Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ส.ค. 2020
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
    Fatma Abeid Amani Karume ni mtoto wa kwanza wa rais wa sita wa Zanzibar na pia ni mjukuu wa rais wa kwanza wa Zanzibar na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 na pia ni mwanasheria hodari, na siku za hivi karibuni amekua mstari wa mbeeele kupaza sauti kwenye masuala ya kisiasa hapa nyumbani Tanzania na ni kitu ambacho kimempa umaarufu mwingi kwa wananchi na kupachikwa jina la Shangazi, yeye ndo SHANGAZI wa Taifa.
    Kuzungumza naye imekua kama mtihani kiasi maana yeye ni wakili na sote tunafahamu jinsi ambavyo mawakili wanavyojua kuongea kwahiyo ilibidi nitulize nywele kweli kweli ili tuweze kwenda sawa, mwanzo ulikua mgumu lakini tuliweza kutuwamisha maji baada ya muda kiasi na natumai utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza. Pia ilikua emotional kwa kiasi flani maana habari ya ofisi yake kupigwa bomu mwaka 2017 na kupigwa risasi kwa aliyekua rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu siku kumi tu baada ya tukio la ofisi kutokea Dar es Salaam lilimfanya awe emotional. Na kama utakua unakumbuka vizuri Shangazi ndo aliyefuata kuwa rais wa TLS baada ya hapo.
    Zaidi mi nilitaka kufahamu haswa nia na madhumuni ya kupambana kwake na kutonyamaza kwake kwenye masuala yote ya uongozi na serikali. Na kama pengine na yeye ana ndoto za siku moja kuwa kiongozi, au pengine leo simu ikiita akapewa cheo, je atakichukua? Na nini anataka, nini angependa kibadilike? Huwa anapokea simu toka nyumbani na kuambiwa pengine apunguze kelele kidogo? Au yuko huru tu kuongea? Na mambo ya familia? Na je kuhusu Babu yake na enzi za ASP? Anazikumbuka hizo enzi? Na kuhusu shule je? Alisoma wapi? Alikua smart alipokua mtoto? Anamkumbuka Babu yake? Lini mara ya kwanza alijua kama yeye ni “special”? Na kuhusu mapenzi je? Mara yake ya kwanza kumpenda mtu? Alikua nani? Alikutana na mumewe akiwa na miaka mpingapi? Na kwao je wako wa ngapi? Na yeye ni wa ngapi? Shule ipi alienda?
    Kuna suala la yeye kuzuiliwa kufanya kazi pia, licence yake imezuiliwa hapa, pia nilitaka kujua sasa anashije? Na kama ana watoto? Yeye ni mama wa aina gani? Akiacha kuwa Twitter huwa anafanya nini? Kuna mambo anayopenda kuyafanya ambayo sisi hatuyajui? Na kama kuna uwezekano wa yeye kujikita kwenye siasa? Maongezi yalikua marefu na machachari rafiki, na matumaini yangu utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza juu yake… Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 560

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 3 ปีที่แล้ว +25

    Can we have 10000 interviews from this REAL proffecional.......

  • @stavystunnah
    @stavystunnah 3 ปีที่แล้ว +43

    SHANGAZI ANA MADINI YA KUTOSHA SANA NA ANAJUA NINI ANACHOKIONGEA 🙌🏾🙌🏾

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales 3 ปีที่แล้ว +68

    uwa napenda sana wageni wanao tufanya tufikirie mambo kwa kina zaidi. this was one big Gem of a conversation. makofi KWA TEAM

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 3 ปีที่แล้ว +2

      Sio interview na mitu mijinga...this is interview

  • @charlesatanas3270
    @charlesatanas3270 3 ปีที่แล้ว +19

    nimependa majibu yake ya kua anatokea maisha mazuri..kupata shahada haimaanishi unatokea maisha mazuri

  • @lusajojohn6654
    @lusajojohn6654 3 ปีที่แล้ว +10

    Kwa kweli leo umekata kiu yangu, tunaitaji mashangazi wengi wenye upeo kama kwa afya ya Nchi yetu. I really love you shangazi.

  • @anethnelson9307
    @anethnelson9307 3 ปีที่แล้ว +5

    Shangazi kasoma Ulaya kumbe, ila kuna watoto wametoka kwenye familia nzuri na bado hawafanyi vizuri darasani, big up shangazi, hard work pays no matter where you’re from

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull9442 3 ปีที่แล้ว +10

    Salama nimecheka sanaaaaa uliposema" unajua sijamaliza swali langu "yaani mambo ni motooooo.........

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 3 ปีที่แล้ว +20

    Salama leo umekoma Shangazi anamajibu kama yote..😂😂😂
    She's very confident and smart

  • @dianamichael73
    @dianamichael73 3 ปีที่แล้ว +22

    Nampenda shangazi sana ananipa hamasa ya uanamke nliokuwa nautamani nikiwa mdogo niwe nao

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 3 ปีที่แล้ว

      u can still be.. dont give up ur dream

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 3 ปีที่แล้ว +21

    Salama is an excellent interview. She is objective and focused

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 3 ปีที่แล้ว +10

    Ujue nimechukua muda kusikiliza hii interview kila ni kiiruka inakuja tena kumbe kuna cha kujifunza ndani yake, ila Shangazi ana asira sana

  • @giftprudence
    @giftprudence 3 ปีที่แล้ว +13

    One thing naona shangazi needs to recognize and accept that she is privelleged, it is what it is. But am glad she is using her privelleges for good. I love shangazi💖💖🤗🤗

  • @safinabarungura3774
    @safinabarungura3774 3 ปีที่แล้ว +8

    Hahahahaaaa. Nimeipenda hiyo debate. She seems humble masikiini hataki kujiona bora even if salama didn't mean to irritate her🤗

  • @cleopatrasalha2964
    @cleopatrasalha2964 3 ปีที่แล้ว +22

    Jamani hii ndo maana ya interview hivi ni mimi tu ndo nimeelewa interview 😩this is beautiful very interesting she is just so comfortable on God and it’s so sweet jamani take me with you bibi

    • @cliffrichard7uu789
      @cliffrichard7uu789 3 ปีที่แล้ว

      Hapo salama shangazi sio mtu wa mchezo mchezo. Huyu nimwanasheria namaranyingi wanasheria ni hatari sana kwa maneno hutamuweza. Ila nimependa sana hii interview. Hua shangazi namkubali sana

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 3 ปีที่แล้ว +14

    I rewatched the conversation. Kwakweli, it takes a second to do something nice to someone but that person atakumbuka milele e.g Salama kumnunulia karanga shangazi. Wema hauozi.

  • @mammyquetkiba9672
    @mammyquetkiba9672 3 ปีที่แล้ว +6

    I rewatched the conversation is so smart enough tough of coz sijawai mskiliza shangazi na i used kumskia tu but i got something special in my mind kutoka kwa SHANGAZI she's very smart ntairudia mda wote

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 3 ปีที่แล้ว +20

    "Sio kiapo my darling "😊😊
    I love love loveeeeee her.....ananikosha sana..pia ni smart and tough

    • @shikikitabunda1177
      @shikikitabunda1177 3 ปีที่แล้ว +4

      Leo nimejua kuwa kiapo siyo issue katika haki

    • @hahmadhabibu2076
      @hahmadhabibu2076 3 ปีที่แล้ว +2

      @@shikikitabunda1177 kweli kabisa alafu wanatumiya vitabu vyamungu ama kweli siyasa inasiri kubwa sana

  • @officialvassa9023
    @officialvassa9023 3 ปีที่แล้ว +5

    Leo tumerudi darasani, Asante Sana swali moja kwa maswali saba jibu moja kwa majibu saba pia na nyongeza ya maelezo.. Inatuponya uelewa wetu Asante SHANGAZI!!

  • @adildewji
    @adildewji 3 ปีที่แล้ว +15

    Tanzania’s powerful ladies..very impressed.

  • @lukullikiwamba6494
    @lukullikiwamba6494 3 ปีที่แล้ว +2

    Wafrika wengi wanaogopa sana wanawake walio elimika na hilo ndo kosa la shangazi Fatuma, amezungza vitu muhimu sana shida watanzani wengi bado awana elimu

  • @promramson80
    @promramson80 3 ปีที่แล้ว +11

    Best interview. ..Maria Sarungi must be the next, please

  • @adamuayubu7885
    @adamuayubu7885 3 ปีที่แล้ว +32

    Ni kweli kuwa familia yako hajifanya upate ilichokuwa nacho,lakini kuna ukweli kuwa familia yako imefanya ufike ulipofika japo juhudi binafsi ni kitu cha msingi.Ungekuwa kama mimi usingeenda kusoma UK ukiwa na miaka 11.

    • @siegfrieddavid6816
      @siegfrieddavid6816 3 ปีที่แล้ว +7

      Kinachojalisha niutetezi wake kwa walio chini na wanao nyonywa,lawama zingine za wewe kuwa hapo ulipo au kutosoma ulaya ni juu yako na familia yako

    • @rahmasaidi6708
      @rahmasaidi6708 3 ปีที่แล้ว +2

      Riziki hutoa mungu

    • @kapendalubowa534
      @kapendalubowa534 3 ปีที่แล้ว +4

      Ndo Maana amekwambia Hakuna mwanadamu anayechagua azaliwe wapi.

  • @thehealthierkidneyfoundati2689
    @thehealthierkidneyfoundati2689 3 ปีที่แล้ว +7

    Interview safi sana, sasa wale wasanii ambao hatuwaelew tuwaweke pembeni kwa muda..

  • @asterialucas4680
    @asterialucas4680 3 ปีที่แล้ว +16

    Pole my darling ...... Yaan Shangazi Fatma I enjoyed this interview like never before 💪🏽 so bold so focused and intelligence.

  • @zulfahussein6356
    @zulfahussein6356 3 ปีที่แล้ว +17

    "Change is innevitable its a matter of time" kasema shangazi best interview inatufanya tujue some staffs

  • @getrudegladstone1881
    @getrudegladstone1881 3 ปีที่แล้ว +5

    We need more people like her....amenifundisha mengi sana sio siasa tu

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 3 ปีที่แล้ว +21

    Nimeelewa vizuri mno the whole tume huru vibe maana nilikuwa sielewi elewi naskia tu. Yani Shangazi kaelezea vizuri sana. Fatma ni mwalimu mzuri pia. I loved the whole interview! will rewatch!

  • @farhathassan7178
    @farhathassan7178 3 ปีที่แล้ว +11

    dada salama leo umejuta kumwita shangazi, hana ujinga hata kdg hahahahah

  • @thomasnguku9240
    @thomasnguku9240 3 ปีที่แล้ว +19

    Bonge moja la interview

  • @kingabditto9027
    @kingabditto9027 3 ปีที่แล้ว +13

    This is ma best interview ever

  • @haroubfuad7638
    @haroubfuad7638 3 ปีที่แล้ว +11

    I love to see such people having the same accent as me....i feel less weird

    • @RioIpo
      @RioIpo 3 ปีที่แล้ว

      Wazenji wenzetu hawa hahaha

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 5 หลายเดือนก่อน

    Dada Fatma, heshima yako. Ni mtu mmoja mwenye hekima, busara, nidhamu sahihi, mstaarabu sana mwenye upeo beyond. Na experience uliyonayo, elimu na umeishi na kusoma nchi mbalimbali, pia umepitia changamoto nyingi kimaisha, zimekufanya uwe shujaa wengi wataisikia tu, na wengi hawatakufahamu wataona I ni privilege tu.
    Naamini wengi waliozaliwa Tanzania, kusoma Tanzania hawana mwamko wa hali ya juu na haw ajitambue. Wanapokea na kuitumia maelekezo tu na Hawajielewi kwani wa nadhani mambo ndivyo yanavyokuwa. Na wachache waliotembea kidogo tu, they have not earn what you have earned, Ndo maana wana kuwa machawa ili wapewe maslahi bure bila elimu zao kukidhi. Na wa nafikiria no Sawa kabisa.
    Nakupenda bure for being , honest, bold and strong bila kupepesa macho. That’s so rare to find. Hiki kılındı ni cha muhimu sana hongera zake sana dada pia kwa kuwa muwazi na kurala kujua ukweli wa mambo na kuuliza maswali aliyoyauliza. Kuna wa awake wengi nchini kama nyinyi ingawa wengi ni waoga na hawajiamini. I salute all woman who stands up to fight, educate and resilient.
    Pongezi kWa wanawake.
    Katiba mpya na tune huru ni sasa. Liberation to Tanzania.
    Ahsante dada Salma.

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 3 ปีที่แล้ว +62

    Salama you did well ....for asking her about her father and her background.
    She is a privileged child of a former President (although she fiercely denies it!!!!) - she was at her highest emotional note during the interview -and Salama seemed shocked and intimidated at that point!! .
    She tried to deny you an opportunity to ask your question.
    She also seemed to have been really intimidated, angry and furious and out of scope by Salama's persistence on asking the same question - this became evident when she started talking about all the best schools she went to...all her achievements and everything.
    Thank you for keeping on asking your question on the fact that she is a Karume and the fact that it raises eyebrows when she is furious and a continous critic of the system that raised her , protected and created the foundations of most of what she is today.....

    • @lazaromtui1355
      @lazaromtui1355 3 ปีที่แล้ว +7

      She didn’t denied. Katoa facts za kutosha kwamba na yeye anafanyiwa mbanga.

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita 3 ปีที่แล้ว +15

      I think it gets in her nerves alot of ppl using her priviledge status to define her instead of seeing her as her and her achievements. Later on, she did make it clear that she hates to be compared. I'm glad she showed her true colors.

    • @TheMandela21
      @TheMandela21 3 ปีที่แล้ว

      @@frankissaya2578 kindly edit or re-write I did not get your point clearly

    • @maverickcreativesolutions8285
      @maverickcreativesolutions8285 3 ปีที่แล้ว +2

      You still don't make sense. what point are you trying to justify?

    • @macktubwazir2110
      @macktubwazir2110 3 ปีที่แล้ว +4

      She denied by a reason saying that sometimes its not about the reputation of your family that could keep you at higher position but your achievements as well can manifest even if its not going to be as easier as peoples coming from wealthy and well known upbringings.

  • @lucky_ferrie
    @lucky_ferrie 3 ปีที่แล้ว +25

    My best interview, I love how she elaborates her answers in a way that is so easy to understand and how she makes you pay attention to what she is saying..
    Really captivating and perfect!

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 ปีที่แล้ว +3

    Shangazi much respect aisee asante kwa wakalimani pia kwa kutupatia subtitle interview hii imekua bora kwa upande wangu too much sense.

  • @blessed-ke6fv
    @blessed-ke6fv 3 ปีที่แล้ว +2

    You made your point salama concerning maisha mazuri,ila shangazi kama anafokea hivi...vingine havipingiki ni ukweli...shangazi appreciate that you did or you still have privileges compare to most of Tanzanian since you came from noble family ,but you dont afraid to jeopardise that for the sake of other people to whom you don't even know.FOR THAT YOU BECOME A TRUE HIRO...Most of us tusige kua na hata robo ya uthubu ulionao..mungu akuongoze zaidi.

  • @safinabarungura3774
    @safinabarungura3774 3 ปีที่แล้ว +7

    Hii interview utashangaa inafutwa. Ngoja waione😂🤗. Nice one

  • @almassylivester4691
    @almassylivester4691 3 ปีที่แล้ว +4

    kwa tume huru hiyo upo sawa ila kwa sasa MAGUFULI KWANZA, akimaliza ,ndo tujadiliane maana sidhani kama kuna mwananchi asiye taka maendeleo, na magufuli ameonyesha nia ya kutuongoza kwenda huko. LAITI MGEJUA WANANCHI TUNATAKA MAENDELEO HATUTAKI SIASA ZA KUTUGAWA UNGEWASHAURI WASHIRIKA WAKO (UKAWA) WAJE NA HOJA SIO SIASA ZA VURUGU. love you

    • @hawamtambwa402
      @hawamtambwa402 3 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

    • @wedream7506
      @wedream7506 3 ปีที่แล้ว

      Kiongozi Kama anafanya Kaz atapita na kwenye tune huru pia it's not about ukawa time huru no kilio Cha watu wote sio tyu ukawa

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 3 ปีที่แล้ว +4

    Salama leo face to face na mahakama sasa😀😀

  • @maricefarrar4126
    @maricefarrar4126 3 ปีที่แล้ว +7

    Shangazi, you're a great woman .I love that.
    Mungu akitujalia, ningependa tukutane.

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi9530 3 ปีที่แล้ว +12

    Fatma Anazungumza vzr sana Hadi raha✌

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 3 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi nakuombea umri mrefu na afya najivunia kuwa na kiongozi kama wewe zanzibar Kuna madini Mashaa Allah,

  • @gepronydesign7146
    @gepronydesign7146 3 ปีที่แล้ว +5

    Hello Salama Mambo, Mimi sio mfuatiliaji sana wa channel yako lakini mara kwa mara nikipata kamuda naingia kucheki. Sasa kaushauri tu ndugu yangu. Hivi umewahi kufikiria kufanya mahojiano haya ukiwa na watazamaji kwenye kaukumbi hivi mfano watu 50 . Hii itakuwa wazo nzuri pengine litaongeza pato kidogo pia. Sababu baadhi ya watu wangependa kuwa live kwenye haya mahojiano. Hili ni wazo tu. Asante

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 3 ปีที่แล้ว +10

    Kiingereza nadhani anaeleweka vizuri kuliko Kiswahili

    • @ibrahimwenceslaus7942
      @ibrahimwenceslaus7942 3 ปีที่แล้ว +1

      We ni ndugu yang Nini emb check me on my email
      ibyusibyus@gmail.com

    • @shikikitabunda1177
      @shikikitabunda1177 3 ปีที่แล้ว +1

      Wenye wivu watasema anajisikia kumbe anapata taabu Sana kuongea kiswahili

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 3 ปีที่แล้ว

      amkuwa nje kiswahili amejifunzia ukubwani saivi ndio anaelekeza vizuri zamani alikuwa anaongea ovyo zaidi

  • @feiz3180
    @feiz3180 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama, asante kumhoji shangazi. Nzuri sana. Nimefurahi kwa masuala na yeye kajitahidi katika kukujibu. Hongereni.

  • @ProphetsweetbertHoly
    @ProphetsweetbertHoly 3 ปีที่แล้ว +13

    Nilichogundua Shangazi anapaniki Sana lakini maswali ya Salama NI Yale tuliyonayo huku mtaani maana Salama amesimama Kama #Mjumbe anatuwakilisha wananchi na mjumbe hauwawi ila kwa Shangazi Mjumbe anauliwa .#DontPanicShangazi #WeweNiTofautinasisi na haiwezi kubadilika kwakutokujua baba yako na Babu yako WAlikuwa maraisi wangapi.

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa yani nakuunga mkono!

    • @ProphetsweetbertHoly
      @ProphetsweetbertHoly 3 ปีที่แล้ว

      @@zainabkazige7388 Asante Zai maana ndio uhalisia kinamuuma nini.

    • @alexanderthegreat4439
      @alexanderthegreat4439 3 ปีที่แล้ว +1

      Poor man thinking

    • @magangajames4644
      @magangajames4644 3 ปีที่แล้ว +4

      Hiyo ndo ongea yake siku zote.ila ww upo kishabiki zaidi uwezi mwelewa inaitaji akili KUBWA umwelewe(BIG THINKING)weka ushabiki pembeni sikiliza madini hayo.

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 3 ปีที่แล้ว +1

      @@magangajames4644 mie nampenda sana na sina ushabiki yote aloongea ni point tupu... ila kama yeye alivyoumia kuambiwa yupo tofauti na sisi hapo ndo na mimi nilikuwa naelezea maoni yangu kuwa ni kweli tupo tofauti... She knows many things na anajitambua... ila kwenye ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Hauwezi ukafananisha mtu alosoma shule nzuri na aliyesoma shule za bora elimu ndugu yangu

  • @matildabyanda7854
    @matildabyanda7854 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani Shangazi anamchanganya Salama akitaja ivyo vyuo.😅😂😂😂, jamani kusoma Tu Sussex university na vyuo vingine tayari umepata quality ya elimu tofauti na wengine.😂😂😂., Salama kawezwa leo...

    • @joharindaro3075
      @joharindaro3075 3 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅😅😅😅😅 mamaae

  • @violetlongo5087
    @violetlongo5087 3 ปีที่แล้ว +4

    Love youuuuu shangazii....unamadini sana

  • @steavmcper7322
    @steavmcper7322 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante shangazi leo salama umekutana na biscuit 🍪 ya chumma

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mbonabuchabucha9657
    @mbonabuchabucha9657 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama uko vizur!!! Una maswali yenye maana sana!! Shangazi pia nimependa anavyojibu❤❤

  • @calistusnyeupe9491
    @calistusnyeupe9491 3 ปีที่แล้ว +7

    This interview is dope , salama unatisha sana. i like you.

  • @Scorpion08726
    @Scorpion08726 3 ปีที่แล้ว +3

    I appreciate the way Salama anamuachia mtu ajieleze vzur zaidi👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 3 ปีที่แล้ว

      Fatma yuko very defensive hampi nafasi ya kuuliza maswali

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 3 ปีที่แล้ว

    Nimempenda bure Fatma Karume. She is very brilliant. Mungu akubariki sana Fatma.

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 3 ปีที่แล้ว +19

    I mean just expressing what I noted nothing personal about her she is an accomplished woman in her field

    • @alexanderthegreat4439
      @alexanderthegreat4439 3 ปีที่แล้ว +1

      Very poor observation

    • @voodothurday
      @voodothurday 3 ปีที่แล้ว

      @@alexanderthegreat4439 😂😂 indeed alex, where was she when her father was on power?

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 3 ปีที่แล้ว

      @@voodothurday Chuo

  • @clarabayo1166
    @clarabayo1166 3 ปีที่แล้ว +2

    I admire Fatma. I love how Salama carried her self in this interview. Much respect to both ladies.

  • @zedon2047
    @zedon2047 3 ปีที่แล้ว +4

    Shanganzi ana foka sana tatizo... ila its a very great interview! Big Up Salama

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 ปีที่แล้ว +5

    Shangaz Kama Shangazi akeee ♥️♥️♥️♥️

  • @sabraali9941
    @sabraali9941 3 ปีที่แล้ว +8

    Shangazi bwana Shangazi mtata Huyu napendaga Sana interview zake 😂😂

  • @hafidhkhalid930
    @hafidhkhalid930 3 ปีที่แล้ว +11

    Kwa lugha nyepesi kuhusu tume tuseme hivi kesi ya nyani kumshtakia ngedere

  • @tumakassim6286
    @tumakassim6286 3 ปีที่แล้ว +3

    Salama leo unaonekana kama unaogopa ogopa,lakini usijali we mjumbe tuu unatuwakilisha

  • @jimkellyngige981
    @jimkellyngige981 3 ปีที่แล้ว +25

    Salama leo amepatikana...🤣🤣🤣🤣...pole my darling!!

    • @winfridamwigilwa2107
      @winfridamwigilwa2107 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahahaha. Kwa kweli

    • @bensonkaile9606
      @bensonkaile9606 3 ปีที่แล้ว +1

      LUDICROUS, mtu mzima kuulizwa obvious questions alafu ana catch feelings!

    • @latriciah01augustino67
      @latriciah01augustino67 3 ปีที่แล้ว

      @@bensonkaile9606 Shangazi wa taifa huyooo😀😀😀😀😀😀😀

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 3 ปีที่แล้ว

      you obviously did not see the interview well. hapa alopatikana ni huyo Shangazi yenu

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 ปีที่แล้ว

      hakuna swala la nani kapatikana hapo ni uchambuzi wa hoja tu

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford5120 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana Salama, Kwa Hii interview

  • @hopebruno2987
    @hopebruno2987 3 ปีที่แล้ว +4

    huyu shangazi anae akili sana na anajua jieleza yaaan naham interview iendeleee kumbukumbu zake na feelings ziko real .................................

  • @mwalimumage2450
    @mwalimumage2450 3 ปีที่แล้ว +4

    Salama 1998 ulikua form 3
    Acha kutufokea aisee😂😂😂

  • @elisanteephrahim7444
    @elisanteephrahim7444 3 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi is so smart!a brain to embrace and a book to read!
    Salama you’re Great!

  • @joshmangi
    @joshmangi 3 ปีที่แล้ว +7

    Best Interview Ever.

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 3 ปีที่แล้ว +2

    Shangazi yuko vizuri tungepata wwatu kama hawa kwenye serikali tungekua mbali..

  • @mshekuu17
    @mshekuu17 3 ปีที่แล้ว +1

    kumtambulisha Fatma kama “mtoto wa Karume” kwenye description is so wrong. She has her own achievements that supersede her biological affiliations.

  • @ikupaenock8114
    @ikupaenock8114 3 ปีที่แล้ว +5

    This taste different I love it ...keep it up Salama

  • @reenlis7665
    @reenlis7665 3 ปีที่แล้ว +1

    I liked the way she hits up the question. Please can you invite millard ayo

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales 3 ปีที่แล้ว +17

    it was tense moment when her Daddy conversation started

    • @hazolemwashemele4308
      @hazolemwashemele4308 3 ปีที่แล้ว +1

      It's annoying trying to defend your beliefs because of your lineage...

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 3 ปีที่แล้ว +1

      hahaha how defensive she became. Salama could not even start the question. intimidation much

  • @frank.z.ntakind463
    @frank.z.ntakind463 3 ปีที่แล้ว +17

    Salama: 1998 nilikuwa form3
    Shangazi: 1998 nilikuwa nishamaliza masters nishamaliza...
    ....Me: Okay that's it nyie wote ni wazee😁😂

    • @charlesjonas4412
      @charlesjonas4412 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 noma sana aisee wengine hapo hata hatujitambui

    • @shikikitabunda1177
      @shikikitabunda1177 3 ปีที่แล้ว

      Salama nae mkubwa kumbe

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 3 ปีที่แล้ว

      @@shikikitabunda1177 Salama age moja na kina FidQ

    • @joharindaro3075
      @joharindaro3075 3 ปีที่แล้ว

      Mm nilikuwa darasa la saba

  • @khasuab2067
    @khasuab2067 3 ปีที่แล้ว +1

    I met her in 2009 at chavda hotel in stone town when I was in my field attachment . She is so smart , beautiful with brain, I loved her eyeliners the way she make it I took an example from her. I loved her body language 😍❤️ ❤️❤️. @ salama thanks for bringing her.

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 3 ปีที่แล้ว +4

    Thank you salama enjoying your prog

  • @cleopatrasalha2964
    @cleopatrasalha2964 3 ปีที่แล้ว +1

    People should interview her more we learning i would listen to her all the time we need explore like these kule ig Ahsante salama

  • @wedream7506
    @wedream7506 3 ปีที่แล้ว +5

    Such an enlightening interview can we have you on a monthly basis shangazi

  • @mulangobaraza3706
    @mulangobaraza3706 ปีที่แล้ว +2

    One of my favourite of your interviews this far, Salama. Following from Nairobi, Kenya. Kazi nzuri unayofanya hapo na wenzako. Heko!

  • @selemantambulegeni3225
    @selemantambulegeni3225 3 ปีที่แล้ว +4

    Dah dada yangu Salama leo, hahaha umekuwa mdogo ghafla, anyways tupo darasani leo.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 ปีที่แล้ว +3

    Utadhani huo ndo ukweri. Kwakua nchi kuiongoza sio kama familia yako....ukiwa nje ya uwanja huona makosa ya wachezaji lakini ingia ucheze utajuta

  • @muhammadnassor2252
    @muhammadnassor2252 3 ปีที่แล้ว +1

    Ingependeza Salama kipindi chako unaowaalika ktk kipindi wawe wanatumia kiswahili ili kudumisha lugha yetu Haya mambo ya kuchanganya lugha ni utumwa

  • @metiliole7189
    @metiliole7189 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama umepigwa za uso! Duh shangazi majibu yak sio mchezo mchezo

  • @sameersabran5351
    @sameersabran5351 2 ปีที่แล้ว

    Such a interesting Interview from Fatma karume she is a big inspiration to the whole world . as well her goal is to maintaining justice should be balancing to equality and rightly 🙌

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 3 ปีที่แล้ว +5

    Kwenye tume huru nimempata vilivyo coz raisi ndio anawateuwa hao wasimamizi.

  • @yusuphsaid8920
    @yusuphsaid8920 3 ปีที่แล้ว +6

    A voice of a leadership!!! Respect it cause there is a responcebility for those who have a privilege to amplify the voice of those who might not Shangaz jus say

  • @emmanueljmwaisabula9346
    @emmanueljmwaisabula9346 3 ปีที่แล้ว +6

    Best Episode Ever 😍

  • @adriafurahamatemu6080
    @adriafurahamatemu6080 3 ปีที่แล้ว

    OMG, nimekua nikiipita hii show everyday but i can say it is the best show. You ladies are magnificent.

  • @adolphmarimbo7731
    @adolphmarimbo7731 ปีที่แล้ว

    Shangazi nampenda Sana
    Angekuwa lecture ,tungefaidi
    Yuko very bright

  • @dicksonjustin7160
    @dicksonjustin7160 3 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi unamadini mengi san big to you

  • @benbenedict2720
    @benbenedict2720 3 ปีที่แล้ว +1

    The system did not raise her. It is the people and taxes of the people. That is why the greatest thing she is doing is to stand up for the people who pay their hard earned tax for presidents' salaries. And the presidents are not paid to sit and do nothing, they WORK. So let's put down this narrative that the system has raised up Fatma. It is the people who are taking care of the system, and Fatma will be remembered forever as long as Tanzania is mentioned.

  • @francetimos5906
    @francetimos5906 3 ปีที่แล้ว +1

    Really mama teacher me I mean when I say teacher me because I did know about TUME HURU and I enjoy this interview Thanks SALAMA and mama

  • @willekippe2062
    @willekippe2062 3 ปีที่แล้ว +1

    Now this,,this us how u nail an interview...this is my number 1 interview in TZ ...HONGERENI

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 3 ปีที่แล้ว

    Salama naomba soma hii !mara zote nimekua fan wako sana.Ila leo umefanya nikupende na nizidi kukuheshimu kwa kua unasimamia kile unacho kiamini.Shangazi sio rahisi ku mu interview!!Anajikinga sana kuulizwa asiyoyapenda lakini umekua very firm and strong kuuliza kile ulichopanga kuuliza bila kujali muulizwaji anapinga kiasi gani!!
    Big up Salama

  • @narcosmaoze9486
    @narcosmaoze9486 3 ปีที่แล้ว +5

    Best ever interview 👏👏

  • @dulahayaam8727
    @dulahayaam8727 3 ปีที่แล้ว +3

    Salama naona unafanyiwa interview

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 3 ปีที่แล้ว

    Being attitude to shangazi isn’t her fault it’s inherency from her family kwahyo tumzoee big respect to salama kwa kuweza kwenda nae sawa Coz she’s very tough as she knows what talking about, all in all Shangazi ni smart sana na hawa watu ndo utuletee salama ili tusijutie bando zetu kwa kuchukua madini

  • @semanamitv898
    @semanamitv898 3 ปีที่แล้ว

    I most like it... Shangazi your among of trueth pples... Congrats both, amazing Interview😎👍

  • @josephgregory2162
    @josephgregory2162 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukisoma mbele bana unakuwa aware sana

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawawezi kufanya uchaguzi huru hata kidogo wanajuwa wakiweka uchaguzi huru ccm kwisha habari yake sana tu

  • @ibwaydigo
    @ibwaydigo 3 ปีที่แล้ว +13

    hahahahaha, salama leo umekuwa mpole, tulia uelekezwe hahaha

  • @salimalghannami3059
    @salimalghannami3059 ปีที่แล้ว

    she is absolutely correct 🙏 she looking for a peaceful change and next generation will rember her💐