ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
Mapping the Trump Shootingfern
มุมมอง 14M
TANZANIA NITAKUNDA MPAKA KUFAA OriginalDJ STEVE B
มุมมอง 314K
'Halima Mdee akamatwe na Polisi akiwa na pingu na aletwe Bungeni' -Spika NdugaiMillard Ayo
มุมมอง 742K
LIVE : AC MILAN vs REAL MADRID | Soccer Champions Tour 2024 | 01.08.24BG SPORTS
มุมมอง 219K
MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na AskariMillard Ayo
มุมมอง 356K
Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio NdugaiMwananchi Digital
มุมมอง 554K
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.ITV Tanzania
มุมมอง 117K
Energy CS Nominee Hon. Opiyo Wandayi SPECTACULAR introduction that mesmerized the vetting committeeAzimio TV(Official)
มุมมอง 27K
NDUGAI VS SUGU BUNGENI: Gumzo la anachoning'iniza SuguMillard Ayo
มุมมอง 52K
SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..Global TV Online
มุมมอง 51K
WAITARA ASUSIA KIKAO CHA BUNGE, AANGUA KILIO, ADAI TARIME WAMEMJUA ADUI YAO.ITV Tanzania
มุมมอง 60K
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leoMillard Ayo
มุมมอง 1.3M
How to use BASIL on PIZZALionfield
มุมมอง 2.2M
[TH] GEN vs SEN | FPX vs TH - VALORANT Champions 2024 DAY 1VALORANT Esports Thailand
มุมมอง 134K
ศึกเพชรยินดี 01/08/2024True4U
มุมมอง 66K
"วิว" เผยมองตัวเองเป็นรองทำให้ไร้ความกดดัน ยังไม่มองถึงเหรียญเพราะนี่คือโอลิมปิกStadium TH
มุมมอง 77K
เตะบอลกี่ครั้ง..ลูกบอลถึงจะแตก? & สร้างลูกบอลขึ้นมาใหม่The Snack
มุมมอง 86K
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
มุมมอง 21M
Kama nawe hujapendezwa na alicho kifanya Spika usiogipe pita na like yako hapa coz sio haki kilicho fanyika
Tumependezwaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!
Daaaah nlkua sijaangalia mpka mwisho kiukweli ndugai kazngua asee yn upendeleo wa wazi kabisa
@@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.
kwa hili spika amekosea
King Mroboto tunako end a kila mtu atamiliki wakizingua pa kichwani
Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge
Ndugai ndugai
Tambua yapomaisha nje ya bunge
Muogope mungu
Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu?
Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya...
Spika ubabe wako Mungu muogope sana
@@gilbertvicent4229 kiongozi wenu anaalalisha mashoga lisu je aogopi mungu
Buckle up and enjoy your ride.
hakika
Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?
Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu
Kweli nithaifu kabisaa
Nidha inahitajika unamungilia je m2 hajamaliza punda nyie msio nauelewa
Hapo sipika hajatenda haki kabisa 😭
Spika hajatenda haki tena amempendelea huyo mama anaeongea visivyonamaana
Yaani wapinzani wanaonewa kiwaziwazi bila huruma hinauma sana
This speaker is partisan.
Uonevu mkubwa sana
@@erickrichard4292 katenda haki we hela yko unaipata kwajasho lko halafu uwwkeze kwenye chama wkt chama kinatakiwa kikulipe ww
Job Ndugai uwo ni uzalilishaji na sio haki
Spika hajatenda haki yy angewasikiliza mpk mwisho angejua ukweli wa Mambo?
Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.
Tanzania kweli hakuna bunge tena! Kwa sasa bunge limegeuka kikundi cha taarab na mipasho tu
MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.
Aaah ! wewe ccm songa mbele . You get love it
🤣🤣
Hizi kumbukumbuku za unfair ipo siku zitakumbukwa jamani msichee utu namna hyo mambo yanabadilika one day yesi imenikera kwa hili ase
Bunge ovyo kabisa
Spika unaalibu bunge kwa kushabikia mambo yakipumbavu kabisa, wakisema bunge ni dhaifu unachukia
Kiukweli.sio.sio.kiongozi.hupaswi.kua.hivyo.hata.kama.nisiasa
Ijamaaniiiii.utopoloooi
Daaah,huu ni udhalilishaji kabisa huyo ni mama wa mtu au dada wa mtu au pia ni binti wa mtu kwa kitendo hiki hajatendewa haki
Wacha ukweli usemwe tuu
Haya mi cina La kusema ila tutakutana mbingun duniani tunapita
Mm sina chama Ila nashangaa kwann wanamzalilisha huyu dada
Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!
Hakuna haliyekzalilosha bali yeye mwenyewe
Mbunge mwenzie kaelezea kilochotokea sasa sioni huzalilishaji
Bunge la Mzee wetu Sita lilikuwa Bunge. Mama Makinda naye Alifanya Kazi iliyotukuka. Ila ili sasa Mungu ndiye anajua.
Hakika
Mbona mlikuwa mnamlaumu spika sita? Na ndugai ipo siku mtaanza kumkumbuka.
Hakuna anayewaweza mmeshika makali ..lakini Mungu anawaweza .Ee Mwenyezi Mungu tuepushe na udhalimu .tutee mwenyewe
mtafaulu tu gawa wa ccm ni kama rimoti tu
wanapelekwa pelekwa hawa hakuna sıasa ccm amin uciamin
ila hutumıa mguvu zao za kıdoşaaaaaaa
Kwakweli
Aliyewapa kiburi kasepa bado zamu yenu
Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power
Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu
The history is being written for the first time our country .And this is the speaker of the National Assembly( the national think tank)
Duh kweli nchi ya democracy mtu anadhalilishwa anataka kujitetea anatolewa
Huo ni upuuzi haki iko wap hapo si mseme 2 kuwa hamtaki vyama vingi kaeni mkjua mtavuna mnachokipanda
There is no democracy there
@@johnmitti3201 yeah, kweli kabisa bora waseme hamna vyama vingi kuliko haya yanayoendelea
@@erickrichard4292 there there mbona zimeongozana hivyo. 🙄
@@johnmitti3201 mbona mama yako ataki baba yako aongeze mke
Ongelea chama chako na katiba yako kila chama na katiba yake maana vyama vya upinzani ni vichanga unafikiri vingejiendeshaje???
Mnatumika vibaya sana
Umeongea point ndugu yangu ingawa hatufamiani aisee
Wanaongea pumba hawajui kuongoza chama
Umetoa mawazo ya kisomi japo sikufaham lkn nyie ndio wananchi mnaoweza kuishaur serkali na kuivusha katika suala zima la maendeleo
Mbona chauma akidai kodi na kichanga pia au tlp wacha ukada katika maendeleo fala wewe
watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika
Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka
Nimekuwa wa kwanza kukoment naombeni like jamani
hv like zna msaada gan au kwann huwa mnaomba likes leo nimeona bora niulize sina maana mbaya kama hutojal nifahamishe
Aiseeee bunge la sasaiv. Ukija kulisikiliza unachoambulia n mauzi mbona chadema mnakifanyia hvyo jaman da! Mungu anawaona
Mnalaumu sipika bure ila huyu dada angetulia ingempa heshima zaidi
Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele
Ndo maana kesi za mitandaoni haziishi hapa huwezi shindwa kumwaga tusi Kali kwa spika ingawa mwenyewe ni namfagiliaga magufuri daaaah spk
Malipo ni hapa hapa
Kwanza mwanaume mzm tena spik wa bunge kushabikia mambo ya wamama hata haya huna
Dh! ...R.I.P....CHADEMA...masikini ndio basi tena..tunaenda kukizika jumla hooooh.......😭😭😭😭😭😭😭
Hahahahaaha
We mkundu kwl
sasa kwa hoja gani apo ndugu yangu spika anaonekana kabisa nimpendeleo ndugai mungu anamuona
Na ndo walichokua wanataka wabaki wenyeny wapige mabenj kwakukubaliana na ujinga
Hivyo ndio itakuwa bunge lijayo wakichakaa wenyewe hawana hoja za msingi za kulijenga taifa ni vichekesho tu
Hakuna mwazo usio kua na mwisho unamzalilisha mwanamke mwezio hivo inauma sana naona kama kazalilishwa mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hili sio bunge kabisa ni usani
Pole sana , akini ukweli wa utasemwa
Bunge dhaifu watu wanaongea utumbo
Ngoja tuendelee kuuona upuuz wa bunge
Ndugai Baba fanya kazi huyo dada ni mtovu wa nidhamu
Matumizi mabaya ya u spika,,sijapenda kwakweli,
Kweli ni spika ya sabufa
🤣🤣🤣🤣😂
Huyu sio spika ni sabufa la kichina
😂😂😂
Dah hyi cio hki na kma unakubali cio hki bc gonga like
Very good mh spika. Tunaanagalia mwengine anoitaka kuelekea huko huko.. Hahahahaaa hahaaaaaa nimeipenda iyo.
Duh wapinzani hawana haki kwenye nchi yao kabisa yaan lakini yatafikia mwisho tuu yaan
Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki
Case study ;Nkurunziza
Hakuna lolote
Bunge la Bajeti Wabunge wanajadili Majungu!
Aibu kubwa kwa Taifa la Tz
Mwenyew najiuliza mbona kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili wala sio hayo
Nawewe c ugombee ukajadili hiyo bajeti..! Mfeeeeeew..!!!
Hali ya bunge linavyo endeshwa mpaka aibu.
Kwa sababu chadema wanavuliwa nguo sio
Tumwachie mungu maan
Ndungai ajafanya vizuri kabisa uzalilishaji wa hali ya juu anatumia madaraka vibaya
Ivi uyo jamaa apo jirani na uyo Jacklin kavaa kibarakashee Huwa ninani make ananyodo balaa,, nakumbuka sikumoja anamchamba Mbunge wa nkaskaskazini. Iyo bench wanakaza wenyesifa za like inaonekana 😊
Mimi ni Ccm blood tena sana lakini kwa hili limenikera kwann mnatumia madaraka vbaya wakati raisi anafanya vyema nyie mnabomoa???????
Utaratibu ndo kila kitu...
Anafanya vyema wapi ndugu ndo amempa huyu hiki kibri? Hakika Mungu aliyetuumba wote yupo na hajalala. Yeye hatupimi kwa vyama vyetu
@@mtaninjegere6060 utakuwa cyo mtanzania ndg yangu na cyo lazima mumpende wote jamn
Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie
Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust
"Hebu msinipigie kelele ninapotaka kufanya maamuzi yangu".Mwisho wa kunukuu.
ukweli kun upendeleo min ccm lakin Ktk hili Luna upendeleo san kwanin kuhoj mipango yamtumwingine huko ccm mbon hawahojiwi huu siosawa
Spika.umekosea.sana.pamoja.na.wabunge.uonevu.mtupu.mumefanya.kunge.kua.chombo.cha.majungu
Kwenye hili spika leo hapana umekosea.
Akini sio aliambiwa asubiri akalete kichwa maji jamani
Ndugai hapa sio vizuri heshima Kidogo jamani
Kweli mmmmmmmmmmm! Woooooooooowi!!!!!. Wapishe mamangu!!!!!!!!!!. Ila wote tujaribu kuwa watoto wa mama mmoja.
Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.
Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;
Job Ndugai wewe ni ndugu yangu, Bunge lijaro hautakuepo humo ndani. Umekua jeuri usietambua wajibu wako. Uongozi wako umepimwa na kuonekana kukandamiza.
Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra
Mbunge anasukumwa kama kibaka heshima iko wapi ama kweli nchi ya wanyonge mtanyongwa sana
Ikiwa umetenda haki Mh. Spika basi Mungu akupe haki.
Kuna siku ikiwa si dunian bac hata kwa mungu huu upuuzi wa namna hii utakumbukwa kwa majonzi yake
Huo ni uonevu dhidi ya vyama pizani ila kwenye nchi hh ni yetu sote na Kuna watu wanaishi kama vile wataishi milele hawafahamu kuwa haya maisha wamekopeshwa na mwenyezi Mungu ila tutafka tu hakuna chenye mwanzo kisicho kuwa na mwisho.
Yan Spika ni Amna apo kwel Tena duh Yan Dada was watu kaongea kwamba anazalilishwa af unamtoa nje au niww kwel kakushinda ad mama Makinda duh
Huyu ndo ndugai masta HAPA KAZI TU
Kazi ya kipumbavu kupitiliza
Anazingua kinyamaa
Kwaiy unaona yuko sawa fara mwenzio
Chama cha kisenge Sana hichi
Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa
Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢
Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli
Duniani hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama utawala wa mfalme Nebukadreza lakini ulianguka 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
ukiyafatilia haya san utakosa la kujadili chamsingi pambana na Hali yako chapa kaz hilo bunge toka mda limeshapoteza Nuru
Siyo sana bunge hli
Daaah ila sio fair kabisa huyu jamaa anajiona sana
Yaani kuna watu wamejimilikisha bunge. Huyu dada kadhalilishwa kwa kweli. Yaani napata hasira kali
So painfully aise! Pole sana kamanda Yosepher Komba.
Magazetini kesho "Watunga sheria nchini Tanzania wamwaga mtama kwenye kuku wengi"
Andika ukweli ufungiwe...
Dah! Hatari!!
Sio sawa,Ndugai jirekebishe
spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge
Speak er ukosahihi sana unaendasawa na tunavyotaka
Yaani speaker ni kama hilo bunge atazikwa nalo,ana akili zausiku kabisa
Wewe ulitakaje!? 🙄 Muache spika afanye kazi yakee 🚶
siyo vizuri inamaana ili bunge ni la chama si la wananchi
Namkumbuka mama mpole sn ana hekima ya kutosha jaman mama Anna makinda
Leo ndio comment yangu ya kwanza kuiweka TH-cam, HUYO DADA MMEMDHALILISHA SANA,SIO HAKI KABISA,HUYO NI MAMA AU DADA WA MTU PIA,MUNGU ATALIPA KWA MLILOLIFANYA.
Jaman huyo mama hajatendewa haki
Inaonekana Spika hajui tofauti ya kodi na michango
Bunge anafungua na maombi mwisho anamkosea Mungu na anadhalilisha watu dah inaskitisha sana bas tufanye nchi hii iwe ya chama kimoja.ile radi itayompiga spika bado inapiga pushap
Ndiko tulipofikia?
Haya ndo mambo ninayotakaga kuangalia
Ndio ukiona wenzetu wanaendelea usishangae wwe badala ya kuongelea maendeleo unaenda kudhalilisha wanawake its shame na spika yupo tena Anatilia mkazo Huyo mama alievaa miwani hana busara hata kidogo nimpongeze sana Mhe, Yosefa kwa uvumilivu wa kudhalilishwa lakini spika hakutumia busara wala hekima. Hafai kuwa kiongozi
Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu
Mbuge ni upuuzi mtupu, turuhusiwe tu kumiliki siraha tu
Mbwa ww
@@hapatv2991 sio ww kweli maana hata sura yako inaonyeshaaa kuwa mbwa
Kwakweli bora nibaki na kitambulisho cha taifa hicho cha mpiga kura hakinifai so kwa bunge hili inaskitisha sijui tunaenda wap ni Mungu tu anajua
Kwa kweli hi co nchi huyo dada hana kosa kabisaaaaa anadhalilishwa daah ucjali tupo pamoja asikup shida spika wanaichi tunajua umuimu wako
Mhh jamani Mimi nimwanaccm Ila mhh mbasi yakomee pale maoni yangu
Mimi Ni ccm Ila kiukweli ndugai hakuwahi kutoa uamuzi mzuri kwa wapinzani na hisi sio mzima kwenye afya ya akili
Spika tambua kunamaisha mengine nje ya bunge pia tambua bunge lilikuwepo kabla ww ujazaliwa haya maisha tu bro
Nyinyi ccm mshalaniwa unijifanya ipo ciku mtaondoka kwenye madaraka utacheka sana moto unawasubiri
Anajidai sana uyu jamaa km nchi yake Inshaaallah Allah ndio mwenye maalipo na maamuzi ya haki anajiona km mtume
Mungu ndiye mwenye pumzi zetu tunazovuta kama aliweza kutuonyesha miujiza kwa Farao/ Firauni tunaomba atuonyeshe pia kwa wenye tabia kama yake. ..eee Mungu tusaidie ili kuepuka udhalilishwaji huu ambao umeigawa nchi yetu kwa makundi yenye chuki kubwa sana
Hatuna spika ila tuna mfano wa3 spika
Imeniuma sana baada angewashauri. Ila malipo ni hapa hapa duniani. Huyo dada asikate moyo one day yes.
Hii aibu sana bunge limekuwa kama wako location wanashoot mov ya isidingo
Wewe spika hufai hata kidogo ungekuwa unachaguliwa na wananchi usingepata hata kula mmoja
Mmmh demokrasia maandazi
Akika ili sio bunge niuchafu tu
Huyu ndugai msenge sana huyu jamaa
Yaan jaman.. mama makinda alikuwa anaongoza bunge vizur... huyu ndugai kafanya mbunge chekechea ..
Mwana kulitafuta mwana kulipata, kazi kwako
Madhalilisho kama haya sijayafurahia lakin cn LA kusema but ni. Mbaaya kudhalilisha mwnanamke mwezio tena mbele ya umati
Kujitetea kawekwa kushoto daaa imeniwasha sana pilipili na sijaila
Kiukweli nimeumia Sana