JIBU la MAGUFULI kwa JAMAA Aliyemwambia AACHIE PESA, Utacheka!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- JIBU la MAGUFULI kwa JAMAA Aliyemwambia AACHIE PESA, Utacheka!
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...
Ninatamani Mhe. Rais uongezewe muda ukiwa nguvu uinyooshe nchi yetu tufike mbali kiuchumi na kimaendeleo. miaka 20 au zaidi itafaa zaidi. CCM oyee, CCM ni zaidi
Mimi huyu Rais ninamuelewa sana tena zaidi ya sana Kazi Kazi mapori na mabonde yapo kibao tuu ila watu wanapenda sana mtelemko
tupe maisha kama ya Gaddafi mh rais tuletee Tanzania ya kisasa bhagosha tuliho
Mhe. Rais hongera sana kupita nyumbani kwetu Igunga. Shida kubwa ya wanaigunga ni elimu ndogo sana waliyonayo hao wananchi. Ndiyo maana madiwani waliopo ni tatizo kwasababu wengi ni darasa la saba na wengine hawakusoma kabisa. Wengi waliingia kwa rushwa uchaguzi wa 2015. Ndiyo maana wanatoa shida ambazo kimsingi Mhe Rais unazishughulikia ikiwemo kero za hapo Igunga. Tunaomba rushwa idhibitiwe katika chaguzi zijazo ili wapatikane viongozi sahihi.
Huyu kweli kajiripua
Haaaaahaaa kweli kayavaa mabomu
"Asiyefanya kazi na asile",hakuna vya bure.
Pamoja na kusifiwa Rais JPM ,lakini alijibu ipasavyo kwa msimamo ule ule.
Igunga oyeeee
Mheshimiwa Rais pongezi kwa kazi nzuri unayoifanya. Nakuomba sana utusaidie tupate maji katika kijiji Kemondo kitongoji Rulongo wilaya ya Bukoba vijijini. Wenzetu wa Kemondo upande wa bondeni wana maji sisi wa upande wa pili nikimaanisha mlimani hatuna maji kwa miaka mingi sana. Tunge jengewa tank kubwa haya la Lita 20000 lingesaidia kusambaza maji kwenye baadhi ya vitongoji. Mungu akupe afya njema.
Hongera Magufuli from Kenya
Tolagwi mpadeke ela
I business man from Tz
I am looking someone from Kenya now we have our branch office Nairobi
saf sana mzee wang magufuli..sis tunaona kama mateso kwa sas kwajili weng walikua wamezoea vya bure sas hap ni kaz ili mtu ale saf sana mzee
Safi sana
Kuna maeneo hayajawahi kutumia maji ya bomba tangu Dunia hii iumbwe licha ya kuwa karibu na maji, Wilaya ya Mbogwe hakuna maji kuna maneno tu ya maji.
Maneno na ahadi siyo mahitaji ya watu,ni kweli hali ni ngumu na watu wanasema.
Umeona eeeh mbogwe kuendelea sijui
Jamaa alianza vizuri alisema barbara akasema maji mwisho kaja kuongea utumbo
Uyo mzee 😀😀😀sijui majib anaweka kwenye mfuko jmn nacheka kweli
Toka mm nizaliwe nasikia akuna ela mpaka Leo hii
Huyu jamaa huyu yupo Makini na kujibu maswali
Muheshimiw Rais hebu nenda mkow wa Tanga vijijin hasa wilay ya mkinga tarafa ya maramba na katazak na vijiji ukajionee mwenyew hali ilivyo kuwa mbay
Maramba ndio hm
Pamoj Idi shaban
Upo sahihi wilaya mbovu kabisa mi wa maramba uoza mtupu
Mi huko ni umamani tu lushoto IPO juu kule mi ubabani ninge kuona ugekunywa soda mi nikalipa
Kuna wilaya zingine zitateseka Sana kuhusu maji Kama Wilaya yakondoa kijj bereko SALANKA maji nitatizo bad kinamama wanaamka saa9 usiku kwenda kuteka maj
Hongera Sana Mh Sana mungu akuongoze
Konk magu
Mh yupo mkin na amejibu ukifanya kaz mpunga unakja wenyewe
Naomba sikumoja ufike na balabala ya kutoka kahama kwenda chona uone watu wanavyopatashida maji hakuna balabala mbovu naumia sana kuskia maji yanapelekwa sehem nyingine kiinza nikalibu nakahama ila maji hayajafika 😂
Hata mimi nimehisi maana anaonekana hata hapo alipo sio makazi yake
😂😂😂😂jamaa anataka kumpiga mzinga rais?
Sema amejiamin sana kusimama hapo cyo mchezo ww
Zingatia hiyo point ya mwisho mzee rais, ACHIA FEDHA.
Hapa kazi Tuuu💪 akuna jibu lingine
Aaaachie fedha hapo ndio umempiga kibao cha usoni baba Jesca.
Miradi yote ya maendeleo imeelekezwa Usukumani. Mikoa mingine watu wanalipa kodi lakini huduma hakuna. Alafu huyu Magufuli anatoa wapi pesa za kuwapa watu barabarani na hizi fedha zinaandikwa wapi?. Wapinzani lazima mumuulize huyu Magufuli wakati wa Kampeni. Mwisho mbona CCM hakuna wagombea wengine na naambiwa mnawatisha watu wakitaka kuchukua form mbona Zanzibar wagombea wako wengi lakini bara mnazuia watu kuchukua form. Vijana wa Vyama vya upinzani chukueni form kila mahali Tanzani mpate Ubunge Siasa inalipa. Sitaki kuwaona wafuatao wanarudi Bungeni; Ndugai, Lusinde, Msukuma, Mlinga na yule Mbunge wa Shinyanga anaongea Kisukuma Bungeni na yeye ni Mwarabu ha ha ha.
Tawala milele kwagukasembe maliwa😃 komaa baba Janet
Kweli tufanye kazi.
mh rahisi usipende kutumia rugha hiyo ya ajabu kwa kuwa hii nchi sio ya ukabila wewe ni raisi wa watanzania na sio wawasukuma peke yao....suddy tele wa ifakara
Hua anachanganya
Anaongea kila kabila huyu mh Rais
Akiongea kisukuma ndo kosa? Maana kila kabila huwa anaongea. Au hapo yupo kwa wapogoro?
Suddy Tele kumbe we hujamuelewa ukabila uko WAP???? Anaongea lugha ya mahari alipo ili wamuelewe vzr
Suddy Tele ,mbona anaongea lugha ya eneo husika watu wqnaelewa na ndo sababu wanamshangilia sana
Boss wetu achia pesa 2naangaika na maisha
Kwelikweli
Nimekuelewa mheshimiwa Rais wetu miaka 20 inakutosha
Hatar
Rais wetu wawa nyonge tembelea wilaya ya mkinga kata maramba ukaone hali ya mashamba ya watu binafsi halafu ni mapoli
Watu wa tanga naona kila siku mnalalamika humu, poleni sana na yanayo wasibu
Hizo ahadi toka uhuru tushazoea
Tunafanya kazi tena winter imeanza
Mambo mazuri hayaitaji haraka, Mheshimiwa Rais ananda mazingira ya wawekezaji, umeme wa uhakika miundombiu ya usafirisha, vyombo vya usafirisha n,k vyote hivyo vitawaleta wawekezaji na uchumi utakuwa imara daima, na sio kwa njia nyingine za haraka haraka
Unaitaji maji na maji unabeba bara bara zenu iyo maji nayo ndo atari
ume ongea point
hahahaaa mukatolwe
Anafanana na chenge
Tabora vipi malolo Mwinyi mitaa take hakuna mitaro
Kuna watu majasiri wa hali ya juu 😂.
Kam huyu jasiri sana
Tupo na ww mpaka 2040 atumtaki mwengi ss.
Mooo uko sahihi kabisa
hata ikiwezekana aendelee tena miaka mingine
mpaka 45
Sio lazima yeye ata waziri mkuu majariwa anaweza kutufikisha 2040
Nyie wote machizi Nyinyi;
"Mbon sijaona jibu la swali kuhusu fedhaa...
Na wala hutolisikia😄
Lumu Liy Fanya kazi pesa itakuja kwa kufanya kazi na akuna serikali ninayo lisha mtu Bali serikali itajenga mashule,madaraja,madawa,mabarabara,na mengineyo ya aina hiyo .....kwaiyo Fanya kazi ndio jibu la mh rais
Kashajibu.kasema vywabule vimekwisha navitaendeleya kuisha,ictoshe akaongeza kama hunapesa kaolewe.
C ndio anamjb hapo cha bure hamna
Mheshimiwa rais fika na huku maifola
Kweli huyo jamaa kaonyesha uzalendo
Wambie mana wamezoe kutofanya kazi, kazi kupiga soga na kujadil ya watu vijiweni
ziachiwe fedha uzipeleke wap?!
😂😂
Hahahaaa ww bhn
Sikilizeni majibu!
Kweli huyu jamaa sio mtu wa kawaida ukimfata mmmhhh
Rais anakazi kubwa sana kuwezesha maendeleo
Kazi tunafanya sana,ila hela ni shida,sasa hivi biashara hazitoki.
JPM mwisho wa matatizo 🦂pamoja tutafika 🙏tawala Daima
Atawale daima yy amekuwa MUNGU?
Kwani njaa siyo tatizo?
Tuanzie hapo kwanza
Pesa ikiachiwa sahau miradi anayo itekeleza Mheshimiwa Rais , Rais kabana fedha kuwa mikononi kwa raia ili miradi itekelezwe . Mimi nasema Rais endelea hivo hivo kwakua sasa naona hata kuna heshima huku mitaani kati ya tajiri, fundi , kibarua
Umeongea point
sana heshima ipo
Hongera mkuu wamekuelewa hakuna kiongozi atakayekuja kukuletea pesa
We chupi si bure
Safi sana
Mushimiwa rais ukipata ziara ya mkoa watanga fika mpaka wilaya ya lushoto kata ya vuga hakuna mundo mbinu kabisa baraba hazina rami lakini wapo.matapeli.wadanganyao wana nchi kila siku
Waambieeeeeee!!
Duuuh "mhutolwe" no nouma
"
Huyu akili ndogo, pesa unapewa mfukoni
Kaz kaz
Kweli Mkuu shida ni kuwa wa tz si wapiga kazi navsi watu wa kusubutu.
Lakini zile pesa ulizowapa wanyonge wakope ktk halmashauri haziwafikii walengwa wanawazungusha tuu wamnakopeshana wakubwa hebu fuatilia hilo.
Pesa ziwachiwe....hahahaa
Alafu reli standadi geji utajenga ww
Namuunga mkono jamaa kuhusu hela zimebanwaaaaaaaaa ziachiweeeeeeeeee angusha like naww kama unamuunga mkono
Fanyakazi uone kama hela hamna
Duu hii Kali nimekulewa rais wawanyoge
huwezi kuchukua pamba ya mtu usimlipe 🤣🤣🤣 ila unawezaja kuchukua korosho bila kulipa
Ukichunguza utagundua jamaa ni usalama wa taifa the game was planned
Mmh umemjuaje kiongozi???
Acha kudanganya watu,muuza nafaka sokoni tuko nae Kila siku
AMORE MIO Ila jamani kazi tunafanya biashara tunafanya lakini maisha magum hatarii madeni usiulize
Fungua ofisi maana nahisi kazi ya utabiri unaiweza
@@erickmsilu6308 Duh!!
😂😂😂Achia helaaaa
Nimeuona iwepo wapo
Magufuli ni zaidi ya kiongoz maan uongozi wake ni wakuzaliwa na siyo wa darasani huyu mungu kamleta kama zawadi ya kulikomboa taifa lililokuwa likididimia yeye kaliinua huyu ndiye rais
Tumekusoma anko magu
Wambie baba waelewe
Mwananchi yupo sirias rais analeta masihara
😀😀😀😀
Siku zote ukweri unauma wala sio masiala
Waambieeeeeee!!
Ana ujasiri Sana uyo mkaka