AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA
Baada ya kushika hatamu na kuzungumziwa sana katika mitandao mbali mbali ya kijamiii nchini kinywaji chenye asili ya pwani maarufu kama Ali kasusi ambacho kila mtu anakizungumzia kwa namna yake Global radio ikazungumza na mtengenezaji wa kinywaji hicho ambae amefunguka mambo mengi watu wasiyioyajua kuhusu kinywaji hicho
GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...
Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu,
Taifa linawaza ngono tuuuu.....kila kitu ni nguvu za kiume,kuongeza uume,kupunguza uke,limbwata yaani ushirikina na ngono tuuu na inasikitisha kuwa mambo ya maana watu hawana tena umuhimu nayo,zinaa tuu
Unatafsiri vizuri kabisa. Ina leta énergie.
Energy og hiyo acha kabisa
Namuona gabi mtanzania mzee wa mpo africa
Ama alkasus nahisi wanachanganya jina Kama kiarabu Kuna miti shamba unaitwa arqa sus au araqsus unafahamika nguvu yake ya kutibu na umetajwa kwny vitab hadithi Kama zile Sana makki na qisti Hindi nahisi Hawa wameupa jina mchanganyiko huu kutokana na jina la mti fulani .haitakuwa sahihi sana
As eeeeeeeeee AL kasusi kuna siku ilintesa sana
ilikutesaje niambie rafiki
@@gwakisaezekiel2576 ikipikwa kali inakua km eneji hulali mm nimewahi kutokulala kabisa
Haya shehe wangu
Haya baba
Hii nimeielewa kwamba ukinywa mwili unachangamka hari ambayo inapelekea viungo vyote kua active ndio maana watu walipokunywa wakasema inaongeza nguvu za kiume sababu waliinuka upya
Mtangazaji ana kithethe duuh hii mpya
Sim naomba yake
Ndio nin sasa?
Huyu Kaka hataki kusema ukweli lakini alqasusi ni dawa nzuri mwili mzima inafanya kazi papo kwa hapo asikosoe wenzake ni kweli pia upande wa nguvu za kiume mwenziwe kaeleza alichokijua na yeye aeleze ayajuayo so kukosoa mnanini watanzania kitafuta umaarufu na vipaji vya watu elimu ni bahari isiyo na mwisho
Hakosolewii mtu unaelezea uhalisia soko limevamiwa hata km mtu hajui hatak kujifunza ajue yeye hukologatu hatimaye wengine huona haifai na ikiwa ina refresh mwil ndo mana huona kunautofauti nyumban na km ingekua kwa ajil ya nguvu za kiume ingekua na affect kwa wanawake na watoto
Huo mti kwa kiarabu unaitwaje?
Hehehehe huyu jamaa anawadanganyeni!! Mimi ni mpishi, mimi hicho kinywaji pia natengeneza naita 5 Star***** chai!! Ni nzuri saana kwa imuni sistumi ya mwili wako! Pia inasafisha damu,cells pia brain!ni nzuri saana kwa mtoto kwani atakuwa na akili nyingi saana! Mtoto wangu kasimama na kuanza kutembea na sasa anaongea, Yuko na mwaka1 miezi nane!
Wapatikana wapi
@@nageryt mimi niko Vienna!!
Number zako
Lilian kwani wewe unaishi Vienna?
@@hajiiddi1085 nipe numba ama email
Huyo jamaa anaweledi wa hali ya juu,ni mwerevu sana kukwepa maswali ,lakini amefafanua vizuri Sana.Kwakifupi hiyo Al kasusi ni Kama Energy Drinks UTAMU WA PIPI NI MATE YAKO Bye.
Kuna ankasus na alkasus mwanzo twafahamu ankasus ndio ilikuwa famous ni duni isio na kahawa Yani viunngo na dawa vinakuwa Kama buni na kahawa yake yafanana na hii Ila ni na ni decaffeinated ama alkasus naona wanatumia na maziwa kitu ambacho Kama ni dawa huwez ongeza na maziwa hususan Hawa maziwa ya Sasa
dah
Tunaomba namba yako mtaalam
0712618888
Nikweli unaokowa vjana mara nyigi maboss wanajiangalia wao tu
Ak kasusi Simon drugs
Al kasusi achana nayo, mara ya mwanzo nliinywa kule zanzibar yaan dah aiseee hatar
Kw English inaitwaje na cc tuweze kuipata huku tulipo+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
English unaitwa liqorice kwa kiarabu ni عرق السوس Ila sidhan Kama ni hii alkasus jina la mtaani unless wawe wanachukua poda ya hio arqasus (liqorice)Kisha ndio wanaifanyia chai take hapo tutaelewana kiufupi bado Sina hoja sahihi kwsbb sijawah kuitumia najisikia tu
@@nusalim3389 🙏
Mume Wang ukinywa iyo sikutaki
Utoe namba kaka
0712618888
@@muskeko7187 oky
@@muskeko7187 upo keko sehem gan
@@hayrounmahiza6618 keko furniture
Al kasusi nijuavyo mimi tangu enzi tuna itumia kama dawa ya kifua tena kipande kidogo unatafuna sasa hivi habari za nguvu za kiume zimetoka wapi tena bora mus keko umesema ukweli iyo ni dawa ya kifua bika ya kuchanganya na kitu kingine
Ongeera
Hahahaha nakumbuka zanzibar watu warikuwa wananiambia uza al kasusi bwana
Uku Oman ipo mingi
Nambiye my mkiarabu inaitwaje???mim niko saudia
@@najat.n2390 ngoja niwahulize nitakujibu
@@fatemaligalawa4151 sawa my love 💋shukran
@@najat.n2390 wanaita nusu coffee
Nescafee??????
Uongo mtupu haitibu chochote muogope mwenyezi mungu we
Km kwl unaelimu yake unahaki ya kusema ivyo
Hata Dodoma
Kuna wale wengine wanawekaga Viagra ndo unafanya hivyo, Ila kwa hii yako ni og
Mikoani inafika vp hiyo kitu
Unatumiwa unga na kupewa maelekezo
Mus Keko npo dar nahitaji unga niutume mkoani
Kumbe mpk pumu inatibu aah lazma niitafute
Ungo mtupu haitibu pumu hiyo
Yuko mtu Pemba juzi nimezungumza naye pumu inasumbua paka kaenda kupiga sindano
@@mohammedmussa7378 al kasusi mti unatibu pumu na namtibu bure mgonjwa wako na akipona tunakubaliana ndo unatoa malipo sindano inatuliza haitibu usimkatishe mtu moyo kwa kitu cha kumsaidia elimu pana call 0712618888
@@muskeko7187 kuna mtu Yuko Pemba anasumbuliwa na pumu Sana inamfanya asipate raha ikimuanza
@@muskeko7187 je, alkasusi inasaidia katika mzunguko wa damu mwilini ? Na je, humsaidia mtu aliyeathirika na udhoofu wa uume ? Naomba maswali mawili unijbu 1 baada ya 1 shukran.
Hivi wanaume wa dar mnashida gani ? 😁mmeshahama kule kwenye bando la karanga.nazi. tende nk. Mnakwama wapi?🤓🤓🤓
Mikoani inafika vp hiyo kitu
Chips kuku tatizoo wanashindana na madada kula chips wakimaliza wanakimbilia al kasus😄😄😄
@@maryammaram2612 Mungu wangu jamani poleni sana .Wasichana wa Dar, pamoja na Wanaume zenu🐱🐱🐱
@@applestru_cape2219 😂😂😂 watajijua wenyewe wache wawaongezee kipato wenzao kwa kunywa al kasusi kwa wingi
@@maryammaram2612 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿