ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Tunaisubiri kwa hamu sehemu ya tatu.sheikh wetu .tunayapenda sana mawaidha yako.unaufasaha wa hali ya juu.mashallah.jazaka llahu lkhair
Mashaallah sheikh wetu.Tunakupenda sana Dr sulle 💪💯💥🔫
Tuna penda sana kwakutujaza Imani mdani ya nafsy zeto
MashaAllah mungu akulinde shekhe wetu
Asalam Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh DR SOULE, ALLAH Akupe kila la kheri
Masha Allah, Sheikh. Ila maelezo ni mengi mno yanayojirudia,na yenye kutuchanganya
Ma sha Allah I have lean a lot Dr sulle Allah akupe ❤afya jemah
Mashaallah tunasubiri sehem ya 3 doct
Dr mungu akuweke
Mola akuhifadhi dr sule
Mashaallah🤲🤲
Tupe irimu❤❤❤❤❤❤❤
Mashaalah asant san shghe wetu mngu akujaalie kila la gheri
Assalamaleykum , mashalaallah Dr sule shukran jazeelah Ya Allah akuifadhi barakallsh. Mm niko kenya nitapata card vipi?
Wanasema nabii isa kazliwa kweny zizi la ng'ombe 😂😂 allah awaongoze shukran kwa somo zuri
Iriiiiiiiiiimuuuuuuuu hiyoooooo....
Mtume s.w.a aliswali rakaa mbli kablaya kupewa swala,je alizswal ktk mfumo gani?
Ukiwa n sheikh Othman Michael wakati mnafanya mchango wa ujenzi wa Msikiti, ulisema distance aliyotembea mtume ni KM 4000 kama umbali kutoka kenya mpaka south Africa, leo unasema KM 1400, sawa tu kukosea kupo
Nitaipataje na mm
Hata mwanza kuna jiwe halijagusa chini nalo n la peponi au
Hata lile la yerusalem alipoanza safar sio la pepos lilizuiwa tu hakuna alie sema ni la pepon
Mafunzo mazuri lakini unatoka ndani ya mada
Tatizo hamjibu msg wala sim hampokei
Tunaisubiri kwa hamu sehemu ya tatu.sheikh wetu .tunayapenda sana mawaidha yako.unaufasaha wa hali ya juu.mashallah.jazaka llahu lkhair
Mashaallah sheikh wetu.
Tunakupenda sana Dr sulle 💪💯💥🔫
Tuna penda sana kwakutujaza Imani mdani ya nafsy zeto
MashaAllah mungu akulinde shekhe wetu
Asalam Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh DR SOULE, ALLAH Akupe kila la kheri
Masha Allah, Sheikh. Ila maelezo ni mengi mno yanayojirudia,na yenye kutuchanganya
Ma sha Allah I have lean a lot Dr sulle Allah akupe ❤afya jemah
Mashaallah tunasubiri sehem ya 3 doct
Dr mungu akuweke
Mola akuhifadhi dr sule
Mashaallah🤲🤲
Tupe irimu❤❤❤❤❤❤❤
Mashaalah asant san shghe wetu mngu akujaalie kila la gheri
Assalamaleykum , mashalaallah Dr sule shukran jazeelah Ya Allah akuifadhi barakallsh. Mm niko kenya nitapata card vipi?
Wanasema nabii isa kazliwa kweny zizi la ng'ombe 😂😂 allah awaongoze shukran kwa somo zuri
Iriiiiiiiiiimuuuuuuuu hiyoooooo....
Mtume s.w.a aliswali rakaa mbli kablaya kupewa swala,je alizswal ktk mfumo gani?
Ukiwa n sheikh Othman Michael wakati mnafanya mchango wa ujenzi wa Msikiti, ulisema distance aliyotembea mtume ni KM 4000 kama umbali kutoka kenya mpaka south Africa, leo unasema KM 1400, sawa tu kukosea kupo
Nitaipataje na mm
Hata mwanza kuna jiwe halijagusa chini nalo n la peponi au
Hata lile la yerusalem alipoanza safar sio la pepos lilizuiwa tu hakuna alie sema ni la pepon
Mafunzo mazuri lakini unatoka ndani ya mada
Tatizo hamjibu msg wala sim hampokei