HUU HAPA UKWELI KUHUSU MIWANI YA BAKHRESA NA THAMANI YAKE " ILIENDANA NA HADHI YAKE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 243

  • @nyenza
    @nyenza 4 หลายเดือนก่อน +16

    Gonga like kama umejua kua walikua wanatangaz bihashara ya miwan

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 หลายเดือนก่อน +15

    Daa mungu wangu binaadam tunampekuwq mtu kiasi hicho subhana llah

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 หลายเดือนก่อน +16

    Ndio maana hapendi mitandao😢 mme anza!

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂weanza

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 4 หลายเดือนก่อน +11

    Haya ndo maisha binaadamu anatakiwa sio kujifagharisha kwa sababu ya pesa mungu ndo anapenda

  • @bas2823
    @bas2823 4 หลายเดือนก่อน +4

    I KNOW BAKHRESA N HIS FAMILY ALL👌 BAKHRESA WAS A POOR MAN BEFORE HE HAD SHOES SMALL SHOP FOR REPEARS N MAKE IT! IN DAR AL SALAAM! BEFORE HE USE TO STAY IN A SMALL HOUSE SHARING WITH OTHER RENTER ONLY. SOO WHAT IF!? HE PUT CHEAP SUN GLASS!? HE DOESNT LIKE TO SHOW OFF! HE IS RICH! OK! LIKE YR WASANEE THOSE EACH ONE LIKE TO SHOW OFF THEY R RICH INSTEAD OF THE OTHERS! EVEN BY LIES N PRETANDING ONLY! WILL SHOW OFF! N IN SECRETS THEY R FULL OF DUYUN N NOTHING ELSE! HE WAS POOR FROM HIS EFFORTS N SWEATS GOD BLESS HIM! TO BECOME RICH👍 PROUD OF HIM! THE WAY HE IS👌"

  • @conradjunior5940
    @conradjunior5940 4 หลายเดือนก่อน +19

    tumefikia hatua ya kujadili miwani so sad

  • @Shera806
    @Shera806 4 หลายเดือนก่อน +18

    Wabongo mmezidi umbea kwan ata angevaa mieani ya elfu ishirini inawahusu nini msipende kupangia watu vitu vya kuvaa yeye hajavaa kujikweza kavaa kwa raha zake bana mnaboa sanaa kwan akivaa kuna shida gani mnatia aibu waandishi wa abari toe taarifa za maaana sio kufatilia vitu vya watu

    • @arafathswaleh
      @arafathswaleh 4 หลายเดือนก่อน +1

      Alafu huyo pia kalelewa mazingira ya kislam hawezi kuwa na Riya kama kafiri anaamini dunia ni mapito tu

    • @Shera806
      @Shera806 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@arafathswaleh Ni kweli kabisa ndio maan huyu mzee hapendi kujionesha anajua maisha ya media n unafiki mtupu

    • @Shera806
      @Shera806 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa Kama yeye tajiri asivae au kutumia kitu Cha Bei rashidi kwasababu Ni tajiri tunakosea Sanaa huon Ni ulimbukeni wa fikra

  • @chidi_don
    @chidi_don 4 หลายเดือนก่อน +14

    Yani mimi nina jambo la kuongea na wa TANZANIA yani sio kila tajir ana majisifu sana pia mtu tu wakawaida anawaza kula biriani ila tajir anawaza kula muhugo na ndizi na utumbo sawa yani ivo

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 4 หลายเดือนก่อน

      Washamba waTz. Na ulimbukeni mwingi 😂

  • @mmeagroup-TV
    @mmeagroup-TV 4 หลายเดือนก่อน +6

    Tafutaaisha Yako miwan ya bakhresaa inakuhusu nn tangaza habari na matukio acha kuchimbachimba maisha bnafsi ya mtu, iwe na hadhi isiwe nayo si yake alikuomba pesa ya kununuliiia

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi dct expert

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mmezid umbea na nyinyi khaaa

  • @user-nx5be3ju3b
    @user-nx5be3ju3b 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi ya hovyo hii jmn yaan miwani imekuwa gumzo kuliko mtu mwenyewe shida yote hii inatokana na ukosefu wa ongezeko la ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa mwananchi mmoja mmoja hii shida kubwa sana kwenye taifa letu

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy 4 หลายเดือนก่อน +4

    Alafu mutwambie miwaniya mama Samia sh ngapi

    • @allykessy1893
      @allykessy1893 4 หลายเดือนก่อน

      Kunajambo unatafuta

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 4 หลายเดือนก่อน +73

    Yaani Millard unafeli wapi?yaani miwani nayo imekuwa habari?

    • @sajalyamry6059
      @sajalyamry6059 4 หลายเดือนก่อน +15

      Siompaka usikilize ukiona aikuusu unaachana nayo

    • @hassanpashua
      @hassanpashua 4 หลายเดือนก่อน +2

      Sio mbya Yuko ktk biashara

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 4 หลายเดือนก่อน +7

      Umeshindwa kuelewa kuwa hilo ni kama tangazo

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 4 หลายเดือนก่อน +9

      Kwanza umeshajua uzito wa anaeongelewa hapo mwenye hiyo miwani?? Au unaongea tu😂😂 mwenzio anadili na majina makubwa ya kumpa faida na sifa sio lazima aongelee mafuriko

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 4 หลายเดือนก่อน +9

      Hii inatisha brother yaani siku hizi hamna taarifa kabisa.

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wasenge millard ayo, hiyo sunglass ni dollar 90 tu! Ray ban Justin

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hilo tangazo ni BaabKubwa 🙌😂

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kifo cha Habari

  • @chidi_don
    @chidi_don 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika kawaida tu kwa bei iyo bro nazani unajua kwa siku moja anaingiza shingapi 👋😎

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 หลายเดือนก่อน +4

    Akili za nzi, popo siyo mwandishi ni u-tuber!

  • @aminitaycoon
    @aminitaycoon 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mko smart sana mnatangaza biashara kwa style ya kipekee sana ma zwazwa hawataelewa nn mnakifanya #moneymakers😅😅😅

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wanazengo kujeni huku haraka tuna kikao kuhusu Miwani

  • @NasikikaTV
    @NasikikaTV 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nilijua labda ni smart kwaajili ya ulinzi wa maadui

  • @dannytohjoh5984
    @dannytohjoh5984 4 หลายเดือนก่อน +3

    Media zisha kuwa za kisenge

  • @ntambisamwel4436
    @ntambisamwel4436 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli watanzania hakuna habari ndogo sasa mtu asivae mawani midia kubwa mnafeli wapi

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shida ni elimu ya uchumi kwa mtu mmoja mmoja,watz hatuna ,shida sana

  • @mwavitadundo4880
    @mwavitadundo4880 4 หลายเดือนก่อน +7

    Duuh sepowa bongo yani miwan imekuwa abari

    • @beautywithnay5974
      @beautywithnay5974 4 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli Ni aibu Sana kwakweli

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 หลายเดือนก่อน +2

    MAELEZO YAKO SIYO SAHIHI. HIYO NI MEWANI YA JUWA, AMBAYO UKIVAA HAIWEZI KUKUHSRIBU MACHO. KUNA MEAWANI NYINGI YA MACHO , LAKINI INAXUIA JUWA , NA HAPOHAPO INAWEZA IKAKUUMIZA MACHO. PIA TOFAUTI KUBWA NI LENSI NDO INAYOJALIWA SANA HAPO. LENS NDO KILA KITU.

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongeren sana milard ayo habar😅

  • @supermoodworld
    @supermoodworld 4 หลายเดือนก่อน +4

    254 tangazo lamiwani umeweza

  • @saidmasoud2200
    @saidmasoud2200 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo no lak 2
    Tulinnua pamoja
    Alipungukiwa elf10.
    Nikampatia.

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @khamiskamtoi5480
    @khamiskamtoi5480 4 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni usenge Mtu ananunua Scania Xt Zaidi ya 70 Ndio Ashindwe Kununua Miwani Moja wapo ya umasikini ni kufatilia life ya mtu

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 หลายเดือนก่อน +4

    Shobo za waandishi

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuh msiba wa Ally umemtoa nyoka pangoni duuuh kaenda msibani

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 หลายเดือนก่อน +10

    Hata akivaa ya shilingi 30 ni yake na haimaanishi kuwa yeye maskini

  • @milaah255
    @milaah255 4 หลายเดือนก่อน

    tungejuaje sasa hii habar nzur sana

  • @mtulivuboy1825
    @mtulivuboy1825 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hio nimizuri Sana Nina miwili ikopoa sana

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tunasubiria episode ya tano ya David Mulokozi

  • @aselacaspal
    @aselacaspal 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani tufanye kazi umbea huu watyu wanalala njaa ,mnahangaik hela amn mnadiscuss watyu

  • @bas2823
    @bas2823 4 หลายเดือนก่อน +1

    I USED TO GO N VISITED DAR EL SALAAM N GO TO VISITE MY COUSIN MY UNCLE DAOUGHTER GOT MARRIED IN DAR AL SALAAM N THEY USED TO STAY IN THE RENTAL GROUND FLOOR HOUSE! SHARED WITH HIM! BAKHRESA! USING SAME ONE KITCHEN N SAME BATHROOM! SMALL HOUSE ONLY! BAKHRESA DOES A SHOES MAKER N REPEAR THEM N THE HUSBAND OF MY COUSIN HAD A SHOP OF WATCH REPEARS ALL WERE POOR PEOPLE! IN THAT TIME! MY COUSINE HUSBAND ALREADY DIED!😢! U FELLOWS STOP SHOWING OFF FOR WHAT U HAVE! ITS NOT GOOD! OK😢! WE DIE N WE LEAVE EVERYTHING HERE N WE GO WITH OUR AMAL ONLY OK!

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo mujue kuwa wazanzibar hawapendi sifa lakini wana maokoto

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib8561 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huu ni utahira yani unashuhulisha watu na miwani ya mtu alienunua kwa hela yake

    • @omarmsuya2459
      @omarmsuya2459 4 หลายเดือนก่อน

      Ujinga bado unaendelea watu waliokua hawana cha kufanya ndio hao wenye mawazo feki

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 4 หลายเดือนก่อน

    Vip miwani ya Mo ni bei gani

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 หลายเดือนก่อน +1

    WaTZ mambo ya kishamba , kukaa kuchunguza vitu badala ya kuchukua mambo ya TIJA NA UTU msibani mnachunguza vitu , SI POA ACHENI USHAMBA WA TZ 😅😅

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 4 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaah😅😅😅

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yan wabongo bwana hhhhhh da

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 4 หลายเดือนก่อน +2

    Miwani 2 mtaji wa masikin eee mungu tusaidie Sisi masikini 😂

  • @FelixMartin-zt9kq
    @FelixMartin-zt9kq 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nashida na huyo dactar naomben namba zake

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimemuona siku moja anapanda boat yke tukikaa tunasubir mda kma dakika kumi kumbe ilikuwa anasubiriwa

  • @abdulshaq-qx8wz
    @abdulshaq-qx8wz 4 หลายเดือนก่อน

    Wabongo washamba sana

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 4 หลายเดือนก่อน +2

    Habari zimeishaaaa mmeacha kutipoti vitu vya msingi mnaripot upuuzi mtupu. Wakati kuna habari tukiwaita huwa mnakataa mnajifanyaga masuper star mnachagua habari. Sasa hiyo habari inasaidia niniii kwenye jamiiiiii???

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi natumia miwani ya macho Subhanallah nikitaja bei nilonunua huku kwa bei ya huko nyumbani simtasema ni sifa vitu vidogo tu ndio inakua habari 🤔

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 4 หลายเดือนก่อน +2

    watanzania bwana ndio maana maskin wengi kuliko matajiri maana baada ya kujadili maisha yao wanapoteza time ya kujadili maisha ya watu ndio iwe nn sasa si kila mtu anavaa anachotaka kwani utajiri ndio kuvaa prand hebu tubadilike mambo ya mashindano ya kuvaa na maisha watu wanaishi hawafanyi drama

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tajiri wa kweli hana ujanja ujanja namkubali sana baba yang mzee bhaharesa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 หลายเดือนก่อน +1

    UTANZANIA BWANAAA.😮 ETI MEWANI. WENZENU HUKO BUKINA FASO WANAONGELEA KUCHUKUWA NNCHI KUTOKA KWA WAZUNGU, WEWE UNAONGELEA MEWANI. ACHENI UTANZANIA HUO. NDO MAANA WANAUME WENGI WANAOLEWA KWA MAWAZO YA KIPUUZI KAMA HAYO.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani hata akivaa zile za buku 2 kuna ttzo gani

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 4 หลายเดือนก่อน

    Habar zimeisha millad

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 หลายเดือนก่อน

    Umeongeya vizuri dokta

  • @peterlukose1027
    @peterlukose1027 4 หลายเดือนก่อน

    Millard unazingua sana ww

  • @maase2023
    @maase2023 4 หลายเดือนก่อน

    Ayo ni tatizo

  • @user-mo6fc7kk3v
    @user-mo6fc7kk3v 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa miwani nayo habari dah

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dola 213 nizaid ya 500000 zakitanzania ni laki 806000

    • @thespaniardinme
      @thespaniardinme 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani dola 1 ya kimarekani ni shilingi ngapi za Kitanzania kwa sasa?

  • @user-eu2iu1oj3x
    @user-eu2iu1oj3x 4 หลายเดือนก่อน

    Nothing

  • @ibnseyf5724
    @ibnseyf5724 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania hatuendelei kwa mambo ya kipumbavu sasa hata kama atavaa ya milioni 2 itakusaidia nn, tufanyeni mambo ya kimaendeleo na sio kudeal na umbeya

  • @vitusjumah
    @vitusjumah 4 หลายเดือนก่อน +1

    Issue za muhimu mnazikwepa kweli mmeona watazamaji wenu hatuna akili

  • @tatusalehe8775
    @tatusalehe8775 4 หลายเดือนก่อน

    Duh habari zimeisha

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 4 หลายเดือนก่อน

    MILIONI MIA Tano .... Ivi mnadhani yule mzee Salim .. Hana adabu na pesa zake😅😅😂😂😂😂 .. weeee anaziheshimu sana pesa zake yule

  • @user-rz1fr1ij7e
    @user-rz1fr1ij7e 4 หลายเดือนก่อน

    mpk miwani mbachunguza khaaa😂😂😂

  • @safarsafari68
    @safarsafari68 3 หลายเดือนก่อน

    Hamna habari

  • @Satier47
    @Satier47 4 หลายเดือนก่อน

    😮miwani😂😂😂😂😂😂😂 🙌🙌🙌🙌🙌🤭😂🤭

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 4 หลายเดือนก่อน +2

    Intelligent minds discuss issues, foolish minds, discuss people

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mnaeleza habari za miwani ya Mzee Bahresa au mnajitangazua biashara yetu huyo mimi sipendagi haya mambo yenu

  • @eliusobadia8683
    @eliusobadia8683 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli mwaka wa kuforce hadi miwani mnajadili ..!!! Habari hakukuna,...wandishi kuishiwa vya kulipoti hii ndo Bongo...!!

  • @PatrickRyoba
    @PatrickRyoba 4 หลายเดือนก่อน

    Waumbea hawana kazi kazi ndio hiyo msinali

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 หลายเดือนก่อน

    Mnatafuta sababu ya kwenda kumuhoji bakharesa tu lol 😂😂😂😂😂

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 4 หลายเดือนก่อน

    Hizi habari za kujadili miwani ni ushamba mawazo mlalo

  • @khalfanmohd7019
    @khalfanmohd7019 4 หลายเดือนก่อน

    Millarday unajishusha mzee hatutegemea😢

  • @user-my9rr3ek8b
    @user-my9rr3ek8b 4 หลายเดือนก่อน

    Nyie waongo bn kariakoo mchikichini nimenunua buku jero axaivi apa

  • @buchbeats5337
    @buchbeats5337 4 หลายเดือนก่อน

    Uwongo c o kijijini kwake bali kwao mkewe Zanzibar hamna kijiji kuna mjini Ng'ambu na shamba

  • @maase2023
    @maase2023 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni ulimbukeni kwa kweli duh!

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

    • @maase2023
      @maase2023 4 หลายเดือนก่อน

      @@ayububakari9942 😆😆😆😆😆 hapo umenishinda 😁😁😁😁🙃

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 4 หลายเดือนก่อน

    Yani mmeona miwani tu 😂😂😂😂

  • @user-oz6cm7tt6j
    @user-oz6cm7tt6j 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona miye ninayo gharama kama hiyo sija ona kitu cha ajabu nimenunua hapo

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nn kweli hamna kazi kB8sa minamfatiliya mtu paka miwani😢😢😢😢😢😢

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yani bakharessa mwenyewe anasema kavaa ya 3000 tu

  • @robertmrindoko4038
    @robertmrindoko4038 4 หลายเดือนก่อน

    Jamaaa anaongea lakin mm ndo napumua kwa shida asee 😂😂😂

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 4 หลายเดือนก่อน

    Free advertisement/endorsement for Rayban!

  • @matteonyerera9722
    @matteonyerera9722 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huna mpango ww kwahiyo iyo miwani umeona ya maana sana?? Hawa wana Fanya biashara hata kwenye misiba😢

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kama habari hazipo mkae kimya tu yaani ishu ya miwani tu nayo inakua ni habari

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 4 หลายเดือนก่อน

    Mm pia ninayo hii ray ban

  • @habibusalum1849
    @habibusalum1849 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilifikiri dactari ataongelea magonjwa ya macho na tiba yake kumbe ipo biashara tuu

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dah Watanganyika Watanganyika mbona mnafeli sana ndugu yaani miwani imekuwa issue dah Watanganyika washamba sana bhana ah

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @mohdmassoud749
    @mohdmassoud749 4 หลายเดือนก่อน

    Zungumzieni na iyo kovia bas hahah

  • @olivazaituni2440
    @olivazaituni2440 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Habari gan hii kuhusu fashion misibani .Bongoo bhuana😂😂😂

  • @omarkioko3602
    @omarkioko3602 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa miwani ya dollar 200 ndio inakuwa deal !?? Wabongo wacheni chochaaa 😂😂😂😂😂

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 4 หลายเดือนก่อน

    Tumekosa la kuandika

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 4 หลายเดือนก่อน

    MILLARD Ayo Embu FANYA INTERVIEW na BAKHRESA

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani manaongelea miwani

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania sisi bado sana miwani imekua habar

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 4 หลายเดือนก่อน

      ujajua hiyo fursa ya tangazo la biashara laiti wangeizungumzia miwani ya BAHRESA BILA TANGAZO LA BIASHARA HAPO SAWA !!

  • @MpajiAli
    @MpajiAli 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nd mn bakhresa hapend kuonekana kwsbb anawajua wa Tz mtaanza kumjadili na kupata content

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 หลายเดือนก่อน

    Masikini wanajadili miwani

  • @maase2023
    @maase2023 4 หลายเดือนก่อน

    Hayo ni mawani ya kawaida tu jamani tusipambe mtu sana mpk tukakufuru ! Huyu ni binadamu kama mimi na ww anakula chapati 2 kama mimi na ww sasa hata mawani pia mkayape hadhi?? Jamani tujiangalie na kutathmini tabia hizi