MIZIMU HUTAFUTA KUMILIKI WANADAMU | SEMINA YA KUFUNGULIWA | DAY 2 | 13-08-2020 | FULL VIDEO HD
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ส.ค. 2024
- SEMINA HII ILIFANYIKA KATIKA KANISA LA VUKA YORDANI NGARAMTONI ARUSHA.
Hii Ikiwa Ni siku Ya Pili Tarehe : 13/08/2020
Ikiongozwa Na Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
Amen.naminataka nifunguliwe nitoke katikavifungo hivyo vya mizimu.katika jina la Yesu kristo alie hai
Amena Amena kubwa napokeya ufungulivu na uponyaji kutoka kwako mungu wangu kupitiya maombi ya mutumishi wamungu bishop elibaliki sumbe mungu akubaliki na akuzidishiye, na mie na jitenga namizimu ,ziondoke kwenye familiya yangu wazazi wite
Ubarikiwe sana bishop nakufata nikwa Mozambique (msumbiji)
Amen n mepokea n kufunguliwa in Jesus name 🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
Eee mungu turehem na utuokoe na roho za mizimu
Eeeee Mungu kupitia madhabahu haya ya vuka yohdhani mm na familia yangu utuepushe na mizimu
Amen mafudisho yote yananilenga mimi na maisha yangu Ameni Ameni Baba
Amén mtumishi sumbe
Mtumishi nmekupata mungu andele kuwatumia muende mbali zaidi
Asanteni sana mutumishi wa mungu
Wooooiooi KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭😭😭😭😭🤔🤔🤔🤔🤔 LORD JESUS CHRIST remember mercy on us
NAMI kupitia maombi haya nata nipone kwa jina la yesu Mimi na mam yangu mzazi mungu nisaidie
Nashukuru Sana baba kwa mafundisho
Na amini numefunguliwa kwa jina la yesu
Naamini nimefunguliwa na niko huru kwa jina yesu
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah
Ooh my God 🇰🇪
tusamehe bwana
Amen Baba yetu utusaidie tuna teseka
Amen Amen Amen!! Utukufu kwa Bwana Yesu
Natubu kwajili baba yangu anaabudu mizimu naomba unitenge na roho pamoja na familia yangu ituachilie
Amen Somo zuri sanaa sana Mungu Akupe maisha Marefu amen
Mungu najitenga namizimu,nifunguwe nauniponye katika Jina la yesu kristo,
Yote uliofundisha yamenilenga mm mtumishi na hata ulivokuwa unaomba mwili wangu umesisimka Sana na nimelia sana ofisin namini nimefunguliwa
God bless vuka yordani
Alelluyah alelluyah alelluyah alelluyah alelluyah blessed
Naitenga na roho za mizimu natubu kwaajili ya roho ya mizimu
Mtumishi nakufuatilia sana nikiwa Kenya napenda sana vipindi vyako pia nataman kufika kanisani kwako
Ameni mimi Paulin najitenga n roho za mizimu za kutokuolewa n kuzaa watoto walemavu miguu iliopinda Kwa jin la yesu
Miximu wachawi wanotutamkia magonwa na kuapa bye bye bye kwajina la Yesu Kristo Najiungama na masabahu ya Kanisa la vuka Yordani na nimeshinda kwa damu ya yesu
Najiungamanisha na mathabahuhii ya vukayolodani mizimu itoke kwenyemaisha yangu na familia yangu
Mungu abariki sana bishop sumbe pia atuurumiye🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu nitenge naizo roho zakishetani kupitiya nguvu zako amen
Haya mafundisho yamenilenga Mimi na familia yangu tulifungwa atuezi endelea
Amina
Yesu nitenge na roho za mizimu fungua biashara zangu bariki mashamba yangu eee mungu bariki uzao wangu yesu vunja vunja maagano ya familia yangu mungu naomba lete Aman kwenye familia yangu ee mungu sikia kilio changu kupitia madhibahu hiii nitakase bwana yesu yesu yesu nitenge na mizimuu
Bishop Godbless
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa Sana na mafundisho yako
Amen Askofu Mungu azidi kukupa maono zaidi Yesu Kristo akanifungue na watt wangu na familia yangu kutoka kwenye roho za mizimu
Najitenganisha na roho za mimi na famillia yangu kwa jina la Yesu
mimi B rt ijitte na jitenga na muungu ya babu zetu.
Amen ❤
Amen Amen
Asante Kwa ushindi unanipa
Napokeya kufunguliwa
Mtumishi wa Mungu wa kweli Mungu akuinue zaidi
Barikiwa sana, umeifundisha kweli yote.
Baba natokaje Mimi ni Mchungaji lkn kweli nimeshikiliwa,hasa
Amen Bishop Mungu alikuchagua hawezi kkuacha kamwe..
Amé
Amen amen
Amen .Nabarikiwa sn na Mungu.Jina lake lishukuriwe daima
Asante ee Bwana umenifungua pokea sifa na utukufu
Ninajiuanganisa na maombi lá somo lá mizimo, kwaribo mizimo vya ukoho wa mama yangu, baba yangu Babu zangu zote pande mbili, na mizimo yote vinavyo kamata mozambique watu wasintumikie mungu, ninaribu Léo katika jina litendalo miujiza, bwana wetu yesu Cristo
Mizimo vya ukoho wa mama yangu na, baba yangu, vyaribike Léo, katika jina litendalo miujiza lá yesu Cristo.
Mizimo vya ukoho wa mama yangu, baba yangu, teketehaaaaaa!!! Kwa jina lá yesu Cristo wa Nazareth.
Aminaa
Amen mungu atusaidiye sana
IMEKUA KWANGU KWA JINA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIE HAI,AAAMEN.
Amen
Hakika nimeerewa
Amène
Ameeeen🙆🙆🙆
Mungu tusaidie pekeetu atuwezi
Glória a Deus
AMEN AMEN AMEN....BABA
Amen mtumishi wa mungu
God bless you 🙏
Ameen Hallelujah
True man of God,may God bless you and take you to another level.
Mizimu bye bye bye bye bye bye bye bye bye bye bye bye bye bye
I connect to this alter for deliverence
Amina baba
Amen 🙏
Ndio baba utuombe tumefigwa ya kweli
Ameen
Thanks for that message God bless you so much, in Jesus mighty Name.
Mafundisho yamenigusa
Amen and amen
Asante Mungu Baba kunijulisha hii na asante Loho Mutakatifu ❤
Mungu anifunguwe na roho za mzimu leo natambuwa kama nimefungwa na mzimu kwa sababu ninaomba sana ila sina chakufanya kazi imefungwa nikiyingiya kwenye mawusiano sijuwi yanakufa aje nikifanya biachara nafirisika nilikopa ata bank pesa ila zote warizipila mpaka sasa sijui nitafanya nini nina madeni kibawo natamani ata nipfe juu ya uchungu😭😭😭😭😭😭nisaidiye Mungu anifunguwe 😭😭😭😭😭Mimi niko hatarini 😭😭😭😭
Ameeen Baba
Ameeen
Amen barikiwa mtumishi kwa ujumbe huu
Amen
Amen baba wa kiroho hakika tunafunguka na kufunguliwa mungu aliye juu yuu nawe🙏🙏🙏
Aameeenn
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ubarikiwe baba ,
Ameeeeen
Naamini ninafunguliwa na mizimu
AMEEN AMEEN BABA
Amina baba unapatikana wapi?tupo dar tunaomba huduma yako baba
Amen
Mizimu bye bye kwa familia yetu hamtatawala tena,wazazi wangu na ndugu zangu wote tumefunguliwa na tuko uhuru kwa jina la yesu.
Amen
🤲🙏🙏🙏🙏🇧🇮
Barikiwa mtumishi
Pastor naomba uniombee Niko nafatwa na mizimu wanataka kunimaliza na niko saudia
Sasa ni satani satani kivyake anazunguka duniyani tena anafungiwa kuzimu na Yesu akakuija nafunguwooo ? Yesu ashangae kumuona ?, ao anazunguka kivipi nifunuliye
Asante
Andika vizur ueleweke ....cjui hata unamaanisha nini nyuma mbele ...mbele nyuma
Amen 🙏🙏
Amina mtumishi tunaomba huduma yako
Amen
P
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen