Fix You: Chef Kile afunguka alivyoacha kazi na kuwa Mjasiriamali wa chakula, atoa siri za mafanikio
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 เม.ย. 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Kuna broo wangu mmoja aliuza nyumba akanunua gari ana scania 10 ukimwambia kujenga anakwambia mbeleni anamiaka 50 ndoto zake kubwa Leo Dada umekuelewa anafanana na broo love Dada kamgisha
daaaaah somo zuri sana sana la kuelimisha MUNGU awabaeiki saana saaaana
Host yuko vizuri,anachokoza mada vizuri na anauliza maswali direct
Asante sana
Du mtangazaji una macho mazuri maswari 👍🇹🇿
Madini Sana Chef Kile 🙏🙏
Kile akili kubwaaaaaz
❤ kipindi
Nice bro..!madini sana
Irene: Maswali mazuri sana umeuliza
Chef Kile na Irene nitawatafuta. Kile una madini.
In the end this was off topi, thought the interview was entrepreneurship and not relationship matches. Strange.
uwekezaji kwanza
Biashara nzuri sana
👊👍
Aje tena amenigusa sana hasa suala la kuacha kazi hadi kujiajiri safi nilipitiachicho kipindi
dADA KWANINI HUWEKI HATA NAMBA YA SMU?
Unasoma vitabu vitabu gani Kaka nilitaka na mimi nivisome kwa sababu na m ni mpish
Work smart not hard 🤔
Good point ndyo iyo kama kitu kipo ndani yako utaweza tuu kama hakipo ni hakipo
Nakupenda kile
huyo jamaa aalokwen tena ana mambgo mazur saan saana
Bro uko vzr sanaaaa
Dada vipi mbona unalazimisha kwenda kwenye mambo ya mapezi wakati jamaa ana darasa kubwa na sio wewe tu wandishi wengi munafanya hivyo
Sns namba 1
Kamugisha wewe,Acha tu dah
Nakuelewaga sana
Kiukweli nimemsikiliza huyu mzee hana hoja nzito ambazo zinaweza kukuxpire katika maisha,ety anakwambia mfanya kazi alieajiriwa anaweza kukopa then akajenge what😮
Pagumu apo
@@BigZhumbe Sana bora angeniambia afanye tathmini ya biashara fulani kisha akakope ili afanye biashara alioitathmini hapo inaingia akilini ila akakope ajenge mkopo unaisha nyumba haijaisha na hela hana kitaalamu itaitwa aje hiyo
SNS hamna vitu vya maana zaid ya habar za kina giggy money na rushyner wa manara leten vitu vya maana🤣 vya maana vikiletwa sasa comment 15 24hr ago viewers 50😂alaf za kina mwijaku koment 200 dakika 20 viwers kibaoo, watanzania nin mnachotaka embu kuweni wawazi mnataka nin 🤣🤣🤣
Upo sahihi ndugu, yaani binafsi hali hiyo hata mimi huwa inanifikirisha sanaa!!!
😆😂😆