....Asante ndungai na awe mfano kwa wabunge wengine wenye tabia kama zake make kuna wabunge wanatafuta umaarufu kwa kufanya mambo ya ajabu ambayo ni kinyume cha maadili ya taifa letu na mapenzi ya mungu kwa ujumla. AMINA
mheshimiwa spika pole sana mungu akupe ujasiri wa kutosha ili ulimudu bunge hili wengi ni vijana ambao wanatanguliza jazba bila kupima yanayotoka kwenye vinywa vyao
safi sana Mh Ndungai huyo dada siku zote hanaga adabu adi mtaan kwake anajiona yeye ndo yeye kamaliza kila kitu dunian hajui kuwa cheo dhamana! waliompandisha ndo hao hao wanaweza kumshusha! mfungen pingu za mikono na miguu huyo dada ad pingu za mdomo kama zipo ajifunze!! mfyuuuuu
Safi sana nimefurahi kusikia sauti yako Spika wa bunge lazima awajibishwe kazidi kuropoka, mdomo unaponza kichwa na hv ana sauti ya peke yake akiongea tu kila mtu anajua amelopoka
wafundishe adabu watovu wa nidhamu wote, nimekupigia suruti👍👊 mheshimiwa spika niaibu kubwa kwa mwanamke kupayuka ka kama hajafundwa imenisikitisha Mimi kama mwanamke
Piga kazi baba umeaminiwa ndiomana uko hapo,kelele na matusi yao yasikuteteleshe daima msimamo,mwenye nyumba akimbii siafu waadabishe pasipo kuangalia itikadi za vyama vyao.
msimamo wa wapinzani ni kupinga kila kitu,nahisi hata wakionyeshwa kwamba hiki ni choo-watasema ni mess!!!wabunge kama hawa ndio wanaoharibu nidhamu/heshima ya bunge.Hongera mh.spika kwa msimamo thabiti.
Kiukweli sikufurahishwa na maneno aliyosema mdee, hasa katika alilokuwepo, lkn pia lazima nikiri kwamba pia Ndugai naye ana mapungufu mengi hasa linapokuja suala la maamuzi ya spika ambayo wakati mwingine huamsha hisia mbaya kwa wapinzani, na kwa watu wasio na busara kama mdee hujikuta wakiropoka tu ili kujaribu kuonesha hisia zao.
Halima mdee kaolew kama hujaolewa nijenikuoe utanyookatu maana Mimi nitakufundisha nidhamu utanyooka ndani yasiku mbili yote Tisa ila halim nakukubari sana achamatusi wewe nimtanzania kwaiyo mtanzani nimtu anayependa jamani naukarimu
Duniani hapa ukipata huongozi kidogo tayari sheria ni yako mtoa hukumu ndio ww daaaa utazan mungu ndio kakupa huongozi huo unapomfanyia mwenzio ubaya kumbuka ubaya unalipwa hapa hapa Duniani kwanjia yoyote ile tuishi kwa kupendana hakuna anaejua kesho yake 🤔🤔🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Spika ndugai ndiye mwenye matatizo , halafu hujifanya muungwana ,mstarabu na heshima kumbe Hana lolote. maneno na vitendo vya mheshimiwa Halima mdee dhidi ya spika ni sawasawa. Ndugai hafai kabisa ni problem.
kwahyo hakitunayoitaka bungeni ni kutukanana na kubishana kama walevi,hao ndio wawalishi wetu tunachowaagiza kutoka majimboni,chakushangaza matatizo hayafikishwi wamebaki kulushiana vijembe kama waimba taarabu hii ni shida.
Matusi hayafai kabisa mbele ya jamii si kwa kiongozi tu bali mtu yeyote...! ila mtu ukiminya sana uhuru wake wa kutoa mawazo inapelekea mtu kujawa na ghadhabu ambazo hupeleke kusema chochote kwa wakati huo kwa kuwa tu anaona kaonewa, na pengine huja kujutia baadaye kwa yale aliyoyatamka.Lakini pia bunge letu halifanyikazi kwa maslahi ya watanzania walio wengi kwani wanaonufaika ni wachache.
Ni kweli kbsa spika ktk hili atukubaliani na mambo aliyoyafanya Halima Mdee. Hatua Kali zichukuliwe,sizungumzi kiitikadi natoka maoni yangu kama mtanzania
Mh Ndugai hebu fanya utaratibu hapo bungeni waje wataalam wa magonjwa ya akili,au muwafanyie vipimo wabunge baazi wanaonekana kabisa bado wanatumia bangi.
Flora zungumza kama msomi hayo maneno anatakiwa aseme aliyekuwa bar, kwani mtu akinyimwa haki yake ndiyo atukane? kwani hakuna njia mbadala zaidi ya matusi? afadhali ukitukania bar hakuna atakae kuhoji.
kazi niliokua naitaka sasa imeanza rasimi,tunataka displini bungeni ionekane,bunge limekua kama uwanja wa chandim,yani bora uangalie ndondo kap,kuliko bunge,spika lifungie hilo li halima mdee halina sifa zakua bungeni likauze mbege kwao moshin
Alikuwepo makufuli leo yuko wapi mukiambia ukweli munasema munatukanwa uwezo kakupa muungu lkn ujue walikuwepo wenye nguvu sana ww si chochote leo wako wapi je mm na ww endelea baba ujue mwisho upo.
Hivi hutawara huu wapinzani watafanya fujo mpaka mwisho wa mihura yote miaka kumi kamati ya kuwachukuria hatua hinakua wapi yani sisi wanachi tumechokeshwa na kerere kama za awa wapinzani
safi sana speaker, nakuunga mkono kwa hilo! mambo ya kutukana tena hata vijiweni siku hizi unaweza yakosa! utukufu wa bunge uko wapi sasa!
....Asante ndungai na awe mfano kwa wabunge wengine wenye tabia kama zake make kuna wabunge wanatafuta umaarufu kwa kufanya mambo ya ajabu ambayo ni kinyume cha maadili ya taifa letu na mapenzi ya mungu kwa ujumla. AMINA
Ndugai anahekima Sana mungu ampiganie spika wetu
Thanks Millard Ayo
mheshimiwa spika pole sana mungu akupe ujasiri wa kutosha ili ulimudu bunge hili wengi ni vijana ambao wanatanguliza jazba bila kupima yanayotoka kwenye vinywa vyao
tumesikitswa sana spika wetu nakuombea mungu akupe saburi simchezo kuwasikiliza hao wabunge.
safi sana Mh spika huyu halima wewe ni sawa na babake anatakiwa awe na ukomo wa maneno so kuropoka tu na alivyo na jisauti ka chura
Spika mzuri hivi halafu mnashindwa kumtumia vizuri. Ngoja mletewe yule mama wa Kinyakyusa Dr. T.A.M awanyooshe.
Ulijuaje mkuu
safi sana spika laazma uwe na msimamo ningeshangaa kuona mmelinyamazia
افلح السريرس nahisi hata Julia baba naomba hekima iwe zaidi moyoni mwako
kha kweli spika ni falaaaa
safi sana Mh Ndungai huyo dada siku zote hanaga adabu adi mtaan kwake anajiona yeye ndo yeye kamaliza kila kitu dunian hajui kuwa cheo dhamana! waliompandisha ndo hao hao wanaweza kumshusha! mfungen pingu za mikono na miguu huyo dada ad pingu za mdomo kama zipo ajifunze!! mfyuuuuu
safi sanaaa. wa ache ujinga wao
safi sana job
Haki ukowapi kwawanawake
safi sana Halima ana chonga sana ajui kama madomo unamchongea kichwa
Bim Khamid yaani baba wawatu anaongea hadi nalia.tusamehe baba
Safi sana nimefurahi kusikia sauti yako Spika wa bunge lazima awajibishwe kazidi kuropoka, mdomo unaponza kichwa na hv ana sauti ya peke yake akiongea tu kila mtu anajua amelopoka
Nikweli
wafundishe adabu watovu wa nidhamu wote, nimekupigia suruti👍👊 mheshimiwa spika niaibu kubwa kwa mwanamke kupayuka ka kama hajafundwa imenisikitisha Mimi kama mwanamke
Hataree
Atapona kwa jina la Yesu
poleni sana kwa ajali iliomkuta mbunge ila msiweke matuta wekeni rasta kama za mikumi itakua safi sana na ajali zitapungua
Safi sana akafunzwe adabu,
ndugai oyeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeee
safi mkuu demokrasia isiyo na mipaka ni vurugu jamani, mbona hatulielewi hili???
asante Millard ayo kwa habari za uhakika 🙏
Hiyo sehem kuwepo daraja la waende kwa miguu la juu
Piga kazi baba umeaminiwa ndiomana uko hapo,kelele na matusi yao yasikuteteleshe daima msimamo,mwenye nyumba akimbii siafu waadabishe pasipo kuangalia itikadi za vyama vyao.
mpaka tukio litokee ndiyo tunajiami?
Tundu lissu
safi sana spika
safiiiii huyo halima hana adabu kabisa
chadema hebu kuweni na adabu hivi kwanini mnakosa dispirin mnadhani sifa au ndio umaarufa walazima cheni kutafuta kiki zakijinga
+Shea Zuberi huyu ndio chanzo cha kufanya awe anatenda haki kwa watu wote pia nas tunaumia kwa kuwa wabunge wetu wananymwa haki km watetez wetu.
Shufaa A. Mbona na huyo spika alimpiga mtu hadharani enzi zile anagombea ubunge? Ni nidhamu hiyo?
kwanini africa hatuna umoja
Shufaa A. kuweni na mshikamano na uwiano wakwapamoja mujenge taifa
Mungu away eyes
Safi sana
huyu mdee Hana malezi Bora
msimamo wa wapinzani ni kupinga kila kitu,nahisi hata wakionyeshwa kwamba hiki ni choo-watasema ni mess!!!wabunge kama hawa ndio wanaoharibu nidhamu/heshima ya bunge.Hongera mh.spika kwa msimamo thabiti.
kwa hili halima umekosea ungemtukana mwingine ila siyo ndungai aiseeee
Kiukweli sikufurahishwa na maneno aliyosema mdee, hasa katika alilokuwepo, lkn pia lazima nikiri kwamba pia Ndugai naye ana mapungufu mengi hasa linapokuja suala la maamuzi ya spika ambayo wakati mwingine huamsha hisia mbaya kwa wapinzani, na kwa watu wasio na busara kama mdee hujikuta wakiropoka tu ili kujaribu kuonesha hisia zao.
Halima ananidhamu sana kweli mchukulie hatua
job ndungai nchi yetu sote muogope mungu
unanichekesha
wewe
uliyesema
tumuachie
mungu
ndo
ahukumu
nikukumbushe
ya
kaisari
mpe
kaisari
na
ya
mungu
mpe
mungu
jamani mnatukwzwa sana, mmekuja kutuwakilisha na si kutukana, kumbuka Spika hakujiweka alichaguliwa. Nyie mnaotukana mnatudundisha nini sie watazamaji?
kiongozi hatakiwi atukane bwana jamii inajifunza kwake
wewe sio mungu , wakutoa ukum tumuachie mungu yeye ndie mtoa hukum, usiseme eti wanyongwe wewe nani mpaka utoe ukum?
Halima mdee kaolew
kama hujaolewa nijenikuoe utanyookatu maana Mimi nitakufundisha nidhamu utanyooka ndani yasiku mbili yote Tisa ila halim nakukubari sana achamatusi wewe nimtanzania kwaiyo mtanzani nimtu anayependa jamani naukarimu
tutangulize utaifa mbele tuache ushabiki
Duniani hapa ukipata huongozi kidogo tayari sheria ni yako mtoa hukumu ndio ww daaaa utazan mungu ndio kakupa huongozi huo unapomfanyia mwenzio ubaya kumbuka ubaya unalipwa hapa hapa Duniani kwanjia yoyote ile tuishi kwa kupendana hakuna anaejua kesho yake 🤔🤔🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Yani msikitisha kwali!
ni kweli jpo Spika hakuwa sahihi lkn Dada Halima hakufanya vema kimaadili ya kitanzania, angejaribu kutuliza hasira
david kambulaje Ww maadili gan usijifanye unajua sanaaaa
f
Nishida
Uko sahihi Spika, hatuwezi kuruhusu tabia za ajabu ajabu zitawale taifa hili.
Mara nyingi mwanamke Wa aina hii akiolewa ndoa haifikishi hata mda Wa wiki mbili mpuuzi hana adabu wala aibu
Spika ndugai ndiye mwenye matatizo , halafu hujifanya muungwana ,mstarabu na heshima kumbe Hana lolote.
maneno na vitendo vya mheshimiwa Halima mdee dhidi ya spika ni sawasawa.
Ndugai hafai kabisa ni problem.
mh spika toa makucha na meno nje usicheke na watovu wa nidhamu mungu atakuongoza ishaallah
kweli.halima.hana.adabu.kabisa
Uhuru bila sheria na taratibu za inch ni vurugu matokeo yake ndo hayo kila sehemu ni siasa mpaka kazini mhuuuu
Hutafikiri awa wapinzani kero zao humo bungeni kama aio watanzania mambo mbaya sana wanayofanya wanazidiwa ata nawatoto wadogo
Halima umri unaenda na hana hati miliki ya kikunio. Sasa anawashwa hadi kwenye ubongo. Mheshimiwa Halima Mdee tafuta dudu utulie.
Mzazi mzr hamchokozi mtt kwa kuwa yy ni mkubwa. Heshima ni two ways traffic!
ney
kwahyo hakitunayoitaka bungeni ni kutukanana na kubishana kama walevi,hao ndio wawalishi wetu tunachowaagiza kutoka majimboni,chakushangaza matatizo hayafikishwi wamebaki kulushiana vijembe kama waimba taarabu hii ni shida.
Wawe na dispil bungeni
Nawe utashughulikiwa na Allah In Shaa Allah
Matusi hayafai kabisa mbele ya jamii si kwa kiongozi tu bali mtu yeyote...! ila mtu ukiminya sana uhuru wake wa kutoa mawazo inapelekea mtu kujawa na ghadhabu ambazo hupeleke kusema chochote kwa wakati huo kwa kuwa tu anaona kaonewa, na pengine huja kujutia baadaye kwa yale aliyoyatamka.Lakini pia bunge letu halifanyikazi kwa maslahi ya watanzania walio wengi kwani wanaonufaika ni wachache.
Inatakiwa tutende haki kwa wote msimwonee mtu yeyote. Mnamtafuta nini basi tusameheane jamani.
Upuuzi
Hapo nikazi tu
Halima mdee kma huwezi kuongea vitu binavyolea maadili ziba mdomo wako na super glue
halima nimempenda mara mia
hyo itakuwa poa juu anafanya bunge n kama uwanja wa matus ikiwa hta jiko liko na heshima yke
Ni kweli kbsa spika ktk hili atukubaliani na mambo aliyoyafanya Halima Mdee. Hatua Kali zichukuliwe,sizungumzi kiitikadi natoka maoni yangu kama mtanzania
Spika na WW tenda haki kidogo
Ndugai useme nani alie mpiga risasi Mhe Tundu lissu.
Hugo mwanamke kwanza kibayaaaa Kinajifanya kinajua kila kitu
Jac mm wa 1 siez kuumba binadam mwenzangu lkn namchukia mno huyo mwanamke na huyo alomuoa ana shida ndan ya nyumba walah ongea yake na ni mbabe hatar
@@munaahmed8499 huyu bado hajaolewa hana mume bado ila ana watoto
Hata mwanaume hawawez kumsogelea kwa hapo walah domo zegeeee
Wabunge wenyewe wanatukana, wengine wakiwatukana ni shida MAKONDA ALIKUWA YUPO sahihi kuhusu tabia za baadhi ya wabunge.
Kweli kabisa baba simamia nafasi yako
Huyu Mdee ni Mbunge au mhuni wa Kawe????
apewe onyo halima na asamehewe. akirudia tena aadhibiwe.
Halima alikosea sana though mm ni chadema ila sikubaliani na Halima mdee
mnaovuruga utaratibu ni nyie kwa kuweka ccm mbele badala ya taifa
#2020 sio mbali
RAPHAEL TV nini wewe
Daaaaaa malezi nayoyanachangia wazazi tunakazi
Hii ndio Tz ya awamu ya tano mtanyooka2 Acha move iendelee
Naomba ktk kazi zenu pia mmtangulize MUNGU jua cheo ni dhamana kuna cku kitaondoka wewe utakumbukwa kwa lipi?
afungwe
What goes around comes......... Finish ze sentence
Mh Ndugai hebu fanya utaratibu hapo bungeni waje wataalam wa magonjwa ya akili,au muwafanyie vipimo wabunge baazi wanaonekana kabisa bado wanatumia bangi.
haswaaa
Sawa sawa kabisa baadhi ya wabunge wanakula bangi asa wa ccm
Ukitenda haki hayo yote hayatokuwepo
Kumbe halima nae bashite,,,teja halima katika ubora wake wa matusi,,,kumbe serikali ilikuwa sahihi kuzuia matangazo ya bunge live,,,
Flora zungumza kama msomi hayo maneno anatakiwa aseme aliyekuwa bar, kwani mtu akinyimwa haki yake ndiyo atukane? kwani hakuna njia mbadala zaidi ya matusi? afadhali ukitukania bar hakuna atakae kuhoji.
Ndugai mkali
kazi niliokua naitaka sasa imeanza rasimi,tunataka displini bungeni ionekane,bunge limekua kama uwanja wa chandim,yani bora uangalie ndondo kap,kuliko bunge,spika lifungie hilo li halima mdee halina sifa zakua bungeni likauze mbege kwao moshin
Marita mhimu
Alie vunjika mguu hamjamchukua ila yeye mlimuitia ndege
Alikuwepo makufuli leo yuko wapi mukiambia ukweli munasema munatukanwa uwezo kakupa muungu lkn ujue walikuwepo wenye nguvu sana ww si chochote leo wako wapi je mm na ww endelea baba ujue mwisho upo.
hana akili timamu huyo pamoja na wanachama wake
Kama WA ccm afee2
wao ni wabinafsi tumewapigia kura watuwakilishe Kwa Picha hii.sisi wananch tunaumia na wanakula kodi zetu.wakamatwe wanyongwe kabisa.
ata kura ukupiga unabwaya tu eti wanyongwe kaanze wewe kufa nyau wewe
spika inabidi ukate fimbo wakileta ujinga ni kuwachapa tu hawana adabu hawajafunzwa maadili huko walikotoka
Nikwe uliwapa onyo wakina tundu lisu
Hivi hutawara huu wapinzani watafanya fujo mpaka mwisho wa mihura yote miaka kumi kamati ya kuwachukuria hatua hinakua wapi yani sisi wanachi tumechokeshwa na kerere kama za awa wapinzani
ubabe ubabetu tz,
Matumbo Yenu yatapasuka Kwa njaa... Mna watesa watu Kisa spika wa bunge ipo siku mtaumbuka tu.
safi sana
Halima mjinga san anatufundisha nn laiya wakawaida
halime fala tyu ,,,kwaza anatabia za wanaume ,#tomboy#
Mtu akileta u-0, unam treat ki ziro ziro vilevile😊
😂😂😂nmekuelewa
mhhhhhhhh! halaf leo anajiita mtetezi wa kina mama!!
Mh
wana haki hao ccm hakunaga haki
Mpaka itoke ajali ndomuweke taassar