JOB NDUGAI; KUNA MENGI ya KUJIFUNZA KUTOKA KWAKE, UCHAGUZI 2025 ULIMPONZA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
  • JOB NDUGAI; KUNA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWAKE, UCHAGUZI 2025 ULIMPONZA?
    Alhamisi ya Januari 6, 2022 itabaki kuwa siku ya historia kwa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Job Yusto Ndugai.
    Ndiyo siku ambayo aliweka historia ya kuwa Spika wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania kujiuzulu wadhifa huo.
    Kumbukumbu zinaonesha kwamba barua yake ya kujiuzulu wadhifa huo ilieleza sababu ya kufanya hivyo kuwa ni uamuzi binafsi uliozingatia maslahi mapana ya Bunge, Serikali na chama chake cha CCM!
    Lakini ukweli mchungu ni kwamba kilichosababisha yote hayo ni kupishana kwake na upepo wa Rais Samia Suluhu Hassan.
    Hilo ndilo tukio kubwa la Spika Ndugai masikioni na machoni mwa Watanzania wanaofuatilia siasa.
    Yawezekana wengi wanalikumbuka tukio hilo, lakini je, ulishajiuliza huyu Spika Ndugai ni nani na amefikaje kwenye ngazi hiyo kubwa kabisa ya kisiasa hadi kuwa mkuu wa Mhimili wa Bunge?
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 106

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +8

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @IvoFransis
    @IvoFransis ปีที่แล้ว +1

    Ndughai ni mtambo imara. Anaona mbali na anachana live na ukweli mtupu. Mungu ampe maisha marefu❤❤

  • @victoriamachunde4365
    @victoriamachunde4365 ปีที่แล้ว +3

    Shukran kwa elimu hii

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo ปีที่แล้ว +3

    Huu ni mtambo imara sana. Ndugai funga mifugo kama ilivyo asili yenu Wajomba zetu. Lima fuga mengine yatafuata. Ubarikiwe sana.

  • @PauloyakoboAma-el7xl
    @PauloyakoboAma-el7xl ปีที่แล้ว

    Hogera sana

  • @PeterNkilijiwa-ij3rw
    @PeterNkilijiwa-ij3rw ปีที่แล้ว

    Mhe Ndugai sasa nimekuelewa ,unaweza kwanza unatanguliza Tanzania kwanza hasa wananchi masikini sawa tu na mtangulizi wako,kweli unafaa.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 ปีที่แล้ว +5

    Alikuwa akisema hayo mbona leo ndiyo yametokea kama Job alivyosema?

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 ปีที่แล้ว +2

    Job Angekufa mapema ningemshukuru mungu kunyanyasa wapinzani tz mungu mshugurikiee amina

    • @KenedyMwaipaja-n8w
      @KenedyMwaipaja-n8w ปีที่แล้ว +1

      Naww ufi ee!?

    • @MercyMagezi-s6t
      @MercyMagezi-s6t ปีที่แล้ว

      Hoja za wapinzani ziliisha.
      Wakati wa Kikwete walikuwa na mbinu ya kutoka Bungeni na wananchi walikuwa wanawaunga mkono.
      Lakini wakati wa Magufuli walivyootoka nje ya Bunge wananchi hawakuwaungs mkono.
      Hapa Dar, akina Alima (MuDEE) walikuwa WAnAJAMPISHWA tu mitaani, mpaka viongozi wa dini wakawashauri warudi Bungeni.
      Hoja zikapotea, na Yule Muzee muzima alishiba akaanguka kwenye ngazi za gorofa, akadai amepigwa. Ndio hoja za wapinzani zilizokuwepo wakati wa MAGU.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 ปีที่แล้ว +4

    Tuulizane! Ndugai alikuwa sahihi ama! Kwa upande wangu kwa yanayoendelea Ndugai alikuwa sahihi Sana Tena Sana! Maana ndani ya ccm wasema kweli huwa wabaya kwa viongozi wachumia tumbo

  • @RehemaeliaMboma
    @RehemaeliaMboma ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe

  • @modestalois2535
    @modestalois2535 ปีที่แล้ว

    Mh Ndugai alikosea kumchana live boss wake kuwa atauza Nchi,kumbe boss kashaipeleka Taifa mnadani kuuzwa.

  • @amirikadau4352
    @amirikadau4352 ปีที่แล้ว +3

    Mmepevuka sana saivi,

  • @shomari_msumi
    @shomari_msumi ปีที่แล้ว +5

    Congratulations!!! Global tv I like it.....👏👏👏

    • @HamadMussa-ft2ik
      @HamadMussa-ft2ik ปีที่แล้ว

      Huyo alikuwa mnoko na Mungu kamuhikumu

  • @jumambilinyi9519
    @jumambilinyi9519 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ambariki ndugai alisema hii nchi itapigwa mnada huyu ni ccm pyuwa c chadema lkn wezi wa hii nchi walimtukana wakamtishia uhai akajihudhuru uspika leo bandari inawekezwa milele kizazi na kizazi wakat wakolon walijenga waliiacha waingereza miaka 40 wakiacha nyerere miaka 20 akaiacha mwingi miaka 10 akaiacha mkapa miaka 10 akaiacha afu Kikwete miaka 10 akaiacha afu Mangu miaka 6 akaiacha sasa Rais Samia ndan ya miaka mi3 anajiuza milele kizazi na kizazi Mungu watetee mawakili wanao kutetea bandari zetu na anga ya Tanzania

  • @THE-GCMonlineTV
    @THE-GCMonlineTV ปีที่แล้ว +4

    Huyu Shujaaaa...Mungu Ampe Maisha Marefu kwa KAULI YAKE KUU

  • @J4UPro
    @J4UPro ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisa

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 ปีที่แล้ว +1

    Ndugai' upo sahihi;! Kujiuzudhuru kwako;:' kutaleta MAGEUZI MAKUBWA ktka nchi yetu UMEMALIZA TUACHIE SISI WANANCHI:'!

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 ปีที่แล้ว

    Daaa ndugai ulion mbali

  • @pitablets9849
    @pitablets9849 ปีที่แล้ว

    Kimeumanaaa

  • @nestor384
    @nestor384 ปีที่แล้ว +1

    Job Ndugai alikuwa sahihi Siku zote huwa namlaumu kwanini aliomba msamaha.
    Unamuomba msamaha nani na kwa sababu gani ilhali umeongea ukweli!!

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 ปีที่แล้ว +2

    Anna Mbawala wape funzo wengine wanaofanya unachokifanya
    Umeweza sana humu.

  • @migombaelinest3500
    @migombaelinest3500 ปีที่แล้ว

    Huyu ni kiongozi mwenye msimamo na mzalendo hakutaka kushuhudia Sehemu za taifa rake zikiuzwa kwa makaburu huku na yeye akishiriki na ndoomaana akahamua kujiweka pembeni.Achukue form ya kugombea urais watanganyika tutampigia kura kwa kishindo.

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd ปีที่แล้ว +1

    Upepo aina Gani,?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +6

    Mbona wenyewe huo muda hawana, mara nyingi kama sio mwenzao lazima uwe na jekejeke la kubambanya maneno, lakini wenyewe wanasonga mbele na hata hawa muwazi,wapi Lowassa? sumaye? Kigoma Malima? holasi Kolimba? Wengi mno,Nchi lazima iende, Tanzania kwanza Mengine baadae

  • @faustineleonald2352
    @faustineleonald2352 ปีที่แล้ว

    Ndugai Yuko sawa, huyo wa serikali ya mpito ni uoga wake tu

  • @drallan6879
    @drallan6879 ปีที่แล้ว

    Anna mbawala Ur so nice sauti nzuri mno

  • @reenydecruzy126
    @reenydecruzy126 ปีที่แล้ว

  • @simonkenne6892
    @simonkenne6892 ปีที่แล้ว +1

    Ina uzunisha....daah...Basi tu

  • @PaulosalvatoriBwahama-lp3yl
    @PaulosalvatoriBwahama-lp3yl ปีที่แล้ว

    Alisema kweli

  • @EmanuelKini
    @EmanuelKini ปีที่แล้ว +1

    Logo hii ya nchi mmeipeleka wapi we mama yetu

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji ovyo kabisa.Mwanzoni umetangaza kwa kumponda mwishoni unamalizia kwa kumsifia....husomeki

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu ปีที่แล้ว

    Kweli Baba umenene

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 ปีที่แล้ว +6

    Aende zake uko alijiona kama mungu

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki7543 ปีที่แล้ว

    Ngoja 2025 tutaona ukweli

  • @SilviniBayo-ni6lk
    @SilviniBayo-ni6lk ปีที่แล้ว

    Kichwa hicho

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 ปีที่แล้ว

    Lakiniii kweri. Alikuwa ni mchapa kaziii mzuri mnooo na mchapa kaziiii haswaa. Siii alijikwaaa tuuu kidogo. Daaa jamani. M

  • @fidelmbai3642
    @fidelmbai3642 ปีที่แล้ว +3

    Madaraka ni sawa na koti la kuazima mwenye nalo akiliitaji ulinyakuwamuda wowote!!! Mfalme Suleiman aliomba Hekima kutoka kwa Mwenyezi Mungu

  • @gracekavishe9823
    @gracekavishe9823 ปีที่แล้ว

    Nikweli ndugai nchi hitaiuzwa

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g ปีที่แล้ว +1

    2025.

  • @SophiaCharles-ld2gd
    @SophiaCharles-ld2gd ปีที่แล้ว +1

    Wewe urijuwa kuwa tutauzwa ukajiodoea usije ikaraumiea na

  • @wanuahad5966
    @wanuahad5966 ปีที่แล้ว

    Biblia imeandika kitabu cha Isaya 1:7b

  • @hasanichengula68
    @hasanichengula68 ปีที่แล้ว +2

    Alijiona kama hakuna mwingine kama yeye aligeuza bungee kama lake hakuna chakujifunza kwake

    • @ambakisyemwakinunu2002
      @ambakisyemwakinunu2002 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo chuki umepitiliza 😂😂hadi unasema hujajifunza kitu ikiwa wasema alijona kama hakuna mwingine na aliligeuza bunge kama lake? Hapo umejifunza kutokujiona wewe ni bora kuliko wenginekifupi alipokose sisi tumejifunza, kujifunza kutoka kwa mwingine ni baada ya kutenda mabaya au mema ili wewe baadae Usije au uje ama mtu wako asije au aje fanya kama yeye hiyo ndio maana ya kujifunza

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 5 หลายเดือนก่อน

    Namkumbuka alivyo mpiga mgombea mwenzake nafimbo kichwani mpaka akazimia

  • @michaelbochela5099
    @michaelbochela5099 ปีที่แล้ว

    Kongwa siyo Kongwe

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 ปีที่แล้ว +1

    Mbona sasa Wewe na Tulia mnafanya mauza uza? Kweli uliamua maamuzi mazuri kwani ungeweza kuuwa pia.

  • @SaidiSwaleh-ex9nn
    @SaidiSwaleh-ex9nn 3 หลายเดือนก่อน

    Ngugai tunataka uje kuwa raisi witanzani

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 ปีที่แล้ว

    leo mtakusanya vibovu vyote na kuvileta mbele ya mama ili ati aonekane mzuri never hatuwezi kumuona mzuri yy wala magu..!

    • @SalumBabu-su9fm
      @SalumBabu-su9fm ปีที่แล้ว

      unajua kuandika ila hujui unachoandika.

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df ปีที่แล้ว

    Msema kwel ktk nchi hii ni mharifu

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 ปีที่แล้ว

    Wanaosema ukweli ni maadui wakubwa kwa upande wa Ccm,sio Ndugai TU, wapo wengi waliosema ukweli walishafukuzwa,Ccm chama cha lishetani.

  • @chandemacheleking
    @chandemacheleking 4 หลายเดือนก่อน

    Job ngombea urais

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 ปีที่แล้ว

    Mwoga sana huyu mjomba.

  • @petromwakyalabag9484
    @petromwakyalabag9484 ปีที่แล้ว +1

    Tutakutana hiyo 2025 pamoja na madudu haya

  • @stuartkivava9247
    @stuartkivava9247 ปีที่แล้ว +3

    Tunamkumbuka huyu mwamba kwa kauli zake za mwisho .

  • @AndreaMathias-e1h
    @AndreaMathias-e1h ปีที่แล้ว +1

    Yote yametimia

  • @SeveriniTemu
    @SeveriniTemu 3 หลายเดือนก่อน

    Hata mwalimu alijiulu uwaziri. Mkuu akamuachia kawawa

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge6951 ปีที่แล้ว +2

    Atarudi acha upepo upite kazi inaendelea.

  • @morandikaroli2774
    @morandikaroli2774 ปีที่แล้ว

    Mara kongwe mara kongwa kipi ni kipi?

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 ปีที่แล้ว +6

    Kila nikisema magufuli alikuwa jini wengi hawanielewi. Aliua nyota na uwezo wa watanzania wengi waliokuwa na uwezo mkubwa kifikra kumzidi yeye. Ukifuatilia jwa makini uongozi wa magufuli umeacha maumivu kwa nchi yetu kuliko tunavyoweza kayaona kwa haraka.

    • @nmedardbenedicto5544
      @nmedardbenedicto5544 ปีที่แล้ว

      Mungu ndiye mwamuzi ndugai ndiye aliye vuruga na kuona upinzani kama uahini

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 ปีที่แล้ว

      Mwambie huyo basi akuonyenyeshe uliyoshindwa kuyajua kwani kinashidikana NN kuonyeshwa mbaya ya daddy na Hali hayopo? 😏

    • @bertinkimati2674
      @bertinkimati2674 ปีที่แล้ว

      @@nmedardbenedicto5544 ndugai alikuwa mtu mwenye kuelewa sana. Kilichomfsnya average ni ubabe wa magufuli. Kumbuka ndugai alikuwa na kshfq ya kutumia dollar million 12 kwenye matibabu na alitakiwa aeleze zilitumikaje. Magufuli watu wengi aliowapa nafasi ni wale aliojua walikuwa na makandokando yao na akatumia udhaifu wao kuwalazimisha wafanye anavyotaka . Chunguza kwa makini uone ni aina gani ya viongozi walikuwa chini ya magufuli. Wale waliokuwa waadilifu hakuwa karibu nao maana hakuwa na kitu cha kumtisha aliishia kuwatumbuwa hadharani huku akibaki na hao maharamia waliokubaliana na upuuzi wake.

    • @bertinkimati2674
      @bertinkimati2674 ปีที่แล้ว

      @@nmedardbenedicto5544wewe jiulize alikuwa mtu wa aina gani kiasi cha kuweka watu wa kudukuwa mawasiliano ya watu kwenye makampuni ya simu. Yule mzee alilivuruga sana taifa.

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 ปีที่แล้ว +2

      Haya malaya tumekusikia ambao hawakuvuruga taifa wamefanya nini cha maana

  • @VidothNaftalLema-ff5rf
    @VidothNaftalLema-ff5rf ปีที่แล้ว

    Neugai ni Nani ni moja was viongozi ambao ni bendera fuata upepo tuu Hana jipya huyo

  • @zawadikidunda8844
    @zawadikidunda8844 ปีที่แล้ว

    WEWE MWAMBA HII SELIKALI IMEOZA HII ONA SASA TUMEKUMIC NDUGAI

  • @petromwakyalabag9484
    @petromwakyalabag9484 ปีที่แล้ว

    25 wabunge wote piga chini ndugai tu anafaa

  • @FrolenceFesto
    @FrolenceFesto ปีที่แล้ว

    Dada sio shule za wenye akili nyingi ni shule za wenye ufaulu wa juu

  • @stuartkivava9247
    @stuartkivava9247 ปีที่แล้ว

    Hivi bandari ambazo Raisi ameingia mkataba na Dubai ni hizi za Tanganyika tu au na za Znz?

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 ปีที่แล้ว +1

      Zanzibar ina nini? Vyote vya maana ilivyokuwa navyo imepokonywa na Tanganyika. Sasa Zanzibar imebaki hohehahe. Muulizeni Lukuvi anayajua hayo vizuri. Iwachieni Zanzibar mwone kama haitaweza kijiendesha na kujitegemea wenyewe.

    • @MercyMagezi-s6t
      @MercyMagezi-s6t ปีที่แล้ว

      Huo mkataba unajadiriwa upya. Umekwama, Bunge halibadiri sheria kama ilivyotegemewa.
      Hivyo, majadiriano yanaaza moja.
      Aliyesema maaskofu wanachanganya dini na siasa, ninampa pole na hajui atendalo. NGOMA IMEISHA ISHA HIYO.!!!

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 ปีที่แล้ว

      @@MercyMagezi-s6t Lukuvi alisema nini kanisani kuhusu Zanzibar, mbona kanisa halikutoa waraka kuwa aliyoyasema siyo sawa. Wazi Kanisa linajitia katika siasa kulinda maslahi yao na kutii amri wanayotaka Wazungu.

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 ปีที่แล้ว

    Hakuna kitu hapo hana lolote ni chawa wa Magufuli huyu mimi nilikua simkubali hata kidogo amewabana wabunge enzi za Magu kamdhalilisha Tundu lisu kwani Magu alikua hakopi?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +1

    ,,,,, wanafunzi wenye akili nyingi!! Mh,,,!!!??!!!

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 ปีที่แล้ว

    Mihimili ya Dola haiingiiani kumbe hamna bwana serikali ndio Kila kitu

  • @josephsebe5857
    @josephsebe5857 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣VITUKO VYA VIONGOZI WAWE WANASOMA BIBLIA TU.

  • @bablasbulludozer-be3ww
    @bablasbulludozer-be3ww ปีที่แล้ว

    Na bado sihasha akawa mlizi mwisho wao hao hujisahau sana huhisi wamepatia viongozi wetu kesho mapema 2025 kazi I endeleen 😂😂

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 ปีที่แล้ว

    Shida alishindana na askof

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji poor poor kabisa

  • @lymondmande4422
    @lymondmande4422 ปีที่แล้ว +1

    global media a believed media is that a content for now? iam sorry but for real this is contentless.

  • @johnnathan7104
    @johnnathan7104 ปีที่แล้ว +1

    Huu ni uchonganishi nyie waandishi

  • @PriscahSakala
    @PriscahSakala ปีที่แล้ว

    Aaa

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 ปีที่แล้ว

    Ndugai' ni jembe

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 ปีที่แล้ว +4

    Aliwaonea upinzan akajiona Mungu mtu bola alivyo timuliwa tea apotelee mbali

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 ปีที่แล้ว

      Tena ilitakiwa afukuzwe uanachama kabisa

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 ปีที่แล้ว

      Upinzani ndo kitu gani we nae, wavuta bangi wale.. upinzani wanapinga nini? Wanawapinga waTanzania wenzao

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 ปีที่แล้ว

      @@georgemassebu2083 kwa mtu mwenye akili timamu atajua tu kuwa asiyejua maana ya upinzani ndiye mvuta bangi

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 ปีที่แล้ว

      alikua mshenzi tu usimsifu alikua dikteta na kuonewa wengine

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 ปีที่แล้ว

      @@georgemassebu2083 ao ccm we unaona wanatufanyia nini cha maana tofauti na kuiba

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaaaa

  • @athumanmniga8100
    @athumanmniga8100 ปีที่แล้ว

    Ndugah gombea urais tutakuwa pamoja wewe ni msema ukweli na unaweza kuongoza nchi

    • @LeonardNungwana
      @LeonardNungwana ปีที่แล้ว

      Indio Tanzania kichwa chamwenda wazimu,

    • @johnsonlyakurwa2023
      @johnsonlyakurwa2023 ปีที่แล้ว

      Mimi naona kila jambo linalosumbua tuwe tunarudi kwenye katiba itakua poa sana

  • @PeterNkilijiwa-ij3rw
    @PeterNkilijiwa-ij3rw ปีที่แล้ว

    Mhe Ndugai sasa nimekuelewa ,unaweza kwanza unatanguliza Tanzania kwanza hasa wananchi masikini sawa tu na mtangulizi wako,kweli unafaa.