Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Fatma Abeid Amani Karume ni mtoto wa kwanza wa rais wa sita wa Zanzibar na pia ni mjukuu wa rais wa kwanza wa Zanzibar na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 na pia ni mwanasheria hodari, na siku za hivi karibuni amekua mstari wa mbeeele kupaza sauti kwenye masuala ya kisiasa hapa nyumbani Tanzania na ni kitu ambacho kimempa umaarufu mwingi kwa wananchi na kupachikwa jina la Shangazi, yeye ndo SHANGAZI wa Taifa.
Kuzungumza naye imekua kama mtihani kiasi maana yeye ni wakili na sote tunafahamu jinsi ambavyo mawakili wanavyojua kuongea kwahiyo ilibidi nitulize nywele kweli kweli ili tuweze kwenda sawa, mwanzo ulikua mgumu lakini tuliweza kutuwamisha maji baada ya muda kiasi na natumai utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza. Pia ilikua emotional kwa kiasi flani maana habari ya ofisi yake kupigwa bomu mwaka 2017 na kupigwa risasi kwa aliyekua rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu siku kumi tu baada ya tukio la ofisi kutokea Dar es Salaam lilimfanya awe emotional. Na kama utakua unakumbuka vizuri Shangazi ndo aliyefuata kuwa rais wa TLS baada ya hapo.
Zaidi mi nilitaka kufahamu haswa nia na madhumuni ya kupambana kwake na kutonyamaza kwake kwenye masuala yote ya uongozi na serikali. Na kama pengine na yeye ana ndoto za siku moja kuwa kiongozi, au pengine leo simu ikiita akapewa cheo, je atakichukua? Na nini anataka, nini angependa kibadilike? Huwa anapokea simu toka nyumbani na kuambiwa pengine apunguze kelele kidogo? Au yuko huru tu kuongea? Na mambo ya familia? Na je kuhusu Babu yake na enzi za ASP? Anazikumbuka hizo enzi? Na kuhusu shule je? Alisoma wapi? Alikua smart alipokua mtoto? Anamkumbuka Babu yake? Lini mara ya kwanza alijua kama yeye ni “special”? Na kuhusu mapenzi je? Mara yake ya kwanza kumpenda mtu? Alikua nani? Alikutana na mumewe akiwa na miaka mpingapi? Na kwao je wako wa ngapi? Na yeye ni wa ngapi? Shule ipi alienda?
Kuna suala la yeye kuzuiliwa kufanya kazi pia, licence yake imezuiliwa hapa, pia nilitaka kujua sasa anashije? Na kama ana watoto? Yeye ni mama wa aina gani? Akiacha kuwa Twitter huwa anafanya nini? Kuna mambo anayopenda kuyafanya ambayo sisi hatuyajui? Na kama kuna uwezekano wa yeye kujikita kwenye siasa? Maongezi yalikua marefu na machachari rafiki, na matumaini yangu utapata majibu ya maswali ulokua unajiuliza juu yake… Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - บันเทิง
Honestly, Salama unahitaji pongezi mnooooo, Shangazi yupo mbali kidogo kwako, lakini nimejifunza kitu kwako Salama... Confidence is all that matters...
43mins
Anajitahidi lakini hana kiwango as professional journalist (host) hasa ktk masuala ya kisiasa,.kiuchumi etc.
I would really listen to Shangazi the whole year and I wouldn’t get tired😁😍❤️ one of the best interviews ever salama👍🏼
😍😍😍
4sure 👍👌
Straight up facts ✊🏿
I wish shangazi uje uwe raisi I know watu hawatarajii but uko bright and you deserve a Chance but guess what wabongo thinks mwanamke hawezi kuwa raisi SHANGAZI you are the bestest
Uwiii mpka nimeona muda mfupi Shangazi Black is Black ⚫ and White is White 🥰🥰🥰
why anaitwa shangazi@onlymeruky
Shangazi is a strong, independence and intelligent woman..hopeful Tundu Lissu if elected is going to appoint her as AG of Tanzania.
This woman is marvelous, smart, intelligent 🧠. More blessing to you Fatma Karume. I would love to meet her one day and get the greatest wisdom. More blessing once again. 🙏🙏🙏🙏🙏
My Darling... Shangazi is Phenomenal can't get enough of her. Asante Salama
me too
My darling ndo jina ilo nimelishika naenda kuliandikisha
Masha Allah mko vizuri maongezi yenu ila jamani tusijisahau na hijab au kujisitiri as nyie ni wanawake wa kiislam Kuna leo uko hai also to remember na kuna kesho akhera Allah atatuuliza kuhusu kujisitiri.Nami pia ntaulizwa kuhusu kwanini sijawakumbusha?.Kwahilo nimetimiza wajibu wangu.
Kwani wapo uchi hapo? Unafikiri kufunika mwili mzima ndo kufika mbinguni?
Nimeangalia this interview more than 3 times!! Wow shangazi hongera we need people like you (wanawake tunawezA sana sana and Salama hongera sanaaaaa...... Tunamsubiria M. Sarungi 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💯💯💯💯🙌🙌👌👌👌.. Unatupatia vitu tofauti sana sio kila siku wanamuziki, na wapenda kiki tumewachoka but tunashukuru sana Kutuletea Wasomi yani natamani niandike sana kusifu but wow! Well done Salama endelea hivi hivi.
It's hight time Tanzania kuwe na independent candidate I really wish to see you in action shangazi
am in lov with this comment section... looks like watu hapa ni wasomi na waelewa kinoma...... no negativ vibes ..... 👊👊👊..
shangaz is a real a pacage✔
Shangazi is the best . Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri and best thing is that she is confident and free to speak whatever is in her mind.May Allah keep you long time Shangazi
Salama you look soo exhausted when you end tha program this mother is tough
I can't get enough of shangazi.Waliodislike wana vijiba ni wivu tu.
Salama we need Hon.Jakaya Kikwete on this show
Agreed
Mnatuchanganya mnapo changanya hicho kiingerza,tumieni kiswahili na sisi tuelewe
Ask and ye shall receive!
So amazing, I like her reasoning abilities. She is next level. She is really independent na ndio maana kasifia hata maswala ya korosho...
I really like this lady and I think she's deliberation of Tanzania huyu dada ni shujaa
Yani your conversation is like a breath of fresh air wallah! I LOVE IT! 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 we stan your brilliance; you and shangazi!👏🏽🙌🏽 we love to see it
Salama toka nimeanza kufatiliya yah stone town hii imevunja record kwa mimi naomba jaribu marakwamara kutuletea watu wengine kamahawa ,mana ameongeya mambo ambayo sikufkiria salutu shangazi kama anavoitwa natumai inchi imeelimika kwawaliyo fatiliya.
From FRANCE.
Shule hapo ni mwake mwake hapo salama umejitaidi hapo ni kilimanjaro na kichuguuu. Eeee mwanamke wa shoka.ila namkubali sana huyu shangazi napenda sana amekaa kishule zaidi. Siomropokaji manenoyake niyakisomi zaidi. Big up shangazi.
Itoshe kusema kwamba Nimependa confidence 🤣🤣
I could listen to Shangazi all the day long....the fluency, the poise, the elegance, the thought process.....🙌🙌🙌🙌🙌. You are simply the best my darling
Poise ?! 😐
@@Nyamisango yes my darling, you have any problem with that?
Atieno Chimba 😂🤣😂😂😂 mambo ya darling na poise ni mengi .. njaa
Best Interview ever,
Salama please tuletee, Halima Mdee, Zitto Kabwe, P.Funky Majani, Majizo na Ester Bulaya.
Shule haidanganyi bhana! Hongera Fatma, hongera Salama, i know how difficult kum' interview laywer tena smart laywer kama shangazi! Bonge moja show! My notification bell is on, i cant wait for the next show!
*lawyer instead of laywer
@@karimally5564 Yoh the best browski! Asante!
You are welcome brother 💪🏾🙏🏿
Salama kazi nzuri ila leo umepatikanaaa she is a little bit difficult to dominate.
She is soo smart! I don’t wish this interview to end 😘😘😘😘😘😘😘
Me too
Kweli Shangazi dharau Kwa wanawake TZ ni tatizo kubwa.
Hii interview ilikuwa ni ya wasomi tu. Kama mm apa hatupati kitu.
Hi salama.!My take notes:: 1.. kipindi chako nikizuri na InshaAllah kitazidi kuwa kizuri but on the following conditions...(a) ukileta watu kama shangazi muda uongezeke na uanzishe utaratibu wa pre-advert ya mtu unaefanya nae interview ili watazamaji tupate nafasi ya kutuma maswali.( to make it more involving utakua unachagu ktk maswali swali bora na unaweza toa zawadi).
(b) ktika maswali unayouliza tafuta segments ya sides ( like simba/yanga or chama tawala/ upinzani then toa quiz kuhusu upande atakao chagua eg Nani alikua mfungaji bora wa timu yako mwaka 1990).
2.Tuletee viongozi wa dini kama sheikh ponda, kipozeo, gwajima na uwe na yale maswali tata kuhusu dini. Ni hayo tu..Nakupenda sana.
Uliza maswali kwenye page yake IG, hua anatangaza before mtu atakayemleta kwa interview
U HAVE A POINT. GOOD COMMENT
Shangazi, you’re so knowledgeable! Much respect
BEST INTERVIEW EVER
Shangani kasema instagram ni upuuzi ila kweli ni upuuzi kabisaaaa
Instagram umbeyaaa tu vichambo vya kina juma lukole, au mwijaku
18:39
salama: umesafiri nchi ngapi?
shangazi: sipendi kusafiri kabisa, nimefika nchi 20 😁😁😁😁😁
Hahahaha... umenena kiongozi.
Mimi nilichoelewa kulingana fact alizozungumza..yawezekana amefika hizo nchi zote Kwa sababu ya kazi yake so imemladhimu kusafiri
Salama mlete
Halima Mdee,
Ester Bulaya,
Ester Matiko,
Catherine Ruge,
Jesca kishoa,
Maria Sarungi,
one of my best interviews period...... i really really enjoyed it...i was most impressed by Shangazi ....Salama thank you for this
Fair country, fair justice, fair leadership, fair freedom of speech most of all love of the people not a love of a political party, that comes second.
Shangazi yai lake linatufokea.... But one of the best show congole Salama
You deserve to be a leader.
What a brilliant interview! So much to learn...I love it!
This is the best and enjoyable interview ever. Shangazi is awesome. ❤
Wooh....greatest and marvelous interview, could i wish all woman in Tz have widely knowledge like you Ma'am...!
Umejitahidi Sana Salama kwenye hii interview. Kwa kweli, nimejifunza mengi toka kwako.
Huwa nafuatilia Sana, big up!
David, Kampala.
Kiukweli hii ni bonge la interview. Nimepata darasa la kutosha. Sasa tuletee Lissu, Maria Sarungi, Halima Mdee, Lema, Heche, Mbowe, Zitto, Sugu na Mnyika
Shangzi mkubwa lakini mtamu
Daah! Shangazi natamani kuwa Kama wewe ukubwani... Darasa huru na lenye madini adhimu.
Hongera salama na kikosi kazi chako kwa kutuletea shangazi #akilikubwa🥰🥰🥰
The best interview ever💪
I can't get enough on it
Hii ni lecture room 😂🌍🔥🔥🔥🔥
Mlete shangazi Maria Sarungi, Halima mdee, au Catherine Ruge...
Kwa Maria Sarungi nimewaza kama wewe!
Interview ni 50% english and 50% Kiswahili
Maana yake NI mtanzania nusu na mzungu nusu.
@@ProphetsweetbertHoly 😄😄😄😄
Salama akiri mingi sana dada yangu ..Yaani nafurahi kila ninapoangalia vipindi vyako
Aunt salama ahsante kwa kumleta shangazi...hahaa NICE ONE...very nice.
Salama you are my ICON kwenye Interviews. You are excellent!
Huyu mama anafaa hata kuwa rais
U surely read my mind
Sure
Shangazi I wish watanzania wote wakuelewe
The best interview ever ....big up Salama...
Was nice to have b hear live from shangazi she is the best yuko mbele dakika mbili
hiiii ya leo salama wamekuonea sana ebuu naomba mtuleteee tundu lissu
Hivi unajuaje vyote hvyo na miaka na nani ni nani🙌🏾shikamoo this is life
Hii Interview was very powerful for both us viewers as well as you hoster, Shangazi is one of the kind ... great work 👏 though it was very challenging we need more of this kind Interview that really helping us to develop further.
This is an amazing interview ever!
very good discussion enjoyed the talk
Hongera sana dada Fatma Karume kwa juhudi zako za kunufaisha demokrasia Africa na hasa Afrika mashariki.Nakupenda sana kwa misimamo yako thabiti hasa wa NEC.Kwangu naona Watanzania walitapeliwa wakati wa kuunda hiyo NEC.Nimefurahia sana hicho kipindi.
This was lovely thank you. Salama hiki kipindi ni bomba sana endelea hivyo hivyo. Ntafurahi nikiona watu kama kina Mama Mary Rusimbi, Mama Mongela
Nimeipenda sana Salama wa Zenji mmekutana hata kiswahili chenu kipo so sweet.
Shangazi na kukubali
Huyu ni mjukuu wa karume na mtoto wa amani karume lakini ameamua kusimama kwenye mstari wa Haki
Nimependa aliposema anashona, anapika udi, anatengeneza sijui kitu gani. It's very inspiring, love you fatma.
Wow i love her she's a total package.....Tunajifunza mambo mengi sana Thanks Salama you're the Best......mlete Seven Mosha/Moshi pia
I love this lady so interesting and very intelligent 🤓 ❤️❤️
Powerful ladies and very smart.
Shangazi hayuko Fair na hawezi kukubaliana na uwezo wa Rais wetu Magufuli. Hakujawahi kutokea Raisi kwa Tanzania ambaye anaewasikiliza wananchi wake na kiwafata walipo na kufatilia shida za wananchi wake. Dunia haijawahi tokea tangu kuumbwa wala haito tokea kuwa binadam matatizo yake yataisha yote. Kwa hio ifikie sehemu watu wajue ku appreciate kazi za viongozi wanaojitahidi na kuletaabadiliko kwa wananchi wao. Kama alivosifia mambo aliyofanya babaake wakati alivokua madarakani basi asifie na wengine kwa jitihada wanazozifanya. La mwisho ni sisi wananchi ndio tutakae amua kiongozi gani atatufaa.
I love you shanganzi, napenda unavyowaza positive , Nimeona mda mdogo san kumsikiliza . Nic interview salama
Hv Nan anatoa vyeo vya ustar ebu tuwape nafasi watu Kama Hawa tuwe na bright generation bingo ni Maliki and all sort of stupidity SALAMA THANK YOU FOR THE INTERVIEW DARLING
The best interview so far. Shangazi yuko real na ana ufahamu mkubwa sana zaidi ya nilivyodhani
Salama is on another level, I just love how she put u where she want you to be
Shangazi kama shangazi lakini mtoto wa kishua😜
One of my great interviews ever..shangaz we love you 😍
Inaonekana kama Salama yuko in awe ya interviewee. Naye anajifunza yaani which is a good thing really 'cause ana grow professionally.
Huyu ndiye damu ya karume haswaa'siyo kama yule kakaye mchumia tumbo
Hajakwepa,ila Kiingereza aisee! Nimeyapenda.
The interview was great ❤
Episode bora kabisaa na shangazi....kudos salama na team yako.
I looove Fatma, she is adorable Zanzibari Tanzanian
The best interview ever 💪
Hungera shangazi ingefaa muda uongezwe bonge la interview salama unaweza na utafika😘😘😘😘
Safi sana shangazi,,,tuletee na Maria Sarungi,,,faraja nyalandu
Kweli kabisa
We need such kind of interview
Love you so much Shangazi
May Allah guide you more and protect you
Amin
Leo umekua kwenye lecture session!😄anyway it was a nice interview
This is the best interview ever
Shangazi you said it all 📌 thanks (I will change the judiciary)inshallah we are praying for that too🙏🏾😍 Salama Keep up the good job
👏
Mm nimefuraah san kuona crush wang wawil kuwa pamoja, nawakubli san na nawapenda san, nawatakia more success
This is really A Huge interview.
Nawapongeza sana wote interview nzuri sana ningemuomba shangazi aendelee kuelimisha umma wa watanzania ili sehemu kubwa waweze kuelewa au kujua haki zao za msingi kikatiba
Big up Salama tuletee wengine wenye upeo wa uelewa caliber ya shangazi
Thanks🙏
Hahaha yan huyu dada eti anamsifia baba yke alikuwa raisi mzuri
Two G. O. A. T. S
BIG OF ALL THE TIME SALAMA😍
I love you so much shangazi kwa uelewa wako. Nimekupenda bure kwa hoja zako nzito. Kabla ya hapo nilikuwa simuelewi. Salama ubarikiwe Sana kwa kutuletea huyu mtu.
26:20 yaani hapo kwenye mfano wa pressure cooker na maandamano ndio kanikosha sana Shangazi.
Eagerly waiting to see Generali Ulimwengu
i really like the way Fatma ana respond with confidence
Shangazi yuko vizur, Mungu ampe maisha marefu