pamoja na kuwa na mwamko wa kileo na mambo mengine lakini kama mtoto wakiislam , kuvaa msalaba ni kosa kubwa sana . na mimi nawajibika kukumbusha tu, pumzi zako zote zinaweza kusimama in a sec , kwa mungu hakuna kubwa, n ushauri tu. kwako Salama.
@@anastaziamathias8861 eee tujifunze kuishi vyema kwa ajili ya muumba wa mbingu ardhi na vyote vilivyomo Ha Kuna atakae Baki Ila tuchunge mipaka ya muumba wetu
eti ameolewa tena na ata huna adabu unaolewa ukiacha mume wako wa dini kwa machozi kumbuka alikua myonge kwako lakini mungu sio mchoyo wa g nimekupa mda kifupi tuu utatoka pia wewe dida wewe ni mayala sana je ukilala usiku unawaza nini ama kende lala ndani ndio zako haha duh tafakari hilo usiku moja wazimu wa mapenzi jicho ndevu kahaba wa g
ikisha huyu salama ukimuona anavo vaa kama haja soma kurani kumbe anajua kila sura msahafuni na juzuuni kakini anavaa kiumbe mmmh mtihani kweli kweli yani
Wangapi wameirudia kuwangalia kama mimi LIKE 10 😢😢leo R. I. P DIDAH 😢😢😢JAMANIII LEO TRH 9/10 2024 😢😢
❤
Tuliokuja kuangalia baada ya kifo cha Dida tujuane. R.I.P 😢
Me mmoja wapo
Innalillah wainaillaih rajiun
Pumzika dida
Kumbe ulikuwa na rangi ya chochote nzurii
@@bahatimwakilima3273 tena alikua mnene hivi maskin
Me pya
𝐌𝐞 😢😢😢😢
Ni mzuri jamani ❤RIP sis nimefika hapa baada ya kuskia msiba wako 😢😢😢🇩🇪
Hata bikizee akipambwa utamsahau
Raha ya milele umpe eeh bwana na mwanga wa milele umuangazie alumzike kwa amani amin😢
Daah Leo nimesoma ya Ezden kumbe kuna Gervas na wa awali Mchops, pole dada!!
Sitachoka kukutazama dida wangu jamn nimeukia sana sana sana
Kumbe alikuwa ana mwili mwili MashaAllah mcute pia. Mwishoni akawa ki-portable RIP Dida
Alikuwaga mnene kumbe daah 😢😢vidonda vya tumbo vinakondesha sana ht dada alikonda kwa vidonda vya tumbo 😢😢😢Allah ampe kauli thabit kaburini mwake inshallah 🤲🤲
Mmmhh
@@khadi-z4o kanye
Acha tu wengine tunavyo vinatesa SANA 😔😢
@@1599k6g pole sana tafuna sana mahind mabich yale yanayotoka km maziwa maziwa
Ushaambiwa aliacha dawa unajua dawa gani?? Vidonda unatumia dawa kila siku???
Sister inna Lilah wainna ilaih rajioun daah kama utani😢😢😢
BAADA YA KIFO NIMEKUJA😢
RIP DIDA,,LEGEND
Eee haki kifo hakina huruma😊
pamoja na kuwa na mwamko wa kileo na mambo mengine lakini kama mtoto wakiislam , kuvaa msalaba ni kosa kubwa sana . na mimi nawajibika kukumbusha tu, pumzi zako zote zinaweza kusimama in a sec , kwa mungu hakuna kubwa, n ushauri tu. kwako Salama.
Wewe ni mtu wa IBRA
Mashaallwah uloeleza yamekuwa
Alitabiriwa na wengi arudi kwa mola
Wahenga walisema
Mdomo uliponza kichwa
😢😭😭
@@FarhanahannanaHassanahanamwambia salama maana yeye ndo kavaa msalaba hakuna atakaeishi milele hata wewe utakufa
@@anastaziamathias8861 eee tujifunze kuishi vyema kwa ajili ya muumba wa mbingu ardhi na vyote vilivyomo
Ha Kuna atakae Baki
Ila tuchunge mipaka ya muumba wetu
Jamani m uwa namkubali xana uyu salama jabir....
tulia kwenye ndoa zako dada acha kufunda wenzio alafu we mwenyewe kicheche na muogope mungu hii dunia atakufunza umri haurudi nyuma dada
Hivi upo au na ww umeenda 😢
Khaaah 😂😂😂😂 ila BONGO SHIKAMOO 😊@@OfficialA83640
😂😂😂 astaghafiruallah laadhiim dah jmn ALLAH atujalie mwisho wema na kupata mwisho mwema lzm tuuutafute @@OfficialA83640
😂😢@@OfficialA83640
Naona keshaaenda huyu sibure
@@OfficialA83640
Leo tarehe 11/10/2024 nimekuja tizama baada ya kifo Cha dida r.i.p dida😢😢
Watu waliopita kwenye hiki kipindi wengi hatunao 😢
Uko wakati wa kujuta utafika mcheni Allah mlejee kwa kwake Dada zangu
Ufedhuri sio
That's true
Allwahu aqbar
Kibr cmaungwana
nakupenda dida
Ana kipaji kweli
😍Daah Salamaaaa aisee, umenifanya nisisikie vema kwa miondoko uliyoonyeshwa
Daaaaa muda mrefu sana miaka 12 uwiiiii hata smart phone Sina jamn rest in peace 🕊️ hakika sisi ni WA Allah na kwake tutarejea
Nampenda DIDA jaman mm
Ila nawe Salama ni exeptional. Big up sana....
Nimeangalia leo tar 10 /10/2024😊
Kama mimi
Pamoja
Innalilah waina ilah rajiun ALLAH amjaalie kaul thabit Amin
Kipindi kizuri, maongezi poa lakini ia Big up kwa Taji liundi kutoa vipaji kisha vikakutana kumkubabali kuwa amesaidia
we dida si kungwi kiche
INNALILLAH WAIN ILEIHI RAJ.UN
Nimeskiza hiii 2024 Dah maisha lakini ....
Yaan hpo alikuwa ana miaka 30 hii interview ina miaka 12 now
Na alikua mzuri zaidi Mungu ampe makazi mema😢
@@husnakijoji3911Kabisaa mashallah ila mpk kifo chake amebadilika sana aisee
@@husnakijoji3911kabisa
Huyo mwanamme hapo kandoo anamtizams dida kwa kumtamani jamani au nimemuangalia vibaya😮😮
Humjui huyo n mudi hapo salun anaruhusiwa kuuliza swal kwasababu n timu ya Salama pia na huyo n mtengeneza kucha hapo salun
Namfurahiya Dada uyo Sana kwamaneno yake ya ukweli na ucheshi
big up sn hpo studio
Naikubali kazi yako salama
Mungu Akurehemu mwanangu
tutamkumka sana adija shaibu dida
Dida Allah akupe kauli thabit ❤️ ❤️
Mmhh
Atalipwa Na ALLAH Alichokipanda Kipindi Yupo Duniyani.
Usipoteze muda kibiriti tu
@@khadi-z4oHiyo ni kwa Kila mtu
Dida Malaya tu ...Mume wake Ezden alikuwa mpole sana
joseph charles, hii sura?
hilo kweli kicheche sana
Ya ndani huwezi yajua jamani, tusihukumu tu.
Watu wapole hatareeee na nusu
tatzo watu hujifunza ssaloni maisha ya ndoa
wamesahau bitanu vua din ndıo mwalimu bora!
na ndıpo mtaoana na kuachika kila wakat n uchafu tu!!
didamzurisana lroveyou Saramaumependezajeee w anaume ndiyowarivo songambereeeee
safi sana dida wa mipasho
Nakupenda dada dida
Dahhh salama wewe dini gani kwani ?
Wewe kahaba utakuwa unajiuza bila shaka
😢😢😢😢leo hayupo jmn
Amekufa dada mzuri sasa sijui why ulimuita kahaba Sad indeed 😢😢
@@palokuthereza2555Mzuri kwenye nini? Kila mtu ana mazuri na mabaya yake
Haha nmecheka salamAa alivyotembea😂
2024 pole dida
WATOTO WA MAKONGO MKO JUUU KAMA NAWAONA KIPINGU BRAND
Salama ww dini gn naona umevaa msalaba
Mayira Mayre haha😁😁
Salama umesema ukweli wanawake WENGI sio Tanzania tu bali hata nchi za nje ni most recklesss.... yaani ovyo kuendesha gari
gaagaaagaaagaaaagaaaagaaagaaaaagaa salama salama.....lyk thc craziee gorl.
taarabu aliridhi kwa mama yake, mamake alipenda mno taarabu mtaa mzima toka asbh anapiga tarabu tupu, hivo aliridhi bila kujua
Miaka 23 hujui kuishi na mume .
napenda sana mipasho yako dida
dida unaelimisha bali mbona hukai kwamabwana unatatizo gani mume watano huyo
Da salama vipi umeshaolewa ? Naona age inaenda zake hiyo
Wewe Malaya sana
Aaaah dida nakuwaminia kwa madogo unampa mtu ukweli na ndivyo inavyotakiwa kwa maisha baaabu kubwa!
tatizo nyinyi hamtaki kujifunza dini angalieni wenzenu.
he he heiyaaa mwachenu mtoto wa watu kufa kwaja kwa kila mtu mwenye haki ya kumnyooshea kidole ni Mola tu siyo sisi wanaadam wadhambi!!
Duhh😢😢😢
Didah jaman 😢
Dida,,,RIP. 😢😢😢😢
Much love RIP Dida
Kama siamini vile 😢
Tarehe 11 october 2024.
Ww Dida ni mwanamke usiye jielewa
eti ameolewa tena na ata huna adabu unaolewa ukiacha mume wako wa dini kwa machozi kumbuka alikua myonge kwako lakini mungu sio mchoyo wa g nimekupa mda kifupi tuu utatoka pia wewe dida wewe ni mayala sana je ukilala usiku unawaza nini ama kende lala ndani ndio zako haha duh tafakari hilo usiku moja wazimu wa mapenzi jicho ndevu kahaba wa g
ww mchepuko sana bora wema sepetu
jamani ww mbona kila siku harusi
huna lolote Malaya tu yani umepata mume mwenye din umeshindwa kumheshimu
kumbe ndo alivo uyoo hee aibu kazi kufundisha mwenziwe kumbe hana lolote heee
Nakipenda kipindi hichi cha mkasi.
Alikuwa mnene jomoni
Tena mzuri
Allah amrehemu mja wako huyu huko aliko
salama nashangaa na mavazi yako enyewe....mbona wavaa kiume hivo
Rip sis 💔
acha mawenge sister tulia aiseee
Pumzika kwa amani D
Kumbe unapendeza bila miwani
Big up dada
Rip dida
IVI SALAMA NAE KAOLEWA
Dida jamani😭😭😭😭
🕯️
Now I believe
salama acha ujinga uo mstaraba ww wa nn
🎉🎉🎉
heee kumbe salama nae anahaga hivyo!!!
😢rip
aaaaah!!! sasa kwani zimebana? c kawaida" dida" salama john" muhba mnatisha hatareee
Love u dida ake
huyo g ni ezden au nani?
Sioo
Malaya wewe unamjuaje mtu maiti hasemwi vibya mpumbavu mkubwa wewe anaumalaya gani we ndo uliolewa na huyo mumewake ovyo
😢😢😢
RIP DIDA
dida Malaya sana tulia punguza unahesabu ndoa kila ucha mmmh unatia aibu
dida kila siku unaolewa umeshindikanaaa punguza nyodoo
salma masoud
hahahahah nilikua nampenda kumsikiliza huyo kumbe hajatulia
Malaya sana
Baada ya msiba nimerudi kuitizama mkasi😢
Mama zima umalaya mtupu yule kaka ni mstarabu xana
😢😢😢😢😢
😢😢😢😢😢💔💔
R.i.p
😢😢
😭😭😭
Dida waukwee!
ikisha huyu salama ukimuona anavo vaa kama haja soma kurani kumbe anajua kila sura msahafuni na juzuuni kakini anavaa kiumbe mmmh mtihani kweli kweli yani
dida nouma
Salama umeweza
23 mdogo mmmmmmmm
Hapo sasa watu wanaolewa miaka 15
Miss you dida