SHEIKH NYUNDO AFURAHI KABURINI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mama yangu, ukweli haujakamilika, basi naapa kwa aliyekula kiapo kukupa haki yako iliyokamilika na isiyo na upungufu ndani yake Wajibu kwangu kukufikishieni mpaka nikutane na Mola wangu Mlezi nikiwa nimelala. sema.☝☝🤲🏼🤲🏼☝☝
Mashaallah mwenyezimungu awahifadhi awalipe kilalakher
Naa'm Assalamu a'laykum warahmatullah wabarakatuh alfatah Allah atujaze kheri sote kwa pamoja ameen kutoka kagera Tanzania
Shukran Alfatah kwa misaada yenu kwa familia ya sk Nyundo ,lkini naomba musiishie hapo tu kwa pkt za mapembe na sukari bali muangalie mbele zaidi. Usimsaidie maskini samaki tu bali mpe mshipi na mtumbwi umfunze kuvua iliaondokane na umaskini. Iasaidieni familia ya sk Nyundo ipate mkaazi mazuri na muwapatie watoto wake msaada wa elimu ili waje wawe na uwezo huko mbele wa kujitegemea ili waepukane na ombaomba.
Mapenzi ya hali ya juu kwakweli Allah atawalipa.na Allah amrehem shekh nyundo😭😭
Amiin
Amin
Muung awalipe apa duniani nakesho ahera ameen
Amin amin
Allah awawezeshe muende tena kuuenzi shekh Nyundo
Mimi si MTz,Mkenya walla Mburundi lakini namfuata sana Sheikh Nyundo nampenda sana nime huzunika sana kusikia ame fariki Allah amrehemu
Mashallah jazakumullahi khairan
Allah Subhannahu Wata'ala amrahamu na kunweka mahali pema Peponi,Aamiin.
MashaAllah basi muwatafutie waume jamani
Mashallahu M / MUNGU AWAZDSHIYE KPATO MUTOWE DAIMA YARAB MLAZE MAHALA PEMA KTK PEPOZAKO TUKUFU ISHALLA TUNAUMIYA SANA WAUMIN WAKIISLAMU HAKIKA TUMEONDOKEWA 😭😭😭😭
Mashaallah hakika huu ni upendo mkubwa sana
Masha Allah
اللهم اغفر له وارحمه وأسكنه فى الجنة
Mashallah mashallah Allah amjaalie kaburi lake liwe ni nyumba miongoni mwa nyumba za peponi . Na nyiny Allah akulipen kila la kher azidi kukupen nguvu ili muweze kupleka dini mbele
Inshaallah Allah atawalipa Alfatah
Mashaallah jambo zuri sana na jema wallah huko ndio kumuezi kwakumuendelezea mazuri kwaahli zake Mungu awajaze kheri Al-fatah TV online shukrani Mungu amrehemu huko kaburini na wote wema walotangulia inshaallah
Allah awarehem maiti zetu wa kiume na kike.
Wakubwa na wadogo
Allah awabariki amin
Allah amraham Shekhe Nyundo,mawaidha yake nayapenda Sana, sichoki kumsikiza Kila siku ndani ya TH-cam,amanielemisha Sana,
Masha Allah... Al Fatah Allah Awajaaliye kheir
Amiina yarbla alamina
Walyikum salaam Allah awabariki Sana Al fatah tv hakika mnayo yafanya ni Allah awalipe kheri Amiin 🤲
Allah akuifazi shekhe nyondo
Barakallahu feekum
Subhanallah ama kweli ukiwaza mwengine anatenda Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Mashaa Allah atubarik sote naam familia zake na wengine pia na naamini mtapata wa kukuungeni mkono
Maa Shaa Allaah, Jazakum Allahu Khairaan Kathiraan.
Amiina yarrabi
Allah awalipe ujira mkubwa yarrab awajaalie awape utajir wa duniani na wa kesho akhera inshaallah ameen 🙏
Mtume Mohammed (S.A.W) zama zake alikuwa haswa akiwaeka maswahaba kushindana kutowa kwa ajili ya Allah ki2 kinacho2 fuata ni niya ya mwenyekutowa na ukiangalia Qur'an tukufu Allah ashasema wa2 washindane kwa mambo ya khery
Allah Hummah amiin Na Isha Allah Awalipe.Kila.Lenye Kheli Viongozi Na Wafanyakaz Wa al Fatah
Marshall ah Allah ana kirimu wallah
Mashallah Allah azidi kumpa makazi mema uko alipo nasi tupo nyuma yake
mwenyezi awajaze kheri
Maasha'Allah Tabaarakallah,,,Mkono kwa mkono hadi peroni In sha Allah 😍
WALIKUM Salam warahmatullah wabarakatuh mashekh wetu
Ameen yarrab
Allah akurahamu tunakukumbuka DAIMA Sheikh NYUNDO
Mashaa Allah,Allah awahifadhi.
Inahuzuniasha kwakweli Allah yaallah warehem nduguzetu walio tanguli na walipe heri pia alfatah
Allahummaghfirlahuu warr arhamhu waskinhu fii jannah.amin
Walaikum msalam warhamatulahi wabaratu, maa Ashallaah mungu awape moyo uwo uwo AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
WA alaykum salam warahmaturah wabarakatuh ❤ ma sha Allah tabarka Allah 😢😢😢Mola amrahamu kipenzi chetu
Masha Allah.....this is Islam.. ALLAHU AKBAR...alhmdulilah
Manshaallah
Ya mashallah kazi nzuri sheikh pia . Mzuri mtafute wajane wengine na mayatima.msaidie hivio allah atawalipa zaidi ya hio shukran allah
Mashaa allah shehe Rashid Salim mwenyez Mungu akupe ujira Kwa kaz yako mzur sana
MASHAALLAH MUNGU AWAZIDISHIE YAARAB NIKIWA KENYA
ManshaAllah Allah awajaze kheri 🤲🙏
Bismillah mashaALLAH mumefanya jambo lakhairaat lakini kwa maoni yangu kwa nini katika kulifanya hilo musingewa munarikodi mpaka muhusika munaewapa. Ukitoa kulia kushoto usijue. Inshaallah ALLAH atuwafikishe katika kheri.
Allah awabarik zaidi Alfatah muzidi mafanikio kwa mfano wenu. Amin.
MashaAllah Allah awazidishie Upendo daima
Allah awajaalie umoja na awalinde na hasadi na sheitwan rajim
Mashallah
Allah awazidishie Imani muzidi kuwafariji familia ya sheikhe nyundo kwani ametuachia pengo kubwa sheikhe wetu nyundo Allah amjaalie awe mja mwema huko aliko sheikhe wetu nyundo Allah amjaalie kaburi lake liwe miongoni mwa Bustani la peponi Ameen 🤲
ni channel nzr sana inawakumbusha ndugu zetu ktk imani kuwa pamoja n wenzetu katika kuweza kujua hali n maisha yao. shkrn sana Al Fatah
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah . Allah awazidishie Al fataha tv na timu wenu insha Allah
Mashalha
Maa shaa Allah. Jazaakum llahu khaira wabaraka llahu fiykum. Amiyn amiyn thumma amiyn yaarabbal aalamiyna
Amina yaaraab
Allah amsamehe makosa yke aendelee kuwapa subra wafiwa
Allaah awazidishie kwa kila munachotoa
Mnaposaidia ni jambo jema tena Allah awajalia kwa hilo lakin imenihuzunisha sana kwa kutoa sadaka hyo kwakua piga picha walengwa co vizuri kabisa hyo ni ryaaa Allah hapendi jambo hilo..
Nakuunga mkono si vyema kupeleka kitu uonekane kwa ma TV riyaa
Kila mtu analipwa kwa nia , hyo ni njia moja yakufikisha daawa
Hilo ni kosa kubali usibishane Allah hapendi kabisa kwan hamuwezi kumsaidia mpaka mmchukue video hyo njia ni kumdhalilisha mhusika...
Hii ni charity organization sio individuals charity watu wanatoa misaada kutoka sehem mbali mbali dunian kuonesha ktk mtandao ni njia moja kuonesha kile watu wanachokitoa kinawafikia walengwa hayo ni maoni yng
@@ashakassim4351 ingekua ni wewe unapewa msaada na kuchukuliwa na video ungejisikiaje hamna sadaka ya aina hyo mwenyezi mungu mtukufu amekataza kutoa kwa kupitia njia hyo na wala maneno ya Allah hayapitwi na wakati..
Waaleykum salam warahmatullahi wabarakatu,ALLAH azidi kuwaterehemshia neema kwa yale mnayo fanya Amiin
Allah atailinda familia yake pia nayeye Allah ampemafikio mema kaburini amin
Amiin
Allah arham sheikh nyundo
Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie imani na awazidishie rizki
Allah akulipe fi dunya wal aakhira
Mashallah Allah akuzidishieni imani
Amin
Ameena YA Rabii thumma Ameena YA RabilAallameena Allah Mtukufu ajalie duwa iwe Makbul 😢🤲 🙏
Ameen inshallaah mwenyezimungu atamlipa mema
Mmungu awape kheri amina
Innalilah wainna illahi rajiun.maa shaa Allah mwenyezi mungu awalipe Kwa hili in shaa Allah
Mashaallah allaah awalipekilalakhery🇧🇮
Mashallah mashallah mashallah 😭
Mashaallah tabarak allah tupe husnul hatma na tuepushe na adhabu
Mashallah, Allah atakulipeni.Alfatah kwa michango yenu (Ameen)
Mashallah Allah amulipeni ujira mkubwa inshallah
allah kulipe kheri ishallah
Mungu awajaze kheri jamani
Mashallah alfatah mnajitahidi sana
Mashaallah
Maashaallah baarakallahu fiyq
Ma sha Allah
Maa shaa Allah Mungu awalipe kila la kheri
allah amsaeh .....jaman iv kawambia kawambia nana kuhusu kua anfrahi mbona tuna vuka mipaka?
Mwenyezi Mungu awazidishie palipo na upungufu insha allah
Mashaallah tabarak allah
MashaAllah MashaAllah jadha ka Allah kheir
Mashaallah sheikh
Amini 🤲
AMIIN THUMAN AMIIN🇰🇪
masha alah no yenu iwekeni Kwa kila anaeguswa atume ali chojaaliwa
الله يرحمه
ألهم امين يارب 🙌
Mashallah hichi ndicho chakufanya
Mashallah Allha awabariki
Allahumma Aamiin yarabbi
Allah amweke pema
Mashaallah mashaallah mashaallah
Mwafanya jambo zuri lkn mnavyo chukuwa watu nikama mwawazalilisha mm binafsi sitaki swadaqa hz za matangazo xy vzr toeni kwa ajili ya Allah na wala musitoe kwa ajili ya watu wawaone muogopeni Allah Allah atakuja kuwauliza kwa xdk hz
Allah asema tushindane kwenye mambo mema usipoona utamshinda vp mwenzako hamna makosa kupiga picha wala nini kwani watu wangapi huenda piga foleni kwa matajiri wakajidhalilisha wenyewe huyu mashallah amekufwata mwenyewe tuweni na shukrani ni Allah ndio amemtuma huyo mjumbe
Hiyo rizki wataka malaika ndio akuletee
Mficha uchi hazai
Mafukara ni wengi kwenye nchi lazima wenye kujiweza washirikiani na wajue ndio motisha ya watu kutoa itaongezeka
Umaskini na ufaqiri si aibu
Unaambiwa ukitoa mkono wa kulia wa kushoto usijue leo mnajionesha mpaka kwenye maTV subhanallah YAA ALLAH TUONGOZE WAJA WAKO.
(إِن تُبۡدُوا۟ ٱلصَّدَقَـٰتِ فَنِعِمَّا هِیَۖ وَإِن تُخۡفُوهَا وَتُؤۡتُوهَا ٱلۡفُقَرَاۤءَ فَهُوَ خَیۡرࣱ لَّكُمۡۚ وَیُكَفِّرُ عَنكُم مِّن سَیِّـَٔاتِكُمۡۗ وَٱللَّهُ بِمَا تَعۡمَلُونَ خَبِیرࣱ)
[Surat Al-Baqarah 271]
Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu, na yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.
Ukitoa kwa Nia ya kuhamasisha wengine basi ni Bora utoe watu wakuone. Ukizingatia watu wengi wanatoa michango yao watahamasika wakiona michango yao inafanyiwa kazi.Soma dini yako vizuri ndugu yangu Allah akubarik
Sijisifu ila mm nnaijua dini yangu kiasi alivyonijaalia Allah sio kama watu walivyosoma lakini kwa hili hii ni riyaa.Kwa njia nyengine mngetowa bila ya kuonesha vitu wala kutaja vitu au pesa kiasi fulani hizi hapa ingekua vizuri.lakini aa huku ni kujionesha.Na Allah alivyosema kuwa tudhihirishe sadaka sio kwa njia hii.
@@alf8177 tusibishane ndugu yangu au kaka yangu.