Ninachokupendea ni kusema ukweli pamoja na kuomba kura lakin umewaambia ukweli mnataka barabara lakin wale walivamia barabara hakuna fidia ni wachache Sana wanao weza kusema ukweli kipindi Cha kampeni
KATAA CCM, tanzania ipone, Kwa kuishi na hofu, woga , kutishiwa, kunyanyaswa, kutekwa na watu wasio julikana, kuonewa, Stress, Njaa, shida ya pesa, wanawake kuharibu mimba kwa wingi, nguvu za kiume kwa msongamano wa mawazo kutokana na tabu za ccm. Hofu ya kubambikiwa Kodi na TRA. Ili upone na haya majanga yote unahitaji: Haki, Amani, uhuru na maendeleo. Piga kura chadema upate upone. ✌✌✌👍
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Tunakuombea kila kheri na amani katika maisha yako kwa hakika ww ni kiongozi bora tunakuoba ukimaliza miaka yako uje na huku kwetu +254 utukomboe twaumia na twafurahia kuona wenzetu wanafurahia maendeleo ya rais wao CCM HOYEEE
An kweli mawatyu nimajinga ....eti rushwa Huyu bdo ni rais jombaa...anapiga kampen na wakati mwingne anafany km rais achaga uree we rara...#maguDaima #mashogaWarudUbelgij
Una uza sound kama mnigeria, ujanja wa simu kuongea na mtu, umeleta ukabila wewe na dhulma na unyonge na njaa, kwanini usifanye yote miaka iliopita na ulikua raisi
Ninachokupendea ni kusema ukweli pamoja na kuomba kura lakin umewaambia ukweli mnataka barabara lakin wale walivamia barabara hakuna fidia ni wachache Sana wanao weza kusema ukweli kipindi Cha kampeni
Kumamae leo hii atokee mtu anamtukana rais wangu JPM napiga ngumi ya pua😯😯😯😯
Baba wakikusumbua nipigie simu tuwashughulikie
Acha matusi
KATAA CCM, tanzania ipone, Kwa kuishi na hofu, woga , kutishiwa, kunyanyaswa, kutekwa na watu wasio julikana, kuonewa, Stress, Njaa, shida ya pesa, wanawake kuharibu mimba kwa wingi, nguvu za kiume kwa msongamano wa mawazo kutokana na tabu za ccm. Hofu ya kubambikiwa Kodi na TRA. Ili upone na haya majanga yote unahitaji: Haki, Amani, uhuru na maendeleo. Piga kura chadema upate upone.
✌✌✌👍
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Maguful was best rest in peace always I miss you ❤❤❤❤
He talks the walk! Mzee wa vitendo!sio bima kwa kila mtanzania😂😂
Bina inawezekana kodi zikiongezeka ..
Ukweli ni zuri hongera magu wetu
All eyez on JPM katika ubora wake
Siamini kama umehondoka kipenzi
Mungu akusamehe makosa yako akuweke kwenye kundi la watu wema peponi
Tanzania ilikuwa naitwa maskini kwasababu ya mabeberu sawa na Congo2
Mmmmh
Magufuli is at home!!
Umefit mzee
Magufuli tunaomba shughulikia swala la KODI-TAX maana ni kazi kweli kweli
Aongeze au?
Nimekuelewa mkuu JPM kukubali ombi la jembe letu Shigongo
Tunakuombea kila kheri na amani katika maisha yako kwa hakika ww ni kiongozi bora tunakuoba ukimaliza miaka yako uje na huku kwetu +254 utukomboe twaumia na twafurahia kuona wenzetu wanafurahia maendeleo ya rais wao CCM HOYEEE
Kashakufa
Tume ya uchaguzi mupo wapi rushwa iakuwaga upande mmoja
Huyo ni raisi na hilo ni jambo la kitaifa sio binafsi huyo nirais sio mgombea tu
@@cmantz8837 Pia lipo katika ilani yao mwache alalame dawa imwingie magu woyoooo
Babo ni rais na hilo ni jambo la kitaifa
Rushwa
An kweli mawatyu nimajinga ....eti rushwa
Huyu bdo ni rais jombaa...anapiga kampen na wakati mwingne anafany km rais achaga uree we rara...#maguDaima
#mashogaWarudUbelgij
Una uza sound kama mnigeria, ujanja wa simu kuongea na mtu, umeleta ukabila wewe na dhulma na unyonge na njaa, kwanini usifanye yote miaka iliopita na ulikua raisi
J p m wew unaweza kaka
Nasikia language tyuu kwa chiini
Rais magufuri usiwaze miaka yako mi5 mingine umeshaipata ,Nani amchagua tundu, siatauza nchi, Kama makinikia tu aliisaliti nchi sembuse uraisi
Hiyo ruushwa ulikua wapi , ukiwamadalakani , mtoarushwa namba 1
Siyo magufuri ni magufuli
Magufuli hakuna cha miaka 5 tena imetosha Lisu ikulu lazima .
Kilema ikulu
Mtampeleka wewe?
Magufuli tosha hakuna kuficha hapa nani
Wee utakuwa wazili wake wa maji
Kwelihuu niutumwa mkipewa fanyenikazi lakinihuosiomdawake
Tofauti ya Magufuri na wagombee wengine ni moja anaingia kuomba kura uku akiwa bado ni Rais kwahiyo uwezi sema Ni Rushwa
@@cosmasdaud9088 nirushwa simgombea
Haa wejamaa mpige huyo alie changanywa na alufu yavitunguuu
@@kennedymboma8268 wew ndo hujui!! Sio rushwa kwakua huyo ni rais bado, nchi haijasimama lazima atatue matatizo ya watu
Kennedy utajiju na chadema yako
Ukweli ni zuri hongera magu wetu