REV. DR. ELIONA KIMARO: ZITAFAKARI NJIA ZAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 07/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
UNAFANYA NINI HAPA?
ZITAFAKARI NJIA ZAKO
Hagai 1 : 6
Isaya 55 : 8 - 13
Hagai 1 : 6
6 Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji; mnajivika nguo lakini hapana aonaye moto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka-toboka.
Isaya 55 : 8 - 13
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
12 Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
13 Badala ya michongoma utamea msunobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia Bwana jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.
Mhubiri : Mch. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Asante Mtumishi kwa Neno,nimebarikiwa,na nimeponywa
Africa will remain a beautiful place... Ugaibuni tabu sai baridi hakuna hata raha😢
😢😢😢😢😢😢
Mungu awe nawe wakati wote
Mungu akubariki sana
Mwaka wa kumi mfululizo. Mafungo ya siku 40! BARIKIWA MTUMISHI kwa kazi yako nzuri san.
Thank you servant of the most high, I believe that through the message i will never remain the same.
Baba Mungu azidi kukutunza kwaajili ya vizaz vingi hakika nabarikiwa sana na wewe nipo kwenye msiba mzito wa kaka yangu nimeshinda nasikiliza mafundisho yako kwa muda wa siku tatu aisee nimemuona Mungu
Mpaka naenda kuzika nasikiliza tuu ..naishi mbeya lakini mimi ni mkristo wako mwaminifu online ingawa mimi n moravian
Asante Mchungaji. Neno limenibariki sana. Ubarikiwe
Ameni nauona ukuu wa mungu mbele yangu
😇🙏🏿
Mungu atuunganishe waumini wote katika mafungo haya❤
Nkyoki kuketana yaa! Nkiki kuuta iha! AMEN BARIKIWA Baba yetu.
Ubarikiwe mtumishi
Nashukuru Kwa mahubiri mazuri mnooo
Mndumii nar'umisho mbee. Kama Mungu hasikii maombi ya waliopoteza muelekeo ni nini kinawarudisha kwe mstari? Mwana mpotevu alirudi mwenyewe bila neema ya Ktisto? Je Mungu hakuona mateso yake ya kula na nguruwe na kumpa wazo la kurejea kwa baba yake? Inanitafakarisha Sana🙏
Amina
Njii kuketana iya?
Mchunga unauwez mzur wakufafanua vizur na kufundisha vizur
Kabisa hicho kipaji Mungu amembarikia vzry
Samahani mnakata mapema atuombewi pia baraka atupokei najuingamanisha nikiwa Oman
Ubarikiwe sna amenaa