ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
REV. DR. ELIONA KIMARO: NGUVU NA UWEZO ULIOLALA- SLEEPING GIANT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ย. 2023
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 06/11/2023.
KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
"A SENSE OF PURPOSE"
NENO KUU
UNAFANYA NINI HAPA?
WHAT ARE YOU DOING HERE?
NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
1 Wafalme 19 : 9
NGUVU & UWEZO ULIOLALA
( SLEEPING GIANT )
Hagai 1 : 14 - 15
Marko 4 : 35 - 41
Zaburi 44 : 23 - 26
Hagai 1 : 14 - 15
14 Bwana akaiamsha roho ya Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, liwali wa Yuda, na roho ya Yoshua, mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu, na roho zao mabaki ya watu; wakaenda, wakafanya kazi katika nyumba ya Bwana wa majeshi, Mungu wao;
15 katika siku ya ishirini na nne ya mwezi, katika mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa Dario mfalme.
Marko 4 : 35 - 41
35 Siku ile kulipokuwa jioni, akawaambia, Na tuvuke mpaka ng'ambo.
36 Wakauacha mkutano, wakamchukua vile vile alivyo katika chombo. Na vyombo vingine vilikuwako pamoja naye.
37 Ikatokea dhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.
38 Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?
39 Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.
40 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
41 Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?
Zaburi 44 : 23 - 26
23 Amka, Bwana, mbona umelala? Ondoka, usitutupe kabisa.
24 Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?
25 Maana nafsi yetu imeinama mavumbini, Tumbo letu limegandamana na nchi.
26 Uondoke, uwe msaada wetu, Utukomboe kwa ajili ya fadhili zako.
Mhubiri : Mch. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mungu alubariki
Barikiwa Sana Sana pastor
Bwana Yesu Asifiwe Mchungaji Nimebarikiwa Sana Na Neeno Mungu Akubariki Sana
Amen
😇✝️💟🙏🏿
Hakika nazidi kupata mafunuo yenye kunivusha kutoka chini kwenda juu.Ubarikiwe sana Mchungaji.
Aika beee