HI NI ZAIDI YA HATARI, NIMEKUWEKEA TIT FOR TAT KATI YA SAID JUMA KINYOGOLI NA MURTAD YAHYA OMARY.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 373

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 ปีที่แล้ว +9

    Jamaniee? Nimerudi tena kucomments hawa masheik wetu Tuwaombee kwa Allah awalinde na kila balaa.

  • @jakayakigoda58
    @jakayakigoda58 3 ปีที่แล้ว +1

    Namkubari sana Kinyogoli

  • @khamissalim7437
    @khamissalim7437 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari9457 3 ปีที่แล้ว

    nyinyi waislam mtashinda mada kwa sababu ya kuongeza maneno au kupunguza na yote siku ya mwisho yatawahukumu nyinyi wenyewe

    • @allyally1077
      @allyally1077 3 ปีที่แล้ว

      Ukweli upowazi

    • @ibraringi8072
      @ibraringi8072 3 ปีที่แล้ว

      Bro quran mmoja ila hizo bible ni km zote na zilizo chakachuliwa

  • @meekman1805
    @meekman1805 3 ปีที่แล้ว

    Dah nimecheka sana 😀😁😀😁

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 3 ปีที่แล้ว +11

    Mungu ni mwema, Ahsant sn Mungu wng kwa kunitoa kwenye ukristo na kunileta kwenye uislam

    • @muslihmohd3685
      @muslihmohd3685 3 ปีที่แล้ว +2

      Mashallah Allah azidi kukuongoza na atuzidishie uongofu sote pamoja insha'Allah

    • @hansmswagara2789
      @hansmswagara2789 2 ปีที่แล้ว +1

      MwenyeziMungu azid kukujaalia ndug

    • @azizimatahuka2012
      @azizimatahuka2012 4 หลายเดือนก่อน

      Allah akupe kheri nyingi kuingia ktk dini ya kweli

    • @DuliBrillant-mr8er
      @DuliBrillant-mr8er 4 หลายเดือนก่อน

      MashaALLAH bro ALLAH azid akupe mwangaza katika kuufata uislam inavotakiwa

    • @HappyKiteboarder-du9th
      @HappyKiteboarder-du9th 4 หลายเดือนก่อน

      Mashallah

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 ปีที่แล้ว +18

    Saidi kinyongoli moto wakuotea mbali💪💪

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 2 ปีที่แล้ว +10

    Mashallah Sheikh Kinyogoli God bless you everyday Amiin

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 3 ปีที่แล้ว +25

    yaaan mm wallahi nikiwaskiliza masheikh wangu wallahi wanaongea vzr na wanaelimisha makafiri vzr Allah awalipe ujira usiokwisha masheikh wetu walimu wetu wazaz wetu Manabii wetu pamoja na kipenz chetu muhammad s a w ameen

    • @wadudi2741
      @wadudi2741 ปีที่แล้ว +1

      Màashallaah

  • @suberasubera641
    @suberasubera641 3 ปีที่แล้ว +16

    tunawaombea Allah awaweke namuwe naafia njema

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 9 หลายเดือนก่อน +2

    Wallaah nampenda Sheikh Said Kinyogole kwa ajili ya Allaah

  • @jakayakigoda58
    @jakayakigoda58 3 ปีที่แล้ว +5

    Wote ni bora kufuatwa kwa kila mmoja kwa wakati wake
    Ni nyinyi tu msiokuwa waislam hamuelewi, wote hao ni waislam.
    Fuateni Uislam

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni932 3 ปีที่แล้ว +4

    Wakristo mbona wanyonge Sana au tunaongopeawa makanisani

  • @omaryally198
    @omaryally198 3 ปีที่แล้ว +14

    MASHA ALLAH ❤️❤️🙏 mwenyezi MUNGU awalinde.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 ปีที่แล้ว +6

    Nakusikitiya Omar usijaribu tena kufanya mujadala na Said kinyogoli huyo ni kiboko tena kiboko Allah Akbar 💓

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 ปีที่แล้ว +7

    Murtad Yahya Omar umeuza dini ya kweli ya uislamu kwa thamani duni? Allah atuhifadhi yyarabb. Ameen

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyo murtad yahya mnafiiq shetani mkubwa sana anajua haki but hataki kusema

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 ปีที่แล้ว

      Sasa itamsaidia Nini muda wenyewe juu ya ardhi hii ni mchache sana

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 3 ปีที่แล้ว +8

    Kinyogoli we hatari mungu akupe kila lenye kheri

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
      Guzalink ☝️ tufaidike ukhty

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 3 ปีที่แล้ว +18

    Masha Allah.ALLAH akupe nuru kwenye maisha yako ustadhi Kinyogoli.

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr 3 ปีที่แล้ว +2

    Kinyogoli ni MESS wa waislam muda wowote anabadili matokeo

  • @alhadjmugisha5216
    @alhadjmugisha5216 3 ปีที่แล้ว +5

    Jamn napta rah san kW muhadhara km hii nawapnda san masheikh zet kwaajil ya Allah ,Allah atup mwsho mwem atukutnish pia ktka pep yke

  • @mysalakatele2349
    @mysalakatele2349 3 ปีที่แล้ว +5

    Nashukuru kuwa muislamu na ningekuwa mkristo ningesha Hama maana uongo mtupu

    • @mossesjovenari9457
      @mossesjovenari9457 3 ปีที่แล้ว

      YESU Atakuja siku ya mwisho kuwachukua walio wake je wewe umo?

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mossesjovenari9457 hatokuwa na muda huo maana nyinyi munaomzushia kumwita Mungu sijui mutakuwa na hali gani siku hiyo

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +6

    Ushauri wangu mtumie mbinu ya dr zaik naik.Hamkashifu mtu wala hakuna takbir au haleluya.Ni heshima tu na utapenda kusikiliza

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 2 ปีที่แล้ว

      Mbinu za hawa wa kwetu ni mtihan sana" wabidilishe mbinu iwe mbinu za kistaarabu Zaid kama afanyavyo dk naik itapendeza sana

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa5159 3 ปีที่แล้ว +8

    aisee natembea kifua mbele kwa kujivunia uislamu na yote haya ni kutokana na hawa waaadhili wetu wa kiislamu. ALLAH SW awape umri mrefu ili watu wafaidike na neema hii ya wahadhili wetu.amin

    • @alliabdullah6180
      @alliabdullah6180 3 ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @maryamanalisi197
      @maryamanalisi197 2 ปีที่แล้ว +1

      Mashaallah mashaallah mashaallah alhamdhulillah 😀😀😀😅😅🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +11

    Saidi tunakuona Mbali saan. Unarithi mazinge

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 ปีที่แล้ว +2

      Mara nyingi mwanafunzi anampita mwalimu,naona Kama anampita mwalimu,mpaka mwenyewe mazinge anachanganyikiwa,Allah awasimamie mashehe wetu na awalipe pepo ya juu kabisa,amiin amiin Ya Rabiii

    • @chire4574
      @chire4574 ปีที่แล้ว

      Sio tu kumrithi..atamzidi..kwa vile ametulia

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 ปีที่แล้ว +1

    Ati Yesu hakumrudisha punda wa mwenyewe baada ya kumchukuwa!????😃😃😃😃

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 ปีที่แล้ว +21

    Maashallah.....MBU kipeo Cha tatu’ Yaani ni (MBU MBU MBU )...!
    Maashallah Maashallah ‘ Said kinyogoli ama hakika weye ni msumari Kwa wagalatia...!

    • @fadhilikawambwa5159
      @fadhilikawambwa5159 3 ปีที่แล้ว +1

      hahahahah nashukuru kwa kunilewesha hapa nilikuwa sijui hahahah

    • @fatimaomar1172
      @fatimaomar1172 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha Mashaa Allah

  • @saidosaido5647
    @saidosaido5647 3 ปีที่แล้ว +12

    Sasa said unakuja kali ikija jihad tuna kula kichwa,muhim wakristo bado niwadgo mbele ya masheikh wakiislamu hawana ilmu wanajitahidi tu wanafundishwa na masheikh wakiislamu tena mafundisho mazuri mashaallah

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 ปีที่แล้ว +5

    Kinyogori nishidaaaaa Allaah akupeumri mrefu

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah wakbar

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +4

    Kusema ukweli jifunzeni kuwa wastaarabu na kuzungumza kauli za hekima na busara.Jifunzeni kwa dr zaik naik

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 3 ปีที่แล้ว +1

      mtu ujibiwa kwa kebei vile atakavyo uliza kwa kebei

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 3 ปีที่แล้ว +1

      Namna utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa.

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 2 ปีที่แล้ว

      @@ramathedon4001 kweli kabisaaaa

  • @aminarashid3916
    @aminarashid3916 2 ปีที่แล้ว +1

    UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA th-cam.com/video/vXaCVwHoLsE/w-d-xo.html

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun416 3 ปีที่แล้ว +4

    Ustz Said uko pow ssna dah ww ni atar sana

  • @suberasubera641
    @suberasubera641 3 ปีที่แล้ว +3

    yaniwekinyogori umeniuwa mbavu dah jamani

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nawashangaeni makafiri wa kikristo mnamkataa Mtume Muhamad kwa kutumia quraan toeni aya kwenye biblia mumkanushe maana hiyo quraan imeteremshiwa Muhammad ili biblia iwe kitabu cha Mungu

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 2 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda sanaaa ktk midahaloo yenu mungu awainuwe lewo kesho peponi allhandulihi vidume mpo vizur nguvu moja njiya moja ALLHA AWAINUWEE KTK UKWELI HAKII

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 ปีที่แล้ว +6

    Alhamdulillah kwakuwa muislam

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 ปีที่แล้ว +15

    Allah Akbar! Allah akuwekee hadhina zetu Mashekhe wetu.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +5

    Tunashukur kwa hili

  • @LizaLiza-sd5uu
    @LizaLiza-sd5uu 3 ปีที่แล้ว +5

    Jamani timu tamu hii kuisikiliza

  • @alsamali6964
    @alsamali6964 2 ปีที่แล้ว +1

    Maelezo ya waislam yananyooka hadi raha

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 ปีที่แล้ว +6

    Nawapendeni kwa Ajili ya Allah nawaombea kwa Allah awape umri mrefu Allahumma Amiiin

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 ปีที่แล้ว +3

    Hivi Hawa wakristo wanasoma kweli au wanabebaga Ile bible kama fashion mtihani wallah

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 ปีที่แล้ว

      Yaani wanajali kuwa wakristo tu bila kujali bila kujali ndani Kuna nini

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 3 ปีที่แล้ว

      Tunaibeba na tunajua haina Majini wabaya wala wazuri kama Quran ya waislamu inavyo sema Majini waliipenda dini hiyo na waka Slimu sasa uliona wapi Mtu akaenda mbinguni kwa mgongo wa Mjini? Hapo ndio muamke nyie msiojua mnamtukuza Mungu yupi mpaka hapo.

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 3 ปีที่แล้ว

      @@charlesmapunda5905 soma vitabu acha ngonjera 🤣🤣kazi kubeba vitabu kama vya shule mkiwa kwenye mihadhara fashion show hakuna munalojua ndo maana majibu hakuna unaulizwa vingine unajibu vingine ziro kabisa endeleeni kubeba mizigo ya vitabu kama book school 🤣

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy ปีที่แล้ว

      ​@@charlesmapunda5905 uislamu unataka majini na binaadamu wote wamuabudu Allah
      Huu ndo ujinga wenu mkubwa hamujui jini kaumbwa kwa ajili gani

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe walifanya mdahalo waliposhindwa wakaenda kufanya 'editing' chumbani!
    Waislamu wajinga bado wanaihubiri vita!!

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 ปีที่แล้ว

      kuna full video ya mdahalo mzima kila kitu kipo wazi, wasabato walichemka vibaya mpaka aibu likawakuta bonge la pigo kwa wakristo kibao kuslim.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +1

    Jifunz quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli

  • @mwanashazingas6684
    @mwanashazingas6684 3 ปีที่แล้ว +2

    Yani mmi vyenye na muelewa huyu bwana kinyogori kushinda vyenye najielewa mmi masha Allah

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 ปีที่แล้ว

      Wallahy ako fasaha kabisa hata namuelewa vzr sana

  • @mrjulius5840
    @mrjulius5840 10 หลายเดือนก่อน

    Unawezakuta ALLAH maana yake SHETANI na hamtaki KUSEMA UKWELI ?

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 8 หลายเดือนก่อน

    Kinyogoli yuko very technical hawa Wakristo hawamuwezi

  • @abdulhalimsadick2251
    @abdulhalimsadick2251 3 ปีที่แล้ว +2

    manabii wote salama na aman viwe juu yao wamekuja na ujumbe mmoja ambao n lailahailallah..

  • @ummurasul8230
    @ummurasul8230 3 ปีที่แล้ว +5

    MaashaAllah TabaarakaLLAH Mungu awazidishie nyooote....

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 ปีที่แล้ว +8

    Mashallhaaa shekhe kinyogili

  • @selemanmohamed4958
    @selemanmohamed4958 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu saidi kinyogoli,Huyu mtu sio wa kawaida,ni mtu wa sayari nyengine kabisa

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 3 ปีที่แล้ว

      akika katika wanafuzi wa mazinge uyu kaiva mno

  • @petrofabian4523
    @petrofabian4523 3 ปีที่แล้ว +1

    Wanapost upande mmoja baada ya kuona hawana points

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 3 ปีที่แล้ว +2

    Saidi wewe ni Dawa yao

  • @mordally
    @mordally 3 ปีที่แล้ว +8

    Masha Allah ustadh Kinyogoli

  • @hamadibabu3321
    @hamadibabu3321 3 ปีที่แล้ว +5

    MashaAlla

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 ปีที่แล้ว +9

    Kaka yangu Said kinyogoli na walimu zetu waki islam Allah akuifadhini kwa kazi mnazo pata katika kuelimisha ndugu wakiriston

  • @golbomedia
    @golbomedia 5 หลายเดือนก่อน

    Issa pia ni wetu Waislamu,,, tusiingie mitego ya wakafikiri tukatukana mitume Wa Allah,,, Isa na Muhammad wote ni mitume wa kiislamu

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 ปีที่แล้ว +5

    masheikh wetu twawashukuru kwa kutufahamisha na kutuelimisha sisi na wakristo mungu awahifadhi

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah awahifadh masheikh we2. Nawapenda kwajil ya Allah.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 ปีที่แล้ว +2

    Maashallah kumbe a najua maskini. Sibola Asilimu tu

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 3 ปีที่แล้ว +3

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....Najivunia kuwa mwislam wallah..Allah awahifadhi masheikh wetu na uwajalie thabit kwa kila kitu...sheikh kinyogori Masha Allah tabarak Allah.

  • @canmakoye547
    @canmakoye547 6 หลายเดือนก่อน

    muongo mkubwa uyoo.. hapowalikua wanambiwa walawi kabila maalum lilokua linahuduma patakatifu Anza mwanzo utaona majibu yote muongo huyo

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er 4 หลายเดือนก่อน

    Please kinyogol km una mtot wa kike naomba uniozexhe bamkwe wallah nakukubal mpaka usoo

  • @ABAELECRTONICSAR-ok5xf
    @ABAELECRTONICSAR-ok5xf 5 หลายเดือนก่อน

    kinyogoli very genius allah amuifadhi

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 3 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi ปีที่แล้ว

    Kinyongor wanyooshe hawana elimu Uislamu TU ndio din ya hakii

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi ปีที่แล้ว

    Kinyongor wanyooshe hawana elimu Uislamu TU ndio din ya hakii

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi9615 3 ปีที่แล้ว +1

    Wew unaitwa Kinyongori BT Siku za mwisho utaitwa kinyonga

  • @muendokiawa9402
    @muendokiawa9402 2 ปีที่แล้ว

    Waislamu munasema musicho kijua,,, yaani nyinyi ni wakweli kabisa mnapo sema yesu ni mwizi siieti ni mwizi kwakua aliiba punda tu, hapana yeye ni mwizi ameiba na anaendelea kuwaiba watu akiwadanganya kua yeye ni mtoto wa Mungu na sio kweli akiwadanganya watu kua yeye ni Mungu mwenyewe na ni uongo kabisa na ni kufuru

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa4769 3 ปีที่แล้ว +1

    Shida yangu namba ya huyu shekhe kinyogoli kuna ndugu mkristo anahitaji kujua ipi ni dini ya haki au hata ofsn kwake nielekezeni

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn ปีที่แล้ว

      Kwan hii midahalo lengo lake si kuwafahamisha watu dini ya haki

  • @SalmaAbdul-zz7dy
    @SalmaAbdul-zz7dy ปีที่แล้ว

    Yaani hii inaitwa nipe nikupe allah akubarik shehe wetu kinyogoli

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah awajaalie pepo yaa juu masheikh zetu

  • @monixkarim-st4qm
    @monixkarim-st4qm ปีที่แล้ว

    Kinyogori daaah we ni teacher najua Mungu ndo ana kupa mauwezo maana sio kawaida unavo unavo wapea izo dawa

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 6 หลายเดือนก่อน

    Anajipeleka kwa mtume aliekuwa siewake

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona mwalimu wa kiislam hajajibu hoja ya qurani 82:2 Mohamed anamkunjia uso kipofu😃😂😂 lakini kwa Yesu vipofu wanaponywa kumbe waislamu vipofu hawanachao kwa Mohamed, matajiri pekee ndio wananafasi kwa Mohamed.

    • @salihymhene45
      @salihymhene45 3 ปีที่แล้ว +3

      Alijibiwa 👉 mitume nao ni binadamu wanakosea lakini palepale akikosea kurekebishwa na Allah na akarejea. Jengine ni lipi?

    • @bidafumbuka855
      @bidafumbuka855 3 ปีที่แล้ว

      @@salihymhene45 wapi Mohamed aliomba msamaha kwa kosa lake la kuua akasamehewa?

    • @binahmedjuma8681
      @binahmedjuma8681 3 ปีที่แล้ว

      @@bidafumbuka855 Waislam toba zetu ni baina yetu sisi na Mwenyezi Mungu anaepasa kuabudiwa pekee, hakuna sehemu kwa mtu wala yeyote tunayekwenda kuungama kwake.

    • @ibraringi8072
      @ibraringi8072 3 ปีที่แล้ว

      @@binahmedjuma8681 ase jamaa umejib vzr

  • @rasheedshaban2233
    @rasheedshaban2233 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Uislam ni dini ya haki

  • @peterpilikano5398
    @peterpilikano5398 2 ปีที่แล้ว

    Kwa kasoro izi kwa nini tusiboreshe baadhi aya

  • @mazikumakoye9533
    @mazikumakoye9533 ปีที่แล้ว

    Waislamu wapinga kristo.

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy6064 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu awalinde walimu wetu

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy ปีที่แล้ว

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @asilclub
    @asilclub 3 ปีที่แล้ว +1

    محمد الصادق الأمين

  • @dicksonmambo8623
    @dicksonmambo8623 ปีที่แล้ว

    Mazinge na kinyogori vyao ni vitimbii tuu

  • @mariamjuma3125
    @mariamjuma3125 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah hostadh Saidy unafata nyayo za hostadh Mazinge
    Mungu awazidishie Umri mrefu usio Zeeka🤲🤲🤲
    Pamoja na masheikh wetu wote
    Mungu awalinde na awalipe pepo Firdauss Inshallah
    Amiin

  • @khadijaalmasi9686
    @khadijaalmasi9686 3 ปีที่แล้ว +1

    Wahadhili mungu awaepushe na kila Shari maana mnafanya kazi nzuri

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 3 ปีที่แล้ว +1

    Uongo kumbe ndio jadi yenu mnakata information

  • @MkonowachumaMkonowachuma-tr9ye
    @MkonowachumaMkonowachuma-tr9ye 5 หลายเดือนก่อน

    Makafiri n wale walio pokea kuran kwa pango

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 ปีที่แล้ว

    Huyo askofu haelewi kabisa,au ulimi umeteleza. Mohammed anapinga kuwa Yesu siyo Bwana na eti hakufa na hakufufuka. Kwa lugha nyingine Mohammed anatuambia kwamba Yesu alidanganya kuwa alikufa na kufufuka. Je,huoni kama huyo ni mpinga Kristo.

    • @omaar5693
      @omaar5693 2 ปีที่แล้ว +1

      Muhammad sio mpinga kristo kwa kusema yesu hajafa, hicho kifo ni feki na wauwaji ndio walio kudanganya kuwa amekufa na dhambi yako,,,,
      Ni hao WAUWAJI, yesu hakufa hadi hivi sasa hiyo ndio imani na mapenzi na sio kumpinga,,,,
      Mungu siku zote ndio mshindi,,
      Lakini yeye awe bwana aliyemtuma atakuwa nani???
      Matt 11:25
      Wakati huo Yesu alisema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia....
      Labda uchukulie bwana kama kaongozi mwalimu nabii

  • @KhamisiKelly
    @KhamisiKelly 11 หลายเดือนก่อน

    Kinyogoli mambo mbaya 😂😂😂😂

  • @aishakhalfan8203
    @aishakhalfan8203 3 ปีที่แล้ว +1

    Eti aliyevunjika mapumbu 😂😂

    • @binahmedjuma8681
      @binahmedjuma8681 3 ปีที่แล้ว

      Hii ilinichekesha sana! 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏃🏃

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 3 ปีที่แล้ว +1

    Rehma na Amani kwa ma sheihk wetu Barka'llahu feek, Mazinge na wenzake mwisho mwema kwenu

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 6 หลายเดือนก่อน

    Inatoxha kinyongori

  • @fatumaakida6952
    @fatumaakida6952 ปีที่แล้ว

    Kinyogoliiii una nn lakin😁😁

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 6 หลายเดือนก่อน

    Lete vitu kinyogori

  • @SalmaAbdul-zz7dy
    @SalmaAbdul-zz7dy ปีที่แล้ว

    Makafiri hawana lao ata moja

  • @azizimatahuka2012
    @azizimatahuka2012 4 หลายเดือนก่อน

    😅 kinyogoli bhana

  • @mustafasalehmwanamilongo217
    @mustafasalehmwanamilongo217 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha mema duniani kaburini na kesho ahera

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 6 หลายเดือนก่อน

    Pole pole kinyogor

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 ปีที่แล้ว

    Hebu kinyogoli tuonyeshe hilo Andiko Yesu anaazima punda na kuahidi kumrudisha? Yesu. Hajaahidi kumrudisha alimtaka apewe moja kwa moja

  • @yusuphmohamed8560
    @yusuphmohamed8560 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh hapo Sheikh Said Juma Kinyogoli uko sawa kwa mujibu wanavyokwenda hai rafiki zetu wa upande wa pili.