KAZI NI KAZI: Kutana na Bi radhia kutoka Tanga anayeuza Alkasus Mujarab
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มิ.ย. 2020
- Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
ASSALAAMU ALEYKUM MY SISTERS I LOVE ALKASUSI I AM PROUD OF YOU AND UR FAMILY AND I LOVE UR JOB MY ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY WITH UR LOVELY. I AM ORIGINAL FROM 🇰🇪 KENYA MOMBASA BUT I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON. ONE DAY I WILL COME TO VISIT TANGA JUMA MUBARAK TO U AND UR FAMILY REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 WS.
Mashallah,allah awaongoze zaidi,
Tanga na zanzibar hatari kwa mapishi na hilo halina mjadala anae pinga anyee.
Naipenda
Safi Da. Radhia 👍
Wasafi nimewapenda
Naomba mawasiliano nipo mwanza nahitaji unifundishe, na wapi naweza kupata huo unga wa alksusi?
Naomba number ya simu kwa mawasiliano naBi Radhia tafadhal. Mimi naishi Congo
Sisi pia Kenya tunaitaji alkashusi tafadhali fungueni branh kenyaaaaa
Ilala wapi hapo kwa da radhia? Anyone to direct me please 🙏🙏🙏
Tupo ilala mtaa wa arusha na nzasa
Hii ni ile ALKASUSU au hii ni nyingine?
Hakuna namba yake nikaagizia Al Kasusi?
Tunaomba namba
Namba ya dada radhia tafadhar
Toen namba nasisi mtuudumie,
Tatizo mnazungusha saaaaaana maneno, zungumzeni mada halisi
Chezeeni watu watanga tu mtaibiwa waumezenu jaman watu wenyewe hao waonekana hawana waume apo sasa endeleeni
Naomba namba yako bi radhia tafadhali
Naomb no yako mumy nipo Arusha nataka kuwasiliana na ww
Da radhia naomba namba yako niko moshi
Nakujua jamani binkubwa
Nipatie no yake pls
Naomba mawasiliano nna shida na wewe tafadhal