Lilian Lema Afunguka Kuhusika katika Connection na Aslay, Mama yake Mzazi alivojisikia! Part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
  • Lilian Lema afunguka ishu ya Connection yake na Aslay! Aelezea ilivyotokea hadi Kanisani kwao
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 22

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 25 วันที่ผ่านมา +3

    Sawa Lilian lakin mhona unajieleza pasipo kuulizwa maswalii lakn unajieleza vizuriii...nimeipenda iyo

  • @safiyabenda9535
    @safiyabenda9535 25 วันที่ผ่านมา +2

    I love her🥰

  • @danielmsanga
    @danielmsanga 26 วันที่ผ่านมา +1

    Umeua mzee ommy

  • @Better0world
    @Better0world 26 วันที่ผ่านมา +4

    Ila harmonize😄

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 25 วันที่ผ่านมา +1

      Mnajiendekeza snaa

  • @RoseMsiani
    @RoseMsiani 25 วันที่ผ่านมา +1

    Zdaaah kwel unafaa maan unaongea Atari

  • @hassanimsizilo
    @hassanimsizilo 26 วันที่ผ่านมา

    Unyama sana

  • @m.vmediazawadi4570
    @m.vmediazawadi4570 22 วันที่ผ่านมา +1

    kazuli sana kama lulu eliza

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 22 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 20 วันที่ผ่านมา +2

    I do love Lil Ommy, mambo ambayo watu wanachukulia negative huwa anajutahidi kuyachimba ili tujue ukweli, firstly watu walikuwa wanachukulia huyu binti kama vile ni katoto kadogo, pili walikuwa wanamchukulia kama vile ni muhuni tu na hana elimu yoyote, now tumejua kuwa kwanza sio mtoto, maana kama kasoma miaka mitatu chuo kikukuu na akamaliza 2017 maana yake sio mtoto mdogo, but also ni msomi, ana akili, from now on mpeni heshima yake

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 25 วันที่ผ่านมา

    Hyu ndio yke dda alileta mchakato mzima wa wtoto wa elfu mbili sio.

  • @mussambilinyi423
    @mussambilinyi423 15 วันที่ผ่านมา

    Mcheshi sana huyu bint

  • @suzymike78
    @suzymike78 24 วันที่ผ่านมา

    Kanajiamini sana

  • @user-gh3zf4ow4c
    @user-gh3zf4ow4c 26 วันที่ผ่านมา +2

    Lema WA wapi jaman

    • @redmarkcreations45
      @redmarkcreations45 25 วันที่ผ่านมา +1

      Lema ni mchaga

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c 25 วันที่ผ่านมา +2

      @@redmarkcreations45 Namm ni mchaga halafu ukoo wangu pia ni lema

    • @kimchi-91
      @kimchi-91 22 วันที่ผ่านมา +1

      Nigeria 🇳🇬

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c 22 วันที่ผ่านมา +1

      @@kimchi-91 Mim natokea Kilimanjaro Kijiji cha kyier

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 21 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@user-gh3zf4ow4c😮kumbe unajua af sababu nawewe ni lema. ulikua unatujaribu au

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 21 วันที่ผ่านมา +1

    wachaga wazuri nyie