Bachu hatuko na wewe kiushabiki bali umetufungua macho sisi tuliofungwa macho na watu wa maulidi. Pongezi sana Muhammad bachu Allaah akuzidishie hikma na ilmu.
Wallah Allah atunusuru ,watetea maulid hawapo tayari kukubali kwamba wanayo yafanya ni uzushi ,wakristo ukiwambia Yesu sio Mungu wapo tayari wakatwe kichwa kuliko kukubali
Bachu Allah amjazie kher kwa juhudi hizi anazofanya kutuelimisha! Allah mjalie mema yake iwe kwa ikhlas kama tunavyomdhania na umfanyie wepesi njia ya peponi pamoja nasi!..kher kher kher insha Allah!
Ilio shinda ni hakki sio bachu na hawa watu wa ngoma walekwenda kiubishi kwasababu wao wameulizwa swali kisha wamegeuza maneno wanasema wao ndio wameanza kuuliza kisha hawakutaka tena kujadiliana wamekwama katika ubishi
Mm sija soma lakini nimeelewa kilicho ulizwa ila ww na hisi uko upande wa bachu ila ngoja nikukumbushe bachu kauliza swali said akajibu Kisha akarundisha swali kwa bachu yy bachu alitakiwa alijibu ima kwa ushaidi au aseme sijui ili said ajibu atufudishe na sisi
@@jamilahjamilah4157 kwahio lazime jibu liwe sijui::;yeye alijibu kua hilo suali halipo kielimu kisha akarudisha hoja kwa said kama lipo basi towa wewe pia hakutoa kwahio halipo hil;:nisawa na kuuliza mungu kabla ya kuumba chochote alikua wapi? Nakubali mungu yupo ila nataka kujua alikua wapi??? Sasa ndio swali la saidi aambiwe wanachuoni wa m/hadis wanasema nn kama alivyo uliza!! Anajibiwa hilo halipo tujadili haya maneno au wasimulizi ndio wanajadiliwa na wanachuoni hataki sasa hio ndio ilimu??? Nakukumbusha wakwanza kuuliza swali ni bachu na swali lake ni said asibitishe kama ni kweli wanyama waliongea hakujibu hilo bali kageuza kibao kisha ni ubishiiii
Waalaah waislam huwa tuna shabikia kitu bila kujua mm nauchiga wangu said nimemuekewa ila bachu baado sijamuekewa swali umjenga ww bachu mwezako kakujibu Kisha karundisha swali ufafanue au sema hujui yy atufundishe wee umebaki pale pale vp mjibu sijui ili na wangine tupate faida kwanini unakwepa swali maana mm navoo jua kwenye hadithi nahau kunataratibu zake ndio maana mwezako kakwamia hapo hapo nambie nikitabu ngani kinasema mtu akileta hadithi zaifu aitwa muogo hapo tu bachu ujibu hili swali ili tujue usiruke baba
Sheikh Mohammed Bachu tumefurahi sana kwa hoja zako na kuweka watu wa uzushi sawa kulingana na upotevu wao Allah aku hifadhi na aku zidishie katika ilmu yako
Bachu أسأل الله الكريم رب العرش العظيم أن يتولاك في الدنيا والآخرة وأن يجعلك مباركا أينما كنت وأن يجعلك ممن إذا أعطي شكر وإذا ابتلي صبر وإذا أذنب استغفر جزاك الله خيرا وبارك الله فيك
Allaah akulipe kila lakheri Shekh Muhammad kwakweli ume tukosha sana, na umedhihirisha wazi kua masufi akili zao zina fanana na punda wala sina shaka kwenye hili
Sheikh Bachu ameshindwa kusema kama hadithi Munkar na dhaifu kuwa hazifai, je wewe umetoa wapi kuwa hazifai? Mimi nimesikiliza huu Mudaqash lakini sikumsikia Sheikh Bachu akisema kuwa hizo hadithi hazifai
These are all beautiful people, learned Muslims with immense beneficial knowledge, peaceful and lovers of Allah, of our beloved Prophet, serving Allah's creation and aspiring to Allah's pleasure. The issue being debated seems impossible to prove true or false for both parties. Conflicts are plots of anagram and almost conflicts are manifestations of our own inner conflicts and a negation of peace, the message of Islam. May Allah unite our hearts and help us raise each other to greater deeds that are in His pleasure. May Allah make them great servants of His and through all of them, bring His Light to guide our paths and unite them in peace.
Huwezi lifafanua ww na uko wako na mashekhe wenu wote wakiwahabi hawalijibu hilo swali pengine upange urongo na uzushi ila Allah yuwakusubiri na atakulipa vile unastahiki kulipwa
@@fikafikan8484sawali lenyewe siyo la kielimu swali kajibiwiwa kwa darili yeye akiulizwa swali anajibu siyo kwa darili alijiandaa kuja kusomeshwa vitabu kaweka alama alafu😂 kajifanya kaifadhi aje atwarii kwa mwalimu alafu 😂 Alafu ajui msingi wa kuliza swali
Alikosa kujibu pale bachu alikua ajibu na swali la kujibu angrkubali si ungo ile hadthi bachu kwisha ndio kakimbia bachu hana ilimu wallah na nawapia kwa Allah nyinyi munao mfuata bachu basi musije mukafika kwa Allah alafu mukamsingizia bachu ndio kawapoteza
Subhaanallaah!!! Yaani Mwanzo mpaka mwisho huyu khurafi kashindwa kuutetea hoja moja tu ya uongo, alafu wanashangilia kujitoa ufahamu kana kwamba wameweza kutetea kitabu chao. Kwa mwenye kujua Body Language ameyaona Macho yao yakionyesha fedheha na aibu zilizojaa nyoyoni mwao kwa kushindwa kutetea point moja tu ya uongo wa dhahiri kwenye kitabu chao. Allah atuongoze sote
Kashindwa bachu ndio kakimbia kaona ameshikwa ki ilimu kakimbia lakini wavuta bangi wenzake bachu hawajitambui kama bachu mwenyewe nendeni mukasome na bachu wenu wacheni ushabiki
Huyu ibn Bachu ni kijana Aliyekuja kuuwavumbua watu . Mimi nilkuwa cjui maneno haya kumbe n mambo ambayooo yapo na hayana mashikooo! mpka leo hakuna aliyejibu 19 n UBABAISHAJI TU .
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Huyu shekhe said ni muongo na kitabu chake mjinga hana akili wafuasi wake hakuna walicho elewa basi angetoa maneno ili hata wasio na elimu wajue kwa upande wangu mimi siendikwenye maulidi mpumbavu sana shekhe said
Wallah nimefurah Sana na nimefatilia kuanzia mwanzo mpaka mwisho ila bachu hunahoja unaulizwa suali unashindwa kujibu lapili unadharau Sana hiv unaelem gani bachu mbona marehm shekh nasor bachu alikua hayuko hivo
Twariqa siku zote twamogopa Mwenye Ezi Mungu. Lkni nyinyi mawahabi yatakiwa mumuogope Mwenye Ezi Mungu zaidi. Kwa sisi kama uzushi wetu wa Maulid kumsifu Mtume S.A.W na Mtume S.A.W kasifiwa kwa Quran Maswahaba walimsifu mbele yake. Lkni nyinyi mawahabi Uzushi wenu ni mbaya muovu na mchafu zaidi Tauhid yaani mumeweka kigawanyo ktk Tauhid mwamgawanya Mwenye Ezi Mungu kweli muko sawa
Sheikh bachu Allah amuhifadhi ukweli tumeuona. Haki tumeifuata, ahli matwari swali moja tu limewatoa jasho lakope. Saeed hakuongea bali ni hao wenye kiti ndio walokua wanaongea sanaa.
@@nayef3903@fikafikan8484 sawali lenyewe siyo la kielimu swali kajibiwiwa kwa darili yeye akiulizwa swali anajibu siyo kwa darili alijiandaa kuja kusomeshwa vitabu kaweka alama alafu😂 kajifanya kaifadhi aje atwarii kwa mwalimu alafu 😂 Alafu ajui msingi wa kuliza swali
Ni kweli kabisa bachu ndiye alianza kuuliza swali ,akimtaka Shekh said adhibitishe wapi wanyama walipeana taarifa ilipoingia mimba ya mtume ?badala ya kujibu hilo swali eti naye akauliza swali jamani tuacheni kutetea uongo wa barazanji
Kwa hakika allwah amuhifadhi shekhe Muhammad nasoro bachu, bachu anajenga hoja kisomi, majibu anayoyatoa ni ya kiushahidi uyoo shekhe saidi sjamuelewa kabisaa juuu ya maswali yake pia hata majibu anayoyajibu huwa sielewi kabisaa.
Hatubishani twaelezana. Wabishanao ni masapota wa mpira na ninavyoona wewe miongoni mwao. Kama wewe waona ni mabishano, sisi twaona ni mafundisho na ovu haliwezi nyamaziwa
niwazi Hawa masufi walipanga kukwepa hoja bachu anauliza kutamka kwa wanyama said anakazana eti niwanachuoni Gani wanamhukumu barzanji au mtu yeyote akitumia hiyo Hadith atakua mrongo hoja kuu sio mtu kua mrongo au mkweli hoja ni hiyo mistari mtu anaweza kua mkweli au mrongo kwa baadhi ya mambo katika maisha yake lakini hili la kutamka wanyama ndio ustadh said alifaa aogelee lakini alishindwa
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ndugu zanguu waisilamu haya si yakuwatenganishaaa waisilamu haya ni kuletanishaaa ummah SI mashindano lakini swali sheikh Said auliza angeefaah kuyabafili na ummah wajue ukweli kwasababu watu wengine wako Kwa mashindano lakini tunafaa kushindana kujua ukweli na haki ili ALLAH (S.W.T) awe radhi na sisi
nimezingatia bachu amesema hadithi thaifu haitumiki shekh saidi alitakiwa na bachu asibitishe kama hadithi dhaifu inatumika shekh said kakwepa kashikilia swali lake wakati la bachu alilotaka asibitishiwe nikweli wanyama walisemaa
Yes kiama Kipp karibu ...leo kuona waislamu wakiwa na ndumi kali kwa kuwatusi na kuwakashifu waislam wenziwao hali ya kuwa Rasuurullah ameshaonya kuwa muislamu wa kweli ni yule anamsalimisha muislamu mwenzake kwa mikono yake na NDIMI yake....haya! Sasa imekuwaje na mashekhe ninyi mliojaa cheche kali za chuki na kukosa adabu kwa waislamu wenzenu...eti kisa wanasoma maulidi?
Miaka 20 iiyopita bidaa zilituzunguka kila corner.Hivi Sasa waislam wameamka na kujua kumbe tulokua tukiyafanya hayajafanyikapo wakti wa Mtume salallaahu alayhi wasallam.Huu wakti mwengine Waislam wameamka
se kila aliezungumza uwongo ni muwongo. kwa mfano, Nabi mussa Alaihi salam alizungumza uwongo lakini uwezi kumuita Nabi muwongo. Sheikh Bacho yupo sahii, yatakiwa kujadiliwa baranje kitabu na sio mtu.
Swadakata. Bachu aanakwama pahala padogo sana. Yeye kasema kuwa Barzanji AS ni muongo. Kwa muktadha huo anatakiwa kuthibitisha. Anakwepa swali la msingi kabisa
Lkn imedhihiri yakwamba Shekh Muhammad Bachu Allaah amuhifadhi na shari zote na ampambe kwa afya njema, kua amejipanga khasa kwa ajili ya kuwafundisha wasiojua, kwa hoja za kielimu.❤❤❤. Lakini Saidi muimbaji hakujipanga kwa ajili ya kutetea ama kuthibitisha chocho kama mulivyoona, bali tunakata kauli moja tu nayo ni, huyu kijana wa mambrui amewekwa kitako na kushikwa sikio, ebwana weeee, yule kijana wa Zanzibar amejipanga na yuko vizuri sana kwa ajili ya kutuharibia soko letu la biashara ya kumzulia Mtume urongo, tunayo ifanya na watu wajinga, hivyo basi hatuna hoja tunayo weza kuithibitisha ambayo ni sahihi ika wakinaisha hawa wajinga tunao wapotezea muda kila siku na kuwatafunia pesa zao. Ila tunakuomba ukwepe hoja zake na ugande na uzuka huu, usiruhusu kuyataja yote alio yaandaa, wajinga wengine wana akili tuta wakosa na pesa zao hatuta zipata tena😅😅😅😅😅. Ndio muka muona huyu mpuuzi hata khabari alikua hana yakwamba watu wamekuja wanahitaji kujua ukweli kuhusu kilicho andikwa ndani ya barzanji. Bali hata baada ya kujibiwa swali lake la uzuka, yakwamba hili swali umelitunga wewe mwenyewe bila mashiko yeyote ya kielimu, na mimi tangu nizaliwe sijawahi kuliona jambo hili kwenye vitabu vya Maulamaa-yaani kama wewe unae uliza swali hili la uzuka nimkweli na unahisi niswali la msingi, naomba utuoneshe umelitoa wapi, kwenye kitabu gani, ama umetumia kigezo gani cha elimu kinacho kupa njia ya kuuliza swali hili la kijinga? Jamaa kuonesha kua hana kitu hata hili limemshinda kumthibitishia Shekh Muhammad Bachu kua lipo😅😅😅😅!!! Kazi kwenu nyinyi mlio kubali kutiwa lijamu kama Wanyama na mukapelekeshwa kama mapunda bila elimu, bila hoja ya msingi yakweli wala akili ilio salimika😅😅😅
Mtume s a w alisema kutakuja watu warongo na watu watawaona wakweli na wakweli kuonekana warongo sasa bachu mrongo yuwaonekana mkweli lakini kwa mijitu mizuka kama nyinyi
@ omarally ww huna ilimu na akili ya kuzaliwa pia huna kasome ww na bachu ushabiki utakupeleka pabaya bachu alikua ajibu sijui ama aseme hio hadithi itskua si urogo ndio jibu la hilo swali na akisema hivo bachu sasa angeingia full kwenye mtengo saaa ndio aingizwe kwenye ilimu wallah mungelimuonea huruma bachu afadhali akimbie mana hamungefuata tena bachu kichwa chake sawa sawa na jumba gofu waishi mapopo ndani hakuna ilimu
Ikiwa watu wa thwarika huyo sheikh Said ndo shekih wenu tegemezi wallah hapa hakuna elimu yoyote zaidi ya kufuata matamanio na fikra zake tu na porojo nyingi zisizo na msingi...!!! Yani swali analouza hata mtoto wa fasli awal anajua huyu sheikh Said hamna lolote apo
Mimi Kuna kitu sikielewei Kwani hapo linahitajika jibu la nini wakati hilo suala halihitaji hata mmwanachuoni wala fatwa yamaulamai wowote. Ukiandika UONGO utaitwa muongo tu. Ukiandika ukweli utaitwa mkweli Kwani wewe sheikh said Ukienda chooni nfano bahati nzuri ukaharisha na ukasema Leo jamani nimeharisha vizuri sana je pia utahitaji fatua zawanavyuoni kama wewe nimkweli au Muongo. . Mwawachuoni atatwambia kamuulizeni mwenyewe kama aliharisha vizuri au vibaya Bachu anakuuliza yale maneno ya barzanji nia ya ukweli au yauongo. Hajakuuliza barzanji nimkweli au Muongo. Hilo Lakama yeye mkweli au muongo analijua yeye Na Molla wake. Sisi tunataka ututhibitishie ili tushawishike na maulidi maneno yake ni ya ukweli becouse nyinyi mnaitakidi ni maneno ya ukweli. Ndo mnayasambaza nakuyasoma. Halafu bachu alikujibu kukwambia jafar al barzanji simpokezi wahadithi. Nimtu aliona maneno hayo sehemu akakopy nakupesti. Je haya maneno ni ya ukweli sheikh said???
Wazushi wamefanya khiana kubwa sana kwenye mjadala, na pamoja na khiana yao hawakupata walilo litarajia. Shekh Muhammad Bachu ndie alieanza kujenga hoja na kutaka apate majibu yalio enda shule kutoka kwa Saidi muimbaji, na amemtaka Saidi muimbaji awathibitishie wafuasi wa maulid yakwamba Mawahabi hawana elimu, na fahamu zao ni ndogo, haya maneno ya Ja'far kwamba wanyama walitamka......sio urongo ni kweli, na riwaya sahihi hii hapa, kitabu fulani ukurasa fulani, kwaio wasomaji wa maulid kuanzia leo someni maulid na haya maneno yasomeni kwa shangwe na vigelegele!!! Lakini kitu kilo shangaza wenye baswiirah na maarifa nikwamba hakugusa kabisaaa hili alilo jengewa hoja na kuulizwa!!!😅😅😅😅😅. Bali kafanya ghishu kuwafanyia wafuasi wa maulid na waliozoea kumzulia Mtume uongo😅😅😅. Na akasaidiwa kuifanya ghishu hii na mwalimu wake, kwa kukwepa Hija na swali alilo ulizwa, na kutaka ajibiwe yeye kwenye swali lake la uzuka alilo uliza kama njia ya kukimbia NYUNDO za Shekh Muhammad Bachu😅😅😅😅😅. Shekh Abuu Ahmad akaliona hili na kutaka lisiendelee lkn masufi wakafanikiwa kwa hila zao kuliwacha hili swali la uzuka, ambalo haliko ndani ya kitabu hata kimoja cha Mwanachuoni liendelee kupotezea watu muda.
ikisha cha ajabu zaidi sheikh muhamed bachu ndio alitakiwa kujenga hoja ili sheikh said avunje hoja lakini imekua kinyume chake yaani ata sheikh said hakujua kabisa kilicho mleta pale.
Ni kweli wamefanya khiyana kubwa lakin ni desturi ya masufi tangu zamani mpaka kitasimama qiyaama sisi tulikuwa masufi na nilipoona ujanja ujanja kama huo ndio ulonitoa huko na kuanzia hapo mafunzo nilianza upya nikawa kuanzia diqhi nilosoma kwao nitafute sheikh wa sunna ni hakikishe kama zipo sawa au hapana lakin nilikuwa siamini tena na nikakiifuta kila kitu walichonifunza, maana khiyana katika elimu ilikuwa ya wazi. Allah awaongoze waone haki na hii ndio tabia yao mashuhuri khiyana kwao ndio dini na aibu hawana wanaongopa na wapomacho makavu kabisa.
Swali ameanza bachu wao wakageuza eti bachu ndio ajibu swali wao waloulizwa wamelikwepa hawakuja kubainisha haki wao ni tabia yao kupotosha mazuka wao.
Abuu Ahmad kumbe ndie alie alie Harubu munakasha....... Maana kikao cha royal cot... walikubaliana hivi na Nikisha hii wazungumzia chengine......... MUHAMMAD BACHU JAMAA YAKO KUMBE NDIE ALIE KUPONZO
Hvi nyinyi mwajisifusifu kuwa ndio mwajuwa dini vzuri lkni mumekosea ajuwae ni Allah alie kuwa sawa na aliekosea ni yye to almuhimu ni kukaa kipembeni na kurekebishana sio kudharauliana ki dini haifai ikiwa mumesoma kemu tafakarini😢😢😢 innalillahi waina illehi rajiun
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh said nilivo kuwa nakukubali umeniangusha kbsa bachu allah akuhifath
Bachu hatuko na wewe kiushabiki bali umetufungua macho sisi tuliofungwa macho na watu wa maulidi. Pongezi sana Muhammad bachu Allaah akuzidishie hikma na ilmu.
Kasome ilimu. Huyo sheikh bacho ameshikwa point ya ki ilimu ndo hataki kujibu. Wewe nae ukafwata . Kasome mustwalahul Hadith ndio ujuwe sehemu Gani aliposhikwa swali (Bachu) . Ndugu yangu usiwe bendera fwata upepo soma . Nyinyi ndio bendera fwata upepo ndio mukizuzuliwa mwasema mumeelimishwa ki hikma 😂😂😂 soma boss somaaaa
JAMANI KUNA WATU HAWANA HAYA KABISA .. 😂😂😂
WEWE THETRAVEL HUNA HATA CHEMBE YA AIBU ?
Ule munaqasha hamkuona ebu tuambieni Ninani Aliakuwa akirekebishwa IBARA naninani alikimbia mjadala mpaka akainuka kitini
Hahhaha hivi kumbe hata
Bachu hana lolote, maneno mengi tu
Mashaallah shekh Muhamad Bachu kamata uzi huo huo wa kur_ani na suna kubainisha ukweli
sheikh Bachu Allah Barik Feeka
Wallah Allah atunusuru ,watetea maulid hawapo tayari kukubali kwamba wanayo yafanya ni uzushi ,wakristo ukiwambia Yesu sio Mungu wapo tayari wakatwe kichwa kuliko kukubali
KWELI NDUGU YANGU
IMEELEWEKA HAPA SHK MUHAMMAD BACHU NDIE AMEPATIA
Bachu hana elimu alijikojolea
Kwako. Tu siyo kwa wenye akili
HUYO MWENYE ELIMU NDIO HIVYO POLE NI
MAKHULAFI KWELI MUMEISHIWA
Bachu Allah amjazie kher kwa juhudi hizi anazofanya kutuelimisha! Allah mjalie mema yake iwe kwa ikhlas kama tunavyomdhania na umfanyie wepesi njia ya peponi pamoja nasi!..kher kher kher insha Allah!
Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi umeshinda
Ilio shinda ni hakki sio bachu na hawa watu wa ngoma walekwenda kiubishi kwasababu wao wameulizwa swali kisha wamegeuza maneno wanasema wao ndio wameanza kuuliza kisha hawakutaka tena kujadiliana wamekwama katika ubishi
Mm sija soma lakini nimeelewa kilicho ulizwa ila ww na hisi uko upande wa bachu ila ngoja nikukumbushe bachu kauliza swali said akajibu Kisha akarundisha swali kwa bachu yy bachu alitakiwa alijibu ima kwa ushaidi au aseme sijui ili said ajibu atufudishe na sisi
@@jamilahjamilah4157 kwahio lazime jibu liwe sijui::;yeye alijibu kua hilo suali halipo kielimu kisha akarudisha hoja kwa said kama lipo basi towa wewe pia hakutoa kwahio halipo hil;:nisawa na kuuliza mungu kabla ya kuumba chochote alikua wapi? Nakubali mungu yupo ila nataka kujua alikua wapi??? Sasa ndio swali la saidi aambiwe wanachuoni wa m/hadis wanasema nn kama alivyo uliza!! Anajibiwa hilo halipo tujadili haya maneno au wasimulizi ndio wanajadiliwa na wanachuoni hataki sasa hio ndio ilimu??? Nakukumbusha wakwanza kuuliza swali ni bachu na swali lake ni said asibitishe kama ni kweli wanyama waliongea hakujibu hilo bali kageuza kibao kisha ni ubishiiii
Waalaah waislam huwa tuna shabikia kitu bila kujua mm nauchiga wangu said nimemuekewa ila bachu baado sijamuekewa swali umjenga ww bachu mwezako kakujibu Kisha karundisha swali ufafanue au sema hujui yy atufundishe wee umebaki pale pale vp mjibu sijui ili na wangine tupate faida kwanini unakwepa swali maana mm navoo jua kwenye hadithi nahau kunataratibu zake ndio maana mwezako kakwamia hapo hapo nambie nikitabu ngani kinasema mtu akileta hadithi zaifu aitwa muogo hapo tu bachu ujibu hili swali ili tujue usiruke baba
Inaonekana unapenda Ngoma sana
Bachu Allah akuhifadhi
Jazzakallahu kheir sheikh Mohammed Bachu, wallahi umemshika dogo, na kweli hakki lazima ionekane
Ya rabbi mpe umri mrefu shek Muhammad Bachu pengne kizazi kijacho kwa kaz anayoifany huenda bidaa ikatoweka na sunna ikatawala
Sheikh Mohammed Bachu tumefurahi sana kwa hoja zako na kuweka watu wa uzushi sawa kulingana na upotevu wao
Allah aku hifadhi na aku zidishie katika ilmu yako
Ilimu gani kakimbia mwenye ilimu hukimbia ama hujibu swali kama akili yakusoma huna hata yakuzaliwa basi pia huna
Tunawajua watu wa bidaa kwamakasiriko @@fikafikan8484
Uyo sheikh saidi ajuwi anacho zungumuza sheikh bachu mungu azidi kukulipa kwa ilimu
Bachu
أسأل الله الكريم رب العرش العظيم أن يتولاك في الدنيا والآخرة وأن يجعلك مباركا أينما كنت وأن يجعلك ممن إذا أعطي شكر وإذا ابتلي صبر وإذا أذنب استغفر
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك
th-cam.com/video/Ux874eUESOw/w-d-xo.htmlsi=0VNjtsj3Ue3h4g4P
Mwisho mutampa sifa ya uswahaba Sasa eee jamani
Maashallah sheikh bachu Allah akusimamie ni me elimika sana
Allaah akulipe kila lakheri Shekh Muhammad kwakweli ume tukosha sana, na umedhihirisha wazi kua masufi akili zao zina fanana na punda wala sina shaka kwenye hili
Mashekhe wenu ndivo alivo wafundisha kutusi muisilamu mwenzako punda bachu kawapoteza mana ana bohekaa kama mbwa bila ilimu
alhamdulillah tumejua kuwa ktk barzanjy kumbe kuna hadithi munkar na dhaifu ambazo hazifai kutumika
Sheikh Bachu ameshindwa kusema kama hadithi Munkar na dhaifu kuwa hazifai, je wewe umetoa wapi kuwa hazifai? Mimi nimesikiliza huu Mudaqash lakini sikumsikia Sheikh Bachu akisema kuwa hizo hadithi hazifai
Mashalla mohammad Bachu..
Jamaa ameshindwa na kukimbia maulidi basi tena.
Ilimu gani iliyonayo na hukutoa andiko hata moja.
Umetuaibisha said hukutoa hoja yoyote
Bachu Maashaallah Allah atulinde,umeeleza vizur sana.
These are all beautiful people, learned Muslims with immense beneficial knowledge, peaceful and lovers of Allah, of our beloved Prophet, serving Allah's creation and aspiring to Allah's pleasure. The issue being debated seems impossible to prove true or false for both parties. Conflicts are plots of anagram and almost conflicts are manifestations of our own inner conflicts and a negation of peace, the message of Islam. May Allah unite our hearts and help us raise each other to greater deeds that are in His pleasure. May Allah make them great servants of His and through all of them, bring His Light to guide our paths and unite them in peace.
Badae nitakuja kulifafanua swali la kizushi la muimba kwaya Inshaa Allaahu Ta'aalaa
Huwezi lifafanua ww na uko wako na mashekhe wenu wote wakiwahabi hawalijibu hilo swali pengine upange urongo na uzushi ila Allah yuwakusubiri na atakulipa vile unastahiki kulipwa
@@fikafikan8484sawali lenyewe siyo la kielimu swali kajibiwiwa kwa darili yeye akiulizwa swali anajibu siyo kwa darili alijiandaa kuja kusomeshwa vitabu kaweka alama alafu😂 kajifanya kaifadhi aje atwarii kwa mwalimu alafu 😂 Alafu ajui msingi wa kuliza swali
Muimba kwaya 😅😅
Acha ushoga wew unalambwa nini unaijua kwaya wewe au unatapika tu apa
@@omariisaya7086 ww huna ujuwalo mwanzo ni dalili si darili sawa mtanzania bachu mwambie asome kwenye goggle
Wallahi na furahi Sana sheikh bachu kumuondokea huyo kitoto cha malindi
Alikosa kujibu pale bachu alikua ajibu na swali la kujibu angrkubali si ungo ile hadthi bachu kwisha ndio kakimbia bachu hana ilimu wallah na nawapia kwa Allah nyinyi munao mfuata bachu basi musije mukafika kwa Allah alafu mukamsingizia bachu ndio kawapoteza
@@fikafikan8484 Sawa vipi ikiwa bachu yuko Sawa je ww itakuwa umepotea au
@@fikafikan8484 pili mm simfuwati bachu Bali na fuwata haki na ukweli ambao aloutowa sheikh bachu
@@fikafikan8484 Kisha nikuulize je ww ambao hujapotea je yafaa kupija matwari ndani ya msikiti nyumba takatifu ya Allah
@@mohammedally696KAULIZE MAMBRUI ALIPOTOKA MIKOJO BACHU. SASA UNATUULIZA SISI TUKUFANYE NINI?! 😂. MAWAHABI MNABWEKA PEMBENI KAMA MBWA KOKO, MKIITWA MAMBRUI MNATOKA MIKOJO. 😂
Sheikh bachu mashaallah upo vizuri sana
MashaAllah and I have subscribe
Sheikhe Allah akuteteye
Wanacho kitaka hawo makhurafi ni kukuchafuwa tu
Hawanahoja tokalini khurafi akawa ahli suna waljama
SHEIKH BACHU HAPO UNAJIUMIZA KICHWA BURE HAMNA KITU HAPO HOJA HAJAJIBU ANATOA SWALI UMEONA WAPI
Subhaanallaah!!! Yaani Mwanzo mpaka mwisho huyu khurafi kashindwa kuutetea hoja moja tu ya uongo, alafu wanashangilia kujitoa ufahamu kana kwamba wameweza kutetea kitabu chao. Kwa mwenye kujua Body Language ameyaona Macho yao yakionyesha fedheha na aibu zilizojaa nyoyoni mwao kwa kushindwa kutetea point moja tu ya uongo wa dhahiri kwenye kitabu chao. Allah atuongoze sote
Allah akuongoze ww na bachu mulio potea insha Allah
@@fikafikan8484 soma comment zote kwanza ili uone wamepoteya wa kina nani
Nyinyi mawahabi someni mujue elimu fitna ndio munayo
Kashindwa bachu ndio kakimbia kaona ameshikwa ki ilimu kakimbia lakini wavuta bangi wenzake bachu hawajitambui kama bachu mwenyewe nendeni mukasome na bachu wenu wacheni ushabiki
Nilisubiri maswali ya Bachu yajibiwe angalau moja lakini wapi.
تبين الرشد من الغي
فإني والله في الله ربي أحبك يا شيخنا ابن شيخنا .
Miongoni na mapumbavu
Bachu Mashallah
Thumma mashaallah
Barzanji katunga kitabu kilichotengeneza ibada ya uwongo
Huyo ustazi Said ametiwa kaseti mdomoni
Hajui chochote maskini
Shekh said ni msomi hana majigabo ni mtulivu makini Mashaallah mungu akuhifadhi kipoko cha bachu
Unamzungumzia uyu mpiga kinanda
Huyu ibn Bachu ni kijana Aliyekuja kuuwavumbua watu .
Mimi nilkuwa cjui maneno haya kumbe n mambo ambayooo yapo na hayana mashikooo!
mpka leo hakuna aliyejibu 19
n UBABAISHAJI TU .
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Bachu mungu akuhifathi
Ustadh said alikua amejipanga kutoa makosa kwa Ustadh bachu lakini hakujipanga kuvunja hoja, hapo ndipo alipojisahau akabakia akikariri neno moja tu
Sheikh bachu allah akuzidishie
Ustdhi saidi ww ndie umeulizwa swali hujibu wamgeuzia mwenzo jibu na vitabu vako ww hutoi kwa vitabu bachuu ywatowa katika vitabu
JazaakaAllahu Khairan yaa Bachu na Abu Ahmad
Shekh said mungu akuhifadhi kwa mwenye kuelewa ataelewa bali na ushabiki waso taka ukweli kusema sijuwi si ujinga kujifanya wajuwa na ujuwi dio ujinga
Wallah bachu Allah akuongezee elima uzidi kutufungu akili juu hawa jamaa hata hawajui kuuliza maswali juu ya mada
Mnawafurahisha watu wasiokua waislamu
Huyu shekhe said ni muongo na kitabu chake mjinga hana akili wafuasi wake hakuna walicho elewa basi angetoa maneno ili hata wasio na elimu wajue kwa upande wangu mimi siendikwenye maulidi mpumbavu sana shekhe said
Kabisaaaaaa sheikh wangu
Kweli masufi. Ni mchezo waliucheza. Namuona aboudi hapo anamkonyeza said Omar
Nilidhani nimeona peke yangu
Mbona suala aliloulizwa bachu lipo wazi?alitakiwa ajibu
Ni mtupu huyu
mashaah bachu alijibu vizur sana
Wallah nimefurah Sana na nimefatilia kuanzia mwanzo mpaka mwisho ila bachu hunahoja unaulizwa suali unashindwa kujibu lapili unadharau Sana hiv unaelem gani bachu mbona marehm shekh nasor bachu alikua hayuko hivo
Hawa wenyeviti nao waandaliwe munaqasha wao!!
MAKHURAFI wameichenga maaudhui
Hizi ni sifa za wanafiq
MAKHURAFI ogopeni mungu
Twariqa siku zote twamogopa Mwenye Ezi Mungu. Lkni nyinyi mawahabi yatakiwa mumuogope Mwenye Ezi Mungu zaidi. Kwa sisi kama uzushi wetu wa Maulid kumsifu Mtume S.A.W na Mtume S.A.W kasifiwa kwa Quran Maswahaba walimsifu mbele yake. Lkni nyinyi mawahabi Uzushi wenu ni mbaya muovu na mchafu zaidi Tauhid yaani mumeweka kigawanyo ktk Tauhid mwamgawanya Mwenye Ezi Mungu kweli muko sawa
Bwana Bachu nenda ukasome Mambrui. Utapewa free accommodation, chakula free na ilmu free
Kwani wewe umesoma?🤔😅
Tume elimika sana na huu mnaqasha, sh Said amepigwa chini zaidi ile mbaya
Makurafi ndo mlivyo ata ramli baazi yenu mnatetea mnafananisha na xray muogopeni mungu nyinyi makurafi
Wallah kwel kbx nishawai msikia imam juu y mimbar akitetea ramli
Sheikh bachu Allah amuhifadhi ukweli tumeuona. Haki tumeifuata, ahli matwari swali moja tu limewatoa jasho lakope. Saeed hakuongea bali ni hao wenye kiti ndio walokua wanaongea sanaa.
Bachu muongo hana elimu alikwepa
@@nayef3903@fikafikan8484 sawali lenyewe siyo la kielimu swali kajibiwiwa kwa darili yeye akiulizwa swali anajibu siyo kwa darili alijiandaa kuja kusomeshwa vitabu kaweka alama alafu😂 kajifanya kaifadhi aje atwarii kwa mwalimu alafu 😂 Alafu ajui msingi wa kuliza swali
Nyinyi mwacheni barzanji. Jadilini n'a aloyandika.
Ni kweli kabisa bachu ndiye alianza kuuliza swali ,akimtaka Shekh said adhibitishe wapi wanyama walipeana taarifa ilipoingia mimba ya mtume ?badala ya kujibu hilo swali eti naye akauliza swali jamani tuacheni kutetea uongo wa barazanji
Maajabu kweli kisha, huyo saeed alikua haongea wanaoongea niwale wenye kiti kama wao ndio wasemaji
Nyinyi mawahabi mapimbi bila elimu
@@nayef3903ikiwa hao ni mapimbi....je makhurafi wa kukata mauno na kutingisha mabega maulidini itakua ni nani😂
@@Khalid-mf3iu wewe wahabi wajua unachosema ama ushabiki ndio ujualo. Wewe waenda disco wapenda kusikiza nyimbo
@@nayef3903kasome tarekh ya Muhammad Abdul Wahab....sio usikie watu wasema wahabi na ww useme....watu wa twariqa ni watu wa migoma.
wewe DJ huwelewi umavo fahamisha tu hii👋👉
Kwa hakika allwah amuhifadhi shekhe Muhammad nasoro bachu, bachu anajenga hoja kisomi, majibu anayoyatoa ni ya kiushahidi uyoo shekhe saidi sjamuelewa kabisaa juuu ya maswali yake pia hata majibu anayoyajibu huwa sielewi kabisaa.
Bachu kashindwa kujibu kielimu atumia akili yake akajikojolea
Huna uwezo wa kuyaelewa mambo makubwa kama haya ya shkhe said ndo maan unashabkia upuuzi tu
Mawahabi wasema mungu ana mikono mingu na makalio dahh hatari
Kwani ww unasemaje
Allah akuhifadhi shekh muhammad
Waislamu mmekua watu madhalili Sana. Mtabishana mpaka mwisho wa Dunia.
Hatubishani twaelezana. Wabishanao ni masapota wa mpira na ninavyoona wewe miongoni mwao. Kama wewe waona ni mabishano, sisi twaona ni mafundisho na ovu haliwezi nyamaziwa
Ndio uzuri wenyewe wa uislamu huo, kwenye kosa kurekebishwe na pili hiyo ndio tofauti yetu na dini zengine hatujiendei tu kama wanyama
niwazi Hawa masufi walipanga kukwepa hoja bachu anauliza kutamka kwa wanyama said anakazana eti niwanachuoni Gani wanamhukumu barzanji au mtu yeyote akitumia hiyo Hadith atakua mrongo hoja kuu sio mtu kua mrongo au mkweli hoja ni hiyo mistari mtu anaweza kua mkweli au mrongo kwa baadhi ya mambo katika maisha yake lakini hili la kutamka wanyama ndio ustadh said alifaa aogelee lakini alishindwa
😂😂🎉Mohamed bacho kiboko yao Allah amuifadhi
Kitabu na Sunnah kila siku inashinda ila Masufi huwa wanaz8ba masikio ili waendelee na ngoma zao
Hao quran imewataja wana masikio bali hawasikii
SAIDI HUNA JIPYA WAMALIZA MB ZETU HUNA JIPYA
Twareeqa hawataki haaki twapoteza time nao al ahdaly alikwisha sema sisi twareeqa hatuwezi kushindwa na yoyote la yarjiuna umyun hawa sumun
Du huyo dj said ziro kabisa dunia nzima umeeleza,asielewa hapo bas tena
Saidi amna kitu kupoteza muda tulikua tunataka faida kuhusu barazanji lakini ww unazunguka swali moja tu
Alhamdnu lillah... Tumepata elimu kubwa Sana kwa Sheikh Muhammed Bachu,
Ustadh Saidi.. Amekwrma😂😂😂
Bachu mashaalah
Ninyi mnahofia kuonekana na watu badala ya khofu kwa Allah
Bachu hii kibri haikufikishi mahali
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ndugu zanguu waisilamu haya si yakuwatenganishaaa waisilamu haya ni kuletanishaaa ummah SI mashindano lakini swali sheikh Said auliza angeefaah kuyabafili na ummah wajue ukweli kwasababu watu wengine wako Kwa mashindano lakini tunafaa kushindana kujua ukweli na haki ili ALLAH (S.W.T) awe radhi na sisi
nimezingatia bachu amesema hadithi thaifu haitumiki shekh saidi alitakiwa na bachu asibitishe kama hadithi dhaifu inatumika shekh said kakwepa kashikilia swali lake wakati la bachu alilotaka asibitishiwe nikweli wanyama walisemaa
Ama kweli qiyama karibu. Leo ahlu bid'a wanajiita ahlu sunna wa jamaah! Miguu juu kichwa chini. Dunia ya mwisho.
Yes kiama Kipp karibu ...leo kuona waislamu wakiwa na ndumi kali kwa kuwatusi na kuwakashifu waislam wenziwao hali ya kuwa Rasuurullah ameshaonya kuwa muislamu wa kweli ni yule anamsalimisha muislamu mwenzake kwa mikono yake na NDIMI yake....haya! Sasa imekuwaje na mashekhe ninyi mliojaa cheche kali za chuki na kukosa adabu kwa waislamu wenzenu...eti kisa wanasoma maulidi?
Bachu mungu AKUPE wepesi,fadhwilah na barakah🙏🙏
Miaka 20 iiyopita bidaa zilituzunguka kila corner.Hivi Sasa waislam wameamka na kujua kumbe tulokua tukiyafanya hayajafanyikapo wakti wa Mtume salallaahu alayhi wasallam.Huu wakti mwengine Waislam wameamka
Mpaka kajikojoleaa😂,
Bachuuuuuuuuuu Maashaallah
se kila aliezungumza uwongo ni muwongo. kwa mfano, Nabi mussa Alaihi salam alizungumza uwongo lakini uwezi kumuita Nabi muwongo. Sheikh Bacho yupo sahii, yatakiwa kujadiliwa baranje kitabu na sio mtu.
Saidi unazingua
Bachu unatisha
Mashaallah
USTADH SAIDI WAONYESHA USHINDI MAPEMA SANA ,HUNA HURUMA UNAUWA NZII KWA NYUNDO KWELI !
UNASEMA MADOGO ILA MAZITO KWA HUYO KIJANA .
Swadakata. Bachu aanakwama pahala padogo sana. Yeye kasema kuwa Barzanji AS ni muongo. Kwa muktadha huo anatakiwa kuthibitisha. Anakwepa swali la msingi kabisa
@@magorahassan3491ni kweli kijana kabanwa kwa Swali dogo sana, na kukimbia Swali kubwa la maada😂😂😂😂 je kweli wanyama waliongea😮😮😮😮
HUYU SAIDI HAFAI KABISAAA, MPAKA MIKOJO KAMTOA MWENZIWEEEE😂😂😂
Lkn imedhihiri yakwamba Shekh Muhammad Bachu Allaah amuhifadhi na shari zote na ampambe kwa afya njema, kua amejipanga khasa kwa ajili ya kuwafundisha wasiojua, kwa hoja za kielimu.❤❤❤.
Lakini Saidi muimbaji hakujipanga kwa ajili ya kutetea ama kuthibitisha chocho kama mulivyoona, bali tunakata kauli moja tu nayo ni, huyu kijana wa mambrui amewekwa kitako na kushikwa sikio, ebwana weeee, yule kijana wa Zanzibar amejipanga na yuko vizuri sana kwa ajili ya kutuharibia soko letu la biashara ya kumzulia Mtume urongo, tunayo ifanya na watu wajinga, hivyo basi hatuna hoja tunayo weza kuithibitisha ambayo ni sahihi ika wakinaisha hawa wajinga tunao wapotezea muda kila siku na kuwatafunia pesa zao.
Ila tunakuomba ukwepe hoja zake na ugande na uzuka huu, usiruhusu kuyataja yote alio yaandaa, wajinga wengine wana akili tuta wakosa na pesa zao hatuta zipata tena😅😅😅😅😅.
Ndio muka muona huyu mpuuzi hata khabari alikua hana yakwamba watu wamekuja wanahitaji kujua ukweli kuhusu kilicho andikwa ndani ya barzanji.
Bali hata baada ya kujibiwa swali lake la uzuka, yakwamba hili swali umelitunga wewe mwenyewe bila mashiko yeyote ya kielimu, na mimi tangu nizaliwe sijawahi kuliona jambo hili kwenye vitabu vya Maulamaa-yaani kama wewe unae uliza swali hili la uzuka nimkweli na unahisi niswali la msingi, naomba utuoneshe umelitoa wapi, kwenye kitabu gani, ama umetumia kigezo gani cha elimu kinacho kupa njia ya kuuliza swali hili la kijinga?
Jamaa kuonesha kua hana kitu hata hili limemshinda kumthibitishia Shekh Muhammad Bachu kua lipo😅😅😅😅!!!
Kazi kwenu nyinyi mlio kubali kutiwa lijamu kama Wanyama na mukapelekeshwa kama mapunda bila elimu, bila hoja ya msingi yakweli wala akili ilio salimika😅😅😅
Hayo ni maoni yako lakini Leo tumeuwona bachu kashindwa
Mtume s a w alisema kutakuja watu warongo na watu watawaona wakweli na wakweli kuonekana warongo sasa bachu mrongo yuwaonekana mkweli lakini kwa mijitu mizuka kama nyinyi
Weweee huyu hafanyi Tena Tena Tena munaqash
@ omarally ww huna ilimu na akili ya kuzaliwa pia huna kasome ww na bachu ushabiki utakupeleka pabaya bachu alikua ajibu sijui ama aseme hio hadithi itskua si urogo ndio jibu la hilo swali na akisema hivo bachu sasa angeingia full kwenye mtengo saaa ndio aingizwe kwenye ilimu wallah mungelimuonea huruma bachu afadhali akimbie mana hamungefuata tena bachu kichwa chake sawa sawa na jumba gofu waishi mapopo ndani hakuna ilimu
Mm nimeshaacha maulid loh hadi panya na kunguni kaongea kiarabu.? Allah atuepusha na majuhalaaa ahlu matwari
Allah awasaidie nawao waijue haq
Ahaaa aaa bado ujasemaaa
Ikiwa watu wa thwarika huyo sheikh Said ndo shekih wenu tegemezi wallah hapa hakuna elimu yoyote zaidi ya kufuata matamanio na fikra zake tu na porojo nyingi zisizo na msingi...!!! Yani swali analouza hata mtoto wa fasli awal anajua huyu sheikh Said hamna lolote apo
majaahili mmekimbia mnaakash
Unganeni mpige vita makafiri wanaoleta ushoga. Acheni kulumbana. Anaetaka maul8di na asome na asotaka na wasisome khalaas
Umesema kweli
Hicho ndo chamsingi
Ria tu yakielimu
No uzishi lazma iondoshwe katika dini kaka
Ameanza vitabu juu ya meza na hatoi maandiko ameshikilia hoja isio na msingi.
walibadilisha hoja .hoja ilikua uonga,si muongo.
Maa Shaa Ustadh Said ulimuweka sawaaa
Tuseme sheikh Bachu ameshindwa kujibu haya toa hoja ya kumkadhibisha kwa kitabu kimoja kati ya hivyo ulivyo navyo hapo mezani.
Mimi Kuna kitu sikielewei Kwani hapo linahitajika jibu la nini wakati hilo suala halihitaji hata mmwanachuoni wala fatwa yamaulamai wowote. Ukiandika UONGO utaitwa muongo tu.
Ukiandika ukweli utaitwa mkweli
Kwani wewe sheikh said Ukienda chooni nfano bahati nzuri ukaharisha na ukasema Leo jamani nimeharisha vizuri sana je pia utahitaji fatua zawanavyuoni kama wewe nimkweli au Muongo. .
Mwawachuoni atatwambia kamuulizeni mwenyewe kama aliharisha vizuri au vibaya
Bachu anakuuliza yale maneno ya barzanji nia ya ukweli au yauongo.
Hajakuuliza barzanji nimkweli au Muongo. Hilo Lakama yeye mkweli au muongo analijua yeye Na Molla wake. Sisi tunataka ututhibitishie ili tushawishike na maulidi maneno yake ni ya ukweli becouse nyinyi mnaitakidi ni maneno ya ukweli.
Ndo mnayasambaza nakuyasoma.
Halafu bachu alikujibu kukwambia jafar al barzanji simpokezi wahadithi.
Nimtu aliona maneno hayo sehemu akakopy nakupesti.
Je haya maneno ni ya ukweli sheikh said???
Kweli anaeandika uongo au kusema ni muongo
NAKWANINI HUYO AL IMAM JAFARI ATUNGE HICHO KITABU YEYE KAMA NANI IKIWA MTUME HAJA KIFUNDISHA MBONA MWATUCHANGANYA
Wazushi wamefanya khiana kubwa sana kwenye mjadala, na pamoja na khiana yao hawakupata walilo litarajia.
Shekh Muhammad Bachu ndie alieanza kujenga hoja na kutaka apate majibu yalio enda shule kutoka kwa Saidi muimbaji, na amemtaka Saidi muimbaji awathibitishie wafuasi wa maulid yakwamba Mawahabi hawana elimu, na fahamu zao ni ndogo, haya maneno ya Ja'far kwamba wanyama walitamka......sio urongo ni kweli, na riwaya sahihi hii hapa, kitabu fulani ukurasa fulani, kwaio wasomaji wa maulid kuanzia leo someni maulid na haya maneno yasomeni kwa shangwe na vigelegele!!!
Lakini kitu kilo shangaza wenye baswiirah na maarifa nikwamba hakugusa kabisaaa hili alilo jengewa hoja na kuulizwa!!!😅😅😅😅😅.
Bali kafanya ghishu kuwafanyia wafuasi wa maulid na waliozoea kumzulia Mtume uongo😅😅😅.
Na akasaidiwa kuifanya ghishu hii na mwalimu wake, kwa kukwepa Hija na swali alilo ulizwa, na kutaka ajibiwe yeye kwenye swali lake la uzuka alilo uliza kama njia ya kukimbia NYUNDO za Shekh Muhammad Bachu😅😅😅😅😅.
Shekh Abuu Ahmad akaliona hili na kutaka lisiendelee lkn masufi wakafanikiwa kwa hila zao kuliwacha hili swali la uzuka, ambalo haliko ndani ya kitabu hata kimoja cha Mwanachuoni liendelee kupotezea watu muda.
ikisha cha ajabu zaidi sheikh muhamed bachu ndio alitakiwa kujenga hoja ili sheikh said avunje hoja lakini imekua kinyume chake yaani ata sheikh said hakujua kabisa kilicho mleta pale.
Ni kweli wamefanya khiyana kubwa lakin ni desturi ya masufi tangu zamani mpaka kitasimama qiyaama sisi tulikuwa masufi na nilipoona ujanja ujanja kama huo ndio ulonitoa huko na kuanzia hapo mafunzo nilianza upya nikawa kuanzia diqhi nilosoma kwao nitafute sheikh wa sunna ni hakikishe kama zipo sawa au hapana lakin nilikuwa siamini tena na nikakiifuta kila kitu walichonifunza, maana khiyana katika elimu ilikuwa ya wazi. Allah awaongoze waone haki na hii ndio tabia yao mashuhuri khiyana kwao ndio dini na aibu hawana wanaongopa na wapomacho makavu kabisa.
Swali ameanza bachu wao wakageuza eti bachu ndio ajibu swali wao waloulizwa wamelikwepa hawakuja kubainisha haki wao ni tabia yao kupotosha mazuka wao.
@@jumamahmoud9271MAWAHABI WANABWEKA PEMBENI KAMA MBWA KOKO, WAMEITWA MAMBRUI WAMETOKA MIKOJO 😂😂🤣
BACHU ALI ANGUKA NYINYI ACHENI USHENZI ,NAKOKOTE DUNIANI HAKUNA MLIKO FAULU ,NAKUACHINJAWATU ETÌ MTASIMAMISHA DAULA ISLAMI,LIBIA NAKOTE MLIKO PELEKA UFIDHULI LEO MPOWAPI ?
NA BIN SALMANI ALLAH AMUHIFADHI KUWAGUNDUA MAPEMA .
Abuu Ahmad kumbe ndie alie alie Harubu munakasha.......
Maana kikao cha royal cot... walikubaliana hivi na Nikisha hii wazungumzia chengine.........
MUHAMMAD BACHU JAMAA YAKO KUMBE NDIE ALIE KUPONZO
Makosa ya Bachu ni kutumia lafdhi ' wongo" kama angetumia neno kama histori thaifu hatika Barzangi ange shinda.
Walakin said si aliulizwa asibitishe je hadis munkar kwamujibu wa wanavyuoni inakubalika kutumika??hakusibitisha hilo bali ni ubishi ndio ulio tawala
@@KubwaKuliko-dk4bm saiid alithibitisha ya kwa hadithi yoyote si Mawdhui tatumika katika sira.
Hvi nyinyi mwajisifusifu kuwa ndio mwajuwa dini vzuri lkni mumekosea ajuwae ni Allah alie kuwa sawa na aliekosea ni yye to almuhimu ni kukaa kipembeni na kurekebishana sio kudharauliana ki dini haifai ikiwa mumesoma kemu tafakarini😢😢😢 innalillahi waina illehi rajiun
Huna point said
Yani hata andiko moja hujatoa tangu kikao kianze
Jamani wamaa uutitum minalilmi illaa qalila hivo tu
Nashangaa Maghurafi nao wanajiita Ahlu Sunnah
shekh said alifel yeye alikaa hapo kumtetea barzanji wakati mada ilikuwa kuhusu kuzungumza kwa wanyama
Katika watu wote walio comment wewe ndio umefatilia huu munqash vzur na comment yako mtu akiifatikia vzur atajua nani amemshinda mwenzake apa
Masufi hawaa nafsi zimewatawala,hawajitambui