UTACHEKA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYO MZODOA MWIJAKU KESI YA BILION 5 KUMLIPA MASOUD KIPANYA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2024
  • #bongo24 #dottomagari #mwijaku
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 77

  • @LeodigaryPatrick
    @LeodigaryPatrick 13 วันที่ผ่านมา +20

    Daah nimecheka Sana yani dotto angekuwa hakimu mwijaku angefungwa haraka sana.😂😂😂😂😂

    • @SalumAuka
      @SalumAuka 12 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @AmirAbdallah-pr4uq
    @AmirAbdallah-pr4uq 13 วันที่ผ่านมา +2

    Niwe muwazi Dotto magari nakukubali sana kaka

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m 13 วันที่ผ่านมา +6

    Doto nakukubali kinoma

  • @AhmedSalim-tm5rp
    @AhmedSalim-tm5rp 13 วันที่ผ่านมา +7

    HESHIMU USIO WAJUWA😢

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 10 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😅😂😅eti jitu jinga.linaharibu umeme

  • @samkitwima7933
    @samkitwima7933 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa mara ya kwanza huyu Dotto Magari amenifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-do2qp5fv9b
    @user-do2qp5fv9b 7 วันที่ผ่านมา

    Yaani doto amenichekesha sana duu

  • @user-princs
    @user-princs 13 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana Dotto huyu aadabishhwe maana ataendelea kuwatoa watu machozi . Mwijaku anajisahau sana anaona dunia yakwake anatesa mioyo ya watu sana.inatakiwa apewe nokos moja ashike adabu sio wanawake sio wanaume anawadhalilisha sana .mnafiki sana anajificha nyuma ya kivuli cha dini

    • @williamreuben4866
      @williamreuben4866 13 วันที่ผ่านมา +1

      Yaan sijui Kwa nn Diamond asimchukulie hatua na yeye Kwa kua anamdhalilisha,jamaa linajiona kuwa lenyewe ndio kuliko mtu mwingine,achukuliwe hatua za kinidhamu,

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 13 วันที่ผ่านมา +2

    Doto bwaaana👍

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu sio asmani yamemkuta eti weeye maisha yako kama ya puppies zake iliniumaaaaaaaa

  • @HassanAbdul-xb3dk
    @HassanAbdul-xb3dk 13 วันที่ผ่านมา +5

    Dotooooooo

  • @user-hd6do9wt3u
    @user-hd6do9wt3u 13 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂😂 dotto leo nimechek yangu yote

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman 13 วันที่ผ่านมา +3

    mdomo jamani uyu😮😮😮

  • @EdgarEliud-su9bf
    @EdgarEliud-su9bf 13 วันที่ผ่านมา

    Dotto saf sana ilooo limwijaku maneno aangalii watu wakuwasem kila mtu payu payu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 13 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂 DOTO KAKANYAGA KWENYE KIDONDA😂😂

  • @user-wu7ou4ns4j
    @user-wu7ou4ns4j 13 วันที่ผ่านมา +1

    Aende jela tu
    Maskini mwi
    Umekuwa mpole

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 12 วันที่ผ่านมา

    Sasa si unyamanze doto tumsikilize Mwijaku.

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 13 วันที่ผ่านมา +6

    Yaani mimi nilisema mapema kuwa pesa mnazo pewa zinawapa kiburi sana

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 nakubali dotto,huyo yamemkuta

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 13 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku limbukeni apelekwe mahakamani tu akalipe fidia ili akome tabia yake yakijinga ikibidi afungwe ata miezi Cita achapiwe mkewe vizuri

  • @amirkhamis3820
    @amirkhamis3820 13 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku ana zarau sana .
    Nadhani hilo lililomkuta ni moja kati ya mafunzo ambayo anatakiwa ayapate.
    Jambo lililonikera zaidi kwenye upuuzi wake ni pale aliposema kwamba chakula cha mbwa wake ndo maisha yetu cc wengine. Aisee ameniudhi sana .
    Alafu nataka niulize kwani mwijaku ni muislamu au ni nani simuelewi mm.
    Eti expensive life mkewake anatembea uchi mwisilamu gan huyo.

    • @helenkambi3918
      @helenkambi3918 10 วันที่ผ่านมา

      Kweli mke anakaa uchiuchi tena anafuga mbwana ndani ya nyumba

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 13 วันที่ผ่านมา +4

    Anaropokwa sana mwijaku angeenda kumgalagaza mahakamani mbwa huyo wakuja

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 13 วันที่ผ่านมา

    Khaaa...Ila Dotto khaa eti MASUDI Kipanya yupo Tangu 9 Disemba anachora Vikatuni...😂😂😂

  • @edwardriwa1995
    @edwardriwa1995 13 วันที่ผ่านมา

    Alipomaanisha Content sasa😂😂

  • @IddSaid-gu2kt
    @IddSaid-gu2kt 6 วันที่ผ่านมา

    Bro wako wengi kama hao

  • @YakoboSimon-wr7ru
    @YakoboSimon-wr7ru 13 วันที่ผ่านมา

    Nyie nmecheka saaan 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ongea kilichokuleta😂😂😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 13 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂 WE HUOGOPI😂😂

  • @Esquire266
    @Esquire266 13 วันที่ผ่านมา +5

    #Wakenya tunasimama na Mwijaku 🇰🇪

    • @helenkambi3918
      @helenkambi3918 10 วันที่ผ่านมา

      Sio wa kenya wote pls

  • @DamianMazengo
    @DamianMazengo 13 วันที่ผ่านมา

    amejifunza atatengeneza breck za mdomo wake maana zilikua zimefer kabisa

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 12 วันที่ผ่านมา

    Hahahha kwel kaka sio pw

  • @ShidaDoza
    @ShidaDoza 13 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku anamaliza 😂😂😂😂😂 dotto hatar😂😂😂

  • @florayoram9563
    @florayoram9563 12 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 ukicheka na nyani lazina uingie nae msikitini mlimchekea sana huyo mmbea wa maisha ya watu kwa sisi tukio soma cuba hajamsema masud peke yake ameikashifu tasnia yote ya clouds na mmiliki wake😂

  • @ommylax7231
    @ommylax7231 12 วันที่ผ่านมา

    Vita vya Panzi furaha kwa kunguru 😂daaah nimeamini

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we 13 วันที่ผ่านมา

    Duh Dotto😂😂😂

  • @Bless215
    @Bless215 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kama hata media zingine zinatumia sns aka sauti na simulizi kwenye Story zao gonga hapa

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats 13 วันที่ผ่านมา +1

      Hajatumia ni doto magari ameplay kwe TV maana ameconet you tube pale. Doto magari anamuangalia mwijaku kwenye tv na ndio video imefafanuliwa na sns.

    • @imeldastephano9221
      @imeldastephano9221 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli mwijaku umemkosea sana Masood

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 13 วันที่ผ่านมา

    Dotttoooò

  • @KhadijaSelemani-wt8np
    @KhadijaSelemani-wt8np 11 วันที่ผ่านมา

    nimeamini ule usemi wa malipo hapa hapa duniani ,,hasa nikikumbuka alivyokamdhalilisha menina

  • @driss4957
    @driss4957 12 วันที่ผ่านมา

    KAYAKANYAGA KWA KIPANYA,MTU KAWACHORA KINA MKAPA,SUMAYE,MREMA,DITOPILE MZUZURI, HALAFU HUYU WA KUJA KUTOKA BUKAVU" ANAJIFANYA ANAMJUA...KIPANYA WA KIMJI TOKA ENZI ZA KINA CISCO MTIRO"...Uchaguzi WA TMK 96.

  • @Kibudu
    @Kibudu 13 วันที่ผ่านมา

    Kwann anaomb msamaha huku anarejea kosa,,, hapo soln ni court ajulikane mkweli.

  • @mvitahamad2126
    @mvitahamad2126 11 วันที่ผ่านมา

    Kwan ww doto ulishakosea wangap

  • @adrianmnzava8165
    @adrianmnzava8165 13 วันที่ผ่านมา +2

    ila dotto

  • @jobharry9009
    @jobharry9009 13 วันที่ผ่านมา

    Wee fala unamuona masoud ni sawa na baba levo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 13 วันที่ผ่านมา

    Kesi iende tu mahakaman amezoea huyo kila wakat anawatusi watu alafu anaomba radhi ikawa akageuzwe mfano tu uko mahakan, wanatumia kujuana na mama Samia ndo sababu ya kuwadhalilisha watu, akatoe tu iyo B5

  • @law93king
    @law93king 12 วันที่ผ่านมา

    daaaaaah😂😂😂

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 13 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 13 วันที่ผ่านมา

    Doto unaongea na tv 📺 ten

  • @NyandaMakambuya
    @NyandaMakambuya 12 วันที่ผ่านมา

    Hahaha😂😂

  • @user-fr4qm2ub2d
    @user-fr4qm2ub2d 13 วันที่ผ่านมา

    Hahahah daah dg msameheni jaman

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha8623 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Eeti Bundi 😂

  • @msongamwinyi2877
    @msongamwinyi2877 13 วันที่ผ่านมา

    Huyo alipe binafsi nimemchukia masoud kwasabu ya mwijaku ili niwe sawa alipe fidia

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂amezid sana akalipe Hela,,au aende jela,,Ili iwe fundisho Kwa wangine

  • @PedroMaumo-eq8kc
    @PedroMaumo-eq8kc 12 วันที่ผ่านมา

    Control your emotions mwijaku

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 13 วันที่ผ่านมา

    Nacheka kibuli yake

  • @user-ef7tc3tq7w
    @user-ef7tc3tq7w 13 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku fala anawamukia watoto kisa pesa

  • @Islamawadh
    @Islamawadh 11 วันที่ผ่านมา

    Ameyatimba 😂

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 13 วันที่ผ่านมา

    Ameyatimba 😅😅😅

  • @FrankLutemela
    @FrankLutemela 13 วันที่ผ่านมา

    Amepoaa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂dadekiii kaingia pabayaaa pumbaav

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 13 วันที่ผ่านมา

    Hahahahaha

  • @saidmalik6714
    @saidmalik6714 13 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅😂😂😂

  • @karimacro
    @karimacro 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mwijaku anazalau watu sana

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 13 วันที่ผ่านมา

    😆😆😆😆

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 13 วันที่ผ่านมา

    Kayatimba huyo bwege, masoud kp ni legend hapa tanzania kitambo kuliko wewe mshamba wakuja mwaijaku

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 13 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku kamdhalilisha sana menina na akashinfa mahakamani Kwa udhalilishaji masoud kaka mpeleke mahakamani huyu nyau ashike adabu yake

  • @Esquire266
    @Esquire266 13 วันที่ผ่านมา

    Mheshimu Alhaji Mwijaku

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 13 วันที่ผ่านมา

    Alipe fidia maana amezidi kuzalilisha watu

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 13 วันที่ผ่านมา

    Dotto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-sz1lw9kq5s
    @user-sz1lw9kq5s 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 13 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂