kabisa.
Wasenge millard ayo, hiyo sunglass ni dollar 90 tu! Ray ban Justin
Hilo tangazo ni BaabKubwa 🙌😂
Kifo cha Habari
Hakika kawaida tu kwa bei iyo bro nazani unajua kwa siku moja anaingiza shingapi 👋😎
Akili za nzi, popo siyo mwandishi ni u-tuber!
Mko smart sana mnatangaza biashara kwa style ya kipekee sana ma zwazwa hawataelewa nn mnakifanya #moneymakers😅😅😅
Wanazengo kujeni huku haraka tuna kikao kuhusu Miwani
Nilijua labda ni smart kwaajili ya ulinzi wa maadui
Media zisha kuwa za kisenge
Kweli watanzania hakuna habari ndogo sasa mtu asivae mawani midia kubwa mnafeli wapi
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Shida ni elimu ya uchumi kwa mtu mmoja mmoja,watz hatuna ,shida sana
Duuh sepowa bongo yani miwan imekuwa abari
Kwakweli Ni aibu Sana kwakweli
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
MAELEZO YAKO SIYO SAHIHI. HIYO NI MEWANI YA JUWA, AMBAYO UKIVAA HAIWEZI KUKUHSRIBU MACHO. KUNA MEAWANI NYINGI YA MACHO , LAKINI INAXUIA JUWA , NA HAPOHAPO INAWEZA IKAKUUMIZA MACHO. PIA TOFAUTI KUBWA NI LENSI NDO INAYOJALIWA SANA HAPO. LENS NDO KILA KITU.
Hongeren sana milard ayo habar😅
254 tangazo lamiwani umeweza
Hiyo no lak 2
Tulinnua pamoja
Alipungukiwa elf10.
Nikampatia.
😂😂😂😂😂
Acheni usenge Mtu ananunua Scania Xt Zaidi ya 70 Ndio Ashindwe Kununua Miwani Moja wapo ya umasikini ni kufatilia life ya mtu
😂😂😂😂
Shobo za waandishi
Duuuh msiba wa Ally umemtoa nyoka pangoni duuuh kaenda msibani
Hata akivaa ya shilingi 30 ni yake na haimaanishi kuwa yeye maskini
tungejuaje sasa hii habar nzur sana
Hio nimizuri Sana Nina miwili ikopoa sana
Tunasubiria episode ya tano ya David Mulokozi
Jamani tufanye kazi umbea huu watyu wanalala njaa ,mnahangaik hela amn mnadiscuss watyu
I USED TO GO N VISITED DAR EL SALAAM N GO TO VISITE MY COUSIN MY UNCLE DAOUGHTER GOT MARRIED IN DAR AL SALAAM N THEY USED TO STAY IN THE RENTAL GROUND FLOOR HOUSE! SHARED WITH HIM! BAKHRESA! USING SAME ONE KITCHEN N SAME BATHROOM! SMALL HOUSE ONLY! BAKHRESA DOES A SHOES MAKER N REPEAR THEM N THE HUSBAND OF MY COUSIN HAD A SHOP OF WATCH REPEARS ALL WERE POOR PEOPLE! IN THAT TIME! MY COUSINE HUSBAND ALREADY DIED!😢! U FELLOWS STOP SHOWING OFF FOR WHAT U HAVE! ITS NOT GOOD! OK😢! WE DIE N WE LEAVE EVERYTHING HERE N WE GO WITH OUR AMAL ONLY OK!
Ndo mujue kuwa wazanzibar hawapendi sifa lakini wana maokoto
Huu ni utahira yani unashuhulisha watu na miwani ya mtu alienunua kwa hela yake
Ujinga bado unaendelea watu waliokua hawana cha kufanya ndio hao wenye mawazo feki
Vip miwani ya Mo ni bei gani
WaTZ mambo ya kishamba , kukaa kuchunguza vitu badala ya kuchukua mambo ya TIJA NA UTU msibani mnachunguza vitu , SI POA ACHENI USHAMBA WA TZ 😅😅
Daaaah😅😅😅
Yan wabongo bwana hhhhhh da
Miwani 2 mtaji wa masikin eee mungu tusaidie Sisi masikini 😂
Nashida na huyo dactar naomben namba zake
Nimemuona siku moja anapanda boat yke tukikaa tunasubir mda kma dakika kumi kumbe ilikuwa anasubiriwa
Pll
Wabongo washamba sana
Habari zimeishaaaa mmeacha kutipoti vitu vya msingi mnaripot upuuzi mtupu. Wakati kuna habari tukiwaita huwa mnakataa mnajifanyaga masuper star mnachagua habari. Sasa hiyo habari inasaidia niniii kwenye jamiiiiii???
Mimi natumia miwani ya macho Subhanallah nikitaja bei nilonunua huku kwa bei ya huko nyumbani simtasema ni sifa vitu vidogo tu ndio inakua habari 🤔
watanzania bwana ndio maana maskin wengi kuliko matajiri maana baada ya kujadili maisha yao wanapoteza time ya kujadili maisha ya watu ndio iwe nn sasa si kila mtu anavaa anachotaka kwani utajiri ndio kuvaa prand hebu tubadilike mambo ya mashindano ya kuvaa na maisha watu wanaishi hawafanyi drama
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Tajiri wa kweli hana ujanja ujanja namkubali sana baba yang mzee bhaharesa
UTANZANIA BWANAAA.😮 ETI MEWANI. WENZENU HUKO BUKINA FASO WANAONGELEA KUCHUKUWA NNCHI KUTOKA KWA WAZUNGU, WEWE UNAONGELEA MEWANI. ACHENI UTANZANIA HUO. NDO MAANA WANAUME WENGI WANAOLEWA KWA MAWAZO YA KIPUUZI KAMA HAYO.
Kwani hata akivaa zile za buku 2 kuna ttzo gani
Habar zimeisha millad
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Umeongeya vizuri dokta
Millard unazingua sana ww
Ayo ni tatizo
Kweli kabisa miwani nayo habari dah
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Dola 213 nizaid ya 500000 zakitanzania ni laki 806000
Kwani dola 1 ya kimarekani ni shilingi ngapi za Kitanzania kwa sasa?
Nothing
Tanzania hatuendelei kwa mambo ya kipumbavu sasa hata kama atavaa ya milioni 2 itakusaidia nn, tufanyeni mambo ya kimaendeleo na sio kudeal na umbeya
Issue za muhimu mnazikwepa kweli mmeona watazamaji wenu hatuna akili
Duh habari zimeisha
MILIONI MIA Tano .... Ivi mnadhani yule mzee Salim .. Hana adabu na pesa zake😅😅😂😂😂😂 .. weeee anaziheshimu sana pesa zake yule
mpk miwani mbachunguza khaaa😂😂😂
Hamna habari
😮miwani😂😂😂😂😂😂😂 🙌🙌🙌🙌🙌🤭😂🤭
Intelligent minds discuss issues, foolish minds, discuss people
Sasa mnaeleza habari za miwani ya Mzee Bahresa au mnajitangazua biashara yetu huyo mimi sipendagi haya mambo yenu
Kweli mwaka wa kuforce hadi miwani mnajadili ..!!! Habari hakukuna,...wandishi kuishiwa vya kulipoti hii ndo Bongo...!!
Waumbea hawana kazi kazi ndio hiyo msinali
Mnatafuta sababu ya kwenda kumuhoji bakharesa tu lol 😂😂😂😂😂
Hizi habari za kujadili miwani ni ushamba mawazo mlalo
Millarday unajishusha mzee hatutegemea😢
Nyie waongo bn kariakoo mchikichini nimenunua buku jero axaivi apa
😂😂
Uwongo c o kijijini kwake bali kwao mkewe Zanzibar hamna kijiji kuna mjini Ng'ambu na shamba
Huu ni ulimbukeni kwa kweli duh!
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
@@ayububakari9942 😆😆😆😆😆 hapo umenishinda 😁😁😁😁🙃
Yani mmeona miwani tu 😂😂😂😂
Mbona miye ninayo gharama kama hiyo sija ona kitu cha ajabu nimenunua hapo
Nn kweli hamna kazi kB8sa minamfatiliya mtu paka miwani😢😢😢😢😢😢
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Yani bakharessa mwenyewe anasema kavaa ya 3000 tu
Jamaaa anaongea lakin mm ndo napumua kwa shida asee 😂😂😂
Free advertisement/endorsement for Rayban!
Huna mpango ww kwahiyo iyo miwani umeona ya maana sana?? Hawa wana Fanya biashara hata kwenye misiba😢
Kama habari hazipo mkae kimya tu yaani ishu ya miwani tu nayo inakua ni habari
Mm pia ninayo hii ray ban
Mimi nilifikiri dactari ataongelea magonjwa ya macho na tiba yake kumbe ipo biashara tuu
Dah Watanganyika Watanganyika mbona mnafeli sana ndugu yaani miwani imekuwa issue dah Watanganyika washamba sana bhana ah
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Zungumzieni na iyo kovia bas hahah
😂😂😂 Habari gan hii kuhusu fashion misibani .Bongoo bhuana😂😂😂
Sasa miwani ya dollar 200 ndio inakuwa deal !?? Wabongo wacheni chochaaa 😂😂😂😂😂
Tumekosa la kuandika
MILLARD Ayo Embu FANYA INTERVIEW na BAKHRESA
Yaani manaongelea miwani
Watanzania sisi bado sana miwani imekua habar
ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!
Nd mn bakhresa hapend kuonekana kwsbb anawajua wa Tz mtaanza kumjadili na kupata content
Masikini wanajadili miwani
Hayo ni mawani ya kawaida tu jamani tusipambe mtu sana mpk tukakufuru ! Huyu ni binadamu kama mimi na ww anakula chapati 2 kama mimi na ww sasa hata mawani pia mkayape hadhi?? Jamani tujiangalie na kutathmini tabia hizi