Safari yangu kuja USA na kuishi miaka 15 (Njia niliyotumia)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ส.ค. 2022
- Safari yangu kuja Marekani na hadi kuwa raia wa Marekani haikuwa rahisi. Kujua njia sahihi na kuzifuata ni muhimu sana ili kuweza kufanikisha ndoto zako.
Hii ni moja ya sehemu kujua safari yangu ya ughaibuni
#ebmscholars #ebmswahili #ebm
Hongera sana pia Asante kwa kutuhabarisha na sisi.
Swahili was born in Tanzania. Thank you for spreading our native language from East Africa Community to the world through your channel. Ubarikiwe Sana
Nataka unisaidie kunijazia na Mke waaangu
Hakika Mungu ni mkubwa ndugu zangu!!!__sijamalizia vidéo iyi na tayari nimesha furaiya mno
This is very inspiring thanks. Mwaka huu nnaenda abroad amen
Boss hizi video fupi ndio nzuri sana, kuliko zile za masaa kama unaangalia muvi. keep it up..
Mungu akubariki, love from Kenya, Kilifi County
Huyo ndiye mhaa original
Nice fact kaka God bless more
Shukraan sana kaka kiukweli anaetenga muda wake na bando lake la kuunga Unga kwa ajili ya ku kuskiza wewe wala hawezijutia
Ubarikiwe sana..
We learn from you you're our mentor 👌👌we follow you this is kenn della
Because of this you got a new subscriber from Kenya.thank you sir
Brother EBM mimi ni Tanzania nipo Arizona USA naomba email yak pls kuna story nataka kukupa nafikiri itakuwa video poa sana. Nashukuru
Kiongozi pole na majukumu,tufanyie mlejesho wa canada tafadhali
Yani me elimu yangu high school kwasababu chuo nlishidwa kumaliza kwasababu ya Ada
Natamani kusoma abroad lakini hata sielewi
Hongera Sana nakumbuka ulikuja kuniaga na uliniambia ndoto zako zinaenda kutimia
mungu ni mwema na pia ndiye mkuu .. ndio maana huwa unazilainisha point zako vizuri hivyo kumbe wewe ni mwalimu stadi... kongole kwa kazi Yako kaka.
Great video brother!
Kaka unasaidia sana jamii mungu akubarik na akuzidishie moyo huwo huwo inshALLAH
Mungu akuzidishie EBM🙏🙏ubarikiwe sana
Asante sana kwa ku share story yako!
Always inspired. Asante.
1994 nilikua ndio nmezaliwa👌 hongera bro
I have really learnt a lot from that information God bless you 🙏. I pray that God grants me an opportunity to see that beautiful nation.
Great video...
Nataka unisaidie kaaabisaaa
Halooo nimependa sanaaa na nimetamani sanaa
Je kama umeishia daresa la saba huna chet chochote unaweza vipi kwenda usa 🇺🇸
Shurkn sana Anko kuendelea kutu amasha Mungu akubariki sana 🙏
Hakika Mungu NI Mwema ,Barikiwa
Asante sana kwa Material
Habari yako Mheshimiwa Ernest
Hongera sana bro
Natumikisha wifi
Asante sana kwa kutumia lugha yetu
Mungu akubariki Sana nduyangu mimi Ni murundi niko South Africa kama kwasasa niko namywaka 15 na Pambana nguta futamaisha ila bando naomba usaidiwako ilaniweze gutoka namimi nashukuru Sana mungu akubariki
Vizuri mkubwa wangu.
Kwa nini niende marekani ? Mwenye uelewa mzuri afunguke tujue
God bless you more than your plans
Iyo Application
Mke nimemuacha Burundi 🇧🇮
Shukran!
Hongera mkuu nime kuina ukiwa ume vaa kombati za kijeshi Nika jiuliza sana kwamba uli fikaje? Kongore sana mkuu
Niambie nitakupataje Ili tuongee kwa upeo
🔥🔥🔥✍🏻✍🏻✍🏻
Merci beaucoup
Nataka ukija apa kenya nataka tuonane unisaidie kunijazia
Unaozoefu wa haya mambo
Daah! Hiyo process uliyopitia ni kama mtihani wa mathe hadi nakata tamaa
Mi ndoto zangu niingie Canada 🇨🇦
Go to Vancouver
Alakini ivi sasa naishi Nairobi
Hii nchi waafrika ni kwao sababu kila kitu kimejengwa na rasilimali za waafrika, mkuu hapo ulipo unakula matunda yako na sisi tutakuja kuishi ni kwetu huko
Samahan kaka hivi mnalipwa na hao wamalekani mpak mnatushawishi tuende or nyiny mnapata faida gan
MUNGU akutunze, ni watu wachache hupenda kuwasaidia wengine. Endelea kuwasaidia vijana wenzio
Maashallah nimekuelewa sana broo je napataje namba zako? Pls pls kk nahitaji tuongee zaid kwa hisan yako
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Kwa Niaba ya Channel Yangu na team Nzima ya Dr Tobias chini ya Eagles Production Nina wapongeza Kwa Kazi Nzuri,🇿🇦
Asante
Kaka huyo mwalimu, mnunulie Tu hata kitambaa cha kushonesha.
Matokeo ya Flta hutoka lini?
2005 nipo darasa lasaba
Mutusaidie nasi pia tuwefikauko
Ivi nataka nirudie tena kujaza iyo Application
Email yako naitaka ndugu yetu Ernest Makuriro
Nataka namba yoko plz kaka
Wacha kudanganya watu. Nani akujui Unauza Mandazi kariako😂😂😂😂😂
Kuwa na Adabu bac..jiheshimu!
Uza naww
Ukisha shinda green lottery ukisha fika marecan wenyewe wanakutafutia kazi
Unatafuta mwenyewe
nakupataje kwa namba ya WhatsApp mbona sikupati
Nimekutumia sms whatsapp kujua utaratibu wa kupata visa ya Canada hujibu
Asante kwa somo
Hongera mkuu nime kuina ukiwa ume vaa kombati za kijeshi Nika jiuliza sana kwamba uli fikaje? Kongore sana mkuu
Hii nchi waafrika ni kwao sababu kila kitu kimejengwa na rasilimali za waafrika, mkuu hapo ulipo unakula matunda yako na sisi tutakuja kuishi ni kwetu huko