MAOMBI YA KUVUNJA VIZUIZI by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- MAOMBI YA KUVUNJA VIZUIZI by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Ninavunja kila aina ya vizuizi katika maisha yangu watoto wangu kazi zangu ndugu zangu kwa damu ya yesu aliye hai
Ee Mungu niondlee kizuizi cha kutokupata miradi kwenye shirika langu
Kila kizuizi kwenye maisha yangu kibomoke kwa jina la Yesu Kristo
Yesu kristo unitangulienajiandaa kwa jili ya ndoa naomba uniondolee kila kizuizi ndani ya safari hiyo na pia naomba bwana yesu umsaidie mpenzi wangu awez kugutegemea kwa kila kitu Anacho kifanya bwana yesu tunaomba ututumie loho mtakatifu azidi kutuongoza na kutushauli cha kufasha siku zote za maisha yetu katika jina la yeweza yesu kristo naomba nikushukulu ameeeen
Ee bwana yesu nakuomba ukaondoshe vizuizi vyote vilivyo katika ndoa yangu,maisha yangu,familia yangu,na maisha yangu bwana nakuomba ukavivunje vyote bwana mana hakuna mungu kama wewe bwana. Ee mwokozi wangu nakuomba ukanijibu maombi yangu kumi na mbili. Kama ulivyo mjibu sara na Anna kama ulivyo mjibu yusufu na danieli nami unijibu leo bwana kwa damu ya mwanao yesu krsto
Kila kizuizi kilichowekwa kinyume na maisha yangu nisipaate ndao nakivunja kwa damu ya Yesu kivunjike kivunjike kwa jina la Yesu kila mlango wote uliofungwa kwa maisha yangu nauvunja kwa jina La Yesu.😊
Bwana Yesu uniondelee vizuizi vyote vinavyozuia mipango yangu ya miradi SIHA na nyumba yangu kuuzika
Kila kizuizi kichopangwa kwenye maisha yangu, kazi yangu, familia yangu ninakitangua katika jina la yesu kristo. Ninafungua milango ya baraka na mafanikio yangu kwa jina la yesu.
Asante yes Kristo kwakunifungua 🙏 😢naamini hii wiki nitabarikiwa ameni 🙏 yesu nakupenda ❤️
Asante yesu kwa kunifungua katika kila vizuizi kwenye kila eneo kwenye maisha yangu 🙏
Vizuizi juu ya watoto wangu, ndoa yangu, kazi yangu na afya yangu navivunja vyote leo kwa jina la Yesu... Vunjikaaa Yeremia 1:10
Kila kizuio kilicho katika njia yangu au kifungu chochote kile yesu ukifungua week hii yesu tuweze kulipa madeni haya yesu nakupenda sana nakutegemea
Baba Kwa Jina la Yesu Naomba unitete Mimi na watoto wangu na Uvunje vizuizi vinavyozuia baraka kwenye uzao wa Tumbo langu. Fungus Mlango huyu ng'ombe Apate mteja atakakaemchukua Kwa bei nzuri Kwa Damu ya Yesu na Kwa Jina la Yesu Kristo
I declare and decree that no barrier will come on my way in jesus mighty name 🙏
Kila kizuizi kilicho kamata watoto wangu kinakwenda kuharibika kwa damu ya Yesu
Mungu wangu! Yesu wangu! Nisaidie kuvuja vizuizi vyote vilivosimama juu yangu, juu ya maisha yangu na uzao wangu; kwa jina na kwa damu yaYesu kristo!
Ee bwana yesu ondoa kila ainaya kizuizi kinacho zuia katika familia yangu naimanutatenda kadri ya uwezo wako
Naomba Mungu aendelee kuniletea Kwa kuvunja vizuizi, malango ya vizuizi vinavyofanya magonjwa kusakama mwili wangu,Yesu wewe ndio mkombizi wa maisha yangu nami nasema nimepona Kwa Damu ya Yesu kristo.Ameen
Kila kizuizi kilichopo kwenye maisha yangu na familia yangu watoto wangu ndugu zangu nakwenda kukivunja kwa damu ya Yesu kristo aliye hai
Vizuizi juu ya maisha yangu, ndoa yangu na kwa biashara yangu navunja vyote leo katika jina la yesu.
Nimepokea Kwa jina la yesu ñimevunja mabaya yote kwangu Kwa jina la yesu wanaonifutilia washindwe na kuvunjwavunjwa Kwa jina la yesu bwana yesu nitangulie
Kiukweli haya maombi nimesikiliza nimemaliza kusikiliza mpaka sasa hivi sina nguvu naandika huku mikono inatetemeka nimefunguliwa asante mungu kwa maombi haya from Malaysia 🇲🇾 🇲🇾🙏
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana sana
Kila zuizi lililofungwa katka maisha yangu katka biashara yangu nafuta kwa damu ya yesu amen
Kila kizuizi kwenye maisha yangu kwenye biashara yangu ivunjike kwa Damu ya Yesu
Ameen
Kila kizuizi kilicho kuwepo kwenye familia yangu vifunguliwe Kwa jina la yesu
Kila kizuizi ambacho kimefunga mm nisiendelea kimaisha, ndoa yangu isiwe na Amani na familia yangu isiendelee, naingoa katika jina la yesu kristo.
Ameen barikiwa mtumishi wa Mungu, hata kama hujui kusali unajifunza
Ee mwenyezi MUNGU vunja vizuizi vyoye vinavozuia nisifanikiwe katika maisha maisha yangu
Amen Amen ninafurahi milango yangu imefunguka Asante munguwangu kwakuni funguwa milango yangu imefunguka aleluyaaaaa💃💃💃💃💍👰♂️🗣
Ameen ameeen
Kila kizuizi kitoweke kwa jina la Yesu biashara zilizofungwa zifunguliwe
Ee bwana yusu nakuomba ukaondoshe kila vizuizi vyote kwenye ndoa ya ngua na maisha yangu pamoja na family yangu
Kwa mamlaka ya jina la yesu na Kwa damu ya yesu navunja na kuharibu Kila vizuizi kwenye uchumi wa familia yangu
Bwana Yesu nitangulie ukasawazishe mahali penye vizuizi vinavyonizuia nisisonge mbele ktk jina la Yesu
Ee mungu nakuomba ukaniondolee vizuizi vyakunirudisha nyuma kw maisha yngu, pitia ujumbe huu naomb ukajb hoja ya moyo wangu Amina🙏🙏🙏
Bwana yesu nitangulie mbele yangu,nifungulie mlango ulio funga, amen
Kizuizi kile kilichofunga njia zetu tuwe na madeni hayo nayawangia damu ya yesu leo hiiiii
Yesu naomba unitangulie katika maisha yangu yesu naomba watangulie dada Grace Gerald na mzazi mwenzangu hilali Rashidi wanisimamie kwa haki kininunulia kiwanja na nikianza ujenzi uwatangilie yesu wanisimamie vyema mimi nipo oman kikazi ehe yesu unitangulie natamani kufika unitangulie roho nataman kufika Amen 🙏🙏🙏
Amen Amen ninaita Damu ya YESU kwa kila mlango uliofungwa juu yangu
Amen amen ameeeni mungu akutie nguvu mutumishi Morris na akujaze nguvu za roho mtakatifu kwa jina la baba mwana na roho mtakatifu amen
Mungu baba wambinguni katika jina la yesu kristo niondolee vizuizi katika baraka za baba yangu wambinguni
Damu ya yesu initetee, kila mlango uliofungwa juu yangu, nafungua kwa damu ya yesu
Amen
@@holyspiritconnect amen
Naomba Jehova unitangulie
Amen
E bwana yesu kavunje vizuizi katika maisha yangu kwadamu yayesu
Naomba maombezi ya biashara yangu ya spare zamagari uchumi afya nyumban biashara familia uchumi wangu dukala
Mungu akufungulie milango ya baraka katika kila eneo la maisha yako katika jina la Yesu Kristo
Amen mtumishi wa mungu uzidishwe kwa Jina la yesu🎉🎉🎉
Yesu tufungulie milango na pia vizuzi zinazo fanya tusiendele mbele.tunaomba hao kwa njia bwana Yesukristo Amina
You have touch me Apostle
Naomba maombezi ya biashara yangu ya spare zamagari uchumi afya nyumban biashara familia uchumi uchumi uchumi
Mungu akufungulie milango ya baraka katika kila eneo la maisha yako katika jina la Yesu Kristo
Amen atanitakulia kwa kila njia aina zote za vizuizi vitashindwa kwa damu ya yesu kristo
Damu ya yesu initetee kila mlango uliofungwa juu yangu naifungua kwa damu ya yesu😭😭😭
Ameeena, ninajisikia na ninaamini yakwamba mirango mibaya yote Papa God amefunga na akafunguwa mirango mipya halleeluiaaa ninakushukuru Baba na tunabariki pia mchungaji umutendee wema......Mungu tunakushkuru milele Amen🙏🏽😭
Ameen
Yesu nione yesu niguse nifanikishe kujenga yangu kwa mikono yangu 👏👏👏 i
Ooooh yes lord nitangulie bwana ninatamani kufika 🙏🙏 maana bila ww siwez 🙏🙏 kutana na hitaji la moyo wangu 🙏 🙏🙏
Ni mm hapa Niko na mlima chakutofaulu kimaisha , financial breakthrough,,damu ya yesu osha yote amen 🙏
Ameen
Kwajina la Yesu navunja kila vizuiz vyote vilivyoko mbele yangu kweny biashara zangu navunja navunja kwa kuna La YESUkristo wanazalet Mungu alie hai Mweza ya yote mmliki wa kila kitu! Pumzi yangu , uhai wangu watoto wangu wazaz wangu kila kitu kiko mikononimwako🙏🙏 navunja leo miamba yotee naaungusha chini kwajina la Yesu🙏🙏🙏
Ameen
Grory to God
Amina
Najiunganisha na haya mathabau kubomoa kunguvu za kiza na vizuizi vyote vilivyomo ktk Familia yetu na maisha Yangu ktk jina la yesu kristo 🙏🙏 amen,ubarikiwe mutumishi Kwa uchumbe huu wa kujenga kiroho.
Ameen ameeen ameeen
Ubarikiwe pia
Ninangoa kila miziz iliowekwa kuzuia mafanikio yangu kwa damu ya yesu
Ameen
Kwa dam ya yesu, navunja kira milima iliyopo mbele yangu inayo nifanya kuludi nyuma kwa jina la yesu
Mungu naomba kila kizuizi kilichowekwa katika utafutaji wangu mahusiano yangu kiondoke katika jina la yesu amen
Amen kwa jina la yesu kristo kizuizi kilicho simama katika ndoa yangu kivunjike katika jina la yesu
Kila vizuizi vivunjike! Kwa jina la Yesu!
Mungu anitangulie and unianianalie mbele na milango zangu zilzizo funga zifunguliwe katika jina la yesu
Amen mtumishi wa mungu maombi haya yamenigusa wakati naomba Kuna kitu kama kichomi nikikisikia katika ya kifua changu,na nikatapika naamini mungu ameniponya na kupitia maombi haya naamini vizuizi vyangu vinaenda kufunguliwa
Naomba mungu a kuvunja kila vizuizi katika maisha yangu na family yangu vivunjeke kwa jina la yesu kwa damu ya yesu kila vizuizi katatika ndoa naomba mungu kavichome kwa jina la yesu naamini mungu amendenda barikiwa mtumishi wa mungu
Amen Natangaza katika ulimwengu wa Roho na mwili kwa kunifungua kwa Damu ya Yesu
Natangaza ktkt dam yayesu nimefunguliwa ktk vizuizi
Nimebarikiw mtumishi wa mungu .asante bwana Yesu
Ameen
Yesu nasema asante kwa mume hu yesunasema asante nakupenda asante yesu
Amin mungu amenisikia leo hata kufungua tu haya maombi nineema kunawakati nilikuwa napita tu
Nafungua kila kizuizi kilioko juu ya maisha ngumu kwa jina la mwenyezi mungu Ameeeeeeeeeeeeeeen
Ameen ameeen
Amen , kila kizuizi chochte kwenye maisha yagu kitoweke kw jina la yesu , ndoa ,kazi ,maisha yagu yafunguliwe leo kw jina la yesu😢😢
Yesu wangu naomba unitangulie ktk kila eneo ninatamani kufika
Mungu kupitia maombi haya navunja kila kizuwizi kilchozuia uponyaji huu ya mwili wangu kishindwe kwajina la Yesu
Asante Sana Mwwnyezi Mungu kwaajili ya haya maombi ,,,Yesu nasema Asante kwakuniweka huru ,,, NAKUPENDA YESU WANGU
Navunja vizuizi vyote vinavyozuia nisisonge mbele in Jesus name I pray Ameen
Amen
Mwenyez mungu kavunja vizuizi vyote vibaya ktk jina la yesu 🙏🙏
Navunja kila kizuizi kilichopo ktk maisha yangu, kizuizi Cha kutopata Pesa navunja kizuizi Cha Aina yoyote ktk Jina la Yesu. Amen
Kwa jina la yesu napomoa mulango yote imefungwa ju yangu
Napomoa vizuizi katika Jina la Yesu Kristo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ee. Mungu naomba ukavuje vizuizi vyote ambavyo vinazuia mafanikio kwenye maisha yng
Amen amen amen, nimabarikiwa Sana na nimewekwa huru vizuizi vyote na milima yote imesawazishwa natembea Kama mtoto wa kifamle
Amen
Dawa ya yesu iliyomwagika pale msalabani ikapati kuvunja na kuharibu vifungo vyote vilivyofungwa katika maisha yangu.
Ahsanteee mtumish naamin milango imefunguliwa na naanza kufanikiwa katika ndoa yangu katika uzaz katika kupata Kaz kwa jina la yesu kristo wa nazalet aliye hai
Asante mwenyezi mungu kwa kujifungulia vizuizi vyote amen
Naomba iyo mlima uliko bere yangu ishushwe navuja mipango yote ya shetani juu yangu na watoto wangu najiosha katika damu ya yesu amen
MUNGU wa mbinguni kila kizuizi kinacho zuia maendeleo yangu na mume wangu, wasambalatike kwa damu ya YESU KRISTO 🙏🙏 watu wote walio kinyume wakafichuke kwa damu ya YESU
Asante sana mtumish kwa kuniongoza maombi haya mazuri,naamini dam ya Yesu inaenda kunena jambo jipya kwangu kupitia haya maombi,Amen🙏🙏
Ameen
Amina mchungaji kwa kweli sijawahi omba nikajibiwa papo hapo kama leo ubarikiwe sana mtumishi wa mungu,nami bwana akanibariki amen
Asante kwakuniona nasema Asankwakuniweka huru asante Yesu nkukuza
Mungu nakuomba mwamba uliofungwa juu yangu ufunguke ktk jina layesu aliehai amen
Yesu naomba ulinzi wako roho za kichawi zisinifatilie
Mungu Nisaidie Hivi Vizuizi Vishindwe Katika Jina La Yesu Kristo Amém Vibomolewe Katika Jina La Yesu Kristo Amina.
Kupitia maombi haya naamini Mungu ataviondoa vizuizi vyote ktk maisha yangu pamoja na familia yangu Mungu awashangaze Yesu Ahsante
Mungu anisaidie kuvunja miamba na milima yote katika maisha yangu na yote wote pia kwani ninaamin anaweza kufanya katika maish yetu kama neno lake linavy sema
Ninafurahia kukua ndani ya uwepo wamungu mungu atukuswe millennium na milele
Mungu naomba univunjie vizuizi vyote vilivyopo mbele ya ridhiki zangu na maisha yangu mtakatifu bwana wangu wa majeshi
Kila kizuizi kilichosimama katika maisha yangu nakivunja katika jina la Yesu 👏👏👏👏
Damu ya Yesu ifungue milango yangu yote iliofungwa Ameen
Ameen
Amen .amen
YESU kristo mwana Mungu uliye hai unitangulie katika hatua zangu,katika safari hii ya Mbinguni 🙏🙏
Vizuizi ni vingi mbele yangu ee yesu naomba unitangulie navunja milango yote iliyosimama mbele yangu nabomoa katika jina la yesu Ameee👏
I connect my self i brake all covenant made against me uchawi mahasidi wote
Nimekwama sana maombi haya naona ni yakwangu mungu anisaidia vifungo vitoke
Jana niliomba na wewe kuhusu mtumishi wa Mungu
Mjomba wangu alikuwa anakataliwa sehemu za kazi sababu ya umri wake
Lkn baada ya kufuatilia maombi haya siku ya jana
Usiku nilitumiwa sms kuwa anatakiwa kwenye interview sehemu mbili tofauti na hawana tatizo na umri wake!
Nasema asante maana mda huu yupo kwenye interview!
Yesu christo uliye hai nitangulie kwa kila njia yangu ongoza kila hatua ya miguu yangu vunja vizuizi vyote ambavyo vinazuia baraka yangu na mafanikio yangu
kila vizuizi vilivyowekwa kwa ajili ya maisha yangu kwa siku ya leo vifunguliwe kwa jina la YESU kristo✊️👏🙏✊️👏🙏✊️