MTOTO WA BARNABA ATOA MANENO MAZITO KWENYE HARUSI - "WEWE NI BABA BORA KWANGU LEO NI SIKU YAKO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mungu amtunze huyu mtoto
Ila kuzaa mapema Raha sanaaaaaa 💕
*Steve* katisha, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏😘
Upo 😅😅 bila profile nisingekujua😅
Wema mdogo angu mungu Akupe mtoto inshallah
duuh kakua ivo yaan mtoto huyu nakumbuka ameitwa steve kazaliwa siku aliokufa stev kanumba ni muda saana jaman daaah daah🙏🙏😂😂 asnte mungu niko bado natumie pumzika yako kuishi
Ni kweli kabisa bhana
Jaamani RAYA anaenda Rombo uwiiiiii karibu uchagani❤❤❤
Mashallah .....Mr & Mrs Barnaba ....M/Mungu awabariki sn kwa kila mtakalokusudia kulifanya husuthan ..kwenye malengo yenu. ....Ameen ...
Akika Wema nakupenda sana 💞
Hongera barnaba kwa kufunga ndoa na mwanao kakuwa kweli
Wimbo was Sayuni ndo wenyewe sanaaa❤❤❤
Ehee kumbe ana mtoto mkubwa hivo!! hongera yake
Mungu azidi kuwabariki
Safi sana baba kwa kutamka kwa sasa anaitwa muhamadi ❤❤
Hakuna kitu duniani kama kuona umekuva kijana mwenye maadili mema hata chozi linaweza kukutoka😢😢😢
Karibu kwetu wif
Ila kaniacha jia panda nasikia machache sjaelewa yote😂😂😂😂😂😢😢
Maanshallah Mohammad kwakufanya mamzi
Arusi imembadili dini kwa mimi nasema ndoa nyingi zinafungwa kwa sababu nasio pendo la mungu
Sasa watu washangilie😮e wameelewa?😅😅 Vigelegele vichacheeee.hizi lugha za kuja na ndege bhanna😮
Leo ndo nmejua kumbe barnaba mchaga😂😂
Sio mchaga TU tena warombo
Dah vazi kama sio muislam allah akuongowe
Acha udini ndugu mavazi ayamuoneshi mtu na dini yake sasa muislam kavaa nguo hiyo una semaje sasa hapo
Tunaishi kistaa🤣🤣🤣🤣
Vibaya sana unamuonesha nani nani utupu wako we mwanamke unamuonesha nanii😭😭😭😭 jamani uislaam mutaupa JIBU gani yaarabbi
❤❤❤
duuh nguo ya mama harusi tu , nacheka mie
Mmmmh bora mngefunga ndoa kanisani halafu naona mama barnaba hayupo
Kamfufue kaburini
@@OfficialA83640 waaaaaa 😃😃😃😃😃😃😃🙆makubwa sasa hapo shida ni nin siungesema tu Alisha fariki
Alishafariki muda 2012
Alifariki 2012
@@edwardmkwelele pole yake kufiwa mzazi
Mtoto wa mwanamke mwengine
Kuna kosa kwani ?
Umemjibu vzry sana
Lakin jins anavyoishi na Raya huwezi hata kujua sio wake wa kumzaa yaani anampenda zaid
@@charlottealine6586 hilo nalo neno wapelelezi wamaisha yawatu duuuh
Daaaaa huyu Steve kaniacha kabis mtu mwenyewe nimeishia darsa LA saba B 😢
😂😂😂😂😂😂 pole 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uislaam saivi watu wanauchukilia ki rahisirahisi weee mwanamke na ndo muislaa amekushinda hata huyo mume aliebadili dini kavaa stara we mwanamke upo utupyuuu wallahiii mi munanilizaa😭😭😭😭 nasikia
Kìla mtu atakwenda na amal yake muhimu bwana amesilimu na kufunga ndoa halal
Ukweli aambiwe akisoma comment ajifunze makosa yake
@@rahmamohd4822 kweli kabisa yaani
@@guenterernst5481wewe itakuwa sio mwisilaam ndio maana wajibu uwazavyo
Harusi kama sio waislaam subhannallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani ni kizungu humuelewi au shida nn😂😂😂😂 hapo sijaskia neno zito
Mama shikamooo khaaa wewe kweli mswahili khaaa banaba kaz hunayo
Saaana
Si kajitambulisha ni mama Kimbo?
Yan jmn huyo mama nilijuaga anaigiza tu kumbe ndivyo alivyo
Mama kimbo kavaa nini
Mapenz shikamoo😆😆😆 mchaga akabadili dini alow .
Labda alikuwa na ndoa ya kanisani na mama Steve mana naye alibadili
Ati Barnaba kabadili dini kisa mwanamke! Hovyooo
Ovyoo wewee
Ajataka ndoa za jumla hii ikizingua anaacha asubuhi tu
Mmh si wachagga hawa. Kila kitu wanataka wawe washindi. Hata ujinga
aunt raya tena😢😢😢😢 sio mumy..
Kazi ipo😢
Ni mamaak mdgo lazima aite aunt
Ni sawa tu
Yan mtot hajaonesha kabsa uchangamfu kwa uyo Raya maskin mpk nimejiskia vbaya na sijui kwann hajamuita mama kamuita aunt😢Ila wengne ndo walivyo hawawez kumuita mtu mwengne mama tofaut na mama yake alomzaa
Kwani lazima angeongea kizungu plz tz
Wanakenua tu hahaaa ata awaelewi
❤❤❤ nawapend
Rombo ni wakatoliki.Kaoa kaolewaaa,Yesu anakaukia mbavu.
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
Kanumba MUNGU anakuona yn sijakuelewa ata ulicho kizungumza wajamani 🥲
😂😂😂😂
Kama mimi nimefurai bila kujuwa kilichosemwa 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Sina wivu.ila kiukweli bibi harusi hajapendeza hilo gauni limemufanya aonekane mwili mrefu kutoka kiunoni kwenda juu. Kaonekana ana mgongo mrefu
Mm mtizamo wangu kwavile amelikubar mwenyewe tumuachie yy mwenyewe amelipenda hamna baya.
Una wivu
Kama huna kitu positive cha kuongea kaa kimya
Mpe lako basi
Cy gauni tu anavoangaisha kichwa kama Kuna wadudu wanamng'ata mgongon
Waooo jamani hongera kaka
😊😊😊
,.
Msishangae kubadil din barnaba coz mda wowote taraka itamuhusu bi harus tembeeni na hyo
MAMA KIMBO UMEPENDEZA.
Hapo mchagga ni Steve tu. Waliobaki kwisha habari yenu
grup la damu muhimu itakua tyr barnaba anajitambua
mnatuacha jamani hatujasoma
😂😂😂
uyu mtoto atalelewa kwenye missing ya dini gani? mbona Wanamchanganya mmmh
mbona huyu mke wa barnaba kama baunsa frani au macho yangu😳😳😳😳😳😳? mmemuona mikono yake anavoivimbisha?
Ndio kaolewa hivyo
@@mishikombowato1457 hakuna aliesema hajaolewa kinachozungumzika ni ubaunsa mwanamke anatakiwa raini bwana kwani kuolewa bei gani? watu tupo kwenye ndowa myaka 30 itakuwa yeye kaanza 😏
@@hamiduhamisi2371 kwani nimesema anaanza hajaanza wala.hajamaliza ulivyosema.utadhani.kajiumba yy haya Ana milono ya baunsaa ila kaolewa mnapenda kukosoa hata pasipo tatizo basi mkipendeza nyie inatosha
Hyo dogo hawez kumuheshm mama yke maana nmejarb kumwangalia Mara nyng bdo cmwelew
Hahaha hampendi kabisa mama yake kwasabu siyo mama yake halisi wmbaya zaidi kambadilisha dini baba yake hata ningekua mimi
Akina shangazi hawaamini kama Barnaba kabadirisha dini, maana wanasalimia bwana asifiwe tumsifu Yesu kristu badala ya wasalamu maleko😂 baba ake barnaba kasema anamshuku Mungu kwa Mwanae kufunga Ndoa Takatifu daaahh
Picha linaanza, kamuita Aunt Raya😔
@@sabinaonline6575Usilolijua sasa huyo mtoto anampenda Raya hatari na jua km mama yake mzazi muislam na huyo Steve amebadilishwa dini ni muislam kwa sasa atakaaje ukristo ikiwa mama mzazi muislam na baba kaingia uislam poleni waja
@@nikusubilamwakyusa7059Tembea uone ndugu waarabu mama mkubwa mama wa kambo wote wanawaita aunt
Bi harusi Hana utulivu
Gauni ni Ile ya wedding ya nandy no wonder huyu hajapendeza ndani
Unaroho mbaya ww dah eti binaadamu huyu
Mi nilijua ni nandy anaolewa mara ya pili
La kwako je?
@@lilianestephanie7881 hilo nalo neno
Twasubiri yako ubwa wewe roho mabaya haijengi
Mbona bibi ako uchi jamani
Ww hii nchi ni Tanzania
Ni America 😂😂😂😂😂😂
Raya naomba mganga wako na huyu mbuzi wangu aweze kubadili dini
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahah
Mama barnaba alifariki bwana elfu2 kumi2
Kumbe Barnabas ni mtu wa rombo jmn uwii
Kwa hiyo hayo ndio Maneno mazito 😅
C kwa kizungu hichooo
@@bettymwikali8019 wewe unayejua kingereza nahuna lolote Kaa kwakutulia aliyekwbia kizungu nimambo yote nani acha shobo mtoto wakike 😂😂😂
Ndoa imeenda kikristo kabisa ad mizk mingi ni gosper tu sa kaslim nn apo
Mungu ndio anajua na asirimia kubwa miziki ya kikirsto ndio sana kwenye harusi maan asirimia kubwa tumichanganya dini
Shamesha meku
Amekuza
Ukoo wa Sykes ni mkubwa mbona ameonekana Dully peke yake?
Mamaaa muachie kungwii wewe mama hupaswi kuyaongea hayo
Maharusi kwanini hawatulii wanakaa na waswas why
Ogerasana
Siku nyingine ongea kiswahili umeniacha mbali ujue embu nitafisilien
😂😂😂😂
😂😂😂pole
muache mtoto si na weye kasome
@@janetahmed6948 nikasome kuzimu au
@@bintspeech3868 😂😂😂
sijaelewa kwamba mama kimbo ndio mama yake dullyseks
Mama mzazi wa biharusi
Kumbe ww ni mchaga Barnaba
Hiyo ni broken english kwani ulifosiwa uongee english?
Kweli kabisaa Yani broken hatari
Weee toka pepo.... Tanzania Lugha yetu kiswahili Kaongea English kajitahidi kwasabu siyo Lugha yetu acha chuki
@@shangwefisima3993 arudi shule,tz ni kiswahili bt sahi ninavyoongea 99%waongea English ukobwapi wewe
@@shangwefisima3993 mwAmbie mtoto wa mobeto amfundishe english
Kwa umri wake kajitaidi mwache mtoto khaaa🙄
Sasa huyo dogo stive mbona anajina la kikristo,wakati wazazi wote niwa islama na wamefunga ndoa ya kiislam
Raya si mamaake
Barnaba alikuwa mkristo lkn sasa amebadili dini na kuwa muislam km mkewe raya
@@margarethasway8450 ok, Sasa da amemuacha dogo pekeyake ktk ukristo alafu yy kakimbilia uislam,,ambadili na dogo nae,maana dogo peke yake hata wezakujiongonza kwa umri wake ktk Imani ya kikristo
@@akidajulius1581SI anaishi na Babu yake atamuongoza
@@akidajulius1581embu tuachieni mdogo wetu
Mbona hawafanani walishawahi kufikilia DNA
😂😂😂😂watu
Dah😅😅😅
Kwan lzm wafanane kwan haez kufanana na mama,
Tanzania nchi huru hii sana mhhhh
Kafanana na mama ake
Bibi harusi nguo ulio vaa inaonekana uko unapumuliya juju
Yan alivyokaa Kam baunsa
@@victoremanuel29 🤣🤣🤣
Sijaelewa chochote Kama hao wanaopiga makofi pasi kujua kilichoongelewa Ila makofi xx😂😂😂😂😂yalitawala
Nimekupenda my! Jina Mrs mume wangu.Miji2 ilonyea ndoa ikiona Inaona wivu.
wewe kama huelewi ni wewe tu 😂
@@yukundapeter8200 nakupenda pia my darling
@@ikouwasi7644 sawa
❤