yaaan mm wallahi nikiwaskiliza masheikh wangu wallahi wanaongea vzr na wanaelimisha makafiri vzr Allah awalipe ujira usiokwisha masheikh wetu walimu wetu wazaz wetu Manabii wetu pamoja na kipenz chetu muhammad s a w ameen
aisee natembea kifua mbele kwa kujivunia uislamu na yote haya ni kutokana na hawa waaadhili wetu wa kiislamu. ALLAH SW awape umri mrefu ili watu wafaidike na neema hii ya wahadhili wetu.amin
Mara nyingi mwanafunzi anampita mwalimu,naona Kama anampita mwalimu,mpaka mwenyewe mazinge anachanganyikiwa,Allah awasimamie mashehe wetu na awalipe pepo ya juu kabisa,amiin amiin Ya Rabiii
Sasa said unakuja kali ikija jihad tuna kula kichwa,muhim wakristo bado niwadgo mbele ya masheikh wakiislamu hawana ilmu wanajitahidi tu wanafundishwa na masheikh wakiislamu tena mafundisho mazuri mashaallah
Mimi nawashangaeni makafiri wa kikristo mnamkataa Mtume Muhamad kwa kutumia quraan toeni aya kwenye biblia mumkanushe maana hiyo quraan imeteremshiwa Muhammad ili biblia iwe kitabu cha Mungu
Tunaibeba na tunajua haina Majini wabaya wala wazuri kama Quran ya waislamu inavyo sema Majini waliipenda dini hiyo na waka Slimu sasa uliona wapi Mtu akaenda mbinguni kwa mgongo wa Mjini? Hapo ndio muamke nyie msiojua mnamtukuza Mungu yupi mpaka hapo.
@@charlesmapunda5905 soma vitabu acha ngonjera 🤣🤣kazi kubeba vitabu kama vya shule mkiwa kwenye mihadhara fashion show hakuna munalojua ndo maana majibu hakuna unaulizwa vingine unajibu vingine ziro kabisa endeleeni kubeba mizigo ya vitabu kama book school 🤣
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....Najivunia kuwa mwislam wallah..Allah awahifadhi masheikh wetu na uwajalie thabit kwa kila kitu...sheikh kinyogori Masha Allah tabarak Allah.
Waislamu munasema musicho kijua,,, yaani nyinyi ni wakweli kabisa mnapo sema yesu ni mwizi siieti ni mwizi kwakua aliiba punda tu, hapana yeye ni mwizi ameiba na anaendelea kuwaiba watu akiwadanganya kua yeye ni mtoto wa Mungu na sio kweli akiwadanganya watu kua yeye ni Mungu mwenyewe na ni uongo kabisa na ni kufuru
Mbona mwalimu wa kiislam hajajibu hoja ya qurani 82:2 Mohamed anamkunjia uso kipofu😃😂😂 lakini kwa Yesu vipofu wanaponywa kumbe waislamu vipofu hawanachao kwa Mohamed, matajiri pekee ndio wananafasi kwa Mohamed.
@@bidafumbuka855 Waislam toba zetu ni baina yetu sisi na Mwenyezi Mungu anaepasa kuabudiwa pekee, hakuna sehemu kwa mtu wala yeyote tunayekwenda kuungama kwake.
Mashallah hostadh Saidy unafata nyayo za hostadh Mazinge Mungu awazidishie Umri mrefu usio Zeeka🤲🤲🤲 Pamoja na masheikh wetu wote Mungu awalinde na awalipe pepo Firdauss Inshallah Amiin
Huyo askofu haelewi kabisa,au ulimi umeteleza. Mohammed anapinga kuwa Yesu siyo Bwana na eti hakufa na hakufufuka. Kwa lugha nyingine Mohammed anatuambia kwamba Yesu alidanganya kuwa alikufa na kufufuka. Je,huoni kama huyo ni mpinga Kristo.
Muhammad sio mpinga kristo kwa kusema yesu hajafa, hicho kifo ni feki na wauwaji ndio walio kudanganya kuwa amekufa na dhambi yako,,,, Ni hao WAUWAJI, yesu hakufa hadi hivi sasa hiyo ndio imani na mapenzi na sio kumpinga,,,, Mungu siku zote ndio mshindi,, Lakini yeye awe bwana aliyemtuma atakuwa nani??? Matt 11:25 Wakati huo Yesu alisema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia.... Labda uchukulie bwana kama kaongozi mwalimu nabii
Jamaniee? Nimerudi tena kucomments hawa masheik wetu Tuwaombee kwa Allah awalinde na kila balaa.
Namkubari sana Kinyogoli
Mashallah
nyinyi waislam mtashinda mada kwa sababu ya kuongeza maneno au kupunguza na yote siku ya mwisho yatawahukumu nyinyi wenyewe
Ukweli upowazi
Bro quran mmoja ila hizo bible ni km zote na zilizo chakachuliwa
Dah nimecheka sana 😀😁😀😁
Mungu ni mwema, Ahsant sn Mungu wng kwa kunitoa kwenye ukristo na kunileta kwenye uislam
Mashallah Allah azidi kukuongoza na atuzidishie uongofu sote pamoja insha'Allah
MwenyeziMungu azid kukujaalia ndug
Allah akupe kheri nyingi kuingia ktk dini ya kweli
MashaALLAH bro ALLAH azid akupe mwangaza katika kuufata uislam inavotakiwa
Mashallah
Saidi kinyongoli moto wakuotea mbali💪💪
Mashallah Sheikh Kinyogoli God bless you everyday Amiin
yaaan mm wallahi nikiwaskiliza masheikh wangu wallahi wanaongea vzr na wanaelimisha makafiri vzr Allah awalipe ujira usiokwisha masheikh wetu walimu wetu wazaz wetu Manabii wetu pamoja na kipenz chetu muhammad s a w ameen
Màashallaah
tunawaombea Allah awaweke namuwe naafia njema
Wallaah nampenda Sheikh Said Kinyogole kwa ajili ya Allaah
Wote ni bora kufuatwa kwa kila mmoja kwa wakati wake
Ni nyinyi tu msiokuwa waislam hamuelewi, wote hao ni waislam.
Fuateni Uislam
Wakristo mbona wanyonge Sana au tunaongopeawa makanisani
huo ndio ukweli
MASHA ALLAH ❤️❤️🙏 mwenyezi MUNGU awalinde.
Amiin
Nakusikitiya Omar usijaribu tena kufanya mujadala na Said kinyogoli huyo ni kiboko tena kiboko Allah Akbar 💓
Murtad Yahya Omar umeuza dini ya kweli ya uislamu kwa thamani duni? Allah atuhifadhi yyarabb. Ameen
Huyo murtad yahya mnafiiq shetani mkubwa sana anajua haki but hataki kusema
Sasa itamsaidia Nini muda wenyewe juu ya ardhi hii ni mchache sana
Kinyogoli we hatari mungu akupe kila lenye kheri
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
Masha Allah.ALLAH akupe nuru kwenye maisha yako ustadhi Kinyogoli.
Maashaallah
Kinyogoli ni MESS wa waislam muda wowote anabadili matokeo
Jamn napta rah san kW muhadhara km hii nawapnda san masheikh zet kwaajil ya Allah ,Allah atup mwsho mwem atukutnish pia ktka pep yke
Nashukuru kuwa muislamu na ningekuwa mkristo ningesha Hama maana uongo mtupu
YESU Atakuja siku ya mwisho kuwachukua walio wake je wewe umo?
@@mossesjovenari9457 hatokuwa na muda huo maana nyinyi munaomzushia kumwita Mungu sijui mutakuwa na hali gani siku hiyo
Ushauri wangu mtumie mbinu ya dr zaik naik.Hamkashifu mtu wala hakuna takbir au haleluya.Ni heshima tu na utapenda kusikiliza
Mbinu za hawa wa kwetu ni mtihan sana" wabidilishe mbinu iwe mbinu za kistaarabu Zaid kama afanyavyo dk naik itapendeza sana
aisee natembea kifua mbele kwa kujivunia uislamu na yote haya ni kutokana na hawa waaadhili wetu wa kiislamu. ALLAH SW awape umri mrefu ili watu wafaidike na neema hii ya wahadhili wetu.amin
Ameen
Mashaallah mashaallah mashaallah alhamdhulillah 😀😀😀😅😅🤸♀️🤸♀️
Saidi tunakuona Mbali saan. Unarithi mazinge
Mara nyingi mwanafunzi anampita mwalimu,naona Kama anampita mwalimu,mpaka mwenyewe mazinge anachanganyikiwa,Allah awasimamie mashehe wetu na awalipe pepo ya juu kabisa,amiin amiin Ya Rabiii
Sio tu kumrithi..atamzidi..kwa vile ametulia
Ati Yesu hakumrudisha punda wa mwenyewe baada ya kumchukuwa!????😃😃😃😃
Maashallah.....MBU kipeo Cha tatu’ Yaani ni (MBU MBU MBU )...!
Maashallah Maashallah ‘ Said kinyogoli ama hakika weye ni msumari Kwa wagalatia...!
hahahahah nashukuru kwa kunilewesha hapa nilikuwa sijui hahahah
Hahaha Mashaa Allah
Sasa said unakuja kali ikija jihad tuna kula kichwa,muhim wakristo bado niwadgo mbele ya masheikh wakiislamu hawana ilmu wanajitahidi tu wanafundishwa na masheikh wakiislamu tena mafundisho mazuri mashaallah
Kinyogori nishidaaaaa Allaah akupeumri mrefu
Allah wakbar
Kusema ukweli jifunzeni kuwa wastaarabu na kuzungumza kauli za hekima na busara.Jifunzeni kwa dr zaik naik
mtu ujibiwa kwa kebei vile atakavyo uliza kwa kebei
Namna utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa.
@@ramathedon4001 kweli kabisaaaa
UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA th-cam.com/video/vXaCVwHoLsE/w-d-xo.html
Ustz Said uko pow ssna dah ww ni atar sana
yaniwekinyogori umeniuwa mbavu dah jamani
Mimi nawashangaeni makafiri wa kikristo mnamkataa Mtume Muhamad kwa kutumia quraan toeni aya kwenye biblia mumkanushe maana hiyo quraan imeteremshiwa Muhammad ili biblia iwe kitabu cha Mungu
Nawapenda sanaaa ktk midahaloo yenu mungu awainuwe lewo kesho peponi allhandulihi vidume mpo vizur nguvu moja njiya moja ALLHA AWAINUWEE KTK UKWELI HAKII
Alhamdulillah kwakuwa muislam
ALHAMDULILLAH
Allah Akbar! Allah akuwekee hadhina zetu Mashekhe wetu.
Tunashukur kwa hili
Jamani timu tamu hii kuisikiliza
karibu
Nashukuru kuwa mkisto najivunia sanaaaa
@@michaelmunene738 umefeli ww shaur yko
@@michaelmunene738 wewe unashukuru sisi tunakuhuzunia
Maelezo ya waislam yananyooka hadi raha
Nawapendeni kwa Ajili ya Allah nawaombea kwa Allah awape umri mrefu Allahumma Amiiin
Amiiiiiin
Hivi Hawa wakristo wanasoma kweli au wanabebaga Ile bible kama fashion mtihani wallah
Yaani wanajali kuwa wakristo tu bila kujali bila kujali ndani Kuna nini
Tunaibeba na tunajua haina Majini wabaya wala wazuri kama Quran ya waislamu inavyo sema Majini waliipenda dini hiyo na waka Slimu sasa uliona wapi Mtu akaenda mbinguni kwa mgongo wa Mjini? Hapo ndio muamke nyie msiojua mnamtukuza Mungu yupi mpaka hapo.
@@charlesmapunda5905 soma vitabu acha ngonjera 🤣🤣kazi kubeba vitabu kama vya shule mkiwa kwenye mihadhara fashion show hakuna munalojua ndo maana majibu hakuna unaulizwa vingine unajibu vingine ziro kabisa endeleeni kubeba mizigo ya vitabu kama book school 🤣
@@charlesmapunda5905 uislamu unataka majini na binaadamu wote wamuabudu Allah
Huu ndo ujinga wenu mkubwa hamujui jini kaumbwa kwa ajili gani
Kumbe walifanya mdahalo waliposhindwa wakaenda kufanya 'editing' chumbani!
Waislamu wajinga bado wanaihubiri vita!!
kuna full video ya mdahalo mzima kila kitu kipo wazi, wasabato walichemka vibaya mpaka aibu likawakuta bonge la pigo kwa wakristo kibao kuslim.
Jifunz quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
Yani mmi vyenye na muelewa huyu bwana kinyogori kushinda vyenye najielewa mmi masha Allah
Wallahy ako fasaha kabisa hata namuelewa vzr sana
Unawezakuta ALLAH maana yake SHETANI na hamtaki KUSEMA UKWELI ?
Kinyogoli yuko very technical hawa Wakristo hawamuwezi
manabii wote salama na aman viwe juu yao wamekuja na ujumbe mmoja ambao n lailahailallah..
MaashaAllah TabaarakaLLAH Mungu awazidishie nyooote....
Mashallhaaa shekhe kinyogili
Huyu saidi kinyogoli,Huyu mtu sio wa kawaida,ni mtu wa sayari nyengine kabisa
akika katika wanafuzi wa mazinge uyu kaiva mno
Wanapost upande mmoja baada ya kuona hawana points
Saidi wewe ni Dawa yao
Masha Allah ustadh Kinyogoli
MashaAlla
Kaka yangu Said kinyogoli na walimu zetu waki islam Allah akuifadhini kwa kazi mnazo pata katika kuelimisha ndugu wakiriston
Issa pia ni wetu Waislamu,,, tusiingie mitego ya wakafikiri tukatukana mitume Wa Allah,,, Isa na Muhammad wote ni mitume wa kiislamu
masheikh wetu twawashukuru kwa kutufahamisha na kutuelimisha sisi na wakristo mungu awahifadhi
Allah awahifadh masheikh we2. Nawapenda kwajil ya Allah.
Maashallah kumbe a najua maskini. Sibola Asilimu tu
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....Najivunia kuwa mwislam wallah..Allah awahifadhi masheikh wetu na uwajalie thabit kwa kila kitu...sheikh kinyogori Masha Allah tabarak Allah.
muongo mkubwa uyoo.. hapowalikua wanambiwa walawi kabila maalum lilokua linahuduma patakatifu Anza mwanzo utaona majibu yote muongo huyo
Please kinyogol km una mtot wa kike naomba uniozexhe bamkwe wallah nakukubal mpaka usoo
kinyogoli very genius allah amuifadhi
Masha Allah
Kinyongor wanyooshe hawana elimu Uislamu TU ndio din ya hakii
Kinyongor wanyooshe hawana elimu Uislamu TU ndio din ya hakii
Wew unaitwa Kinyongori BT Siku za mwisho utaitwa kinyonga
umeferi huna hoja.
Waislamu munasema musicho kijua,,, yaani nyinyi ni wakweli kabisa mnapo sema yesu ni mwizi siieti ni mwizi kwakua aliiba punda tu, hapana yeye ni mwizi ameiba na anaendelea kuwaiba watu akiwadanganya kua yeye ni mtoto wa Mungu na sio kweli akiwadanganya watu kua yeye ni Mungu mwenyewe na ni uongo kabisa na ni kufuru
Shida yangu namba ya huyu shekhe kinyogoli kuna ndugu mkristo anahitaji kujua ipi ni dini ya haki au hata ofsn kwake nielekezeni
Kwan hii midahalo lengo lake si kuwafahamisha watu dini ya haki
Yaani hii inaitwa nipe nikupe allah akubarik shehe wetu kinyogoli
Allah awajaalie pepo yaa juu masheikh zetu
Kinyogori daaah we ni teacher najua Mungu ndo ana kupa mauwezo maana sio kawaida unavo unavo wapea izo dawa
Anajipeleka kwa mtume aliekuwa siewake
Mbona mwalimu wa kiislam hajajibu hoja ya qurani 82:2 Mohamed anamkunjia uso kipofu😃😂😂 lakini kwa Yesu vipofu wanaponywa kumbe waislamu vipofu hawanachao kwa Mohamed, matajiri pekee ndio wananafasi kwa Mohamed.
Alijibiwa 👉 mitume nao ni binadamu wanakosea lakini palepale akikosea kurekebishwa na Allah na akarejea. Jengine ni lipi?
@@salihymhene45 wapi Mohamed aliomba msamaha kwa kosa lake la kuua akasamehewa?
@@bidafumbuka855 Waislam toba zetu ni baina yetu sisi na Mwenyezi Mungu anaepasa kuabudiwa pekee, hakuna sehemu kwa mtu wala yeyote tunayekwenda kuungama kwake.
@@binahmedjuma8681 ase jamaa umejib vzr
Hakika Uislam ni dini ya haki
Kwa kasoro izi kwa nini tusiboreshe baadhi aya
Waislamu wapinga kristo.
Mungu awalinde walimu wetu
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali
محمد الصادق الأمين
Mazinge na kinyogori vyao ni vitimbii tuu
Mashallah hostadh Saidy unafata nyayo za hostadh Mazinge
Mungu awazidishie Umri mrefu usio Zeeka🤲🤲🤲
Pamoja na masheikh wetu wote
Mungu awalinde na awalipe pepo Firdauss Inshallah
Amiin
Allahummaa Aaaamiiin Yaa Raab
Amiin Amiin
Amiin amiin Ya Rabiialamin
amin
Wahadhili mungu awaepushe na kila Shari maana mnafanya kazi nzuri
Uongo kumbe ndio jadi yenu mnakata information
Makafiri n wale walio pokea kuran kwa pango
Huyo askofu haelewi kabisa,au ulimi umeteleza. Mohammed anapinga kuwa Yesu siyo Bwana na eti hakufa na hakufufuka. Kwa lugha nyingine Mohammed anatuambia kwamba Yesu alidanganya kuwa alikufa na kufufuka. Je,huoni kama huyo ni mpinga Kristo.
Muhammad sio mpinga kristo kwa kusema yesu hajafa, hicho kifo ni feki na wauwaji ndio walio kudanganya kuwa amekufa na dhambi yako,,,,
Ni hao WAUWAJI, yesu hakufa hadi hivi sasa hiyo ndio imani na mapenzi na sio kumpinga,,,,
Mungu siku zote ndio mshindi,,
Lakini yeye awe bwana aliyemtuma atakuwa nani???
Matt 11:25
Wakati huo Yesu alisema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia....
Labda uchukulie bwana kama kaongozi mwalimu nabii
Kinyogoli mambo mbaya 😂😂😂😂
Eti aliyevunjika mapumbu 😂😂
Hii ilinichekesha sana! 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏃🏃
Rehma na Amani kwa ma sheihk wetu Barka'llahu feek, Mazinge na wenzake mwisho mwema kwenu
Inatoxha kinyongori
Kinyogoliiii una nn lakin😁😁
Lete vitu kinyogori
Makafiri hawana lao ata moja
😅 kinyogoli bhana
Mwenyezi mungu akupe maisha mema duniani kaburini na kesho ahera
Pole pole kinyogor
Hebu kinyogoli tuonyeshe hilo Andiko Yesu anaazima punda na kuahidi kumrudisha? Yesu. Hajaahidi kumrudisha alimtaka apewe moja kwa moja
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh hapo Sheikh Said Juma Kinyogoli uko sawa kwa mujibu wanavyokwenda hai rafiki zetu wa upande wa pili.