Salama Na RIYAMA Ep 32 | UTAKWENDA UTARUDI Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu.
Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho na uzuri ni kwamba aligundua mapema na akafanya ustaarabu wa kutafuta kitu chengine cha kusogeza maisha yake.
Ule usemi wa Mungu anakupa unachostahili na sio unachotaka hapa umetulia mahala pake. Imagine kutoka kutaka kulazimisha kuwa Khadija Kopa (ndo muimbaji anayempenda zaidi) na kuwa mmoja wa wasanii wa filamu hodaaari kabisa hapa kwetu na kama SI NDIO MUIGIJAZI BORA WA KIKE WA FILAMU hapa Tanzania.
Heshima zangu za dhati zinaenda kwake kwa kukubali kuja kuongea nami na kunielezea kinaga ubaga juu ya ukuaji wake, maamuzi fulani fulani ambayo ashawahi kufanya maishani mwake. Elimu yake, alisoma? Shule ipi? Alikua mwanafunzi wa aina gani? Kuhusu familia? Ana mtoto? Na pia tulizungumzia filamu na maisha yake kama kioo cha jamii. Majibu yalikua mazuri na marefu na kwa hilo namshkuru sana yeye kwa kuweza kuja na kuongea nami huku mume wake mpendwa akiwa anamgojea kwenye parking lot.
Yangu matumaini uta enjoy maongezi haya kama nami nilivyo enjoy kuongea naye.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Huyu mwanamke nampenda mpaka najishangaaaa hakika namuombeaga kilaa mala #riyama nakupenda dadaang😔😔😔
riyama mm nakupenda sana pia napenda unavyo ongea mashallha rafuzi mzuri pia watu wengi wananiambia nimefanana na ww natamani siku moja tuonane
Kazi nzuri sana salama natamani siku moja na wew ukae upande wa kuhojiwa tukujue my sister i love
Fungu la kukosa best movie ever! 🙌🙌🙌
Na kupenda sana dada Riyama uko vizuri mama mungu akupe mutoto na mumeo..inshaa Allah..mupende mutoto wamumeo jombaraka may
Riyama nampenda jmn huyu dada anajua kuigiza mpk anakera awee anajua asee ila bongo move mnafeli wapi soko lenu linazidi kushuka kila siku pls mnatuangusha jmn tunawapenda mno
Hivi kwa majibu ya huyu dada Riyama una haja kumuuliza Elimu yake ??? Binafsi naridhika sana namna anavojibu
Hongera lihama
Thank you guys.. for inviting Riyama ,
she's a legend and very good entertainer
we love her so much ...❤️💚💛
Nakupenda saana mashallah
Nawapenda sana salama and riyama from
Nafurahia sana interviews zako Salama, na kuna wakati nakuona wewe mwenyewe unazifurahia kabisa, Mungu akuzidishie
Nakupenda Sana pacha wangu
Nawakubal sanaaaa
Nakupenda jamani unahekima sana ungechaguliwa mbunge au mkuu wawilaya unafaa kabisa
Nilikuw naipend hyo fungu la kukosa, mama mateso
Sasa nyinyi wawili vile nawapenda buree na sana😍😍😍
Nakupenda riyama Allah akuongoze
My lovely sister 😘❤️
I love salama bila sabb ♥️♥️♥️
salama tunataka na ww
Salama nimependa umebadilisha style yanywele, pendeza
I love riyama....beutiful
🙏🙏🙏😍
Riyama 🔥🔥🔥🔥nampenda sana
Nampenda Sana huyu dada
Leo Kiswahili Safi sana
nasubir dada Salama nae afanyiwe interview ...
Sasa nani atamuuliza maswali
@@philemonmgasha3670 zamarad😂😂😂😂😂au millard ayo😂
Scola mpole nipo hapa
muhamishe studio lilio ya magari cjui alteza hio inalia kinoma
Mama teso
Nampenda riama
Eti Leo komando
Nina mupenda jaman riham ninakupenda bule
Wazenji wamekutana
Riyama wew ni kipaji rare kbs yaani Kuna bongo movie afu Kuna wasanii Kama riyama, monalisa, single mtambalike, Joan river
Hapo ningeakikisha hadi interview kuisha hizo fruit zimebaki mbegu na maganda
😂😂😂😂😂
😂
🤣🤣🤣
🤣😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣abee
Salama:Swali la kipumbavu ulilowahi kuulizwa
Riyama:napenda kuvaa nguo za ndani au hapana
Salama after dakika moja,kwahyo hujawahi kutoka bila kutovaa nguo ya ndan at mara moja?
Mimi:🙄🙄🙄
Yale yale😂😂😂
NAOMBA UMHOJI SEBA NA JEPLAS ( MISUKO SUKO)
Fungu la kukosa ni movie nzuri sana
haaaaaa
Fungu la kukosa ni miongoni mwa filamu bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania,
Fungu lakukosa was the best riyama
Nice 🔥🔥👌
Ally kiba
Ads km zote
Nikweli liyama ilemvi ilikuwa nzuli sana namlevi wako dimoso sijui nae alipotelea wapi
diamond platnumz kisa alikukataa au
Atakupenda wewe
Riama adi Leo twa kuita mamateso yani kwetu Burundi twakutwambuwa kwajina la mamateso twa kupenda sanaaaa
Wakat anamtaka ulikuwepo
@@hawaynatimam982 ww unanitaka nn jmny muoneni huyu ananitaka
Kweli riyama fungu la kukosa ni film bora.from kenya
Napenda Sana nyote hamukupaka makeup wala mawig inapendeza sana
Ao ndo wazanzibar bwana
Wallah Wabillah Da.Riyama huwa nakuiga unavyo ongea mpaka nimekuwa addicted ....na watu wanapenda ninavyo ongea hawachoki kunisikia
Yani I feel you namna ulivyotoa hizo hisia kutoka moyoni kabisa...
@@khalidshabani7600 kwenye kutoa hisia mie nipo vizuri hahahahhaha
Hahaaa... Nakubali yan I feel you... kutoka kwny uvungu wa moyo kabisa
Salama muite shekhe mazingeeee
Love u much more Ryama Ally😘😘😘God bless u abundantly
Kwa hiyo salama hupo kikomando hapo""" ujavaa chupi unasababisha tuanze kukuchora ki feeling jinsi ilivyo na uzuri wako huo daa,,, kitu kinakula upepo tu hapo ulipo😢
😂😂😂😂😂Leo komando ! Gonga like team komando
Nimechelewa ila nimefika kw wapendwa wngu ❤️❤️❤️💓💓🇰🇪
Nampenda Riyama saaaana pia napenda ndoa yake na bwana Riyoo
💝💝💝💝💝💝💕💕💕🤝
Safi ,Kiswahili safi. Mungu awabariki mnajielewa mpaka raha.
Salama you're number one kwenye interview, nampenda sana Da Riyama umefanya vizuri
Mie ndo mana sitizami michezo ya kibongo maana utakuta kama hivyo director yeye mtunzi wa story yeye actors yeye kamera man yeye script yeye Make-up yeye almuradi shaghla baghla na unatizama movie mara sauti hamna au sauti ndogo lakini sauti ya mziki iko juu
Hata Hollywood walianza somewhere,wape support ipo siku mtaenda cinema kuona tollywood movie
khale kichambo alikwambia nani kama Hollywood walianza hivi?
Salama una maswali mazuri Nampenda sana Ryama hata salama love sana big up.kazi iendelee
Mwamba MUSSA BANZI 🔥Long time snaa sjaskia ili jina
Mbio mpaka kwa fungu lakukosa 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Salama napenda unavyofanya kazi zako.mm pia mzaliwa wa Zanzibar. Hahahhaa nakupenda bure
Ujaulizwa
Hahahaaa pilipili usiyoila isikuwashe
Lakini Kweli.ujaulizwa 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
When pure talents meet,what you have seen is what just happened,beyond dopeness INTERVIEW
Salama he is not man she is a girl
nakupendaga sana liama
Kiukwer nampenda sana jesika yaani nikiwa naangali salama afu nichelewe kumuona jesika yaan nalalamika mbka kwa baby wng namwambia baby jesika kachelewa kuleta chakula
Nakipendaa sana hiki kipindii....nakuenda sana salamaa unafanya kweli hatari
SALAMA INTERVIEW ZOTE AMEVAA BLACK ⚫ 🔥🔥🔥 Kama CASTO DICKSON na Vipensi Kwny SIZ KITAA
Nawapenda wazanzibari wanaustaarabu wa kuonea hasa kiswahili chao
Ahsanteee nasi twakupenda
Shukrani karibu zanzibar
Wabaguzi hao hatar usiombe
Tunakupenda 100%
@@veeJesus.... Nani amekubagua wewe!!??
umenifurahisha kwenye kuimba adi mimi napenda lkn pumzi sina😀
Salama jamani nakupenda, miss you kwenye bongo star search na ile mikuki yako unayo choma watu ukweli kama hawajui kuimba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani I really miss such moments
Nashukuru kwa kuleta riyama nimefurah sana
Assalam aleikum salama uko na sauti poa sana una umakinifu wa kuuliza maswali Mimi na kukubali sana
Riyama nakupenda
Honestly watu wengi wanafanya interview na celebrities ila salama ur giving us the best ur questions are interesting to me and many,ur the best....... love u riyama ur the girl am looking up to
True
True
Ur correct zee
Hupewi mtoto hospitali mpaka alie
Yaani dah! Riyama tunakupenda mno mungu akuhifadhi my dear
😂😂😂😂😂 mawigi kama ndugu yake jack chain
Salama na SIMBA tunamuhitaj diamond platnumz
Nimexhelewa sana jamani kukijuwa iki kipindi
One day I will be there if Allah wishes on SalamaNa
this is my best interview.
Unanimaliza riama ukihadisia mana nimena mchezo mtam chizi
Nakupenda sana Riyama
Mama mateso best wife ,jamani, mm kiukweli nakukubali sana Rihama, wewe salama ndo hata usiseme, you the best man trust me
Naipenda sana hio mama mateso
ninakukubali sana riyama ally
Mchawi alikua bando now nimerudi kutazama zote
Salama utuletee Dr. Kumbuka pls
Nampenda rihama walah kwanzia uigizaji mpaka uongeaji love u
Nakukubali sanaa
Tuletee na diamond
Odo wangu riyama
Jamani uyu riama namppendasana nitampata wap nnampenda kama mama angu
Salama umekamatika
salama kwenu wapi
Hakuna kama fungu la kukosa....
comando mie wa kila cku
Mbatata wazanzibari mmekutana hicho kipindi ni kizuri kinamafunzo tunahitaji hata watu tofauti wawe kwenye kipindi!!!
Marudio ya hii NI lini jamani ilinipita