Safari yangu kuja USA na kuishi miaka 15 (Njia niliyotumia)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ส.ค. 2022
  • Safari yangu kuja Marekani na hadi kuwa raia wa Marekani haikuwa rahisi. Kujua njia sahihi na kuzifuata ni muhimu sana ili kuweza kufanikisha ndoto zako.
    Hii ni moja ya sehemu kujua safari yangu ya ughaibuni
    #ebmscholars #ebmswahili #ebm

ความคิดเห็น • 77

  • @ElebertBoniface
    @ElebertBoniface 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana pia Asante kwa kutuhabarisha na sisi.

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 ปีที่แล้ว +4

    Swahili was born in Tanzania. Thank you for spreading our native language from East Africa Community to the world through your channel. Ubarikiwe Sana

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nataka unisaidie kunijazia na Mke waaangu

  • @Wayne111
    @Wayne111 ปีที่แล้ว +5

    Hakika Mungu ni mkubwa ndugu zangu!!!__sijamalizia vidéo iyi na tayari nimesha furaiya mno

  • @Brentswifey
    @Brentswifey 2 หลายเดือนก่อน

    This is very inspiring thanks. Mwaka huu nnaenda abroad amen

  • @mashulano4362
    @mashulano4362 ปีที่แล้ว +5

    Boss hizi video fupi ndio nzuri sana, kuliko zile za masaa kama unaangalia muvi. keep it up..

  • @casillascicero7944
    @casillascicero7944 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki, love from Kenya, Kilifi County

  • @kilianmalegea166
    @kilianmalegea166 ปีที่แล้ว +1

    Huyo ndiye mhaa original

  • @peterswai391
    @peterswai391 ปีที่แล้ว

    Nice fact kaka God bless more

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 ปีที่แล้ว

    Shukraan sana kaka kiukweli anaetenga muda wake na bando lake la kuunga Unga kwa ajili ya ku kuskiza wewe wala hawezijutia
    Ubarikiwe sana..

  • @kenndellatraveller3130
    @kenndellatraveller3130 ปีที่แล้ว

    We learn from you you're our mentor 👌👌we follow you this is kenn della

  • @pennywilliams3151
    @pennywilliams3151 ปีที่แล้ว

    Because of this you got a new subscriber from Kenya.thank you sir

  • @babyelephant5098
    @babyelephant5098 ปีที่แล้ว +5

    Brother EBM mimi ni Tanzania nipo Arizona USA naomba email yak pls kuna story nataka kukupa nafikiri itakuwa video poa sana. Nashukuru

  • @da2jamhuri418
    @da2jamhuri418 ปีที่แล้ว +5

    Kiongozi pole na majukumu,tufanyie mlejesho wa canada tafadhali

    • @sukivlog885
      @sukivlog885 ปีที่แล้ว

      Yani me elimu yangu high school kwasababu chuo nlishidwa kumaliza kwasababu ya Ada
      Natamani kusoma abroad lakini hata sielewi

    • @bivactanzania9642
      @bivactanzania9642 ปีที่แล้ว

      Hongera Sana nakumbuka ulikuja kuniaga na uliniambia ndoto zako zinaenda kutimia

  • @eduhchanzy5653
    @eduhchanzy5653 ปีที่แล้ว

    mungu ni mwema na pia ndiye mkuu .. ndio maana huwa unazilainisha point zako vizuri hivyo kumbe wewe ni mwalimu stadi... kongole kwa kazi Yako kaka.

  • @mosesnandi
    @mosesnandi ปีที่แล้ว +1

    Great video brother!

  • @bitotojafu9411
    @bitotojafu9411 ปีที่แล้ว

    Kaka unasaidia sana jamii mungu akubarik na akuzidishie moyo huwo huwo inshALLAH

  • @reginaevance7175
    @reginaevance7175 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishie EBM🙏🙏ubarikiwe sana

  • @catherinebillsbrough6760
    @catherinebillsbrough6760 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa ku share story yako!

  • @movingwheels26
    @movingwheels26 ปีที่แล้ว

    Always inspired. Asante.

  • @sumaiyerahmood6067
    @sumaiyerahmood6067 ปีที่แล้ว

    1994 nilikua ndio nmezaliwa👌 hongera bro

  • @sydinemasibo
    @sydinemasibo ปีที่แล้ว

    I have really learnt a lot from that information God bless you 🙏. I pray that God grants me an opportunity to see that beautiful nation.

  • @HubertCubaka
    @HubertCubaka ปีที่แล้ว

    Great video...

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka unisaidie kaaabisaaa

  • @J.chicksPoint-qn4ef
    @J.chicksPoint-qn4ef ปีที่แล้ว

    Halooo nimependa sanaaa na nimetamani sanaa

  • @mundhirothman9842
    @mundhirothman9842 ปีที่แล้ว +2

    Je kama umeishia daresa la saba huna chet chochote unaweza vipi kwenda usa 🇺🇸

  • @mjmswahil6244
    @mjmswahil6244 ปีที่แล้ว

    Shurkn sana Anko kuendelea kutu amasha Mungu akubariki sana 🙏

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 ปีที่แล้ว

    Hakika Mungu NI Mwema ,Barikiwa

  • @gwaphamayemba5708
    @gwaphamayemba5708 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa Material

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน

    Habari yako Mheshimiwa Ernest

  • @subiraabdalah5291
    @subiraabdalah5291 ปีที่แล้ว

    Hongera sana bro

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Natumikisha wifi

  • @annkamau2760
    @annkamau2760 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa kutumia lugha yetu

  • @fiderebizimana319
    @fiderebizimana319 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana nduyangu mimi Ni murundi niko South Africa kama kwasasa niko namywaka 15 na Pambana nguta futamaisha ila bando naomba usaidiwako ilaniweze gutoka namimi nashukuru Sana mungu akubariki

  • @iamjoseph795
    @iamjoseph795 ปีที่แล้ว

    Vizuri mkubwa wangu.

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu4914 ปีที่แล้ว +1

    Kwa nini niende marekani ? Mwenye uelewa mzuri afunguke tujue

  • @hamisitollah-ng9sw
    @hamisitollah-ng9sw ปีที่แล้ว

    God bless you more than your plans

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo Application

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mke nimemuacha Burundi 🇧🇮

  • @Iam_kim
    @Iam_kim ปีที่แล้ว

    Shukran!

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mkuu nime kuina ukiwa ume vaa kombati za kijeshi Nika jiuliza sana kwamba uli fikaje? Kongore sana mkuu

  • @subiraabdalah5291
    @subiraabdalah5291 ปีที่แล้ว +1

    Niambie nitakupataje Ili tuongee kwa upeo

  • @JoyceakaJowi
    @JoyceakaJowi ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥✍🏻✍🏻✍🏻

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 2 หลายเดือนก่อน

    Merci beaucoup

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka ukija apa kenya nataka tuonane unisaidie kunijazia

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unaozoefu wa haya mambo

  • @tomshiii485
    @tomshiii485 ปีที่แล้ว

    Daah! Hiyo process uliyopitia ni kama mtihani wa mathe hadi nakata tamaa

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 ปีที่แล้ว +2

    Mi ndoto zangu niingie Canada 🇨🇦

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Alakini ivi sasa naishi Nairobi

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel ปีที่แล้ว +1

    Hii nchi waafrika ni kwao sababu kila kitu kimejengwa na rasilimali za waafrika, mkuu hapo ulipo unakula matunda yako na sisi tutakuja kuishi ni kwetu huko

  • @bwannuryshaban786
    @bwannuryshaban786 2 หลายเดือนก่อน

    Samahan kaka hivi mnalipwa na hao wamalekani mpak mnatushawishi tuende or nyiny mnapata faida gan

  • @mikaayo336
    @mikaayo336 ปีที่แล้ว

    MUNGU akutunze, ni watu wachache hupenda kuwasaidia wengine. Endelea kuwasaidia vijana wenzio

  • @sharifasharif3978
    @sharifasharif3978 ปีที่แล้ว

    Maashallah nimekuelewa sana broo je napataje namba zako? Pls pls kk nahitaji tuongee zaid kwa hisan yako

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @drtobias_
    @drtobias_ ปีที่แล้ว

    Kwa Niaba ya Channel Yangu na team Nzima ya Dr Tobias chini ya Eagles Production Nina wapongeza Kwa Kazi Nzuri,🇿🇦

  • @lukelopatrick3187
    @lukelopatrick3187 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @Therevelation.
    @Therevelation. ปีที่แล้ว

    Kaka huyo mwalimu, mnunulie Tu hata kitambaa cha kushonesha.

  • @mosesjoseph730
    @mosesjoseph730 3 หลายเดือนก่อน

    Matokeo ya Flta hutoka lini?

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 ปีที่แล้ว +1

    2005 nipo darasa lasaba

  • @godaboveallchanell7033
    @godaboveallchanell7033 ปีที่แล้ว +1

    Mutusaidie nasi pia tuwefikauko

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน

    Ivi nataka nirudie tena kujaza iyo Application

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน

    Email yako naitaka ndugu yetu Ernest Makuriro

  • @subiraabdalah5291
    @subiraabdalah5291 ปีที่แล้ว +1

    Nataka namba yoko plz kaka

  • @paulkaruma5984
    @paulkaruma5984 ปีที่แล้ว +2

    Wacha kudanganya watu. Nani akujui Unauza Mandazi kariako😂😂😂😂😂

  • @honoreabel1058
    @honoreabel1058 ปีที่แล้ว +3

    Ukisha shinda green lottery ukisha fika marecan wenyewe wanakutafutia kazi

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  ปีที่แล้ว

      Unatafuta mwenyewe

  • @marysabihi9931
    @marysabihi9931 24 วันที่ผ่านมา

    nakupataje kwa namba ya WhatsApp mbona sikupati

  • @tazonlineonline109
    @tazonlineonline109 ปีที่แล้ว +1

    Nimekutumia sms whatsapp kujua utaratibu wa kupata visa ya Canada hujibu

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 ปีที่แล้ว

    Hongera mkuu nime kuina ukiwa ume vaa kombati za kijeshi Nika jiuliza sana kwamba uli fikaje? Kongore sana mkuu

  • @NduguEzekiel
    @NduguEzekiel ปีที่แล้ว

    Hii nchi waafrika ni kwao sababu kila kitu kimejengwa na rasilimali za waafrika, mkuu hapo ulipo unakula matunda yako na sisi tutakuja kuishi ni kwetu huko